Wallah huyu dada anatia iman sana ... anahitaji kusaidiwa kwa kweli ...lakini anajitahidi kufanya biashara allah amfungulie milango ya kheir apate anachotaka...
Ya rabbi Da frora sijui nikwambie nini ?? Wwe Allah akupe umri mrefu wenye kheir na baraka wallah kwa unachikifanya yani unajituma kabisa Allah azidi kukulinda kweli unacho kifanya Allah pekee Akulipe firidaus nakuombea Allah In sha Allah
Subuhnllah allah ampe uwepesi wa kazi yake pole san dada alaf da frol nikuuliza ivi uyo uji mi nitaupataje dd na mimi nipo omani madamu wangu anataka unaweza kutusaidiya tunafanyaje ss maana kuna watu wenyi wanataka nisaidia nakuomba unijibu au km uku oman ofsi zenu zipo au dd unijibu
Kwa kweli Mungu anamaajabu yake Watu wazima wanashindwa kufanya kazi Alakini walemavu wanafanya kazi🙏🙏🙏 Mwenyezi Mungu akusaidiye dada Bahati Mungu ikojuu yako 🙏🙏🙏🙏
Kiukweli inauma sana ila pia dada zetu mnao tumia mili yenu ili kukidhi maitaj yenu jifunzen kupitia huyu dada nimlemavu lakin anajituma bila kujali upungufu waviungo vyake mwenyez amfanyie wepes dada yetu 😥😥😥😥
Samahani nakumbuka 1990s Raisi Mwalimu Nyerere alimpaga nyumba huyu dada bahati kama sijakosea. Nakumbuka alitolewaga kwenye Gazette la uhuru na mzalendo. Kama ni kweli hiyo nyumba imekuwaje?
Huyu alishaga saidiwa Sana tabora na kama mwl nyerere alimpa nyumba atakua anayo ila anaficha yn mtaji wa mpesa milioni 20 duh huyu mama anapendaga Sana.hela
Wallah huyu dada anatia iman sana ... anahitaji kusaidiwa kwa kweli ...lakini anajitahidi kufanya biashara allah amfungulie milango ya kheir apate anachotaka...
Congratulations dear sister kwa kujitolea hujakataa tamaa ya maisha Mungu akubariki sana
Ya rabbi Da frora sijui nikwambie nini ?? Wwe Allah akupe umri mrefu wenye kheir na baraka wallah kwa unachikifanya yani unajituma kabisa Allah azidi kukulinda kweli unacho kifanya Allah pekee Akulipe firidaus nakuombea Allah In sha Allah
Pole xna dada na hongera
Subuhnllah allah ampe uwepesi wa kazi yake pole san dada alaf da frol nikuuliza ivi uyo uji mi nitaupataje dd na mimi nipo omani madamu wangu anataka unaweza kutusaidiya tunafanyaje ss maana kuna watu wenyi wanataka nisaidia nakuomba unijibu au km uku oman ofsi zenu zipo au dd unijibu
check with me on whatsapp +255677555550
@@niteetv nakupenda Da frola nami naomba kuwa wakala wa bidhaa zako nitafanyaje kwa ilo naomba nijibu mpz 🥰
Subuanallwaa mungu mjaliye uyu mama atimize malengo yake asaidiwe kwakweli dooo madada mnao jiuza igeni mfano kwa uyu mama
Mwenyez mungu akuongoze kwenye din yahak dada
Mungu Hakupi Kilema Akakukosesha Njia,Hongera Bahati Kwa Kujikubali,Kujiamini.
Mungu atakupa mume inshaallah
Allah atufanyie wepes waja wake, na ampe hitaji la moyo wake.
Hongera sana dada kwa kazi unayofanya , Mungu azidi kukutia nguvu zaidi
kwaiyo bahati ni bikira daaah flora ilo swali lako aky mungu abariki uyo dada kwakweli anabidii sana
MUNGU Mkubwa Akikupa Kilema Hakukosheshi Na Mwendo Da Flora👏
Hongera dada mungu akupe hitaj lako
Love you flora 🥰😘mungu akupe umri mrefu
Nimepata some asante
😭Utaona mtu anaviungo vyooote utasikia nauza mwili ndokz yngu 😭😭
hatariiiiiiiiiiii sana
Flora mungu akujalie dada yangu
Pole sana dada bahati Mungu atakufungulia milango ilanimeumia sana kwakweli😭😭😭
Dada flora unana na kaka zahir wa maximum tv ako na fundi waujenzi yuko rahisi.cox zahir anajengea nyumba babu na bibi haijafika hata million
Allahmdulillahi
Da mungu ni mwema dada anapambana kweli angekua mwingine angeombaomba
Mungu yupo nawe dada amini mungu atakusaidia inshaallah 🤲🙏
Mungu akupe itaji la moyo wako Bahati.
