Tatizo la waTanzania hawafanyi vitendo wamezoea kusema ila Chadema wanasema ukweli kuhusu haya yanayotendeka, Angalia jana Mwijaku naye anagalagala dume zima Mungu tusaidie watu wanahangaika kwa kukosa maharifa Kenya imebadilisha katiba 2010 na wanataka tena kubadilisha Tanzania twahitaji KATIBA mpya
Very well spoken. Nimewaza hayo uliyoyaongea. Nilijiuliza ina maana ndege nzima hawakuweza kurusha habari kwamba lema amekamatwa? SHAME ON US. Nakupata kutoka USA. Wananchi ni wajinga sana. Na watanzania ni waoga sana mbali ya ujinga. Ni kweli kabisa. Tuombe mungu iko siku wataamka ktk usingizi mzito. Na nyinyi Allah atakulipeni kheri.
Hakika Lema anasema kweli, wananchi wengi ni wanafiki, pamoja na waumini wa dini zote, mashehke na wachungaji wajitokeze kuwaelimisha waumini wao kujiokoa na hali ya nchi inavyokwenda, wasiogope kwani wakishindwa kufanya hivyo ni dhambi, wawashawishi waumini wao kuibadirisha serikali kupitia uchaguzi ujao, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Tatizo la waTanzania hawafanyi vitendo wamezoea kusema ila Chadema wanasema ukweli kuhusu haya yanayotendeka, Angalia jana Mwijaku naye anagalagala dume zima Mungu tusaidie watu wanahangaika kwa kukosa maharifa Kenya imebadilisha katiba 2010 na wanataka tena kubadilisha Tanzania twahitaji KATIBA mpya
Lema usikate tamaa, ipo siku VYURA watazibuliwa masikio! Viongozi wetu, makatili kupitiliza Namshangaa huyo mama yenu. Uso wake haifanani na matendo yake. Hivi akisha staafu, ataificha sura yake wapi!! SHAME!!
Mh lema wewe ni genius .. daaah Unazungumza pont muhimu sana NIMEKUSIKILIZA SANA KWA UNDANI HADI NIMETOKWA NA MACHOZI !! VIONGOZI WA DINI WANANYAMAZIA KIMYA HILI JANGA IPO CKU HII LAANA ITAWATAFUNA TU.
Ni kweli yaani mtu akila ubwabwa na maharage anajiona kamaliza, wabongo kila mtu kivyake, ndo maana watu wanajigaragaza mavumbini mbele ya rais, hakuna jipya, wanaimba CCM Ina wenyewe wakiwa wamevaa ndala zilizokatika wanaona ni sawa, yaani hakuna kufikiria nje ya box, Kuna viongozi Leo wako madarakani TU kwa sababu jamii ipo ipo tu! Pengine haya chanzo chale ni chama kushika hatamu pale ndo jamii ilizindikwa.
Nchi inaongozwa na interejesia ya akina msiba wa chalinze, musiba, makonda, mwaipopo na wengine wanofanana na hao, watu waongo, mashahidi wa uonge hawa watu walikuepo zamani, wanaitwa watu wasio faa
Mweshimiwa shida siyo jamii ,jamii imekombolewa sana ndo maana tunapiga kura na kuipinga selikali ya CCM,shida ni askali wa nchi hii ,vitisho na kutupiga,na kutupoteza,nyie viongozi mpo salama sisi tunapotezwa na watu wasiyojulikana,Sasa ukisema jamii inaogopa hapana watu wanapotea sana lema wengine yamkini hata kwenye vyombo vya habari hawajatangazwa
Kwani unadhani Askari atakuwa na uchungu zaidi ya familia ambapo wahanga wanatokea?? Pia kumbuka askari anatii amri na hawez kugoma . Sasa hapo wala usipepese macho jamii yetu ndo Ina shida
Hii kitu inaumiza sana nchi yenye amani ila umoja hatuna wala upendo hatuna tumeshakuwa wabinafsi ndiomana tumefikia huku tuliko fika 😢hatujajua kesho yetu itakuwaje ingawa tayari tumeyaona haya
Kamanda Lema umeongea mambo nyetii Sanaa. Haya mambo yafike Kwa mtaa na sio huku mitandaonitu.. Iundwe njia mpyaaa ya kufanya siasa mitaani. Mungu utausaidie sanaaa
Mungu amekwishafanya sehemu yake kubwa katupa uhai na kuzaliwa Tanzania sasa ni mimi na wewe na yule kufanya jambo hata mojahata, Mana ya Musa ilikuwa lazima kuamka asbuhi na mapema kuokota Unafahamu??
