VIJANA WA MZIWANDA WAKIBALI KUA SWALI LA SHEIKH WAO LIMEJIBIKA || Muhammad Bachu .

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 199

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 8 місяців тому +11

    Sheikh Allah akuzidishie subra !Ningekuwa mimi Nisingeweza kuongea na dunduka kama hilo mda wote huo

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 8 місяців тому +10

    Radd ni muhimu sana kwa kuwa ni moja ya njia za kuelimisha ummah na pia Sheikh aliyekosea

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 8 місяців тому +19

    Kwakweli sheikh Muhammad Bachu umebarikiwa,Masha'Allah!!..umepewa uwezo wa kujenga na kujibu hoja,umetulia sana,dua yng kwa M'mungu akupe elimu na ufahamu ili uzidi kutuelimisha pia na mwisho mwema ww na familia yako,kuwa na sheikh kama ww Tanzania tunatakiwa kujivunia Wallah

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 8 місяців тому +15

    Assalaam alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh bachu Allah akulinde uzidi kusafisha huu uchafu na sisi tunaoskiza tuwe wenye kuzingatia Ili tuweze kufaulu na majibu alhamdulillah ulijibu vizuri kama yule alivyotaka yule sheikh ,,,,,

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 8 місяців тому +15

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته. Allah awabariki masheikh zetu na Waislamu wote kwa ujumla kwa kuwaonesha haki na kuifuata. Ameen

  • @huseynmaingu6073
    @huseynmaingu6073 8 місяців тому +13

    Huyu hana hoja ataka vurugu tu...sheikh Muhammad Bachu Allâh Akuhifadhi

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 8 місяців тому +13

    Simba ..Allah akupe umri mrefu wa amani. Birmingham

    • @fahadrachid2352
      @fahadrachid2352 8 місяців тому +2

      Itabidi tumualike sheikh bachu aje UK kutupa darsa

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 8 місяців тому

      Itapendeza Allah awafanyie wepes ​@@fahadrachid2352

  • @FathiSaid-j6v
    @FathiSaid-j6v 8 місяців тому +2

    Shekh Muhamad mashallah hao washrik sio level yako hao wamezoea kutupotesha maulid ni ushirikina tuache shirki Jamanii mbona masahaba hawajawai kusherekea uzawa wa mtume

  • @HemedRamadhanJuma
    @HemedRamadhanJuma 8 місяців тому +5

    Huyo jamaa kauliza swali tayari ana jibu lake mkononi na anaoneka ameuliza kwa hisia ya kuchukia na anaonekana hana elimu na hana ufahamu Allah amuongoze sheikh endelea kukosoa anae kosea Allah yupo na wewe inshallah.

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 8 місяців тому +8

    MASHAALLAH ALLAH akuhifadhi sheikh Muhammadi bacho

  • @othmanhaji862
    @othmanhaji862 8 місяців тому +3

    Shukran Sheikh wechu Muhammad
    Huyo mpemba hana hoja .
    Ni ushabiki tu
    Mtu km huyo hukupotezea mda wako tu.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 місяців тому +7

    Maashaallah shehewetu Bachu umejibu vizuri❤

  • @AsimaliHamad
    @AsimaliHamad 8 місяців тому +1

    Alhamdulilla kafaham vzr saiv ila kuna kitu washajengwa kwenye nafsi zao hivo nakuomba shekh endelea kuelimisha na inshaallah Mola akusimamie na akuzidishie elimu na hekma

  • @hamzahhassan6474
    @hamzahhassan6474 8 місяців тому +3

    Maashallah shekh Muhammad bachu umemjibu vizuri sana na Allah akulipe duniani na aakhira Allah atuongoze sote Aamiin Aamiin

  • @mustafajuma8628
    @mustafajuma8628 8 місяців тому +2

    Shk Bachuu Allah akuhifadhi uzidi kutuelimisha umma mzimaa

  • @MohammedSaid-nd8eb
    @MohammedSaid-nd8eb Місяць тому

    Mashaaallah Allah akuhifadhi na hasad wewe nimwalim ktk masala ya kisheria

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 8 місяців тому +2

    Jazaqallahu khaira Sheikh Bachu Allah akuzidishie Umri

  • @OthmanKhamis-p5d
    @OthmanKhamis-p5d 8 місяців тому +1

    Allah akuhifadhi shekh Muhammad bachu zidikuwelimisha umma itafikia pala watafahamu tu

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 8 місяців тому +1

    Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah kwa usulub huu ni mzuri sana sheikh langu unawaradd hawa masufi kwa Haqq Allah akuepushe na Makruhu

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 8 місяців тому

    Mashallah swali limejibiwa vizuri sana watu wa maulidi hawana elimu wanafuata mashekh zao tu bachu uko vizuri kaka...

