Chechnya wao ndio waliomba frontline kwa ajili ya hio Vita na upo right dj smaa kikosi bora kwa urban war ni chechen or akmart na geografia ya kursk ni deltas na mito and swamp kwa hio rusiabwatatumia advantage na kwa vile hakuna supply Ukraine wapo exosted wanakufa kwa maradhi na njaa na kuchoka
Kaka SKY huyu Gerald wiki ijayo muite tena jamaa anajua sana tena sana na anaongea kwa facts and logic, hawa wasiompenda ndio wasiotaka habari za balanced.Huyu na Ally Masubi wako vizuri sana kiuchambuzi hawana upande wala ushabiki.
@@richardtimoth7865DjSma shida inakujaga kwenye ku join dots...Kwa kiswahili tutasema, kutabiri😊. Sasa hapa kwenye kutabiri ndio anatetea upande wake (Waarabu na Mrusi).
1."Ukraine sio vita vyake lakni kule Hezbollah ni vita vyake; " 2."ukrane ni omba omba lakini kule Hezbolla wamejipanga na wanamakombora ya kisasa"(sasa sjui wao hawaombi) HUU UCHAMBUZI HUU
Tatizo wasikilizaji wengi wanataka yasemwe yale yatakayo wafurahisha wao na ukisemwa ukwelii wengii wanachukiaaa maaana wengi wao wanaamini western Media kama BBC na CNN ambazo zinachuja Taarifa Dj Smaa endelea kuongea zaidi kwa Facts keep what you are doing because you can not create an equal society 🎉🎉🎉
Yaan haijanoga kabsa huyo jamaa simuelewi,lete masubi na henry ni wana chemistry nzuri sana hao jamaa ndo wametufanya tuipende GPS.ila huyo jamaa toa hapo
Huwa si comment bt leo itabidi. Bro sky huyu jamaa usituletee tena. Ni khery Aly na wakili wa record kwa njia ya voice. Chemistry haiendani. Tafadhali fanya jambo c u shabiki ni uhalisia raha ya gbs ni combination ya dj sma, Ally, wakili na nahodha mwenywe kaka sky. Ni maoni yng
Nato huwa hawatangaz vifo sana ili kumficha adui hasijue kinachoendelea na aendelee kujichanganya.unapoweka vifo waz mwenzio anajipanga vzur na anaweza kupanic na kuanza kutumia silaha mbaya ila mateka unatamka
Nimekua mfutiliaji wa makala mbalimbali za hapa sns hususni za dj smaa nimejua kujoin dots backward bado ku read between the lines....halafu ntakuja hapoo studio sns kama mwanafunzi wa sns kuchambua pamojaaa🎉🎉💪
GPS hicho kichwa hapo ni cha kuku ninavyo amino GPS ni higher thinking capacity na inaongozwa na fact and logic hapo sijaona logic wala fact nimeona personal opinion na ushabik binasi sioni Kama anafaa kwa GPS anaweza kufata kwa vipindi vyengine Skywalker rudisha vichwa Ali na Henry
Urusi bado haijatumia nguvu zake. Inamuachia tu ukareini. Kinachotafutwa hapa ni new world order Urusi akimaliza vita atakua bado hajatimiza lengo. Lengo nikuzibana nchi za magharibi hadi zifike hatua ziseme sasa tuingie kwenye mfumo mpya wa dunia.
Ww ndo unaleta ushabiki maandazi, Tatizo mmekaririshwa tu upumbavu wa upande 1 jamaa anajitahidi kuwa balanced na uchambuzi ila ww mbwa mwenye fangasi ndo shida hutak kuelewa.
Dj upo vizuri katika uchambuzi lakini ni vizuri kukawa na negative thoughts ijapokuwa huyo kijana mwingine uchambuzi wake bado ni mwepesi mno Ajitahidi kufutilia na kuleta uchambuzi yenye fact zitazo kizi
Vita vya Urusi na Ukrein sasa vinakaribia kusita kwa kipindi Fulani ndio maana Marekani, NATO na Kibaraka wao hawachagui pakupiga. Msemo: (Umenishinda lkn na mm nikujeruhi). Zelensky analalama. Ufalme wa Mungu usimame. Amin.
Humu mashabiki wengi wanataka kusikia tu positive kwa Russia hawataki mtu awe balanced na habari.Huyo Gerald yuko sahihi sana ila tu mashabiki maandazi humu ndo hawapendi kusikia negative kwa Russia.