Lema Kwa Nini unaturahamu SANA watanzania!!???? Unasema Sisi WAOGA! How come??? Wewe ulikamatwa kwenye ndege Na ukuweza kuandamana, Haya TUNDU LISU also alikamatwa nyumbani kwake na hakuweza kuudhuria maandamano,n.k.sasa ulitaka tuanze kupigana na mapolisi waliojiandaaa???? Mbona Wewe ukupigana Nao walipokukamata Bila kosa Airport????? Lema we love you but please na Sisi tuna maomivu mengi SANA
Lema Kwa Nini unaturahamu SANA watanzania!!???? Unasema Sisi WAOGA! How come??? Wewe ulikamatwa kwenye ndege Na ukuweza kuandamana, Haya TUNDU LISU also alikamatwa nyumbani kwake na hakuweza kuudhuria maandamano,n.k.sasa ulitaka tuanze kupigana na mapolisi waliojiandaaa???? Mbona Wewe ukupigana Nao walipokukamata Bila kosa Airport????? Lema we love you but please na Sisi tuna maomivu mengi SANA
Umenena vema; hata hivyo, Chadema kama chama cha kisiasa kinatakiwa KUJIHOJI. Kujipeleleza. Kijichunguza. Je, Chama hicho kiko safii? Kiko safi kiwango cha kuaminiwa na Jamii? Viongozi wake wako safii? Je, ni waadilifu kiwango cha kuaminiwa na Jamii hata kwa gharama ya kifo? Kwa hiyo, changamoto iko kwenu Chadema.
Kama unateswa na Wananchi basi waache ili usiumizwe unavyosema. Ukivaa koti ukiona joto livue. Msilazimishe otherwise you are benefited politically. Mie mwananchi sikutesi mh. Lema. Ila sipendi siasa.
Ukweli utabaki kuwa kweli siku zote. Ninafanya random sampling popote napokutana na jamii vijiweni, wengi wao wamekata tamaa kwa sababu ya kuiogopa serikali.
One comment: has it occured to you that watu wa kawaida wanajua kuwa hizi ni mbwembwe za CHADEMA? Yaani wanajua Raia wa kawaida hahusiki, hawa wanaopata misukosuko ni utashi wao, wamechagua? Hivi ingekuwaje kama Club ya Yanga ingepata ajili, au Kwaya ya Paska imepotea? Jawa wanaopata shida ni za kujitakia, wameamua hovyo. Mbowe akikakamatwa ni sawa, kajitakia mwenyewe anajua afanyalo. Serkali wala CCM hailaumiwi. Jamii inaamini Wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Handeni ni sawa, CHADEMA waliwamo, lakini jambo linakuzwa na wachsche kwa faida zao kisiasa. Kama CHADEMA wanadhani wanasaidia wananchi, lakini kura zinaenda CCM, wajue tu kuwa ujumbe wao bado ni wa kilaghai machoni kwa wapiga kura. Bado hawawaridhishi watu.
Bro. Lema Unaposema Warumishi Wa Dini , Unawajumuisha Matapeli wanaouza Matunguri Kama,.Maji, Sabuni, Mafuta, Vitambaa na Takataka zingine Kama Tu Mahirizi wakidai vina Upako?
Nimechukua dakika kadhaa kutafakari , nikajua kweli miaka ya mbeleni nchi hii inaweza ikatoweka au kumezwa kama kisiwa katikati ya maji. Kiukweli vijana na mm nikiwemo tunashughulika na vitu vya kipuuzi sana na kuvipa airtime sana kuliko mambo ya msingi. Imagine uhai wa mtu tunauchukuliaje? Hivi Simba , Yanga au matamasha yana umuhimu kuliko uhai? Ivi mnajua hamna zawadi kubwa hapa duniani zaidi ya uhai ambao Mungu pekee ndo anautoa na ndo pekee anaweza kuuchukua siyo kiumbe kingine chochote? Naomba tutubu kwa ajili ya Taifa . Nimeangalia mbele kwamba kwa namna hii hata nchi ikivamiwa watu hawana uzalendo na nchii watayeya😮 very saf
Hakika G Lema usemayo wanaotuumiza ni wananchi wenyewe na ndio ma imfomer wamwekwa kufuatilia wapinzani kila tulipo na tukifanyacho na kutuchoma kwa maaskari ili tukamatwe,ila Mungu atalipa ipo siku wewe pambana.Lakini hili si la mmoja ipo siku.
Dhambi kuu itakayopeleka WaTanzania Jehanamu ni Uwoga Ufunuo 22 inaeleza kuwa Waoga watakuwa wa Kwanza kutupwa Jehanamu Lema waTanzania ni waoga haiwezekani Ndege nzima utekwe abiria wasitoe Taarifa kwa Umma hii ni Aibu unaweza Tanzania kuuliwa hata kwenye Ndege watu wanyamaze kimya Hatari Hatari.