Nisamehe mungu wang kwakufuru,
Mungu yumwema akikupa kilema hukunyimi na mwendo
Huyu mama namjua sana tupo nae Tabora,anapambana ssna
Uyu mama namuona sana tabora anauza machungwa au sabuni
Dada flora. mm nataka hizo sabuni na miracle Chai na Unga wauji.. Mm nimkenya
Karibu Tunatuma kwa Bus 0625462353
Mjin mpo kwa wap mamy
Mungu ni mwema utafika mbali
M mungu atamfungulia njia insha'Allah
Jamani msaidieni huyu dada jamani apate iyo nyumba apumzike jamani 🙏🙏🙏🤲
kweli
Dina marios hawa ndo wanawake wa mwaka...sio hao wengine...huyu mama ubongo wake ulimuaminisha sio kilema..akaamka akatenda...i heart you mama
Maskini jamani....Mungu wangu mtetee mama huyu
Mungu wangu waone watu awa
Ilibid apate meza au kibanda jmn 😭😭
Namfahamu Hutu dada Tabora
TUNAKUOMBEA DADA WATANZANIA TUTAKUSAIDIA
BAHATI HONGERA SANA HADI UMENUNUA KIWANJA MUNGU NI MWEMA SANA ENDELEA KUMTEGEMEA NA KUDUMU NA WOKOVU
Kwa kweli Mungu anamaajabu yake
Watu wazima wanashindwa kufanya kazi
Alakini walemavu wanafanya kazi🙏🙏🙏 Mwenyezi Mungu akusaidiye dada Bahati Mungu ikojuu yako 🙏🙏🙏🙏
Hata mimi naona Sawa bora apatiwe iyo nyumba
Eeee Mungu msaidie dada huyu
ataka mtaji wa milion 20 m, pesa, nalo neno.rabda ujengewe iyo nyumba.
Bahati mtaji mkubwa sana huo m.pesa ni ml 2 zinatosha kama kuna mzunguko wa wateja angalau kwa siku watu 40 kamishna nzur tu
Kwel kbs million 2 inatosha kbs
Jamani uyu ndo mama wa nguvu
Kiukweli inauma sana ila pia dada zetu mnao tumia mili yenu ili kukidhi maitaj yenu jifunzen kupitia huyu dada nimlemavu lakin anajituma bila kujali upungufu waviungo vyake mwenyez amfanyie wepes dada yetu
😥😥😥😥
Mashallah
Dada flora nipo oman wapi nitapata miracle chai yako please please wakala wako oman no ya simu
Kama utahitaji kwa Dar tunatuma dear #0686677822
Mashaallah
Subhana Allah
Mung akupe wepes mama ang
Biashara ni kipaji na nyota km huna kila utakachokifanya utakatoka tyuuu,so kila mtu Mungu kamuumba kwa makusudi na namna yake
Pole sana dada MUNGU ataweka njia paspo na njia🙏
Dah🙌
Mung akubarik mumy
Milion 20....😔😔😔
Da frola samahani kwani hawezi kuchangiwa akawekewa mikono ya bandia au iyo mpaka uwe umekatwa
Asante kwa wema wako
Subhaallah 😭
Milion ishirini au amekosea kutaja
Flora tumchangie awekewe mikonon bandia jaman😰
Kwan na mikono ya bandia IPO mi nakajua miguu2
@@aishaaisha1495 ipo saana
@@fatemaligalawa1918 kumbe km ipo tumchangie ili anunuliwe
@@aishaaisha1495 weee inabei alafuileyakufanyakazi ndiozaidi
Hyo nikono inafanya kaz kabisa
MUNGU huyu basi tu. Kama hauna kilema chochote mshukuru tu
Milion 20 mwee
Hat mm kidogo nimepata shock hpa tigo pesa milion ishilini mbona watu wanaanza milio mbili tu
Jamani mwenzenu ajui esabu huyu so kosa lake tumsamehe tuuuh
Hakika huyo dada ni kiboko nishakua karanga zake.... Ni mtafutaji mno....
Ddduh😭😭😭😭
Poles mamy angu jamb
Samahani nakumbuka 1990s Raisi Mwalimu Nyerere alimpaga nyumba huyu dada bahati kama sijakosea. Nakumbuka alitolewaga kwenye Gazette la uhuru na mzalendo. Kama ni kweli hiyo nyumba imekuwaje?
Hata kama alipewa nyumba itabiditu ajisaidie kulikokukaa tu
Huyu alishaga saidiwa Sana tabora na kama mwl nyerere alimpa nyumba atakua anayo ila anaficha yn mtaji wa mpesa milioni 20 duh huyu mama anapendaga Sana.hela
Pol mam
mwenye zimungu ni mkubwa. 🙏🏾🙏🏾
🥰🥰👌
Hongera dada mungu azidi kukusaidia
Tatizo mitaji
M
Mungu mfungulie milango huyu Dada jamani.
Mungu akutie nguvu dada mungu yuko nawe siku zote nimeumia sana lakini Ila ni mipango ya mungu
Hongela dada
Utaenda mbali
Mungu akupatie nguvu