Tunashukuru kwa ujumbe mzuri kwetu mkitukumbusha kuwa tunapaswa kuutafuta Ufalme wa Mungu. my wish KKKT zote tuimbe hivi Mungu aendelee kuwatumia katika huduma hiyo.
Fantastic, really powerful message. Romans 12:2 . Indeed a powerful reminder that I need to keep my focus on the Almighty na kukaa naye Yesu. Keep spreading the gospel. Love from Kenya
I Fancy all Lutheran Church they had to sing Alike you guys are doing awesome no use of power but relaxing and enjoying the beautifully moment you have in Jesus almighty
Nabarikiwa sana na ninyi watu....Uimbaji mzuri yani mzuri tena
❤ nimebarikiwa sana kupitia wimbo wenu❤❤
MAISHA MAGUMU 😢😢😢 IBADA NA MAOMBI KWELI VIMEKUWA MZIGO ROHO WA MUNGU TUSAIDIE.🤲🤲🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️
Asante sana kwa nyimbo zenu nzuri
Ninapo sikiliza ujumbe huu nakuona wazi ya KWAMBA bado sijaamua kumjua Yesu Bali natamani kujua zaidi juu yake
Mko vizur Mungu awabariki kazi nzur sauti zote zinasikii vizur
Huwa nikisikiliza hizi nyimbo napat faraja sana mungu awabarik
Dah kuna mshkaji nyimbo style za kucheza namkubali hadi nacheka tyu
Ameeen 🙏🙏🙏
Tunashukuru kwa ujumbe mzuri kwetu mkitukumbusha kuwa tunapaswa kuutafuta Ufalme wa Mungu. my wish KKKT zote tuimbe hivi Mungu aendelee kuwatumia katika huduma hiyo.
Ameen, ubarikiwe sana!
Awesome message. Eternal beings we are.
Hongereni sana Mungu awatie nguvu katika huduma yenu.. Hapa kwenye chorus kuna maneno sijayasikia vizuri naomba andika chorus hapa
Ujumbe mzuri sana by Aplonia wa dsm
Awesome voices...keep it up
Mko vizuri vijana. Endeleeni kuchapa kazi, msijaribu kuanza kusikiliza kelele za watu,mtapoteza focus, tupo tunaobarikiwa. Endeleeni kusimama kwenye nafasi yenu wapendwa.
Lupyana Samuel Ameen Ameen Ameen🙏🙏🙏 barikiwa sana mtu wa Mungu umetutia moyo.
Wewe mwenzangu unatafuta mini hapa duniani.
This song is so blessings
Fantastic, really powerful message. Romans 12:2 . Indeed a powerful reminder that I need to keep my focus on the Almighty na kukaa naye Yesu. Keep spreading the gospel. Love from Kenya
John Odindo Ameen Ameen Hallelujah
I Fancy all Lutheran Church they had to sing Alike you guys are doing awesome no use of power but relaxing and enjoying the beautifully moment you have in Jesus almighty
Marko Samuel Ameen Ameen🙌🙌
Blessed brothers!
Mbarikiwe sana wapendwa kazi nzuri sana
Hongera watu wamungu kaza mwendo safari Bado barikiwa Sana