NAKUKUBALI SANA MHESHIMIWA LEMA UNAHISIA SANA ,NA NMEKUWA NAKUFUATILIA SANA MIMI NATAMANI KUWA HATA NYUMA YAKO LAKINI HUU MWAKA UWE WA MWISHO KUPATIA MAGUMU.TUMIA NAFASI HII KUWASHAWISHI VIONGOZI WA VYAMA PINZANI ILI KUUNGANA NA KUIONDOA SERIKALI HII MADARAKANI TUMECHOKA😭😭.
Viongozi wa Dini Tanzania ni Zao/Matunda ya Jamii na familia zetu ambazo hazijali chochote kuhusu, maadili, haki na uhuru wa kila mtu; ndio maana wako kimya. Unajiuliza hivi kweli Tuna Viongozi wa Dini ambao ni manabii au ni wachangisha Dhaka na wakusanya Sadaka tu katika nyumba za sala.
Ni kweli kabisa wa tz ni ngombe kila mtu akunje ngumi piga kichwa chako sema mimi ni ngombe pigapiga sema kwa nguvu sema wa tz ngombe pigapiga kichwa mimi ni jipiga😮
Mawazo yako yanafanana na swali nyie mnagombani haki za watu wasiojielewa...labda baada ya vizazi vi3 vijavyo...wanaweza kuamka...sio kizazi hiki Cha zidumu fikra za watawala
Kweli kabisa tatizo tunafanyiwa vitendo vya kikatili bila hata watu kujuwa kwaiyi wale walio pona wanakuwa waoga kwa kuofia maosha yake kama kweli mnauchungu na maisha ya wananchi wanaopotea nawaomba msishiriki uchaguzi na mkawalalamikie hao mataifa ya nje walio tuletea democrasia ili wawe na maamuzi ya kuifanya nchi iweze kufuata shiria na kudumisha haki za binadamu,lakini mkiwa mnashiriki chaguzi zinazoingiliwa na polisi tena kwa kejeli za waziwazi alafu mnasema heti mnashiriki kweli hapo mnatuvunja nguvu kabisa mnatumaliza sisi watu wa chini kwa kuwaunga mkono akika mrudi kwenye mashina ili mkijenge chama upya msuse uchaguzi mpaka tupate katiba mpya hapo ndio mshiriki uchaguzi
Kama kuna siku Mtumishi Lema ameongea ukweli ni leo. Jamii/Wananchi ndio chanzo cha udhaifu wa nchi. Nilijiuliza maswali hayo hayo, hakukuwa na mtu yeyote alichukua video chap wakati Mr. Kibao alivyowekwa pingu? It's very sad! Yaani Kenya wametuacha mbali sanaa!! Waliua KANU kama karatasi kwa ushirikiano wa wananchi wote. Where are you and me?? Tuweke maswala ya nchi mbele.
Ee Mungu uliiumba Tanzania na Dunia nzima ,Angalia Tanzania ipo wapi nasi Watanganyika au wa Watanzania Woooote tuuvae Upendo kwa Dhaati kabisaaaaaaaa.....
Chadema pamoja sana,watanyanganywa hata hizo ndizi zao sasa wanawanyanganya wakulima mazao km dengu, na mbaazi lkn hawabishi tena wanunua kwa bei ndogo
Kaka rema umeongea kwl ata mm nawaza sn swl lakibao watuhumiwa wakwanza ni dereva na konda kwani dhamana ya kibao ilikuwa mikononi mwao na Hawa manyumbu abiria wahojiwe haiwezekani Hawa abiria wote 60 akili yao Moja kama nyumbu polen sn kk
Yaani lema upo vizuri ila watu wote wa tz sisi kusema ukweli hatunaga akili sawasawa yaani mawazo yao na fikra zao wanazani chadema wanataka madaraku kumbe chadema wanaitaji uhuru wa wananchi ulio na haki na usawa tofauti na huu tulio nao kusema ukweli bado tumegandamizwa kabisa hatujielewi kabisa
Nakwambia hv ccm Ina mtaji mkubwa sana wa wa2 wasiojuwa kusoma wala kuandika so hawawezielewa chochote hata wakitoka damu masikin wao ni ccm 2 hasa maeneo ya vijijin
Kaka usisahau mfano unaotoa ni vile Yesu alivokuwa anateswa wakati wengi wanajuani mkombozi na hana hatia afu wamewaangalia watesi ko komaa tu mpaka utoboe baba wengine hatusubitu
HESABU 35:31 Mtu ameniletea shells tayari you are now in case we need to get together with the repairment and maintenance of the new testament of goods import and export of the new ones and they are all very much for all the LORD
Mpaka kijijni ..ukitaka upata barua toka kwa mwenyekiti au mtendaji wa kijiji ambayo ni haki yako lazima umpe kitu "Mkono mtupu haulambwi. Wanakula kulingana na urefu wa kamba zao".
