MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • SHEIKH MUHSIN ALI ATHMAN BUTE

КОМЕНТАРІ • 206

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 7 місяців тому +3

    Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up 7 місяців тому +2

    Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb 7 місяців тому +1

    BACHU ALLAH AMHIFADHI

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252 8 місяців тому +3

    Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 7 місяців тому +1

    Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 8 місяців тому +7

    Bacho Allah akuhifafhi

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 7 місяців тому

      Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb 7 місяців тому +1

    HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 8 місяців тому +4

    Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima.
    Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 8 місяців тому

      Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena

    • @FaaidaTVtz
      @FaaidaTVtz 7 місяців тому

      Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..?
      Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 7 місяців тому +1

      @@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo

  • @salmananwaralmaisarah1387
    @salmananwaralmaisarah1387 8 місяців тому +4

    Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 8 місяців тому +3

    Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele

  • @Abdallah-i1d
    @Abdallah-i1d 7 місяців тому

    Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi

  • @saidijuma-b9v
    @saidijuma-b9v 7 місяців тому

    mungu akuhifadhi sheikh letu

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 8 місяців тому +1

    بارك الله فيك يا أخي العزيز
    Maneno mazuri nto
    جزاكم الله خيرا
    Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan.
    Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni
    Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم

  • @NafisaAhmed-g9k
    @NafisaAhmed-g9k 7 місяців тому +2

    Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu

  • @swalehmohamedwaziri7499
    @swalehmohamedwaziri7499 8 місяців тому +2

    Maa shallah maelezo mufti
    Nyama za maulamaa Zina simu.

  • @sharifsayyid
    @sharifsayyid 7 місяців тому +1

    Haki ilifika Allah amhifadhi bachu

  • @mngwaliis-haka5348
    @mngwaliis-haka5348 8 місяців тому +1

    Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 8 місяців тому

    Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤

  • @ZaitunChao
    @ZaitunChao 7 місяців тому +1

    Wallah mahabi mwabambanya hamna ilimu wallah mana mkizunguza nahau hamzipaty mwapiga nnje

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 7 місяців тому

      Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi

  • @KhamisQays-ur1dm
    @KhamisQays-ur1dm 8 місяців тому

    Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk

  • @waladulikhlaas7870
    @waladulikhlaas7870 8 місяців тому

    Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa

    • @suleimanahmadaali5989
      @suleimanahmadaali5989 7 місяців тому

      Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu
      Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 8 місяців тому

    الله يحفظك سيخنا محمد با جو

  • @WilliamMaina-xh4sf
    @WilliamMaina-xh4sf 8 місяців тому

    Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 7 місяців тому +5

    Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 7 місяців тому

      Sana Wallah

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 7 місяців тому

      ​@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 7 місяців тому

    Asalamu aleykum ya allah huyu bachu nimrogo😊😊😊😊😊

  • @DhaharanMussa
    @DhaharanMussa 7 місяців тому +1

    Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid

  • @NafisaAhmed-g9k
    @NafisaAhmed-g9k 7 місяців тому

    Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu

    • @slimshah9460
      @slimshah9460 7 місяців тому

      Ilimu gani kama si kejeli

  • @AshrafAKhan-ql1tb
    @AshrafAKhan-ql1tb 6 місяців тому

    Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakaatu
    Sheikh naomba unipe link au uniandikie swali na jibu yote kwa ukamilifu alioulizwa Sheikh Ibn Uthaymeen na alivojibu yeye Sheikh Ibn Uthaymeen kwa ukamilifu
    Shukran

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 8 місяців тому +1

    Hasira nyingi sana

  • @MaulidiJongo
    @MaulidiJongo 7 місяців тому

    Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san

  • @MustafaAli-w4x4s
    @MustafaAli-w4x4s 7 днів тому +1

    shekh m bachu hanaadabu kakosa hekma na busara kwenye elimu anaizalilisha dini na wanadinipia, anajifanya anaelimu kuliko wengine anapoelekea kubaya ,akiamua kuelimisha atumie njia ya private nasio kujionyesha kwenye mitandao iyo ndo hekma,kwamaan anajiona yeye mkamilifu kuliko wengine,achungesana.