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 8 місяців тому +5

    Barakallahu fik Sheikh Bachu

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 8 місяців тому +5

    Jamani sina uwezo mwenye namba yake anipatie Wallah nimtumie hata buku2 sheikh wangu Allah atanilipa.

  • @awadhhussein6217
    @awadhhussein6217 8 місяців тому +2

    Allah Akuhifadhi, Sheikh Muhammad Nassor Bachu

  • @kadoditsa3805
    @kadoditsa3805 8 місяців тому

    Mtume Muhammad swallaaallahuu 3aleyhiii wa sallaaam Asema... "NamuAhidi mtu Nyumba Katikati ya Pepo,... Mtu Ambae ataepuka Mijadalaa hata kama yupo sahihi....."... Muhammad Bachu zingatia hayoooooo... Afwaan

  • @juraybeeb
    @juraybeeb 8 місяців тому

    Nakuombea kwa Allah wasije wakakununuwa kisha wakakutumia kwa maslahi yao ya kidunia Allah akulinde na akuepushe na shari za sheitwani Amiin thumma amiin 😭😭🤲

  • @ramadhantajiri6924
    @ramadhantajiri6924 8 місяців тому

    Alhamdulilah sheihk bachu Alla akuzidishie na azidi kukuimarisha, na atuongeze sote..

  • @petsathome7091
    @petsathome7091 8 місяців тому +1

    Masha’allaah tabaarakallah alhamdulillaah
    Kijana wetu sheikh wetu namuomba Allaah akuhifadhi na akukinge na hasad wewe na familia yako yaarabbal aalamiin.
    Mimi nimemuelawa huyo ni ghaidh tu Allaah amsamehe na amuongoze aione haki.

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 8 місяців тому +2

    ❤❤❤ muhammad Allah akulipe ujira mkubwa unafanya kaz mzur

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 8 місяців тому

    Jamani umetumia eshima kumuelekeza sauti yaka chini masha Allah

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 8 місяців тому +2

    Haki sheikh Mohamed nasoro nakupenda bure kwajili ya Allah.

  • @babaawena
    @babaawena 8 місяців тому +2

    Mashallah... Allah akuhifadhi shkh Muhammad. Yaani walimwengu tuna vichwa vigumu mnooooo... yaani tuna vitu vigumu sanaaaa. Na ndio mana tunaburuzwa sana.

  • @mwalimuomari9981
    @mwalimuomari9981 8 місяців тому

    Allah Akbari mm nimekuelewa vizuri saa sheikh nikija Tanga tena nitaomba dua kwa Allah uwe na muadhara tene kama Mwaka juzi

  • @suleimanmohammed2715
    @suleimanmohammed2715 8 місяців тому +3

    Umejibu vizuri sh baju

  • @wazir5572
    @wazir5572 8 місяців тому +3

    allah ajulipe sheihk wangu hakuna mwenye hoja huyo kama katumwa tuh au kajituma na amepanic

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 8 місяців тому

      Kwel kwanz huyu jama hajasomo kabisa sema sheikh Muhammad bachu katumia hekma tu kumjibu maswali yake lkn kama ni mtu mwengine kashakata simu zaman anaona anampotezea muda tu

  • @MussaMohammed-g6o
    @MussaMohammed-g6o 8 місяців тому

    Allaah, Akuhifadh,, shekh wetu, kwani ukitumia Akili huwezi kwenda kuadhibiwa na Allaah,,,, ukitumia Akili, lkn ukija kiusomi utaadhibiwa,, shekh,, shukrani Allaah akulipe ziada ya thawabu,,,,

  • @FathiSaid-j6v
    @FathiSaid-j6v 8 місяців тому

    Shekh Muhamad mashallah Allah akupe umri uzidi kutuelimisha na huyo aliepiga simu hana elimu