DJ Smaa mchambuzi mzuri,lakin yy ameshajipambanuwa upande wa Urusi, anaegemea sana sana upande wa Urusi.vyovyote anavyoongea..huna cha kumwambia kwa Urusi,kila kitu kipo wazi.
Ukiwa mkweli utaitwa shabiki wa Urusi ila sote tunajua Ukraine bila msaada toka NATO hakuna kitu. Tumpe Putin Hongera zake jamani, Nchi moja dhidi ya nato? Tuwe wakweli.
Team urusi naomba like zangu wakwanza leo 🎉🎉
Team msimamo
@@allykwaya Yes team kazi huko ukrain leo umeme akuna wna lala giza alfu wana ivamia urusi 😂😂😂 dah semani zeresk bwana
@@hatibumohamedi3471 NATO wamemsukumia ZELESKY kuwatoa Askari wake kafara, kwakili ya kawaida tu Rusia USA anamuogopa kwanini asifikirie hilo,
Karibu Gerald and big up bro! Ila kaza msuli fuatilia na uchimbe kwel kwel
Thanks God DJ.Sma is back.
🎉🎉🎉
Embu fikiria Putin aamuwe kuwa mkatili km Israel, sasa hv tungekuwa tunaongea mambo mengine 😅
Haswaa 👌
Hawezi kumua atadili namabwana zake wanaemtumia hovyo kuiharibu urkain 😂😂😂😂
@@uwimana6533fuatilia vizuri ujue sababu za Oporation ya Urusi dhidi ya Ukraine.
Putin ni kiongozi Tofauti mwenye Utu na huruma,
@@allykwaya🤣
Nakukubali snaa dj smaa😊
Mpe na mkeo
Huyo jamaa asirudi tena Hapo kwenye Meza ya GPS plz 😅😅😅 naomba like kama unakubaliana
Wewe teame urusi wote hawa
Dj smaaa,very smart,anafuatilia mambo kiundanisana
Maa shaa Allah Alhabiib Smaa nakukubali sana ✊️
Top kwa Dj smaa
Dj Smaa ni mchambuzi bora sana na ukweli hana upande wowote
Hummm.. nani hana upande? 😂
Wewe utakuwa mgeni hapa GPS😅
😮ni mgeni wewe hapa GPS huyu sama kwanza siku zote anaipinga marekani na washirika wake wote wa NATO
@@zuricakes6817mgeni huyo
@@user-ig3qn9zw6bmgeni huyo
Braza uyo kijana afanye mazoezi
Hana ushaidi
Wewe uyu ni kaka yake ali masubi 😂
@@aishaarusha894😂
@@aishaarusha894hana maajabu
@@aishaarusha894 Masubi hawezi kuwa na kaka wa hivi, huyu atakuwa mwanafunzi wa fuse kaona kakua naye
@@mpjozzegalvanize4926😂😂😂 Mimi uyooo
Dj sma . Best uko deeply sana
Smaa upo vizur sana unachambua mpaka mtu anaelewa vizur 😊
Naomba mtufanyie story ya chechnya pamoja na states nyingine za Russia.
Smaa umelud kwenye ubora wako big up broo
Chechnya wao ndio waliomba frontline kwa ajili ya hio Vita na upo right dj smaa kikosi bora kwa urban war ni chechen or akmart na geografia ya kursk ni deltas na mito and swamp kwa hio rusiabwatatumia advantage na kwa vile hakuna supply Ukraine wapo exosted wanakufa kwa maradhi na njaa na kuchoka
Kaka SKY huyu Gerald wiki ijayo muite tena jamaa anajua sana tena sana na anaongea kwa facts and logic, hawa wasiompenda ndio wasiotaka habari za balanced.Huyu na Ally Masubi wako vizuri sana kiuchambuzi hawana upande wala ushabiki.
Hakika bro....SMA hata kama jambo liko wazi lazima atetee tu. Hasa Hezbola na Urusi yaani ukimsikiliza unaona upande wake
@@richardtimoth7865 Ndo shida ya jamaa hajui tofautisha ukweli, uhalisia na mahaba yaliyokubuhu.Ila wengine wachambuzi wako vizuri sana tena sana.