Tatizo la waTanzania hawafanyi vitendo wamezoea kusema ila Chadema wanasema ukweli kuhusu haya yanayotendeka,
Angalia jana Mwijaku naye anagalagala dume zima
Mungu tusaidie watu wanahangaika kwa kukosa maharifa
Kenya imebadilisha katiba 2010 na wanataka tena kubadilisha
Tanzania twahitaji KATIBA mpya
Mwamba Godbless Jonathan Lema!!!!
Very well spoken. Nimewaza hayo uliyoyaongea. Nilijiuliza ina maana ndege nzima hawakuweza kurusha habari kwamba lema amekamatwa? SHAME ON US. Nakupata kutoka USA. Wananchi ni wajinga sana. Na watanzania ni waoga sana mbali ya ujinga. Ni kweli kabisa. Tuombe mungu iko siku wataamka ktk usingizi mzito. Na nyinyi Allah atakulipeni kheri.
Hakika Lema anasema kweli, wananchi wengi ni wanafiki, pamoja na waumini wa dini zote, mashehke na wachungaji wajitokeze kuwaelimisha waumini wao kujiokoa na hali ya nchi inavyokwenda, wasiogope kwani wakishindwa kufanya hivyo ni dhambi, wawashawishi waumini wao kuibadirisha serikali kupitia uchaguzi ujao, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Wambie wezako wa kanisani la ujerumani ndo wanaleta hio Dini inaitwa chadema
Huyu ni mwehu! Hv chadema ni dini? Kwani kuna ulazima gani wa kucomment kama una matatizo ya akili?
@@amosiabdulallh7965Amos ama hujui kinachoendelea nchini au umelaaniwa na una mapepo.
Rema respect sanaaa 🔥 😢😢😢 umeongea 🫶👋👋👏👏👏umeongea madini tatizo elim kenya wametuzidi sanaaa police wanavimba sababu wanaongoza vira polisi wabongo waende kenya wakafanye vmaovu waone
Hii speech inabalki milele maneno makubwa makubwa sana sana lema mungu akuinue
Tushikamane kwani mshikamano ndiyo Kila kitu
Dah lema umeongea sana mambo muhim
Yaani tunatia aibu kweli kweli
Tatizo la waTanzania hawafanyi vitendo wamezoea kusema ila Chadema wanasema ukweli kuhusu haya yanayotendeka,
Angalia jana Mwijaku naye anagalagala dume zima
Mungu tusaidie watu wanahangaika kwa kukosa maharifa
Kenya imebadilisha katiba 2010 na wanataka tena kubadilisha
Tanzania twahitaji KATIBA mpya
Najua hata tunaocomment hapa ni waoga sanaaa yaan😢
Lema usikate tamaa, ipo siku VYURA watazibuliwa masikio! Viongozi wetu, makatili kupitiliza
Namshangaa huyo mama yenu. Uso wake haifanani na matendo yake. Hivi akisha staafu, ataificha sura yake wapi!! SHAME!!
Mh lema wewe ni genius .. daaah Unazungumza pont muhimu sana NIMEKUSIKILIZA SANA KWA UNDANI HADI NIMETOKWA NA MACHOZI !! VIONGOZI WA DINI WANANYAMAZIA KIMYA HILI JANGA IPO CKU HII LAANA ITAWATAFUNA TU.
Lema Umenitoa machozi wanaotutesa Wanafahamu Udhaifu wetu.Si unaona Mnyika Anafuatwa aeleze Alipataje taarifa za Kibao. Ndiyo maana watu Wanaogopa.
Yaani tuna jamii ya watu wabinafsi sana
Ubinafsi unafki na uoga Plus upumbavu
Huyu jamaa ana philophy sana.Halafu hasomi popote,na anaongea kwa vituo mno.Hakika ana kipaji sana.Kuna wasomi hawawezi kabisa kuongea busara hizi.
MR LEMA NAKUMBUKA ILE STORY ULITAKA KUWASAIDI WATOTO AMBAO BABA YAO ALIKAMATWA MOSHI NA AKAUAWA LKNI WAKAOGOPA 😢😢😢😢😢😢
Lema ni mwamba, na hata viongozi wanatakiwa wamsikilize huyu jamaa wachukue hayo madini.
