Acha ujinga!et mme wangu.uliolewa kwa ndoa?yaan mtu hajazikwa et ushaanza kudai urithi?na ww mwandishi ningekuwa karibu na ww ningekuchapa vibao.maana unahoji mambo ya kipuuz wakt watu wana majonzi.pumbavu sanaa.
We mpumbavu sikia tukupe habari. Sisi wa sabato hua hatunaga ndoa mbili ndoa ni moja tuu namke anae julikana ni mmoja mke wa marco na sio ww,,,,,kwanza ww tukuulize unawajua ata ndugu zake na kama ni kweli kwann asikutanbulishe ata kwa ndugu ata rafiki,,,,we dada katafute baba wa mtoto wako acha kumchafua mtumish wa mungu kwanza hufananii kabisa. Pole sana
Niko na wew kabsa Hana akili yeye angekua ndo mke wa kwanz ingekuaje ni hv hakuna wake wawili kwa wakristo alambe lolo2 asituchoshe Kwan lazma atangaze
Kama inakuuma mbn huna machozi macho makavu km gazeti la wiki kenge wew yaan huna hata hayaa kuhojiwa .unajiita mke hujulikan kwwnye familia 😂😂 Bongo ukiwa na stress utakufa . Yan dada senge hili
Nitafanya juu chini, mpaka mkamatwe mshatakiwe. Mdhibitishe hili, hizi tabia za kuchafua watu mnadhani ni jambo dogo sana, hii itakuwa mwisho. Jiandaeni kisaikolojia kushughulikiwa
Naam, this is good, wakamatwe yeye mwanamke huyu na mtoto, wakapime DNA ya mtoto pamoja na kaka wa marehemu, ikidhibitika vinginevyo sheria ichukue mkondo wake.
Huuu ni uongo,,,haiwezekani kuwa hujui kuwa ana mke,,,wewe ni mharibifu wa NDOA za watu,,,acheni kumdhalilisha mtumishi wa Mungu!! Sio make hivi unajuwa maana ya mke?
Wacha kuzuia OLE za Mungu zisiwafikie watu. Mtu anajulikana hadi kwa ndg wa marehemu, wewe umekalia kusema mtumishi wa mungu. We endelea kuona watu kwenye Tv na kuwaona majukwaani. Ni ujinga mkubwa, na kutokuijua biblia. Kuna mtoto alieachwa anahitaji kutetewa. Sio kila kitu ni kutafuta kiki mitandaoni
@@missamirajiiddy7077where was she ??while Marco was live??isitoshe she says that she never new Marco had a wife,media zipo , etc am Kenya bt awache ujinga
Oh my goodness, bona wee mama ukuwai jitokeza ukiwa na ujauzito wake surely do ata bibiye ajue? Ata hauna huruma kabisaa unaumiza bibi ya mwenda zake ak!
Unaongea kwa ujasiri dada lakin hunaakili vizuri kwenye kiki hii umekosea marco ulivyo kua ukimwona kwenye nyimbo kama sweet sweet alivyokuaakimkumbatia angel ulizan dada ake??
Acha kutuchafulia Imani yetu wewe, sisi hatunaga wanaume wachepukaji wala wanawake, na ukiwaona basi nisabato jina tuu, sie wasafiri wakwenda mbingun, mwache mke wa marehemu atuliepo walao, mali tafuta zakwako. Au mtoto akapimwe DNA😊
Hizo story za kutengeneza kila siku watanzania mnakamatwa hamjifunzi.... KINDLY POLICE KAMATENI HAO WOTE WEKA NDANI WAFUNGENI KABISA ILI WENGINE WAZIDI KUJIFUNZA BiG JOKES 😮
Mimi nimkenya nanilikua namheshimu sana Marco. So waende dna wajue ukweli, mimi siamini, mtumishi wamungu alikua nataadhima kuu sana.Mungu wambingu ablaze roho yake pema peponi, kwafamilia yake poleni sana.
Chukua kama funzo, ikiwa kweli unataka kuishi maisha ya kumpendeza MUNGU. Ukizuia watu waseme, itamaanisha kuwa unatumika na shetani kukandamiza kweli ya Mungu isiwafikie watu
Mtangazaji ungetafuta jembe ukalime halafu hujui hata kazi yenyewe mnamdhalilisha MARCO wa watu kwa kutaka vijisenti vya hapa duniani kweliiii MUNGU ATAWAADHIBU SAWSAWA NA MNACHOFANYA
Aeleze vizuri aseme tuu ya kwamba kabla marco hajao yeye alikuwa na mahusiano naye ila baada ya marco kuoa ndipo mahusiano yao yakavunjika . Sitaki kuamini kwamba marco wakati anahuduma anamtumia Mungu Alikuwa anamcheat
Huyu msenge sana mwenzio yupo kwenye majozi na anamfwata ety mume wangu mjinga wewe mwanamke koma kabisaaaa ungekuwa mstaarabu basi hata ungesubiri afu ndo uanze mambi ya mali.....toka weweew mwanamke afu anaongea kwa ujasiri 😢😢😢asa wewe ni mke yupi hata wazazi hawafahamu daaa....mke hata mahali hamna unanitia kinyaaa mbwa wewe wewe ungejitambulisha kama mchepuko sio mke daaaa.........mchepuko wewe
Wanadamu ukristo ngumu kweli,mungu atusaidie sana na atupe uvumilivu wanawake wote, shetani ni mwongo,,,,me from Kenya utamwamini nani,kama wakristo ni hao,maaaaajabutu Kwa kafiri kama Mimi,men still men
Kwani unaposema utamwamini nani yeye mtume, nabii au ni binadamu wa kawaida mwenye kipawa cha uimbaji!? Binadamu wote sio wakamilifu ndio maana tukapewa toba! Tulishaonekana ni wakosefu ..hamjasikia mchungaji kafumaniwa au shekhe ,ustadh kaharibu mahali! Tusihukumu tumuachie Mungu hata unapokuwa kwenye ibada fuata neno linasema nini sio yule muendesha ibada anaesoma neno anafanya nini!