@@richardtimoth7865DjSma shida inakujaga kwenye ku join dots...Kwa kiswahili tutasema, kutabiri😊. Sasa hapa kwenye kutabiri ndio anatetea upande wake (Waarabu na Mrusi).
@@richardtimoth7865dj smaa hawez kua upande wa mashoga uislamu hausapoti ushoga nyie mechagua upande wa mashoga
Haha
Dj sma shukran sana
DJ smaa mtu makini sana
Anajifariji tu comedian anadhani bado tu ni jukwaa la uchekeshaji.
Djsma kichwa Sana uyu jama!!!
Smaa kwa mifano umetisha.
Moto wa kifua unawaka fuluuuu nakuzima ziiii 😂😂😂
😂
1."Ukraine sio vita vyake lakni kule Hezbollah ni vita vyake; "
2."ukrane ni omba omba lakini kule Hezbolla wamejipanga na wanamakombora ya kisasa"(sasa sjui wao hawaombi)
HUU UCHAMBUZI HUU
Huyu ana tofauti na yule Dr. Jimmy chansa, umagharibi mwingi😢
kweli
Oyah #SKY uyo #DJSMA ata akiumwa awe anapelekewa mic pale pale ospitali au popote atakapokuepo😀 #GPS inamhitaji kila saa kila dakika
Nawakubali gps
NI BORA MZEE MGONJWA KULIKONI KUWA KIJANA SHOGA ASIEJITAMBUA. VIVA PUTIN
GPS, pamoja sana
Dj SMA ameongea mpaka amchoka😢😢 masubi okoa jahazi
kaka asante nimeitafuta ile clip mandela alivyomjibu mwandishi wa habari alimjibu vizuri sana
I like this discusion
Tatizo wasikilizaji wengi wanataka yasemwe yale yatakayo wafurahisha wao na ukisemwa ukwelii wengii wanachukiaaa maaana wengi wao wanaamini western Media kama BBC na CNN ambazo zinachuja Taarifa Dj Smaa endelea kuongea zaidi kwa Facts keep what you are doing because you can not create an equal society 🎉🎉🎉
True true
Djsma. Siasa zake zinaegemea urusi na washilika wake
Hongera kwa Wote
Plus Our New Comer
Happy to see Dj Smah
Yaan haijanoga kabsa huyo jamaa simuelewi,lete masubi na henry ni wana chemistry nzuri sana hao jamaa ndo wametufanya tuipende GPS.ila huyo jamaa toa hapo
Sio uzabkinstan ni azabijan dj smaa
🙏
Wajomba kumbe mnapitia comment zetu na hamsemi 😅@@djsma255
You're welcome Gerald
Mshikaji mpe mdakidgo bado sana pointi zake dhaifu bro wale wengne wako wapi?
Henry na ali wako vizuri pia wangikuwepo inigikuwa poa sana
Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Hamjaona majeshi ya Russia yakikusanya miili ya wanajeshi wa Ukren....
Angenyamaza Kimyaa. Kama sio msaada wa Wakubwa zake angefanya nini?
Huwa si comment bt leo itabidi. Bro sky huyu jamaa usituletee tena. Ni khery Aly na wakili wa record kwa njia ya voice. Chemistry haiendani. Tafadhali fanya jambo c u shabiki ni uhalisia raha ya gbs ni combination ya dj sma, Ally, wakili na nahodha mwenywe kaka sky. Ni maoni yng
Uchambuzi wako uliyo vaa miwanihauna kichwa wala miguu dj samaa tupe uchambuzi buburudike
Sns bring more guys of different views i like the guy in grasses
Smaa mashallah Ila samahani vipi kuhusu cheni na dini yako ili lipoje
Acha. Ajishaue. Mungu kamuacha. Zelensiki. Abwabwaje. Kwa. Mda ipo cku atalia
Nato huwa hawatangaz vifo sana ili kumficha adui hasijue kinachoendelea na aendelee kujichanganya.unapoweka vifo waz mwenzio anajipanga vzur na anaweza kupanic na kuanza kutumia silaha mbaya ila mateka unatamka
Dj smaa anajua sanaaa
Kabukua sana jamaa
GPS kipindi bora kabisa
Niki connect Dots naona hii vita inahusika na kafara
Kazi safi GPS
Mimi nipo hapa nimekaa kitako tuliiii pande za Uroa skuli Zanzibar wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa
Uraaa uraaaaaaa 🇷🇺💪
Uraaaaaa
Sky huyu mgeni waleo sio level za dj smaa kuchambua mambo.ajirudia sana.