  • @Aakhar-z3c
    @Aakhar-z3c 7 місяців тому

    masufi mnatabu.

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 7 місяців тому

    Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi

  • @abdallamassoud53
    @abdallamassoud53 8 місяців тому

    Kutukana mashekh

  • @abdulmalikali1501
    @abdulmalikali1501 8 місяців тому

    Masha Allah Habib wetu

  • @KumbaAliy
    @KumbaAliy 8 місяців тому +3

    Sh muhammad bachu yuko vizuri sana

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 8 місяців тому

      NDIO KWA UPUMBAVU HAKUNA KAMA YEYE.

    • @khamiisathmaan4362
      @khamiisathmaan4362 7 місяців тому

      Wewe mtume hakuwahi kumtukana muislam wala hakuna swahaba wala taabi-ina bali mtume amekataza kumtukana muislamu nufaasiq

    • @khamiisathmaan4362
      @khamiisathmaan4362 7 місяців тому

      Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga

  • @ZaitunChao
    @ZaitunChao 7 місяців тому

    Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele

  • @TaufiqMeneja
    @TaufiqMeneja 8 місяців тому +2

    Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 7 місяців тому

      Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome

  • @FaaidaTVtz
    @FaaidaTVtz 7 місяців тому +1

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja.
    Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 8 місяців тому +12

    Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 8 місяців тому

      Maoni ya kubalika

    • @nureinali
      @nureinali 8 місяців тому

      Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 8 місяців тому

      Mashallah

    • @DiudaKozi-qu8sl
      @DiudaKozi-qu8sl 8 місяців тому +2

      Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 8 місяців тому

      Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 8 місяців тому

    Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 7 місяців тому

      Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 8 місяців тому +3

    Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043 7 місяців тому +1

    SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 8 місяців тому +3

    Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة

  • @ahmadabdallah740
    @ahmadabdallah740 8 місяців тому

    Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu

    • @KakaOmmy-xx6pi
      @KakaOmmy-xx6pi 8 місяців тому

      Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 8 місяців тому +2

    Eeee bwana hajazarauliwa munatengeneza huruma

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 7 місяців тому +1

    Kwa hiyo nyie hamuezi kuanzisha mada mpaka bachu aongee ndio mupate mada? Na hamupati usingizi kufikiria vipi mummalize bachu? Basi Allah atamlinda kwa husda na chuki zenu mpaka haqqi ifahamike

  • @allyhamza9969
    @allyhamza9969 8 місяців тому

    naswaha yangu tusivunje udugu wetu kwa jambo la kupita.Eid itakuja na itaondoka ila udugu ukiondoka ni ngumu kuurudisha

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb 7 місяців тому

    MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 7 місяців тому

    Piga ujumbe shekh bachu tunafahamu kwakuwa wazi ktk adila zakujitosheleza undeni yenu arafa

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043 7 місяців тому +1

    Sasa wewe umekuja kuvunja hoja ya shekh au umekuja kutupotezea muda tu na maneno tupu kama waweza Lete hoja nanibara zilizoaomwa Sio maneno tupuu bila hata kunukuu KITABU hata kimoja unasema unathibitusha kitu Gani na huna hatq KITABU wathibitisha Kwa maneno tupu unamuita mtu muongo Kwa maneno tupu

  • @AmiriUshanga
    @AmiriUshanga 8 місяців тому +1

    Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Kazi mzr mashallah kama wakiachwa wanazidi sifa

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 7 місяців тому

    Shida ya buchu hajielewi

  • @IsmailSanga
    @IsmailSanga 7 місяців тому

    Sheik kua makini na MAWAHABI watakulipua.

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 8 місяців тому +1

    Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEIN 7 місяців тому

    Musidanganywe na comments zetu ndio zikawapamoyo wa kutukanana na kukashfiana mitandaoni.