Kuwa makini usipende kuamini kila kitu. Hii ni mbinu ya adui shetani kulidhoofisha kanisa. Jifunze kwa hayati Prophet TB Joshua, Usishangae hata akifa Mtumishi wa Mungu mkubwa leo watatengeneza skendo kama hizi wakijua kabisa kuna wakristo wakisikia hivi watakata tamaa wokovu
Shida ni kufuta kitu chema alichokifanya Marco, kwanini asiende huko kwenye familia aje huku mtandaoni, angetuambia basi mtoto wake amekataliwa aweke na ushahidi,, wewe Dada na mtangazaji wako mwogopeni MUNGU acheni kiki
😂😂😂😂😂 hatari sana damu ya watu arudishe,,,, ili akadange vzr,,,, ila hopo kunaukweli sema dada yetu kajichanganya. Rudisha damu ya watu,,, wanaume kudanga ni haki yao
Marehemu nani mbona hutaki jina lake msenge sana wewe mwandishi mpuuzi sana yaani maelezo yako tofauti na kichwa cha habari narudia tena mwandishi msenge sijui kutukana lakini mwandishi malaya sana wewe mwandishi tena mpuuzi sana
Mwanamke wa hovyo sana huyu dada mjinga siku sote hujatambulishwa kwenye familia ya mume unasubiri akifa ndo uje kujitamubulisha mwenyewe acheni ujinga michepuko tafuteni waume zenu acheni waume za watu huna haki atakidogo weww mbwa
Mme wako haunata haya kweli eti unadai mali Dunia kwili imefika ukingoni hatakuogopa dhambi hakuna,eti mme wangu ushindwe we malaya kwajina la Yesu kazi yako kutamani wa ume za watu Mungu anakuona
Uko mpumbavu emu acheni kumchafua kaka wa watu mke utakuwa wewe pumbavu jicho lenyewe kavu mmeona kuna hera tu mmeanza choko choko kumsumbua huyo dada emu muacheni amlilie mume wake
Hajapewa mali coz hujulikan na kabla hajafariki mbona ulikuwa hujajitokeza kujitambulisha, sasa mbona unakuwa muongo maana unasema ulikuwa hujui kama ameoa mara ulijua mtoto akiwa na miaka miwili, kwenda zako mnamchafuria jina marehemu
Mbona watu mnadhalilisha maana ya neno MKE, 1. je ana hati ya ndoa, 2. anafahamika ukweni 3. Kwa desturi za ukristo mke ni mmoja tu ss yy anajiitaje mke na ili hali marehemu ana ndoa ya kikristo tayar. Hapa msema kweli ni DNA tu na mengine yataendelea bde
Wanaume wanashindwa kujitambua sababu kuogopa wake zao lakini wanaume wengi wanawatoto nje sana mtoto ana dhambi gani matusi mengi tu mtoto baraka tulitambue mlete kwangu nimlee wakimkataa umeongea ukweli wanaume jisimamie sana swala la watoto nje unakufa ndo wanakuletea mtoto sema mapema bila haibu
Jamani we Dad's la kweli ilikuwa mwizi Kwa familia ya Marco, basi ulivo muibia mke wa marehemu ni vingi, Marco hayupo Anzisha kwingineaana we ni mzoefu hata Mamako ndo alivo Mnafurahia kifo Cha mtoto wa mwenzenu, mmm
Huyu dada njaa kali kweli duh!!!!!! Hata.mwandishi amekula dili siamini kama ni profesional wa kazi yake.hiyo, wa kristo tuna mke mmoja tu, ndo ana tambulika, au ulijitongozesha akakukataa??????
Acha ujinga we shenzi kama umetumwa ushindwe mbona hakujitokeza kabla ha jafa? Sasa mbona hakusema mpema? 😅😅😅😅😅😅 aibuuuuu alifunga ndoa haukujua? Weeeeeee muongooooo😂😂😂😂😂
We humjui Baba wa huyo mtoto wako, ulivo mjinga mbona hajakutaarifu kuumwa kwa ke? Huns aibu kutamka kuwa Marehemu alikua mumeo tafuta wako mapema, ondoa Gundu lako kwa Mke wa Heshima
Mwanamke ujunga punguza before mpate mtoto pamoja ungeuliza back ground ya Micheal,,,,qwenda huko wewe...hapo hakuna kitu inaeza semeka bwana na Micheal familia yake tunaifahamu....no...no...no.. .bona unataka kuogeza familia ya Micheal donda na Bado hawajapoa...so painfull 😭😭😭😭
Watu wana machungu yao,kama uyu dada anafanya masiara akamatwe,ukujua kama ana mke wake,kama ni mambo ya uongo,ushauri mtangazaji na dada wote ndani,pumbavuu kabisa amuoni mnavurùga vichwa vya ndugu sasa ulikubali iwe siri,kimekufanya nini leo ujilete azarani, acheni maigizo
Naomba Mungu anisamehe katika hili ila huyu dada anaonekana ni muongo na amepangwa tu kuongea ivyo wewe mumeo unaongea mkavu kama ujafiwa kweli😢jamani hapana kufiwa kusikie tu kwa jirani kwakweli huyu bado 😢😢
Yaan we dada acha ujinga huo NI msiba ulikua wp kipindi chote hicho mwache mtumishi wa mungu utachomwa Moto ww unagombea Mali eti upewe mtaji kutola kwa nank