Brother sky huyo jamaa,hajui kuchambua coz anaongea maneno matupu bila evidence kama navyoongea dj smaa na ally masubi na mwanuke
Huwenda yupo field kk
Putin amefanya ziara kwa baadhi ya nchi ni kwa sababu mfumo mpya wa uchumi (road map).
Ufalme wa Mungu usimame.
Amin.
Kweli
DJ smaa...bado kilometer ngapi urusi aikamate donbas yote?
Dj sm weninoma daaa
Nimekua mfutiliaji wa makala mbalimbali za hapa sns hususni za dj smaa nimejua kujoin dots backward bado ku read between the lines....halafu ntakuja hapoo studio sns kama mwanafunzi wa sns kuchambua pamojaaa🎉🎉💪
Nimekua nime miss san dj smaa
Usijali kama ulikuwa umemis akimakiza mjadala atakupaka mafuta nyuma musenge ww unamumiss mwanaume mwenzio
Dj sma ni total anti-west
Sky Unaanza kukialibu kipindi kwa kuanza kuokota Watu ambao hawana Uelewa wa Kuchambua Mambo ya vita na Wsla Hajui Maswala Mazima ya Gps
Nafikiri anatemgeneza GPS iwe Pana Zaid. Nivizuri kuwakaribisha wageni Kwa malengo ya baadae
Yani uyu jamaa ajui kitu aisee dah 😢
Gerald upo vizuri Slava UKRAIN
Russia itashinda kwavyovyote vile na ikibidi hata sis Tanzania 🇹🇿 tutaisapoti Russia 🇷🇺 kijexh
Maana Tanzania 🇹🇿 ni nchi yenye kilakitu
Wewe unachezea vita 🤦🤦
@@FleurieNahimana-zh2se kuna watu wanaamuaga kuchekesha umma
@@FleurieNahimana-zh2se kama hujui Tz tumeshiriki vita nyingi sana duniani ila tu hatujitangazi kama wengine wanavyo jitangaza.
@aminasittusaid3830 hatuna tulichovuna Kuwasaidia
@@golebenson4597 tumevuna vingi lakini kama ambavyo hatujitangazi tunapoenda vitani basi ndio hivyo hivyo hatutangazi tulivyovuna.
Nimecheka sana DJ SMA alivyosema Jeshi la Urusii lilisema MATOPE yaliwasaidia. TEAM RUSSIA tupo wengi sana
Hall Kimberly Thomas Sarah Brown Joseph
Putin ni mtu muungwana sana angekuwa USO wa mbuzi kamaa nyahu ...angewakaanga kwenye mafuta hao NATO😠😠😠
#kadrov❤lukashenko🔥
GPS hicho kichwa hapo ni cha kuku ninavyo amino GPS ni higher thinking capacity na inaongozwa na fact and logic hapo sijaona logic wala fact nimeona personal opinion na ushabik binasi sioni Kama anafaa kwa GPS anaweza kufata kwa vipindi vyengine Skywalker rudisha vichwa Ali na Henry
Huu dj smaa,
Akili yake anaijua mwenyewe, wapo watu wanakuzidi AKILI kuliko ufikiriavyo.
DJ smaa ínio kibokoo
Mimi naona kwa mawazo yangu binafsi Ukraine amepata nguvu kutoka nchi za magharibi ndo maana anajaribu kujitutumua
Wagina ya sasa wako sawa na ile ya mpishi?
Gps nauliza.
Ufalme wa Mungu usimame
Amin
Urusi bado haijatumia nguvu zake. Inamuachia tu ukareini. Kinachotafutwa hapa ni new world order Urusi akimaliza vita atakua bado hajatimiza lengo. Lengo nikuzibana nchi za magharibi hadi zifike hatua ziseme sasa tuingie kwenye mfumo mpya wa dunia.
Umeongea jambo kubwa sana,
Itatumia lini, au mpaka Mosko itekwe
@@bonifasiemanueli21moscow haiwezi kutekwa
Oya brother sky huyu jamaa mpya wa leo mie sijamuelewa hata kidogo naomba jitahidi kua na wale wale wa kila siku
Hiyu mwenye miwani kajipambanua kabisa analeta ushabiki hapo chambua broo siasa hiko kipindi watu wengi wanasikiliza usilete umagharibi hapa
Ww ndo unaleta ushabiki maandazi, Tatizo mmekaririshwa tu upumbavu wa upande 1 jamaa anajitahidi kuwa balanced na uchambuzi ila ww mbwa mwenye fangasi ndo shida hutak kuelewa.
