Wanao muona uyu dada muongo mungu atawaonyesha kwani ayaja wakuta uyu dada kuongea ajui angejua kuongea uyo kaka angejua wampe mtoto wake km ni ukimwi njia nyingi za kulea mtoto na asipate maambukizi sheria uchukue mkondo wake
Hiyo ni hatia kubwa kumtangaza mtu ana ukimwi awe yuko nao ama hana,kuna sheria na huyo kaka angejuta kufunguwa kinywa kuzungumzia hayo kwa watu,anatakiwa kufahamisha watu yy mwenyewe kwa iyari yake...pole sana dada
Wengine wanawahukunu Watu pasipo kujuwa inawezekana huyu Bint amepata maambukizi kutoka Kwa wazazi wake na ndio mabinti na watoto wetuwakiume mnatakiwa mduwate sheriya muache naasi na mkipata wenzao muwe wepesi kwenda kupimwa kwanza na SI kujiingiza kichwakichwa TU
Wanaume wanapenda kunyanyasa wanawake, na kama akiwa na familia wanamtia kiberiti nyuma anadhani sifa atakuja kushagaa anakufa yeye mama mtu na ugonjwa wake anabaki watu wengine sijui tupoje
Yani uyo dada ukimsikia tuu unajua mohongo anavo jikanyaga mwanaume wake mstarabu ila ww unataka kumuuwa mwenzio kwangoma maana kwaunivoonekana muongo wala sikupi pole ila ndio tujifunze nasisi wengine maana ulikua unajua umeathilika ila unataka kiondoka na mwenzio
Nenda kwenu kwani kakua?? acheni kuzini jamani? wewe kaka mpe mtoto wake hawezi muua na akimuua utajua pia atafungwa yeye ila mtoe kwako hana nia nzuri na wewe achana nae atakuambukiza kusudi kachanganyikiwa huyo na hali yake Bado anataka kufanya siri kuficha hali yake ili aeneze virus
Pole sana, nimeumia sana. Loh!!!! Kwani UKIMWI kapenda? Sote tutakufa
Wanao muona uyu dada muongo mungu atawaonyesha kwani ayaja wakuta uyu dada kuongea ajui angejua kuongea uyo kaka angejua wampe mtoto wake km ni ukimwi njia nyingi za kulea mtoto na asipate maambukizi sheria uchukue mkondo wake
pole sana Dada natamani ningekufaha Mungu atakusadia sijui uliko .
Tatizo hujaikubali hiyo hali mungu akupe nguvu uikubali hiyo hali uanze maisha upya usimng’ang’anie baba wa mtoto
Hapo ndo shida ya watu weusi...Kwani huyi dada kuadhirika inashida gani huyo dada kisaikolojia anaumia...wampe mwanae aondoke tu
pole sana Dada usikate tamaa kuasilika sio ndo mwisho wa maisha.Lakini we ndo mkolofi tulia tu ulee mtoto wako
Waharabubl hao wa Maganzu NDIO wafiraji
Hiyo ni hatia kubwa kumtangaza mtu ana ukimwi awe yuko nao ama hana,kuna sheria na huyo kaka angejuta kufunguwa kinywa kuzungumzia hayo kwa watu,anatakiwa kufahamisha watu yy mwenyewe kwa iyari yake...pole sana dada
Nikweli nimeumia xn
Ukimwi kwenye maombi unapona kabisaaa
@@malaikamushi6032 Subutuuu acha kudanganya watu! Hamna tiba ua ukimwi 👐
Wengine wanawahukunu Watu pasipo kujuwa inawezekana huyu Bint amepata maambukizi kutoka Kwa wazazi wake na ndio mabinti na watoto wetuwakiume mnatakiwa mduwate sheriya muache naasi na mkipata wenzao muwe wepesi kwenda kupimwa kwanza na SI kujiingiza kichwakichwa TU
Mackini, pole sana dada kwa mitihan iliyokukuta, kuna dada mmoja yamemkuta akiwa mjazito hivyohivyo, tatizo ilikuwa kwenye kuongezewa dam
Duh inauma sana jaman ila Mtoto anauma pamoja na ugonjwa pia mungu Akutie nguvu
Pole sana dada
Pole jamani! Huyu ni unyanyapaaji jamani!