Mtoto huyo nizawadi kwako na sio kwel kama hukujua ni mume wa mtu inamaana wewe ulikua ukimtafuta muda woote yan wewe ushaapigwa mtoto huyo ni dhawadi kwako na mshukuru mungu kwa ulo
Kama unadai urithi wakat anaumwa ulienda kumwona au unampa dada wa wa2 presha we mchepko acha ujinga fanya mamb yako yanayo kuhusu acha na familiya ya marco mpuuz
Unajiita mke kwa ndoa gani mshenz ww, kwahiyo ukishazalishwa tu ndo unajikuta mke, mali unazozitaka zitakuponza, cku zote ulikuwa wap kuliweka wazi hili unasubili mtu kafa ndo unataka upewe na mtaji kwann marco hakukupa kabla? na ulaaniwe kabisa ibilic ww
Akh shetani yupo anatembea na dada huyu mara anajichanganya hapo awali alisema hawakuwa wanaishi pamoja katikati waliishi pamoja daah umerogwa wwe ama vipi ...huyu hana majonzi kamwe kamtazame vile anazungumza ...eti mume wangu khaaa
We dada hata kama una uchungu na umehua n mke mdgo ungejarbu kuwauliza ndgu wanaokujua wajue wanafanyaje kwa hilo msiba hauish umekosea we n mwiz wenda uijua
Ahahahaha dah ana uso wa ukauzu hata aibu hana et Mme wangu yani yy aseme alikuwa mwzi hatuwezi kumuadhibu dada ukweli wanao yeye na marehemu dahhhh Ila dada zangu hakuna ndoa ya kikristo ya wake wawili.Mungu atusaidie na hiki kizazi chetu
Alikuambia ako na shida ya watoto ukienda kumzalia? Alafu sura ni hiyo ama kuna ingine ndio uwe mchepuko? Pea mjane time aomboleze mume wake nan hajui kama alikuwa ba bibi
Kwanini hakusema isesiku marco alikuwa muzima 😭😭😭😭😭😱😱😱🙈🙈🤮🤮🤮🤮Heaven fathere protest that young woman who is starting facing this challenges 🤮🤮🤮🤐🤐🤐funga mudomo dada kweri,kweri??😱😱😭😭😭
Tunarudi darasa la sheria, cheti Cha ndoa Kiko wapi Kuhusu mgao wa Mali kwa mchepuko ni asimia 30, ikiwa anadai talaka Alafu Sasa evidence of parentage is DNA Je imethibitishwa , Narud kwa wanaume wenye familia zenu , je hamridhiki na wake zenu na kwanini msiwe waaminifu katika ndoa??????
Jamani msifikiri aliyekufa alikuwa mtakatifu kwa sababu yakuimba kwaya.
Mungu ndie anajua mambo yake ya siri na yataonekanq wazi
Pamoja hatujakamilika ni biinnadamu sisi
Kabisaaa nipe tano ya juu😂😂😂 ndio waislam wamepitisha mke zaidi ya mmoja
Ndio hatukatai ila kwanini asubili afe ndo aje kusema😮😮😮😮
Waaah nimeshangaa
Sawa kwa nini asubili afe mbona hakusema mapema
Mmmmmmh!!!!! Kuna mambo chini ya jua!!! Mmh!!!! Pole San dear mama au mke halali WA Marco jipe moyo munguvhatokuach Wala hatokupungukia 💕💕💕💕
Uyo mama na mtangazaji wote wapumbavu sana
Kwanza walianzaje kumkaribisha msibani wangemburuza winji winji 😂😂
Na lafu kuma tu
Acha ujinga!et mme wangu.uliolewa kwa ndoa?yaan mtu hajazikwa et ushaanza kudai urithi?na ww mwandishi ningekuwa karibu na ww ningekuchapa vibao.maana unahoji mambo ya kipuuz wakt watu wana majonzi.pumbavu sanaa.
Tena Kofi la kisogo Ili ku restore setting za ubongo koblaa kabisa😢
Ahk
Kwa kosa Gani Sasa yaani wakristo Sheria ya mke mmoja inawatesa sana mbona kwenye biblia Kuna Watu walioa wake wengi na Mungu akawabariki Watu hao
Hao ni wazimu wawili wamekutana wanataka kutrend wakati mbaya washindwe sana
@@MashakaMagesambona hakuja mapema mbona ungojee mtu afe ndo ujitokezee
We mpumbavu sikia tukupe habari. Sisi wa sabato hua hatunaga ndoa mbili ndoa ni moja tuu namke anae julikana ni mmoja mke wa marco na sio ww,,,,,kwanza ww tukuulize unawajua ata ndugu zake na kama ni kweli kwann asikutanbulishe ata kwa ndugu ata rafiki,,,,we dada katafute baba wa mtoto wako acha kumchafua mtumish wa mungu kwanza hufananii kabisa. Pole sana
Kuweni makini na hayo maneno yenu huyu dada sio chizi,,usabato na matendo ya mtu ni vitu viwili tofauti
Punguza kashifa kwa huyu mama mtumishi wa mungu unamjua
Pore sana mama
Nimecheka sana.... hafananii na nini?!?! Yaani umeuvaa uhusika wa marehemu?!?!
Niko na wew kabsa Hana akili yeye angekua ndo mke wa kwanz ingekuaje ni hv hakuna wake wawili kwa wakristo alambe lolo2 asituchoshe Kwan lazma atangaze
😢😢yoooh mungu akulemu we mama hivi ukimucafuwa malehemu unajiskiaje? 😢na wewe mungu akulehemu pia
Yaani michepuko inavyopendaga kujipa Hadhi ya mke uwiii!!
😂
Eti mi mke wake duh,
Usijue iyo viipii!!
Wakati marehemu alikuwa superstar duuh!!