  • @AbuubakarAli-fj6br
    @AbuubakarAli-fj6br 8 місяців тому +3

    Duhhhh ni mazungumzo yeny mafunz ila jamaa mbishi allha atufanyie wepes

  • @abdallahmkali3251
    @abdallahmkali3251 8 місяців тому

    Allah atuhifadhi na atuunganishe kwenye kheri Inshallah

  • @jauzauabdalla5792
    @jauzauabdalla5792 8 місяців тому

    Mashallah sheikh Mohammad yuwajibu maswali kiufasaha na kwa hoja mashallah kwa mwenyekuelewa

  • @omarysungi4635
    @omarysungi4635 8 місяців тому +4

    Sheikh Mohammed bachu sema ukiona kuna mahali kunashida usiogope sisi tutacuambua maana nyote ni walimu wetu

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 8 місяців тому

    Mashallah sh Muhammad nassor bachu Allah akubaarik

  • @salummbegu718
    @salummbegu718 8 місяців тому

    Mashaallah, jazaakallahu khairan shk

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 8 місяців тому

    Maa shaa allah sheikh muhammad umemjibu vizuri sanaa.
    Ntumie no. Yako ustadh bachu

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 8 місяців тому

    Sheikh Bachu yupo vizuri sana

  • @MuhammadMkoka
    @MuhammadMkoka 8 місяців тому +9

    Dah tusome jamani uyu jamaa anaonekana kauliza kwa asila ya shekhe wake karadiwa

  • @nassortrans12
    @nassortrans12 8 місяців тому

    ماشاء الله
    Sheikh Muhammad bachu

  • @JumaBakari-ii5uz
    @JumaBakari-ii5uz 8 місяців тому

    جزاك الله خيرا يا شيخنا

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 8 місяців тому

    بارك الله فيك يا شيخ محمد

  • @ZubeirShomar
    @ZubeirShomar 8 місяців тому

    Njia hii kwetu sisi waislamu sio jambo zur kwa sababu unapo msema kwa uwazi kipenz cha wengine basi hao wengine watakuwa na chuki dhid yako kwaio kwa njia hii ipo siku sisi wenyew waislamu tutakuwa katika ugomvi mkubwa sana 😭

  • @imamually1926
    @imamually1926 8 місяців тому +5

    Asalaam alaykum sheikh Muhammad Bachu huyu hanaelimu na swali analo uliza asikupotezee muda hajielewi kabisa achana nae.

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 8 місяців тому

    Baraakanllah fiikum

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤.....masha Allah

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy 8 місяців тому

    MashaAllah sheikh bachu

  • @JESUSGOD9823
    @JESUSGOD9823 8 місяців тому

    Yesu wasaidie waislamu wakujue, Dunia iwe na amani.

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 8 місяців тому +1

      Yesu haja oa ww umezaliwa kwa msingi gn au unaoa kwa msingi gn? Au ww umeshushwa

    • @JESUSGOD9823
      @JESUSGOD9823 8 місяців тому

      @@nassorkhamis6233 kiswahili kigumu? "haja oa" ndio nini? Acha kuchafua lugha yetu adhimu! Rudi kwenu Uarabuni ukafuge majini

    • @HansiKatumbi
      @HansiKatumbi 8 місяців тому

      Yesu Tunamjua vizuri na tunampenda vizuri kuliko nyinyi mujiitao wakristo

    • @JESUSGOD9823
      @JESUSGOD9823 8 місяців тому

      @@HansiKatumbi Njoo ubatizwe kama kweli unampenda

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 8 місяців тому

      Ww kafiri silimu utakuja kujuta

  • @MasoudChoum-pp1ob
    @MasoudChoum-pp1ob 8 місяців тому +1

    Al akhy channel ipo kimya sana

  • @kassimbitogwa6992
    @kassimbitogwa6992 8 місяців тому

    الله يحفظك

  • @sulemanealisaide217
    @sulemanealisaide217 8 місяців тому

    Chekhe wangu Ilo jamaa zombi lakupitiliza achana nalo mana ata ufahamu halina na ata kuuliza maswali halijui mungu akulinde usichoke kuwanyoosha kuna siku wataelewa tu yy limekusudia kuleta ligi na halijui

  • @Aakhar-z3c
    @Aakhar-z3c 8 місяців тому

    Masufi bhana ni mtihani mzito.