Uyo jamaaa nilimsikia mahali fulani yupo vizr Sana asante Kwa kumleta GPS
Dj upo vizuri katika uchambuzi lakini ni vizuri kukawa na negative thoughts ijapokuwa huyo kijana mwingine uchambuzi wake bado ni mwepesi mno Ajitahidi kufutilia na kuleta uchambuzi yenye fact zitazo kizi
Nauliza kweli Zelensik anakula unga?
Mnh! Kwa siri sana😅
Kama nyoka😂😂😂
Uyu wapili ninani ajui kutofautisha r na l😂
Siunaona anaitwa kabisa Anaitwa #Ali mathubii jmniii😂😅
Na Jana asubuhi silaha za nato zimechomwachomwa.
Saaana
Gerald safi ., watu wanaoshabikia urusi ndio awaelewi ., mmebalanc story labda hapo aongezeke ally masubi
Naomba mzungumzie vizur urusi maana kashusha mvua ya glide bombs huko Kursk
Sema mwanangu smaa nakukubali sana kwaio warusia awafi dah., ntaftie nafasi za jeahi la urusi😂😂
Lakini yote hayo yanatokea kutegemeana na mifumo yetu (unajua viongozi wengi waafrika muda mfupi wamadaraka
Ni kweli sisi wa Afrika tujitambue tusiwe tunaburuzwa kama mikokoteni uliobeba ndizi na hawa wazungu
Ila smaa haepend marekan na Israel sjuw walimfanya nn doo 😮😮😮
Uchambuzi wenu unaegamia upade umoja tuuuu 😂
I suggest the GPS na SNS to have s stand
Mcwe na Ibrahim Rabi kwa our channel
Hope narleweka
Vita vya Urusi na Ukrein sasa vinakaribia kusita kwa kipindi Fulani ndio maana Marekani, NATO na Kibaraka wao hawachagui pakupiga.
Msemo: (Umenishinda lkn na mm nikujeruhi). Zelensky analalama.
Ufalme wa Mungu usimame.
Amin.
Hakika
Humu mashabiki wengi wanataka kusikia tu positive kwa Russia hawataki mtu awe balanced na habari.Huyo Gerald yuko sahihi sana ila tu mashabiki maandazi humu ndo hawapendi kusikia negative kwa Russia.
Leo Hamnà kitu hàpo mmechemka,
DJ Smaa mchambuzi mzuri,lakin yy ameshajipambanuwa upande wa Urusi, anaegemea sana sana upande wa Urusi.vyovyote anavyoongea..huna cha kumwambia kwa Urusi,kila kitu kipo wazi.
Nimuono wako duniani ukitaka kuongea ukweli utachukiwa nawatu 😂😂😂 ukiwa muongo pia utapendwa nawatu zaidi 😂😂😂😂
@@uwimana6533nawewe ni mtazamo wako huo,ila picha liko wazi kitaaambo,au wewe ni mgeni na DJ Sma!?
Ukiwa mkweli utaitwa shabiki wa Urusi ila sote tunajua Ukraine bila msaada toka NATO hakuna kitu. Tumpe Putin Hongera zake jamani, Nchi moja dhidi ya nato? Tuwe wakweli.
@@hudumablack9339 hatawaungane mataifa 100 watapigwa , wao wanalijua
Zelensky ni sawa na bweha, anapenda kubweke tu, yeye ni comedian, mambo yake ni ya kichizichizi tu.
Asalam Alaykum, huyu mgeni mpeni mdakwanza, ila naomba mngemleta sabiti mrangi ana jua sana kuliko dj smaa pls
Ukraine Putin hatawamaliza taifa lote,Ukrainian mtaifa siohujinga kuweka siraa juu mkashindwa hili uwalinde ukrainian laiya wako
Huyu myakyusa ajui kinacho endelea Don't mess with Russia kila anacho fanya anajua apotezi focus anakomaa na mission ..
Tunajua si Ukraine ni NATO anapigana na Russia 😅
Dj smaa 🔥🔥