Kwanza jaman Kqmq. Unapigwa Kila. Siku au unyanyasika unasubil nin!! Anaekupenda awez kukunyanyasa jaman Hata mim siwez kukaa sehemu ya kupigwa au kunyanyasika Kqmq ipo ipo tu
@@serianjamal8254 So what ? caim down hata km siku nyingi hajakataa lakini hapo kakataa hayo ya siku nyingi unayajua wewe na hao wenzako munaompenda na kufuatilia vipindi vyake lakini sio kila mtu anamfuatilia nakumjua km unavyomjua wewe.
Geah mara nyingi ana busara sana ktk utangazaji wake.. upo vzr geah mzuri pia ... Allah aendelee kukupa nguvu
Kafanana na shilole hv
Waoo Ghea Habibu mungu aendelee kuilinda ndoa yako.
Nakupenda sn dadangu fanya utuletee zai kijiwe nongwa 😘😘
Ningekua hapo tz ningekuja 77 nikuone live Dada geah nakupendaga sana
Mashallah, majibu mazuri sana Geah.
Mtangazaji sauti Kali sana
Yaani hajatulia😏
Utakuwa Somo yangu na mimi nikiolewa nakupendaaaaaa sana my dada
Geah mzuri na Wala ulingi nakupenda♥️♥️♥️
Kwanza jaman Kqmq. Unapigwa Kila. Siku au unyanyasika unasubil nin!! Anaekupenda awez kukunyanyasa jaman
Hata mim siwez kukaa sehemu ya kupigwa au kunyanyasika
Kqmq ipo ipo tu
I love you Geah. Keep it up kumbe uko busy sabasaba ndomana hutupostii hekaheka🤣🤣🤣
Ya Mungu mengi
Mtangazaji unatetemeka hama vipi mbona sauti sio kabisa kwavipi uongee kwa sauti ivyo
Mtangazaji ana maswali ya hovyo na sauti inaumiza masikio
Maswali ya mtangazaji ya hovyo kweli, hadi aibu naona Mimi
Gea anafanana na Shishi kwa mbali Hadi sauti na uongeaji au Mimi t ndo naona hvyo
Mtangazaji sauti kama kachanganyikiwa jifunze kwa wenzio na maswali yako ya kipuuzi hafi geah mwenyewe anakushangaa na viswali vyako vya kibwege
😅😅😅😅😅 kabisa sauti daah
Mmmh ckwaumbea huwo mtanga zaji unakingine chakuhoji🙄
Ila geah bhana ,eti kafanya mambo ya kikubwa vizuri sana kwa hiyo atulie🤣🤣🤣🤣
Shkamoo geah uko vizuri unamweza kumjibu
Mtangazaji hujui kuongea 🤣
Geah nakupenda sana nakuonaje? Just kukuona kwa macho
Kafanya mambo yakubwa atariii nakupenda munooo
Nakupenda sana geha
Ila gea eti kafany mambo ya wakubwa tu kwaio atyulie😂😂😂😂🤸♀️🤸♀️
Mmmmm mtangazaji unachosha
Mashaallah
Geah anafanana na shilole
Ata mi nimeona ivyo
Kwakweli wamefanana haswa
@@asiajuma9515 nami nafananishwa na Gea eti
Mi pia nlidhani dada wa shishi
HV haya maswali yanamuhusuje
Napendaga sauti yake huyu dada acha kbs
Aaah geah wew nakupenda bureee dada, allah akupe maisha maref inshallah
Mtangazaji sauti kama churaaaaaa
Mfano umekuwa kwa Luiza Mbutu.
Huyu anayehoji hajui
Nampenda Da Gea
Nampenda huyu Dada
Kwan hii interview ya kujua maisha ya watu au muulizaji hana maswali ya kuuliza
Jmn mm nampendega huyu mama🥰🥰🥰
Kweli kabisa
Sasa huyo nandy alikua anafundwa nini kama anajua kupanua miguu mpaka mimba ikaingia kabla ya ndoa huyo anahitaji kufundwa. Vichekosho
Ndoa ina mambo mengi sio kupanua miguu tuu dada
Make kwanza 😂 😂 😂 😂 😂 He kwani Ata kupanua miguu nako kunahitaji mafunzo?