Alaf mkavu na uyo anaemuhoji m wananiuzi
Muongo uyo mpumbavu sana
Maybe they are just acting @@user-su8ih2qf8t
😭😭😭😢 Mungu anawaona atawalipa kwa wajati wake wew mwanamke na mtangazaji wake acheni kuchafua kanisa la Mungu
Acha ukuma
Huyu dada mjinga sana anatumiwa na Ibilisi kulichafua Kanisa la Wasabato Shida sio mali ila ametumwa kulichafua Kanisa la Mungu.😭😭
Angalia macho ilivyo simama kama mganga
Sasa kama ana mtoto wake ni vibaya, kanisa halihusiki kwani alikuwa malaika
Ujinga wake uko wapiii kusema ana mtoto wake au?
@@innocentfortunatus725 Hio sio kweli kama ingekuwa kweli angeenda wakayamaliza kifamilia sasa mtandaoni wamsaidie Nini kama hajatumwa na Ibilisi?
Shetani hana aibu anasema yeye ni mke haja olewa utakuanjee mke
Sema Kiki Zitawaumizaaa Wallah Nawaambia Umaarufu Utawaponzaaa kiki Zinawaumizaaaaaaaaaa
Huyu kunguni hana hata haya😂😂😂
😂😂 Yaani hana lolote
Huyu mdada jinga ata akijitangaza hapati chchte
Wanawake wanahangaika jmn unaiba mume wa mtu unajitangazaa 😂😂😂aloooo bongo bahati mbaya 😅😅
Kama inakuuma mbn huna machozi macho makavu km gazeti la wiki kenge wew yaan huna hata hayaa kuhojiwa .unajiita mke hujulikan kwwnye familia 😂😂
Bongo ukiwa na stress utakufa . Yan dada senge hili
Tanzania sihami kwakweli 🤔🤔🤔
Nitafanya juu chini, mpaka mkamatwe mshatakiwe. Mdhibitishe hili, hizi tabia za kuchafua watu mnadhani ni jambo dogo sana, hii itakuwa mwisho. Jiandaeni kisaikolojia kushughulikiwa
Naam, this is good, wakamatwe yeye mwanamke huyu na mtoto, wakapime DNA ya mtoto pamoja na kaka wa marehemu, ikidhibitika vinginevyo sheria ichukue mkondo wake.
We Dada mwogope mungu hizo Kiki zitakuponza
MJINGA MKUBWA SANA SANA WEWE...NYUMBA HAZIJAGAWIWA NA BADO HAJAZIKWA....KWANINI HAPO UKO SEHEMU FICHE HAPO SO MSIBANI
Waongo Hawa jamani sehem yenyewe na mtu mwenyewe hataongea yake anaonekana muongo
@@user-hj5mv9bc9p huyu dada kama mganga wa jadi vile
Sasa ujinga wake nini?
@@user-hj5mv9bc9pndio maana Waislamu tunao zaidi ya mke mmoja, haya sasa michepuko kwenu ndio ruhusa. Haya wifi ndio huyo apewe haki yake
We mdada Mwongo jicho kavu kama la Ahmed Ally🤔
Mdada jicho kavu, Hana hata haya!😢😢 Kwa nini hakujitokeza before😢 kuweni na hofu, God is watching,,,!
Achen kumdhalilisha mtumish wa Mungu...kapiga vita vyema kashalala mnaanza kuleta maneno...Mungu akuadhibu...
Huuu ni uongo,,,haiwezekani kuwa hujui kuwa ana mke,,,wewe ni mharibifu wa NDOA za watu,,,acheni kumdhalilisha mtumishi wa Mungu!! Sio make hivi unajuwa maana ya mke?
Ungekuwa mke angekuwa anawajibika,,,,iweje akusaidie kulea?
Wacha kuzuia OLE za Mungu zisiwafikie watu.
Mtu anajulikana hadi kwa ndg wa marehemu, wewe umekalia kusema mtumishi wa mungu.
We endelea kuona watu kwenye Tv na kuwaona majukwaani. Ni ujinga mkubwa, na kutokuijua biblia.
Kuna mtoto alieachwa anahitaji kutetewa. Sio kila kitu ni kutafuta kiki mitandaoni
Hatumuoni msibani mmejifungia sehem tu mkome na mungu awalaani
Acha ujinga kumzalilisha wakati alizaa nnje na mtoto wake anahitaji elim namalezi lazima watoe iyo nidamu yako
Acha usenge we malaya,,mchepuko tangu lin ukalis mali,,nchi ina visa hii
Usenge wake nini, kosa la marehemu kuwa na mchepuko. Marehemu alimuongopea kuwa hana mke
Hahaha
😂😂😂😂haki nacheka kwauchungu sana ila mungu tu atupe mwisho mwema
So you believe her??@@missamirajiiddy7077
@@missamirajiiddy7077where was she ??while Marco was live??isitoshe she says that she never new Marco had a wife,media zipo , etc am Kenya bt awache ujinga
Oh my goodness, bona wee mama ukuwai jitokeza ukiwa na ujauzito wake surely do ata bibiye ajue? Ata hauna huruma kabisaa unaumiza bibi ya mwenda zake ak!
Unaongea kwa ujasiri dada lakin hunaakili vizuri kwenye kiki hii umekosea marco ulivyo kua ukimwona kwenye nyimbo kama sweet sweet alivyokuaakimkumbatia angel ulizan dada ake??
😅😅😅😅😅 kwanza yy kila kitu hajui. Alikupigia kukwambia anaumwa hakunambia
Acha kutuchafulia Imani yetu wewe, sisi hatunaga wanaume wachepukaji wala wanawake, na ukiwaona basi nisabato jina tuu, sie wasafiri wakwenda mbingun, mwache mke wa marehemu atuliepo walao, mali tafuta zakwako. Au mtoto akapimwe DNA😊
Hahaaaa waambie ukweli na huyo mwandishi msenge tu
Hizo story za kutengeneza kila siku watanzania mnakamatwa hamjifunzi....