  • @khamisothman1154
    @khamisothman1154 7 місяців тому

    Acheni porojo

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 8 місяців тому

    al habiibi JAZAAKA LLAHU KHAYRA bachu asipobadilika mwisho wake utakua mbaya

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 8 місяців тому

      Kufuata na kubainisha haqi haipeleki mtu pabaya bali bid'a wenu

    • @maadinaJuma
      @maadinaJuma 8 місяців тому +1

      Acha chuki kwa bachu

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 8 місяців тому

    Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 8 місяців тому +1

    Munamtetea

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252 8 місяців тому

    Kawaida anaesema kweli huchukiwa nyinyi hamutaki ukweli

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 7 місяців тому +2

    Maa shaa allah.. sheikh bachu na sheikh Ali ni viboko vya makhurafi kumbee😂😂
    Bachu anawakosesha usingizi kumbee..
    Mmi binafsi sheikh bachu namuelewa sana juu anongea kihoja na kisomi.
    Wwe ungefundisha tuu na uache kuongelea bachu hio ni michambo hujafunza kitu

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Acha unafiki Hawa watu watupu kabisa labda dharau

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 7 місяців тому

      @@HemedSerious mnafiki ni wwe

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 5 місяців тому

      @@yusufathman2478 MWENZENU aloenda kwenye niqash kule kenya akasema hadith غريب maana yake ni hadith ngeni sanah 😂😂😂 Afu ni sheikh ni huyo wa KISARAFI mkiwa mnataka majadiliano muwe mnasoma na vitabu NA MNAELEWA MNAVYOVISOMA kwa maana sahihi sio potofu ndo mana MASALAFI JADIDA WANAWAITA NYIE MAHIZBY
      ‎إنا للّة وإنا إلية راجعون

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 5 місяців тому

      @@IbraFareed maskini ndugu yangu.. gharib pia ni ngeni kama huna ujualo

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 5 місяців тому

      @@yusufathman2478 والحديث الغريب هو الذي فيه نوع من التفرد
      Embu nenda kasome bana 😀😀😀 HUNA UJUAOLO UNASUMBUA NA COMMENT ZA MIHEMKO
      Kasome wanazuoni wa hadith WANAZUNGUMZIAJE HADITH HIYI
      UKISIKIA HADITH GHARIB SIO NGENI 😂😂😂🙌🏾 mkiambiwa msome hamtaki
      unatafsiri MAMBO YA WANAZUONI KWA HAWA ZAKO 😂😂😂🙌🏾

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 7 місяців тому

    Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh

  • @NURRPRODUCTION
    @NURRPRODUCTION 8 місяців тому

    Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 8 місяців тому

    Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe

    • @darajanida
      @darajanida 7 місяців тому

      kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 7 місяців тому

      @@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb 7 місяців тому

    MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI

  • @mngwaliis-haka5348
    @mngwaliis-haka5348 8 місяців тому

    Bachu aende akasome

  • @chidolakhatib7847
    @chidolakhatib7847 8 місяців тому

    Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu1875 8 місяців тому

    Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 7 місяців тому +1

    Ei kwani bacho ni mwanachuoni au ni mpambe wa kiwahabi

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Mm nashangaaa wajinga wanaosema eti mwehu bachu anaonewa choyo

  • @salimabdalla6290
    @salimabdalla6290 8 місяців тому

    Juzi aliwatweza kina suyutwi ghazali na sultwaan auliyaa kwa ile klip yke alotoa juzi mpka nkashangaa

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu1875 8 місяців тому

    We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043 7 місяців тому

    Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 8 місяців тому

    kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m

    • @khamisjuma7616
      @khamisjuma7616 7 місяців тому

      @@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 8 місяців тому

    Mfuateni kadhi wenu acha ubishi

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 8 місяців тому

    Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe

  • @ibraa1157
    @ibraa1157 8 місяців тому +2

    Bachu ni mtoto muacheni pengine akisha baleghe ataacha ufudhuli

  • @litimbaify
    @litimbaify 8 місяців тому

    Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli mwache Bachu atufungue macho na hamturudishi tena gizani endeleeni na kukaa gizani!

