Huyu kafanya mbagala zakhem soko lipo tupu watu wengi wanauzia nje wanashidwa kulipa kodi ya pango watu wapo barabarani frem hazina watu harafu anaongea kishujaa mama alikosea hapa huyu kiongozi kwanza dar hauwijui hata mitaa kituko hiki
Mama ametuletea kituko dar es salaam... Leo utasikia hotuba mama.. Utafika kariakoo kwa aibu sana.. Jafo atakutafuta.!!! Mama leo kaongea vizuri sana sana sana kabisa!! Amejua umuhimu wa kariakoo kwa tanzania... Kodi za kariakoo zinaweza kuhudumia wizara tatu!! Sasa wewe ulienda ukaongea ujinga ujinga.... Kuna dalili unatumia madawa ya kulevya wewe
Nadhani Mkuu wa Mkoa amekosa logic,,,, kwasababu sio kwamba wafanya biashara wa kariakoo wamegoma kwakuwa wanajiona wao wanaumuhimu kuliko wenzao,,,ila wanagoma kupinga rushwa wanazolazimishwa kutoa kwa hao wafanya kazi wanaojiita TRA...sasa nchi inaendeshwa kwa Kodi hao wakusanya Kodi wanawaharasi watoa Kodi kwa kutaka rushwa mpaka wameamua kugoma na Mkuu wa Mkoa anakuwa upande wa wala rushwa wanaosababisha serikali ikose Kodi na watu wanapiga makofi... Au ndio ile kauli ya King Kaka wa Kenya kwamba "Wizi hauishi kwasababu OCS anayake ya kila Mwizi hapana ya kila Mwezi....??"
Uyu jamaaa simwelew kabisa ana utoto mwingi
Huyu kafanya mbagala zakhem soko lipo tupu watu wengi wanauzia nje wanashidwa kulipa kodi ya pango watu wapo barabarani frem hazina watu harafu anaongea kishujaa mama alikosea hapa huyu kiongozi kwanza dar hauwijui hata mitaa kituko hiki
Siyo pointi iyo
Wewe unaeleweka wasiokuelewa wanayo kichwani😂😂😂
maneno mengi yasiyo na maudhui
Awagom kwasababu wamuhinu wanaumia na kod zenu embu kuwen waelewa
Mama ametuletea kituko dar es salaam... Leo utasikia hotuba mama.. Utafika kariakoo kwa aibu sana.. Jafo atakutafuta.!!! Mama leo kaongea vizuri sana sana sana kabisa!! Amejua umuhimu wa kariakoo kwa tanzania... Kodi za kariakoo zinaweza kuhudumia wizara tatu!! Sasa wewe ulienda ukaongea ujinga ujinga.... Kuna dalili unatumia madawa ya kulevya wewe
Mdomo utakuponza pale ambp utstakiwa kutoa uthibitisho kam kweli anatumia madawa ya kulevya
@@jizzotheking9238 kacheze na Dada zako hakuna kitu unajua
@@jizzotheking9238 endelea kucheza na Dada zako
ila harmonaize bwana 😂😂😂😂
Hanapesa tembo
Yan wewe unaongeaga ujinga ujinga tu....
Wasikilizeni wafanyabiashara wenu walipa Kodi wazuri mnawasumbua TRA mnawalinda unachoongea hakifanani na migomo migomo
Nadhani Mkuu wa Mkoa amekosa logic,,,, kwasababu sio kwamba wafanya biashara wa kariakoo wamegoma kwakuwa wanajiona wao wanaumuhimu kuliko wenzao,,,ila wanagoma kupinga rushwa wanazolazimishwa kutoa kwa hao wafanya kazi wanaojiita TRA...sasa nchi inaendeshwa kwa Kodi hao wakusanya Kodi wanawaharasi watoa Kodi kwa kutaka rushwa mpaka wameamua kugoma na Mkuu wa Mkoa anakuwa upande wa wala rushwa wanaosababisha serikali ikose Kodi na watu wanapiga makofi... Au ndio ile kauli ya King Kaka wa Kenya kwamba "Wizi hauishi kwasababu OCS anayake ya kila Mwizi hapana ya kila Mwezi....??"