Geah dada huku Kenya tunakupenda weweeee!
Uku unatafuna li jojo huku unamuhoji mtu jamani🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe mtangazaji bado sana. bora hata ngariba mtoto.
Anavoongea sijapenda hatulii
Mtangazaji hauji kuhoji alaf unamuoji mtangazaji mkongwa anaokuona kama unamsumbua na maswali yako hayaeleweki
Tena yakisenge,,wakat kuna wenzie hapo wanamtaman geah wamuhoj..halafu geah mtu wa kunyooka yan angepata mengi
Nampenda sana dada gea❤❤❤
Safi
Mkorogo huyo hapo anatumia asikataye .
Kbsaaa
Geah hajakataa kama anatumia mkorogo siku nyingi tuu huwa alisema wala hafichi khaa
Kwani mnamlishaa ovyoo
Tunampenda Daa Geah she's very humble 🙄🇬🇧
Da geah anamoyo maswali ya kipumbavu
@@serianjamal8254 So what ? caim down hata km siku nyingi hajakataa lakini hapo kakataa hayo ya siku nyingi unayajua wewe na hao wenzako munaompenda na kufuatilia vipindi vyake lakini sio kila mtu anamfuatilia nakumjua km unavyomjua wewe.
Sio mkorogo cream ya kung'arisha ambayo haina viambata sumu
Dada yako nani alafu ni geah sio gaah duuuu
🤣🤣
Mpaka rahaaa
Ujui kutangaza hata kindogo sauti mbaya
Huyu mtangazaji maswal yako ya ovyo sana
Mwadishi wa habari kakalia kuuliza umbea tu
mwenzangu
Mmmh shida
maswali ya upuuzi
Dada hayo mafuta unayopaka yanaitwaje naomba kujua
Hajasema tu anapaka mkorogo alishawahi kuongea
Geah anajibu kimkato mkato ataki mambo mengi
Nice
Unashindwa sauti na Saidi manyema sauti kali mno.
Mtangazaji unaongea vbya 😏
Sanaaaaaa aiseeeeee mbaya mnoo
Si mkaongee nyie basi
Huyu nitangazaj au alipewa maic tu doh
Gea karibu Mombasa nakupendanga bure
Gea anamarienge
🤣🤣🤣nakupenda dada Geah
Futen hichokichwa cha habar
Dada mzuri
Maswali yana maelezo mengi yanachosha kusikiliza
Wanavumilia da Gea eti waonekane wameolewa na watu
Ila geah
Mtangazaji unaboa😏
mtangazaji hajui kuhoji
Nani kasikia dagaa 😃😃
😂 😂 😂 😂 Kweli dagaaa
Mm hapa😄
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣dagaaa habibu
😀😀
Kujchubua ni kujichubua tu hakun cha viambata sumu wala nin
Huyu anatumiag mkorogo
Kasema hatumii
Ww dada interviews zako
Ww dada unameita mwenzio dagaaaa
😁😁😁
😁😁😁😁😁😁Ata mie nimesikia amesema dagaa
@@rahuumkiwendu9582 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
🤔🤔😂😂😂😂😂mi pia meskia mweee
Namfananisha sana na JENNIFA KANUMBA. Ni mimi tu??
Kweli wanafanana
Umefanana na shilole
@Zai Twaha weeeeh!!!! Weeeeh! Weeeh !!! Acha zakooooo!!! Sasa unazima tapas tamuuuu!!!
Uyu mtangazaji apunguze maneno jmn Yani huwa anaongea sana kulko adi anae muhoji.... Awe na maneno machache yenye kutoa maana.
Mtangazaji anaongea vibaya mpaka hutamani kumsikiliza sauti yake inaweza kukufanya ukang'oa nywele kichwani!! Uwiii so annoying 😤
Kabisaaaaa
@Zoey Bendera Samahani Jina lako Bendera ninarafiki wanaitwa Bendera, wewe ni mtu wa tanga?
❤️❤️❤️❣️
Mama ya walimwengu
Pambe
❤️😘😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
🤣🤣🤣
messi