  • @Aradyassane
    @Aradyassane 8 місяців тому

    Fungueni kitabu

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 7 місяців тому

    Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pj 8 місяців тому

    Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEIN 7 місяців тому

    Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 7 місяців тому

    Nimikufwatilia kwakweli masufiiiiiiiiiiiiiiiii mnachesha😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 5 місяців тому

      MWENZENU aloenda kwenye niqash kule kenya akasema hadith غريب maana yake ni hadith ngeni sanah 😂😂😂 Afu ni sheikh ni huyo wa KISARAFI mkiwa mnataka majadiliano muwe mnasoma na vitabu NA MNAELEWA MNAVYOVISOMA kwa maana sahihi sio potofu ndo mana MASALAFI JADIDA WANAWAITA NYIE MAHIZBY
      ‎إنا للّة وإنا إلية راجعون

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah9018 8 місяців тому

    punguzeni makasiriko. Ama mlete markaz nzima imraddi bachu

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 місяців тому

      Uyo bachu ndio wakuletewa markazi.

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157 8 місяців тому +1

    Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.

    • @KakaOmmy-xx6pi
      @KakaOmmy-xx6pi 8 місяців тому

      Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie

    • @FaaidaTVtz
      @FaaidaTVtz 7 місяців тому +1

      Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.

  • @harithhemed9920
    @harithhemed9920 7 місяців тому

    ww shekh nafkiri ungekaa na kusoma kuliko vijembe bachu anafungua vitabu sio maneno tu

  • @rushu1232
    @rushu1232 8 місяців тому +1

    Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.

    • @Biziman-pu4kf
      @Biziman-pu4kf 8 місяців тому

      Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa

    • @rushu1232
      @rushu1232 8 місяців тому

      @@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.

  • @Nuruyasunnah.official_tv
    @Nuruyasunnah.official_tv 8 місяців тому

    ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika

  • @albayaanmschool8451
    @albayaanmschool8451 8 місяців тому +1

    Na mtume aliambiwa vivyo hivyo antukana miungu ya makuraish kisa kufafanua haqqi

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 7 місяців тому

    Nyinyi hamna elim nibala bala tu

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 8 місяців тому

    Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu

  • @swalehmohamedwaziri7499
    @swalehmohamedwaziri7499 8 місяців тому

    Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende

  • @salimabdalla6290
    @salimabdalla6290 8 місяців тому

    Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 8 місяців тому

    Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 8 місяців тому +5

    Bachu yupo sahihi sema kinachowakera ni kueka mambo bayana ambayo ilikua mumeyaficha.

    • @salmananwaralmaisarah1387
      @salmananwaralmaisarah1387 8 місяців тому

      Yaliofichwa ni gani hapo?? Si uyaseme

    • @binbuhakhamis4336
      @binbuhakhamis4336 8 місяців тому

      Fataclip za sheikh bachu utaona yapo bayana

    • @salmananwaralmaisarah1387
      @salmananwaralmaisarah1387 8 місяців тому

      Hakuna yalio bayana...wewe si uyataje...tushawazoea mawahabi kazi ni kufuata hawaa za nafsi zenu tu

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 8 місяців тому

      Inaone kana kwako bachu ni mtumi….mana mamani ubayana hakuna lolote kwabachu na hana adabu kabissa

    • @eastafricaqualitychickenfa9916
      @eastafricaqualitychickenfa9916 8 місяців тому

      Bachu ni Simba wa Mungu yule nyinyi mashekhe ubwabwa ficheni ukweli Njaa itawatia motoni

  • @LASSUH4947
    @LASSUH4947 8 місяців тому

    Huyu bachu ni chizi iko siku utabainika wazi uchizi wake

  • @HemedAbdullaSuleiman
    @HemedAbdullaSuleiman 7 місяців тому

    Bachu mbabaishaji tu... Na km anajiweza aombe munakasha aone😂😂😂

    • @FaaidaTVtz
      @FaaidaTVtz 7 місяців тому

      Munaqasha alishafanya nao na hawakutaka uendelee kwa kung'ang'ania point moja.

  • @Abutwalhamwanyuki
    @Abutwalhamwanyuki 8 місяців тому

    Huna hoja kumbee,;

  • @ZaitunChao
    @ZaitunChao 7 місяців тому

    Kwanza bachu akizungumza wallah hana nahau na iliuyafamu maneno ya mtume lazima uwe na nahau kasome nahau weweeeee mbana nahau tu hujui utakuja masialla hayoo wewe

  • @RashMash-l1b
    @RashMash-l1b 7 місяців тому

    masufi hamna kitu ni mbwe mbwe tu zenu.