Lema umenena kwa usahihi kabisa usikte tamaa mungu ataya tendea haki hayo unayo yasema .
Mimi nadhani mtuache kama mwakanmmoja hivi bila kufanya chochote ili akili zetu zirudi
Nakubaliana nawe 100%
Akili zikirudi utakuta Tanzania haipo imeuzwa au kugawa bure ninyi kubaki kuomba ushuru !
Ni kweli yaani mtu akila ubwabwa na maharage anajiona kamaliza, wabongo kila mtu kivyake, ndo maana watu wanajigaragaza mavumbini mbele ya rais, hakuna jipya, wanaimba CCM Ina wenyewe wakiwa wamevaa ndala zilizokatika wanaona ni sawa, yaani hakuna kufikiria nje ya box, Kuna viongozi Leo wako madarakani TU kwa sababu jamii ipo ipo tu! Pengine haya chanzo chale ni chama kushika hatamu pale ndo jamii ilizindikwa.
Mweshimiwa Lema nimekuelewa na unaeleweka sana. Hata sekta mbalimbali zenye pesa zimeshikiliwa na watukutoka nje ya Tz sinario hiyohiyo.
Nchi inaongozwa na interejesia ya akina msiba wa chalinze, musiba, makonda, mwaipopo na wengine wanofanana na hao, watu waongo, mashahidi wa uonge hawa watu walikuepo zamani, wanaitwa watu wasio faa
Wote wanaopanda ndege hawajui baadhi yao hawajui maisha magumu, ingekua stendi kwenye basi isingekua kimya ndugu
Kumbe tunanunua ndege kwa ajili ya kusaidi kuteka WaTanzania.!
Da kweli sn yaan sisi watamzania wapumbavu sn dah
Mambo.ya.msingi.simu
Msizitumia.njia.ya.wazungu.kuwamalima.wote.sio.chadema.act.ccm.vyama.vyote.kwenye.kapo.la.wazungu.ukoloni.mamboleo
Chakula,,, kizuri chenye madini mengi mno mno !
Thinking capaste ...
God bless you even you God bless Lema
Mweshimiwa shida siyo jamii ,jamii imekombolewa sana ndo maana tunapiga kura na kuipinga selikali ya CCM,shida ni askali wa nchi hii ,vitisho na kutupiga,na kutupoteza,nyie viongozi mpo salama sisi tunapotezwa na watu wasiyojulikana,Sasa ukisema jamii inaogopa hapana watu wanapotea sana lema wengine yamkini hata kwenye vyombo vya habari hawajatangazwa
Tatizo kuu ni jamiii.
Kwani unadhani Askari atakuwa na uchungu zaidi ya familia ambapo wahanga wanatokea?? Pia kumbuka askari anatii amri na hawez kugoma . Sasa hapo wala usipepese macho jamii yetu ndo Ina shida
Waelezeni.wananchi.kama.wahataki.waache.kulalamika.maneno.yako.lema.mazuri.sana.tumieni.kuwaeleza.watakao.sikia.wapo
Mungu Roho Mtakatifu fungua Akili za watanganyika tujitambue baba nimekusoma.
Usijali tutawafungulia mashitaka shirika la ndege huwezi ukashushwa kama slly kibao
Hii kitu inaumiza sana nchi yenye amani ila umoja hatuna wala upendo hatuna tumeshakuwa wabinafsi ndiomana tumefikia huku tuliko fika 😢hatujajua kesho yetu itakuwaje ingawa tayari tumeyaona haya
Kamanda Lema umeongea mambo nyetii Sanaa. Haya mambo yafike Kwa mtaa na sio huku mitandaonitu..
Iundwe njia mpyaaa ya kufanya siasa mitaani. Mungu utausaidie sanaaa
Duuu!!! Umefika mbali lema kuna siku mungu atatenda maajabu.nikutakie maisha mema na marefu kaka
Mungu amekwishafanya sehemu yake kubwa katupa uhai na kuzaliwa Tanzania sasa ni mimi na wewe na yule kufanya jambo hata mojahata, Mana ya Musa ilikuwa lazima kuamka asbuhi na mapema kuokota Unafahamu??
Watawala wanajua udhaifu wetu watz.bado tumelala usingiz wa pono.
Kwa kweli Sasa tumepata Elimu nzuri Sana asante kwa uelevu uliyotupa
Watz tu watu waoga,wanafiki na wavivu sana wa kufikiri.tutaendelea kuteswa sana.