KINDLY POLICE KAMATENI HAO WOTE WEKA NDANI WAFUNGENI KABISA ILI WENGINE WAZIDI KUJIFUNZA BiG JOKES 😮
Huyu dada mchawi
Mimi nimkenya nanilikua namheshimu sana Marco. So waende dna wajue ukweli, mimi siamini, mtumishi wamungu alikua nataadhima kuu sana.Mungu wambingu ablaze roho yake pema peponi, kwafamilia yake poleni sana.
Uongotu
Naye ana haki mpeni mali kidogo
Msimtukane dada wa wa watu
michepuko poleni maliuja tafuta naealafu unataka mali sahauuuuu😂😂😂😂😂😂
Mungu awaadhibu wewe na mutangazaji 😢zababu tanzania 🇹🇿 ninyi mumezidi sana 😭😭😭 mufe mukiojiana 😭😭😭
Chukua kama funzo, ikiwa kweli unataka kuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
Ukizuia watu waseme, itamaanisha kuwa unatumika na shetani kukandamiza kweli ya Mungu isiwafikie watu
Ukweli na iwe ivo ,,,,cjui ak MUNGU ama nisemeje?
Nyie wa Tz hamna haya kwahuzuni hyo mtu unatoap nguvu yakujitokeza mara hii from Kenya sijapenda ak
Aky matakataka
Nop apo naona mtakazaji Hana shida juu yeye tu ni mtumwa yeah Hana shida mwenye shida ndio uyo mama apo
Mtangazaji ungetafuta jembe ukalime halafu hujui hata kazi yenyewe mnamdhalilisha MARCO wa watu kwa kutaka vijisenti vya hapa duniani kweliiii MUNGU ATAWAADHIBU SAWSAWA NA MNACHOFANYA
Aeleze vizuri aseme tuu ya kwamba kabla marco hajao yeye alikuwa na mahusiano naye ila baada ya marco kuoa ndipo mahusiano yao yakavunjika . Sitaki kuamini kwamba marco wakati anahuduma anamtumia Mungu Alikuwa anamcheat
Kweli kabisa
Point
😂😂😂😂😂
kwani hapo lajabu lipi kwani malehem alikuwa malaika kwahiyo mtu asiongee ukweli??
Huyu dada ni mpumbavu.hamna ukwe ndani yake.
Anatafuta kiki ilinayy aonekane mtandaoni.
Mbona hata chozi hana
Nyie yaan hata huo mchezo hamjaucheza vizur mtangazaji hujui huyo Malaya AKO HAJUI KUIGIZA KENGE NYIE
Cjui nicheke ak
Awajaweza kabisa
😂😂😂😂
Acha umalaya we dada samahani usimchafue😢
@@EliushindiPoul umenena ndipo👍👍👍👍👍👍👍👍
We malaya,toka shetani kati ka jina la Yesu.hivi njoo unaona kuj kutaj kam una mtoto na Marco we shetani,acha mtumishi wa Mungu apmuzik kwa amani.
😂😂😂
@GlokwerryMariki-ee6dc
Kama ni kweli damu yake huyo mtoto atapewa haki yake
Wewe unayemtetea huyo mtumishi wako ulikuwa kwenye moyo wake? Acha hizo, watumishi wengi wanawatoto nje ndoa
@@LAZORANAILSwaaah kumbe hakuna mtakatifu Hadi Marco Ako na mpango wa kando
Huyu msenge sana mwenzio yupo kwenye majozi na anamfwata ety mume wangu mjinga wewe mwanamke koma kabisaaaa ungekuwa mstaarabu basi hata ungesubiri afu ndo uanze mambi ya mali.....toka weweew mwanamke afu anaongea kwa ujasiri 😢😢😢asa wewe ni mke yupi hata wazazi hawafahamu daaa....mke hata mahali hamna unanitia kinyaaa mbwa wewe wewe ungejitambulisha kama mchepuko sio mke daaaa.........mchepuko wewe
Acheni bibi ya marehemu azike mumeo kwa Amani. JIHESHIMU MWANAMKE.
Anatafuta laana.
Ten ajiheshmu haswaaaa ety mume wake hat hakajielew haka
Wanadamu ukristo ngumu kweli,mungu atusaidie sana na atupe uvumilivu wanawake wote, shetani ni mwongo,,,,me from Kenya utamwamini nani,kama wakristo ni hao,maaaaajabutu Kwa kafiri kama Mimi,men still men
Kwani unaposema utamwamini nani yeye mtume, nabii au ni binadamu wa kawaida mwenye kipawa cha uimbaji!? Binadamu wote sio wakamilifu ndio maana tukapewa toba! Tulishaonekana ni wakosefu ..hamjasikia mchungaji kafumaniwa au shekhe ,ustadh kaharibu mahali! Tusihukumu tumuachie Mungu hata unapokuwa kwenye ibada fuata neno linasema nini sio yule muendesha ibada anaesoma neno anafanya nini!