  • @Abuu_Abibakar
    @Abuu_Abibakar 8 місяців тому

    ما شاء الله

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 8 місяців тому

    Baraka llahu fiyka jambo limeeleweka hamna hoja tena hapo ni jazba tu

  • @nassormohammed9742
    @nassormohammed9742 8 місяців тому

    Huyu jamaa asome kiswahili kwanza

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn 8 місяців тому

    Mimi ninahitaji nije kusoma kwako Sheikh Muhammad Bachu. Na sijui ninafika vipi kwako naomba pia kwa anayejua nafikaje kwake naomba anipe maelekezo

  • @harithhemed9920
    @harithhemed9920 8 місяців тому

    mashekhe wa kisufi hivi ndivo wanavowalea vijana wao huwez kumkuta mtu wa sunna anazungumza utumbo hivi jaman tumuogope allha

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 8 місяців тому

      Ni uchafu2 tena sheikh ana subra sana kama ningekuwa mimi nshakata simu mda2 siwezi kabisa kumskiliza huyu kiande

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 8 місяців тому +2

    Sheikh muhamad huyo mpemba mwezangu elimu yake ndogo ,na anaubishi wa kipemba bila elimu ,

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 8 місяців тому +2

    Huyu Mkojani wa Mombasa amesha elewa lakini jamii hii ya Wapemba kwa ushindani mnaweza kuchukua siku tatu bila kupata ufumbuzi.
    Hawa ni jamaa zangu wa Pemba.

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074 8 місяців тому

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 8 місяців тому +1

    Ndugu yangu mpemba huna elimu wala hutaki kufahamishwa

  • @Markazabuuhanifa
    @Markazabuuhanifa 8 місяців тому +2

    Huyo jamaaa hajielewi ndo akauliza maswali yasio na muguu wala mikono

  • @suleimanmohammed2715
    @suleimanmohammed2715 8 місяців тому

    Amina

  • @binismail8527
    @binismail8527 8 місяців тому +3

    Hiyo ndio tabia ya Haw ndugu zetu wa kikojan ni wabishi bila hoja ya msingi

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 8 місяців тому +1

      Usitaje kabila la mtu ukanzisha chuk na wala huna ushahid kama ni mkojan huyo

    • @MuhamadikhatibMalili
      @MuhamadikhatibMalili 8 місяців тому +1

      Hiyo ni tabia ya wajinga wasio na elimu na sio u pemba wala ukojan Acha dharau

  • @OmarFaki-v2h
    @OmarFaki-v2h 7 місяців тому

    Asalm alaykum huyo sufi anakupgsha kelele

  • @OmaryWeza
    @OmaryWeza 8 місяців тому +4

    Shekh Bachu Huyu haulizi kutaka kueleweshwa wala hayupo tayari kuelewa huyu katumwa kuleta fujo

  • @maulidasaa9407
    @maulidasaa9407 8 місяців тому +2

    Huyu jamaa kauliza tu lkn anaonekana hana elimu ata kidogo

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 8 місяців тому

    Huyu muulizaji kalewa????
    Shkh bachoo Allah akuhifadhi na akuepushe na shari za majuha kama huyo jamaa 😢😢😢😢

  • @lamarTaz-nu8yz
    @lamarTaz-nu8yz 8 місяців тому +1

    Kwanza amekuja kihuni sana na ungemuuliza kwanza yee ni man afu anazungumza kwa kiburi. Wala usinge mjibu

  • @SugowFarah-up3db
    @SugowFarah-up3db 8 місяців тому +1

    Kuongea koooooote mwisho akiri kwamba jawabu alilojibiwa sheikh wake hajaona kosa lolote kwa maana sheikh kajibiwa swali lake !!!!
    Swali la sheikh mziwanda: Hivi kwa kutumia tu akili , je katika hafla ya mawlidi ya Mtume, nikisema صلوا عليه nitaadhibiwa ?
    Jawabu la ustadh Muhammad Bachu: Hapana hutoadhibiwa kwa kumswalia Mtume bali utaadhibiwa kwa kukhaalif sunnah alofundisha Mtume katika kumswalia Mtume
    Mwanafunzi wa sheikh mziwanda: Sijaona kosa lolote katika jawabu la ustadh Muhammad Bachu

  • @HamisOman-s8h
    @HamisOman-s8h 8 місяців тому

    Ustadhi saidi tu kashindwa

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 8 місяців тому

    Kuna Aya nyingi zinazungumzia kilimo, misitu, ufugaji na uchumi kwa ujumla, fundisheni hayo sio kubishania maulid kila siku hali ya kuwa waislaam vijijini wako Hoi kiuchumi wengine wanaritadi