Chadema pia mliwahi kususia maandamano ya sauti ya watanzania
Lema Kwa Nini unaturahamu SANA watanzania!!???? Unasema Sisi WAOGA! How come??? Wewe ulikamatwa kwenye ndege Na ukuweza kuandamana, Haya TUNDU LISU also alikamatwa nyumbani kwake na hakuweza kuudhuria maandamano,n.k.sasa ulitaka tuanze kupigana na mapolisi waliojiandaaa???? Mbona Wewe ukupigana Nao walipokukamata Bila kosa Airport????? Lema we love you but please na Sisi tuna maomivu mengi SANA
Tatizo ni jamiii.ni vile tu hauna akili
Kaka ni kweli tunakoelekea ni kubaya zaidi
Mungu aendelee kukulinda lema una akili sanaaa
Lema Kwa Nini unaturahamu SANA watanzania!!???? Unasema Sisi WAOGA! How come??? Wewe ulikamatwa kwenye ndege Na ukuweza kuandamana, Haya TUNDU LISU also alikamatwa nyumbani kwake na hakuweza kuudhuria maandamano,n.k.sasa ulitaka tuanze kupigana na mapolisi waliojiandaaa???? Mbona Wewe ukupigana Nao walipokukamata Bila kosa Airport????? Lema we love you but please na Sisi tuna maomivu mengi SANA
Pumbavu mkubwa wewe mjinga mkubwa wewe nduli wewe
TZ kunamaiti tu kumbukeni yakinyata
Fikeni huko mukaweke wapinzan
Tanzani tumerogwa
Serikali ya sasa Tanzania, watu wasiojulikana, Usalama wa Taifa na Polisi wake wako sawa na P. Diddy life.
Waongo nyie watanganyika mnaĺenu tuu kwa samia mnamchafua kwa waislam wenziwe ili wamchukie lakini tunasema sisi waislam tunasema alipo tupo
Asilimiya kubwa mmeongeya same point, lakini Kwanini hamjitokezi ? Wa bongo mmejaliwa silaha na nguvu za mdomo tu, fanyeni ACTION !
Matanzania Ni Majitu ya Ajabu Sana... Ingekuwa Ni Mpango wa Kumuua...HAKUNA ALIYESEMA LOLOTE!
Umenena vema; hata hivyo, Chadema kama chama cha kisiasa kinatakiwa KUJIHOJI. Kujipeleleza. Kijichunguza. Je, Chama hicho kiko safii? Kiko safi kiwango cha kuaminiwa na Jamii? Viongozi wake wako safii? Je, ni waadilifu kiwango cha kuaminiwa na Jamii hata kwa gharama ya kifo?
Kwa hiyo, changamoto iko kwenu Chadema.
Kama unateswa na Wananchi basi waache ili usiumizwe unavyosema. Ukivaa koti ukiona joto livue. Msilazimishe otherwise you are benefited politically. Mie mwananchi sikutesi mh. Lema. Ila sipendi siasa.
Ukweli utabaki kuwa kweli siku zote. Ninafanya random sampling popote napokutana na jamii vijiweni, wengi wao wamekata tamaa kwa sababu ya kuiogopa serikali.
One comment: has it occured to you that watu wa kawaida wanajua kuwa hizi ni mbwembwe za CHADEMA? Yaani wanajua Raia wa kawaida hahusiki, hawa wanaopata misukosuko ni utashi wao, wamechagua? Hivi ingekuwaje kama Club ya Yanga ingepata ajili, au Kwaya ya Paska imepotea? Jawa wanaopata shida ni za kujitakia, wameamua hovyo. Mbowe akikakamatwa ni sawa, kajitakia mwenyewe anajua afanyalo. Serkali wala CCM hailaumiwi. Jamii inaamini Wamasai kutoka Ngorongoro kwenda Handeni ni sawa, CHADEMA waliwamo, lakini jambo linakuzwa na wachsche kwa faida zao kisiasa. Kama CHADEMA wanadhani wanasaidia wananchi, lakini kura zinaenda CCM, wajue tu kuwa ujumbe wao bado ni wa kilaghai machoni kwa wapiga kura. Bado hawawaridhishi watu.
Bro. Lema Unaposema Warumishi Wa Dini , Unawajumuisha Matapeli wanaouza Matunguri Kama,.Maji, Sabuni, Mafuta, Vitambaa na Takataka zingine Kama Tu Mahirizi wakidai vina Upako?