Yani huu anamuchafuwa tu nakuchafuwa ukristu lakini shetani Hana nafasi
Kuwa makini usipende kuamini kila kitu. Hii ni mbinu ya adui shetani kulidhoofisha kanisa. Jifunze kwa hayati Prophet TB Joshua, Usishangae hata akifa Mtumishi wa Mungu mkubwa leo watatengeneza skendo kama hizi wakijua kabisa kuna wakristo wakisikia hivi watakata tamaa wokovu
Shida ni kufuta kitu chema alichokifanya Marco, kwanini asiende huko kwenye familia aje huku mtandaoni, angetuambia basi mtoto wake amekataliwa aweke na ushahidi,, wewe Dada na mtangazaji wako mwogopeni MUNGU acheni kiki
Acha ujinga umalaya umekupoza ndo faida hiyo mjinga wew kuharibu ndowa zawatu
Sasa unadai ni mume wako na kwao haujapelekwa...acha tamaa😂😂😂😂😂
Akisema mume wangu nasikia kutabika😂😂
Mume wako vp na hujaolewa jamani? 😮😮
Huyu angekuwa Kenya to ungemnyorosha vizuri
Mume wake kiaje,aaje ujinga huyo mwanamke
Dada pole umepotez@ mwenyehaki ni Mke wandoa enderea kutafut danga mwingne😂😂😢😢😢
😂😂😂😂😂 hatari sana damu ya watu arudishe,,,, ili akadange vzr,,,, ila hopo kunaukweli sema dada yetu kajichanganya. Rudisha damu ya watu,,, wanaume kudanga ni haki yao
Kama ni kweli mtoto wa huyo marehemu atapata haki yake
Umeona eeeeeeh hana akili zero brain
😂😂😂😂
@@fridagustaphmwenda6658haki gani
Yaweza kua ni ukweli Yuko na mtoto wake mbona Mimi sijaenda hapo nikadai Niko na mtoto muache kumtetea Marco anae jua Siri zake ni MUNGU
Tafta za kwako achana na maswala ya urithi dada Kwan mtoto mmja unashindwa kumhudumia 😂😂
Mhhh Yan mfiwa ndo anakuwa na uso mkav Kama nn, araf ww Marco alvo maaruf usmjue mke wa wake kwel mungu anawaona
Haon hata aibu et mume jaman
Makubwa
Kabisa yaani mtu marufu Kama huyo husijue Kama anamke he michepuko daini haki mapema kabla wajafariki duuh hii kali
Bwanako na hauna huchungu Hadi macho yamekauka kama unakariri shairi? May God give you knowledge
Marehemu nani mbona hutaki jina lake msenge sana wewe mwandishi mpuuzi sana yaani maelezo yako tofauti na kichwa cha habari narudia tena mwandishi msenge sijui kutukana lakini mwandishi malaya sana wewe mwandishi tena mpuuzi sana
Shalom, nakumbuka kuna mmama huko Rwanda anakuja kwa mtumishi wa Mungu agasema anamtoto wake kwer niuongo, Mungu wasamehe waongo niwengi
Ulichukua majukumu gani wemwanamke kualibundoa yawatu
Uyo nimushenzi kbs zamani amekuwa wap lofa san
Mwanamke wa hovyo sana huyu dada mjinga siku sote hujatambulishwa kwenye familia ya mume unasubiri akifa ndo uje kujitamubulisha mwenyewe acheni ujinga michepuko tafuteni waume zenu acheni waume za watu huna haki atakidogo weww mbwa
We ubwaa kweli
Ulaaniwe wewe dada unawezaje kumchafua mtumishi wa mungu
Ako na ujinga mwingi ata kuigiza halijui alie fiwa hawi ivi linakera na lisura lipana kama nn mungu n samehee ila lipuziii
@@user-dc2nr7pu9y hapa hamna laana ni mungu atusamehetu, ukristo kamili ningumu,iyo make wapili,shida ni kujifichatu...
Eti hajui kama ameoa ila watu bhana kuwa na akili watu wanaomboleza afu wewe na mambo ya ajabu iv uoni aibuu
Kilichokupeleka nimalitu Mungu atawanyosha
Yaani mtumishi wa Mungu anaweza kujishusha na kuwa na mwanamke wa type hii? Si kwa Usabato tunaoujua ukihubiriwa.
Kwenye k watu wanazama tu
Iyo mim siwezi amini uyo mwanamuke asiaribie mujugaji safari yake ya mwisho ashidwe katika jina la yesu
Huyu ni fala sana
Huyu mama hana hata uchungu wa kufiwa na mme yupo kimaslahi zaidi Mungu anamuona
Kwani hujui michepuko unatafutaga nini kwenye ndoa za watu
Hahi hili jitu halina hat aibu mimacho sasa kuyazungusha ulikuwa wap zamani umechanganykiwa maisha huna lolote
Huyo mwanamke Ako n ujinga sana ningekuwa karibu ungetoka mbio bila kiatu kwa mguu,,mshenzi ww komaaa😊
Kam alivyokom ziwa la mama ake tena asituuchoshe
@@AmonBora-ve5si kweli kabisa
Mme wako haunata haya kweli eti unadai mali Dunia kwili imefika ukingoni hatakuogopa dhambi hakuna,eti mme wangu ushindwe we malaya kwajina la Yesu kazi yako kutamani wa ume za watu Mungu anakuona
Ww ni mjinga pamoja na huyu mtangazaji mbon hukujitokeza wakati.yupo hai😂
Uko mpumbavu emu acheni kumchafua kaka wa watu mke utakuwa wewe pumbavu jicho lenyewe kavu mmeona kuna hera tu mmeanza choko choko kumsumbua huyo dada emu muacheni amlilie mume wake
♥️🙏🎉
Mke kachunda hiv hajui hadh za wake nn?ety million 3 na laki 6 ndo ampelek kayumba na atafut danga lingn😅😅😅
Yan we mwandishi ningekuwa na uwezo nngekufunga maisha yako yote acha ujinga pumbavu mkubwa ww aspewe hana chet cha ndoa ndo sheria yetu wakristo
Dada kuwa na hofu ya Mungu,acha kumchafua mtumishi.takataka ya shetani
Mtoto atakuwa,na Mungu atamuongoza zaidi,kikubwa dada asiwe anaongopa,watumishi wa Mungu wana upendo
Jamani ata wiki alijaisha duuu pole mke wamalehem michepuko mnatuumiza jamani maumivu juu ya maumivu
Wanalipwa pesa ili wahalibu mtumishi wa Mungu,
Tamaa ya huyu dada,lakini waimbaji wa sasa wake wanawake ni malaya sana hadi kichefuchefu hawamuogopi hata Mungu wanao Matha kwenye nyimbo zao
@@alunekyusa4905 nihatar, lakiki basi atuone hata sms kweny sim ili tuamini
Hajapewa mali coz hujulikan na kabla hajafariki mbona ulikuwa hujajitokeza kujitambulisha, sasa mbona unakuwa muongo maana unasema ulikuwa hujui kama ameoa mara ulijua mtoto akiwa na miaka miwili, kwenda zako mnamchafuria jina marehemu