  • @mariamally8548
    @mariamally8548 8 місяців тому

    Bachu upo sawa huyo anayeuliza ni bakwata hamna kitu

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 8 місяців тому +1

    yaonyesha muuliza swali amelewa hayupo sawa au anatafuta shari baada ya kutafuta elimu

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 8 місяців тому

    Imam shafi kasem nibora kuongea na wenye elimu 10 utawashida kulimo mjinga moja 2 hutoboi

  • @HamisOman-s8h
    @HamisOman-s8h 8 місяців тому

    Bachu nishia kma wengine kma anamuweza aende kwa mziwanda

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya 8 місяців тому +1

    Muulizaji kasome kwanza mbele ya kujadili

  • @Nuruyasunnah.official_tv
    @Nuruyasunnah.official_tv 8 місяців тому

    mimi kama mpemba wa kwale micheweni nakiri kua huyo jamaa SI MSEMAJI WETU SISI KAMA WAPEMBA, NA SI MSEMAJI WA AHLU SUNNAH, BALI NI MSEMAJI WAVUVI WALIOKO AGONI HUKOO MAZIWANG'OMBE MICHEWENI

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 8 місяців тому

    Hhhh kwanz amfundishe kujenga swal 2.

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 8 місяців тому

    We pemba mizang hun hoja kasom kwanz eeeeee

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 8 місяців тому

    Na kwann haumpigii Shafii Basalim na Haji Upepo yy Hadi anawambia Mashekhe ni Makafir au sababu wao ni Wenzie ndio anashindwa kuwailiza?

  • @sulemanealisaide217
    @sulemanealisaide217 8 місяців тому

    Pumbavu zake

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 8 місяців тому

    Wakojani wabishi

  • @AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx
    @AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx 8 місяців тому

    Jamaninaombanambayasimuyabachu

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 8 місяців тому

      Nimekupa namba mpigie kwq heshima usijeleta mambo kama ya huyo jamaa hapo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 8 місяців тому

      0776005717

    • @AbdoulAmour-rr7th
      @AbdoulAmour-rr7th 8 місяців тому

      Akhy Kam unayo naiomb nmm ni muda mrefu San nazitafut mda mref ni kwa ajili ya faida ya umma Kun makosa watu wanfny San ntk ayawekee muda ayazungumze​@@YahyaYahya-vp2pp

  • @suleimanmohammed2715
    @suleimanmohammed2715 8 місяців тому +1

    Muuliza suala kichwa mchungu

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 8 місяців тому

    Na hadithi kama hizi ni nyingi sana.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 8 місяців тому +1

    HIVI HATUELEWI AU UNATETEA MTU?

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 8 місяців тому +3

    Masuffiy ni masufuria kweli. Yaani mtu asikupe dalili. .yaani dini bila ya dalili itaenadaje Masuffiy maghurafi jitambueni ?? Tukaswali kwanza tuje kuendelea kusikiza baraakanllah fiikum

    • @MuhammadMkoka
      @MuhammadMkoka 8 місяців тому

      Wana Tisha masufi

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku 8 місяців тому

      Tena wanafanya Yao ki akili c kitabu na Sunnah na hizo mbili ndo mwongozo wetu kutoka kwa mtume salallahu alayhi wasalam na hawataki kufuata haki

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 8 місяців тому

      لا يلزمُ من القيامِ بالجزء التسميةُ بالكُلِّ.

  • @JumaSalimin
    @JumaSalimin 8 місяців тому

    Amekuja na swali la ushindani sio kutaka kufahamu Allah amuongoze ndugu kake huyu.

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 8 місяців тому

    Maulidi ni mubaha ukitaka fanya usipotaka usifanye,ama kumlazimisha mtu kufanya maulidi ama kumlazimisha asifanye hayo ni makosa.yako mengi ya kufanya siyo kupimgana kila siku.

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 8 місяців тому

    Sijawahi kuwaona watu mapocho kuliko Ahlul-Bidaa wal-hawaa masufi.

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808 8 місяців тому

    Acha chuki izoo mpemba mwizang

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569 8 місяців тому +3

    Huyu jamaa atoe namba tena kama alivyo toa kwa abu khawla 😂😂

  • @Markazabuuhanifa
    @Markazabuuhanifa 8 місяців тому

    Halaf uyu jamaa kwanza ateme ayo mate ya tumbaku ndo aongee na shekhe