Nimechukua dakika kadhaa kutafakari , nikajua kweli miaka ya mbeleni nchi hii inaweza ikatoweka au kumezwa kama kisiwa katikati ya maji. Kiukweli vijana na mm nikiwemo tunashughulika na vitu vya kipuuzi sana na kuvipa airtime sana kuliko mambo ya msingi. Imagine uhai wa mtu tunauchukuliaje? Hivi Simba , Yanga au matamasha yana umuhimu kuliko uhai? Ivi mnajua hamna zawadi kubwa hapa duniani zaidi ya uhai ambao Mungu pekee ndo anautoa na ndo pekee anaweza kuuchukua siyo kiumbe kingine chochote? Naomba tutubu kwa ajili ya Taifa . Nimeangalia mbele kwamba kwa namna hii hata nchi ikivamiwa watu hawana uzalendo na nchii watayeya😮 very saf
Tufikuri mema na tuhurumiane
Mungu tumewakosea Sana Viongozi Wetu. Wanaojitolea. Kuwatetea Wanyonge Na Wasiothaminika Kama. Watnzania
Hakika G Lema usemayo wanaotuumiza ni wananchi wenyewe na ndio ma imfomer wamwekwa kufuatilia wapinzani kila tulipo na tukifanyacho na kutuchoma kwa maaskari ili tukamatwe,ila Mungu atalipa ipo siku wewe pambana.Lakini hili si la mmoja ipo siku.
Dhambi kuu itakayopeleka WaTanzania Jehanamu ni Uwoga Ufunuo 22 inaeleza kuwa Waoga watakuwa wa Kwanza kutupwa Jehanamu Lema waTanzania ni waoga haiwezekani Ndege nzima utekwe abiria wasitoe Taarifa kwa Umma hii ni Aibu unaweza Tanzania kuuliwa hata kwenye Ndege watu wanyamaze kimya Hatari Hatari.
Alafu Kaka Lema Hao wanaosema tusiandamane,au Hao wapinzani 13 usituchanganye wote.
NAKUKUBALI SANA MHESHIMIWA LEMA UNAHISIA SANA ,NA NMEKUWA NAKUFUATILIA SANA MIMI NATAMANI KUWA HATA NYUMA YAKO LAKINI HUU MWAKA UWE WA MWISHO KUPATIA MAGUMU.TUMIA NAFASI HII KUWASHAWISHI VIONGOZI WA VYAMA PINZANI ILI KUUNGANA NA KUIONDOA SERIKALI HII MADARAKANI TUMECHOKA😭😭.
Viongozi wa Dini Tanzania ni Zao/Matunda ya Jamii na familia zetu ambazo hazijali chochote kuhusu, maadili, haki na uhuru wa kila mtu; ndio maana wako kimya. Unajiuliza hivi kweli Tuna Viongozi wa Dini ambao ni manabii au ni wachangisha Dhaka na wakusanya Sadaka tu katika nyumba za sala.
Ni kweli kabisa wa tz ni ngombe kila mtu akunje ngumi piga kichwa chako sema mimi ni ngombe pigapiga sema kwa nguvu sema wa tz ngombe pigapiga kichwa mimi ni jipiga😮
Mawazo yako yanafanana na swali nyie mnagombani haki za watu wasiojielewa...labda baada ya vizazi vi3 vijavyo...wanaweza kuamka...sio kizazi hiki Cha zidumu fikra za watawala
Kweli kabisa tatizo tunafanyiwa vitendo vya kikatili bila hata watu kujuwa kwaiyi wale walio pona wanakuwa waoga kwa kuofia maosha yake kama kweli mnauchungu na maisha ya wananchi wanaopotea nawaomba msishiriki uchaguzi na mkawalalamikie hao mataifa ya nje walio tuletea democrasia ili wawe na maamuzi ya kuifanya nchi iweze kufuata shiria na kudumisha haki za binadamu,lakini mkiwa mnashiriki chaguzi zinazoingiliwa na polisi tena kwa kejeli za waziwazi alafu mnasema heti mnashiriki kweli hapo mnatuvunja nguvu kabisa mnatumaliza sisi watu wa chini kwa kuwaunga mkono akika mrudi kwenye mashina ili mkijenge chama upya msuse uchaguzi mpaka tupate katiba mpya hapo ndio mshiriki uchaguzi
Kama kuna siku Mtumishi Lema ameongea ukweli ni leo. Jamii/Wananchi ndio chanzo cha udhaifu wa nchi. Nilijiuliza maswali hayo hayo, hakukuwa na mtu yeyote alichukua video chap wakati Mr. Kibao alivyowekwa pingu? It's very sad! Yaani Kenya wametuacha mbali sanaa!! Waliua KANU kama karatasi kwa ushirikiano wa wananchi wote. Where are you and me?? Tuweke maswala ya nchi mbele.
Mungu atakulipia na kizazi Chao nacho kitakuja kuonja machungu unayopitia malipo hapa hapa duniani tumuogope Mungu
Ee Mungu uliiumba Tanzania na Dunia nzima ,Angalia Tanzania ipo wapi nasi Watanganyika au wa Watanzania
Woooote tuuvae Upendo kwa Dhaati kabisaaaaaaaa.....