Mbona watu mnadhalilisha maana ya neno MKE,
1. je ana hati ya ndoa, 2. anafahamika ukweni
3. Kwa desturi za ukristo mke ni mmoja tu ss yy anajiitaje mke na ili hali marehemu ana ndoa ya kikristo tayar.
Hapa msema kweli ni DNA tu na mengine yataendelea bde
Serikal inatambua mke endapo kaishi nae kuanzia miez 6 kwaiyo anahaki ya kudai
Msikie anavyokazana ety mume wangu 😂 wacha kimrambe ajiandae kulea mwenyewe alishazoea vinono na mume wa mtu
Serikli hutaMBUa mke mkubwa tu
@@angeldanniel2041NOPE SI kweli huyu ni mchepuko si mke halali
Acheni ujinga. Mnajua maana ya mme nyie? Kiki za kijinga.kabisa.
Wewe mwanamke kama unataka Kiki Mungu akupe mkuki
😂😂😂 mbona mkuki 😂
Tena wa motooo
Sema naishiwa
Kweli dadangu 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂kabisa
Kwanini mnapenda kusumbua wafu.Mbona hukujitokeza akiwa hai.
Mmeshindwa kuigiza kabisaaaa duh!! Kweli dunia siyo mbaya binadamu ndiyo wabaya!!!!!
Du ,jamani huyu msichana huna aibu hata kidogo mungu anakuona, alafu hizo Mali hazikuhusu kama ulishindwa kumiliki akiwa hai imekula kwako
Wizi na umaskini
Msiba haujaisha nyumba zimetolewa vp?
hiiii nchi sihami ata kwa bundukii
Wewe ni malaya tu
Ata sura nmalaya tu
Ata kuongea kwake mjinga mkuu nkt
Siyo malaya kwani kuzaa sikupo wanaume wangapi wamezaa nje ya ndoa msimtukane kwa hilo jamani
Wanaume wanashindwa kujitambua sababu kuogopa wake zao lakini wanaume wengi wanawatoto nje sana mtoto ana dhambi gani matusi mengi tu mtoto baraka tulitambue mlete kwangu nimlee wakimkataa umeongea ukweli wanaume jisimamie sana swala la watoto nje unakufa ndo wanakuletea mtoto sema mapema bila haibu
Jamani we Dad's la kweli ilikuwa mwizi Kwa familia ya Marco, basi ulivo muibia mke wa marehemu ni vingi, Marco hayupo Anzisha kwingineaana we ni mzoefu hata Mamako ndo alivo Mnafurahia kifo Cha mtoto wa mwenzenu, mmm
Mchawi wewe kwenda huko Malaya wewe mtu hata hajazikwa unadai TU mahari ni kama kifo chake kinamfurahisha mjinga sana wewe
Huyu dada njaa kali kweli duh!!!!!! Hata.mwandishi amekula dili siamini kama ni profesional wa kazi yake.hiyo, wa kristo tuna mke mmoja tu, ndo ana tambulika, au ulijitongozesha akakukataa??????
Ati watanzania wakutetee?kivipi mi ni mkenya lakini sikubali uko na wivu juu marco hawezi akakuwa tena.unatake advantage mchawi wewe
Mmmh dunia nishushe nipumzike , mwanamke mwenye akili zako timamuma huwezi fanya huu ujinga,
Hii dunia hii Mungu tu ndio anajua kesho tuu
Rest in peace mar6😂❤❤❤
Muke wapili Ako na makosa angesema mapema3
😅😅
Hiyo hatar sana mtoto apate haki Yake ndugu wa Mme walione hilo
UONGO MKUBWA NYIE MNAONA HAPO NI MSIBANI????? NA WEWE MALAYA ULIKUA HUONI KAMA ANAIMBA NA MKE WAKE
Shangaa na ww anafany na komwe
@@vailethmsogoth8235
Kajinga ako ka Malaya.....
Huna nitoroka na nikifa ndio unakuja kudai no mliachana ,kaa kitako sister😂
Hivi kwann mnapenda kuchafua watu kwa maslahi yenu hadi marehemu mnachafua kusudi lenu ni nini?
Mtangazaji ungemwambia akuonyeshe no ya marehem
😂😂😂😂😂😂jmn umetisha
Eeeeeh ndio tujuwe
Mtangazaji mwenyew mkundu kabxa
Huyu Dada ni muongo Mara aseme Ni mumewe Mara alikuja kujua anamke jmn haelewek
Hata angeonyesha mawasiliano hata kwa simu vile walikuwa wakiongea
Acha ujinga we shenzi kama umetumwa ushindwe mbona hakujitokeza kabla ha jafa? Sasa mbona hakusema mpema? 😅😅😅😅😅😅 aibuuuuu alifunga ndoa haukujua? Weeeeeee muongooooo😂😂😂😂😂
mwogope mungu abiya mbona unawadhalilisha watumishi wa mungu jaman duuuuh😭😭😭😭
Una haki ipi wewe? Mwenye haki ni mke alietafuta nae izo mali kama alikua na wewe mngechuma pamoja nae
We humjui Baba wa huyo mtoto wako, ulivo mjinga mbona hajakutaarifu kuumwa kwa ke? Huns aibu kutamka kuwa Marehemu alikua mumeo tafuta wako mapema, ondoa Gundu lako kwa Mke wa Heshima
Mwanamke ujunga punguza before mpate mtoto pamoja ungeuliza back ground ya Micheal,,,,qwenda huko wewe...hapo hakuna kitu inaeza semeka bwana na Micheal familia yake tunaifahamu....no...no...no..