Uyo kaka yey ndo atakufa vibaya
Pole sana mamy Geah naomba nitumie namba ya huyo dada
Nyie hamjui wanaume walivyo wanafikiiii nimemsikilizaa yule mkaka muongo mtupuuuu wanaume sio watu wakibadilikaaaa fyuuuuuu
Happy Mwakajila kabisàaaaa
Wanaume wanapenda kunyanyasa wanawake, na kama akiwa na familia wanamtia kiberiti nyuma anadhani sifa atakuja kushagaa anakufa yeye mama mtu na ugonjwa wake anabaki watu wengine sijui tupoje
Da geya nakupenda huishiwi na hekaheka
Duh mpk nimelia 🙄🙄😭😭 jmn mbona watu wengi wagonjwa tunawajua na wanalea watoto wao dah
Dda pole sana usiogope sijui unasali dini gani kikubwa ni dua tu
khaaaa wampe mwanae jamani kwani kuumwa ndio nn watu kibao wagonjwa kama katupa dawa kamripot
Nikweli nimeumia xn aende police
Mmmhhh huuu mtihani kwakweli sijui Hata tumuamini yupi Ila huyo Dada alikusudia kumuambukiza hataki kufa pekeake jamani walimwengu tumeharibika ..Allah atusaidie
Mmhh makubwa ela pole sana Mungu akupe subra
Duh mwambie aende tena hospital mungu anaeza kuwa hana
Ndo pale inapothibitika tabia ya wanawake katka Kuelez tu naanzia mwisho Kisha tu nakuja mwanzo Daaaah
Pole sana
Pole sana dada mungu yupo.
Yani uyo dada ukimsikia tuu unajua mohongo anavo jikanyaga mwanaume wake mstarabu ila ww unataka kumuuwa mwenzio kwangoma maana kwaunivoonekana muongo wala sikupi pole ila ndio tujifunze nasisi wengine maana ulikua unajua umeathilika ila unataka kiondoka na mwenzio
Huyo kaongopa kuwa ww umekufa na yy hawezi kutunza mtoto kwa sababu anashughuli zake
kumbe huu ugomvi wa pampas upo kwa wengi
Gea mbona hurushi heka heka mpya
Jamani waampe mtotoke wangapi wanaumwa nawalewa mtoto
mungu yuko
pole xna dada ila kuwa makini na mwenzio mbona alikubali kutumia kinga ww ndio umezingua ila mungu atakupa nguvu usijali
Kulea jamani inawezekana wapowengi sana wakohivo nawanatunza watoto wao
Dada muongo eti kaenda kituo kikubwa kushitaki kuwa amemtupa mtoto mala eti kwavile me muaslika 😁😂😂😂😀😀
wadada yaan mnaua wezun makusudi unajijua uko hivyo unaingia kwenye mahusiano bila mwenzio kujua kama hauko sawa
Mbona mwanaume kanyoosha maelezo vizuri
Nitafute nikupe msaada
Ila mh mtihani pole.huyu dada hana makosa wampe mtotoake amlee tu
Bi maisara Nkamia jamani huyu dada ana umiya sana, hakupenda kuambukizwa sasa kwanini wana munyanuasa?
sasa wataka kumnyonyesha mtoto wakati uko na ukimwi utamuua mtoto ww
lakini mke kama anatumie vidonge vizuri mume hawezi kuambukizwa
Mmh kwanilivyo msikia mmeo ww unadanganya afu ww ulii unaimba 😟😟😟emu kaa utulize akili upewe mtoto kuasilika sio kufa tatizo ww umepaniki rakini pole
Wanaume wa tanzania ni wafanyaji wa makosa na wajuaji wa kuongea uyu dada yote yamemkuta sema ajui kuongea
Duuh
+Manaasha Athuman Nakuunga mkono dadangu nakwambia kungekuwa kuna mahakama mbinguni mwanamume wa kitz angekuwa anashinda kesi siku zote
Makumbwa hayo kishida mwenyezimungu tuepushie sswajawako
Kiukweli waume si watu
Pole dada
na nyinyi mchuee wanaume kwenye vitengo hayo ndiyo madhara yake
Nenda kwenu kwani kakua?? acheni kuzini jamani? wewe kaka mpe mtoto wake hawezi muua na akimuua utajua pia atafungwa yeye ila mtoe kwako hana nia nzuri na wewe achana nae atakuambukiza kusudi kachanganyikiwa huyo na hali yake Bado anataka kufanya siri kuficha hali yake ili aeneze virus
umeolewa???
Pole dada loho inaniuma sana wanaume siwatu wazuli
Huyo asipewe atamuua ili kumkomoa huyo kaka mfyuuuuu maana ni muuaji kwasababu alimficha mumewe tangu mwanzo. Halafu hawa wanaoliaga ni wanafiki sana
pole sana Dada natamani ningekufaha Mungu atakusadia sijui uliko .
😅😅😅😅😅