Chadema pamoja sana,watanyanganywa hata hizo ndizi zao sasa wanawanyanganya wakulima mazao km dengu, na mbaazi lkn hawabishi tena wanunua kwa bei ndogo
Yaaani binafsi nashauri chadema viongozi wang tuache kwanza watu waonje joto la jiwe siku watadhika adabu
Mkuu ajira hatuna ! Ongea haraka c unajua bando la wezesha!
Mnafanya Ujinga wenu na huku ni mwoga. Serikali Ina taarifa zenu usiku na mchana. Kwanini unakubali kuishi kwa mashaka.
Mh. Lema. Tulikuwa na taarifa mapema sana kuwa umetekwa na polisi kwenye uwanja wa ndege Dar.
Kaka rema umeongea kwl ata mm nawaza sn swl lakibao watuhumiwa wakwanza ni dereva na konda kwani dhamana ya kibao ilikuwa mikononi mwao na Hawa manyumbu abiria wahojiwe haiwezekani Hawa abiria wote 60 akili yao Moja kama nyumbu polen sn kk
Yaani lema upo vizuri ila watu wote wa tz sisi kusema ukweli hatunaga akili sawasawa yaani mawazo yao na fikra zao wanazani chadema wanataka madaraku kumbe chadema wanaitaji uhuru wa wananchi ulio na haki na usawa tofauti na huu tulio nao kusema ukweli bado tumegandamizwa kabisa hatujielewi kabisa
Asante Lema Umesema Ukweli Na Ujumbe Umetufikia wananchi Nimekuelewa Sana
Nakwambia hv ccm Ina mtaji mkubwa sana wa wa2 wasiojuwa kusoma wala kuandika so hawawezielewa chochote hata wakitoka damu masikin wao ni ccm 2 hasa maeneo ya vijijin
Mtumishi naomba mukachunguze kijiji chakwamsanga wiilaya yahandeni hakinachama pinzani
Nashauri tufanye maandamano Nchi nzima tuone kama hao police watatosha
Mimi sijui Sheridan, lakinii nisaidienuu kwanni hawwo wakuu walioukukkamata na unawajua. Hawashiitskiiki?
Lema ni mchochezi,kahandamane na majirani zako na baba yako kule mronga nyumbani kwako,
My bro nimefanya utafiti nikabaini Kuna injiri ya kuhibiri dini,na injiri ya siasa, injiri hizi ni ngumu kweli kweli maana igusa Maisha
Kaka usisahau mfano unaotoa ni vile Yesu alivokuwa anateswa wakati wengi wanajuani mkombozi na hana hatia afu wamewaangalia watesi ko komaa tu mpaka utoboe baba wengine hatusubitu
Captain Traore ametaja 3 things - enemies/challenges of the modern African youth
1)Incompetence
2)Treachery
3)Cowardice
Mwamba pore umesema ukweri achana nasiasa zaki ongo fanya mambo yako
Hapo Lema umeongea ukweli umeoña mbali sana japo mimi ni mwana ccm ila nimekuelewa kama binadamu.
Ni kweli ndo maana akina Halima walichoka wakaamua kurudi kwa watesi wetu hebu waacheni ili tupate akili,
Amekua akisisitiza sana makubaliano, sasa Leo kuwabadirisha watu siyo rahis
Abushaddad,rudia kusoma na kutafakari comment yako.
Sichangii chochote nisije kutekwa na polisi Ccm
Hapana leman uko sawa kabisa wananchi sielewi wamelishwa nini?
NUMBERS 35: 31-33 and no atonement can be made for the land for the blood that is shade in it,......
HESABU 35:31 Mtu ameniletea shells tayari you are now in case we need to get together with the repairment and maintenance of the new testament of goods import and export of the new ones and they are all very much for all the LORD
Mtoto wa Mbowe kumwita baba yake babaaa na kumhag,imeingia moyoni mwangu
MUNGU,akulinde mh lema,upon sahihi sana
Maskini,inauma sana kwa nini lakini.Pia,mungu atajibu masikitiko haya.
Saizi Haice inabeba abilia zaidi ya siti mpaka wengine wanasimama
Lema umetushika pabaya leo
Urudi bungeni tu jamani tunakuombea
Mpaka kijijni ..ukitaka upata barua toka kwa mwenyekiti au mtendaji wa kijiji ambayo ni haki yako lazima umpe kitu "Mkono mtupu haulambwi. Wanakula kulingana na urefu wa kamba zao".
Nini kilichokuokoa.Pole sana.