.bona unataka kuogeza familia ya Micheal donda na Bado hawajapoa...so painfull 😭😭😭😭
Watu wana machungu yao,kama uyu dada anafanya masiara akamatwe,ukujua kama ana mke wake,kama ni mambo ya uongo,ushauri mtangazaji na dada wote ndani,pumbavuu kabisa amuoni mnavurùga vichwa vya ndugu sasa ulikubali iwe siri,kimekufanya nini leo ujilete azarani, acheni maigizo
😂😂😂😂 eti unaomba watanzania wakupe mali, acha ujinga wewe kadange tu huko😏😏😏
Naomba Mungu anisamehe katika hili ila huyu dada anaonekana ni muongo na amepangwa tu kuongea ivyo wewe mumeo unaongea mkavu kama ujafiwa kweli😢jamani hapana kufiwa kusikie tu kwa jirani kwakweli huyu bado 😢😢
Yaan we dada acha ujinga huo NI msiba ulikua wp kipindi chote hicho mwache mtumishi wa mungu utachomwa Moto ww unagombea Mali eti upewe mtaji kutola kwa nank
Mtoto huyo nizawadi kwako na sio kwel kama hukujua ni mume wa mtu inamaana wewe ulikua ukimtafuta muda woote yan wewe ushaapigwa mtoto huyo ni dhawadi kwako na mshukuru mungu kwa ulo
Kama unadai urithi wakat anaumwa ulienda kumwona au unampa dada wa wa2 presha we mchepko acha ujinga fanya mamb yako yanayo kuhusu acha na familiya ya marco mpuuz
Macho makavu muongo mkubwa unamdhalilisha marehemu kweli,ungekuwa muungwana wala usingesema chochote,baada yamazishi ungewaona wazazi wake,huyo mtoto ni zawadi Yako ww lea.
Unajiita mke kwa ndoa gani mshenz ww, kwahiyo ukishazalishwa tu ndo unajikuta mke, mali unazozitaka zitakuponza, cku zote ulikuwa wap kuliweka wazi hili unasubili mtu kafa ndo unataka upewe na mtaji kwann marco hakukupa kabla? na ulaaniwe kabisa ibilic ww
Akh shetani yupo anatembea na dada huyu mara anajichanganya hapo awali alisema hawakuwa wanaishi pamoja katikati waliishi pamoja daah umerogwa wwe ama vipi ...huyu hana majonzi kamwe kamtazame vile anazungumza ...eti mume wangu khaaa
Aache ujinga mwenzako bd ana machunus Acha kumchafua
We dada hata kama una uchungu na umehua n mke mdgo ungejarbu kuwauliza ndgu wanaokujua wajue wanafanyaje kwa hilo msiba hauish umekosea we n mwiz wenda uijua
Yaan mna Bahamian mm sio mke walk ndugu wa Mareham ningekufyeka huo mdomo kunguni wewe na huyo anayekuhoji ningewachanganya ona sura kama papai
Wadada wananjaa tafuteni ela zenu kumanina nyie ndio maana munalawitiwa yani ingekuwa mimi nakumwagia tindikali 😂😂😂😂😂 🏃🏃🏃
Ahahahaha dah ana uso wa ukauzu hata aibu hana et Mme wangu yani yy aseme alikuwa mwzi hatuwezi kumuadhibu dada ukweli wanao yeye na marehemu dahhhh Ila dada zangu hakuna ndoa ya kikristo ya wake wawili.Mungu atusaidie na hiki kizazi chetu
Alikuambia ako na shida ya watoto ukienda kumzalia? Alafu sura ni hiyo ama kuna ingine ndio uwe mchepuko? Pea mjane time aomboleze mume wake nan hajui kama alikuwa ba bibi
Nyie Malaya was nje Hannah aibu ulisi was Malaya anaeingilia ndoa ya mtu nikupambana na Hali yake katafute banana mwingine mmbwa usiejiheshim
mbona unakuwa mjinga dada kwann unakubali kudanganyika na marafikizako tafutapesa hata sisi nimasingle mother ila tunaishi pambanatu
Lakini kama ana mtoto ni wake ndugu wanajua? Basi hekima ihusike hapo. Sisi ni binadamu kukosea ni sehemu ya maisha Yetu. Kukosea hakuna dini.
Kwanini hakusema isesiku marco alikuwa muzima 😭😭😭😭😭😱😱😱🙈🙈🤮🤮🤮🤮Heaven fathere protest that young woman who is starting facing this challenges 🤮🤮🤮🤐🤐🤐funga mudomo dada kweri,kweri??😱😱😭😭😭
Tunarudi darasa la sheria, cheti Cha ndoa Kiko wapi
Kuhusu mgao wa Mali kwa mchepuko ni asimia 30, ikiwa anadai talaka
Alafu Sasa evidence of parentage is DNA
Je imethibitishwa
, Narud kwa wanaume wenye familia zenu , je hamridhiki na wake zenu na kwanini msiwe waaminifu katika ndoa??????
Huyu dada kwan hana wazazi jmn mbn anatia aibuuuu jmn hlf hy mwandish nae anavyojifanya mtakatifu utadhan hachepuk😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Huyu mpumbavu sana atakuja baadaye ajidai anaomba radhi kwa kumsingizia marehemu . Halafu hii story haina uhusiano na Zabron
Mungu akusamehe mdogo wangu maana hujui unalolitenda pia maji yakishamwagika huwa hayazoleki
Fara huyo, apeleke njaa zake huko! Alikuwa wap asubiri marehemu azikwe?! Wanawake wengine