VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 155

  • @dottohami
    @dottohami Рік тому +21

    Huyu kaka hata hajisikii kabisa masha Allha 😘🔥

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Рік тому +24

    Uzuri wa jamaa ajisikii kabisa kabisa.yuko kawaida sana.mungu akuongoze mkaka

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Рік тому +10

    Kama ni kweli mhe joketi amezalia hapa, salute kwake👮‍♀️.. Jamaa kapoa we muache adange ila Umejua kuchagua🤓🤓

  • @yumnaaa4057
    @yumnaaa4057 Рік тому +10

    Love you vunja bei🥰

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 Рік тому +12

    Yaani huyu vunja bei yuko vizur sana yaani kapoa hana kelele anajibu kutokana na maswali anayoulizwa wala hajimwambafai yupo kama muha wa kigoma!

  • @sistermery4581
    @sistermery4581 Рік тому +10

    Kaka uyu ni genius sanaaa i love youuu

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 Рік тому +8

    Huyu jamaa ni genius sana

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Рік тому +6

    Wema ame ingiya kwenye familiya na ku unganisha watu
    Ndo sifa ya mwanamke 😍😘

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 Рік тому +14

    Rich and humble 🙏🏽♥️ thats why he keeps growing.

  • @kysredy6498
    @kysredy6498 Рік тому +21

    lla vujabei bhana 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 ana kicheko cha KIBOSS sana 👌👌❤️❤️❤️❤️

  • @milleniumkibasa8773
    @milleniumkibasa8773 Рік тому +9

    This is so intelligent I appreciate so much

  • @victoriakajembe7716
    @victoriakajembe7716 Рік тому +3

    Very gentle nakupataje Fred nipate ushaur wa kibiashara

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +4

    Saaafi saana Fred amemkubali Chimama👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🥰😍😍😍

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Рік тому +7

    Kheee Matunda ashakua yule dada jamani nyie mapenzi haya 😂😂😂🙌🏻

  • @fatufatu5754
    @fatufatu5754 Рік тому +7

    Binafsi namkubali sana Fred , nataman uwe tuu joket uache yote Kwan maisha ndo haya haya tuu kaa bana na DC wetu mm napenda mkiwa pamoja

  • @godfreykanelela9139
    @godfreykanelela9139 Рік тому +4

    Very intelligent man

  • @Siti_maroneit
    @Siti_maroneit Рік тому +5

    Kajibu kisomi sanaaa.woow

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Рік тому +8

    "Ninatakiwa niwe kwenye kushukuru" we vunjabei😍😍😍

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Рік тому +8

    Hili jamaa linaonekana lina madigrii kwa sana

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Рік тому +2

    Bos kama bos ...vizur sana

  • @pozclever854
    @pozclever854 Рік тому +8

    👍👍👍👍

  • @sabrakimaso3547
    @sabrakimaso3547 Рік тому +4

    Good

  • @gracejoseph9451
    @gracejoseph9451 Рік тому +1

    Nakukubali sana kibiashara Kaka ww na mond mnajua kupambana

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Рік тому +6

    Mtangazaji sauti kali sana

  • @margaretlyimo2215
    @margaretlyimo2215 Рік тому +1

    I like it

  • @FatmaAbdala-bu9zl
    @FatmaAbdala-bu9zl 3 дні тому

    ❤❤

  • @nanziamsifuni8090
    @nanziamsifuni8090 Рік тому

    Asante kutuletea duka zuri.

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 Рік тому +4

    Tyrese

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Рік тому +1

    Msomi ni msomi tu fredy huwa hakwep swali anajibu nicee

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Рік тому +7

    Angekuwa kaka yangu huyu ningechota sana madini kwake

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Рік тому

      Tunajivunia natunashukuru Mungu kwakweli

    • @peterdavid4230
      @peterdavid4230 Рік тому +1

      umazaliwa kupambana na kumcha Mungu na kupata mahalifa acha ushoga

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 Рік тому +1

      Tuache unafiki this man ni zaidi ya mo kwa vijana wanaotafuta maisha ana madini kwa entrepreneur

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Рік тому +2

      @@ramamrutu4914 hujakosea kk wenye chuki hawaelew

  • @lightnessmsangi3148
    @lightnessmsangi3148 Рік тому +3

    Yaaaani pesa haina kelele
    Jamaa yuko simple sana

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Рік тому +3

    Nkajua Mikono ya alliya imeshika mic🤣

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 Рік тому +4

    Huyu kaka ana akili sanà

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +1

    Sawa fred

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 Рік тому +2

    Vunjabei na niffa Tena situmekubaliana fungal mwaka harmonize na kajala 🤣

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Рік тому +1

    kusamehe ni jambo zuri

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Рік тому +4

    Nataman siku moja uwe Rais wa Tanzania kaka yaan husikii wala nin 🥰🥰

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Рік тому +6

    Ccm ni Yanga achana nao afu huendani nao ishi na Chadema bro

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 Рік тому +36

    Mtangazaji anamikono yakike kweli😁

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Рік тому +4

    Vunja bei ana akili kubwa

  • @saradaniel4579
    @saradaniel4579 Рік тому

    Fred 💎💎💎💎

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Рік тому +2

    Hivi na king msukuma nae si ni dokta eee

  • @salimmdule405
    @salimmdule405 Рік тому +8

    As a group😂😂 wamesamehewa

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Рік тому +18

    Huyu mwamba ninahamu Sana kuonana naye ili angalau nipate hata Kijiko kimoja cha Madini ya upambanaji hasa kutafuta pesa. VUNJA BEI

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Рік тому

    👏👏👏

  • @Luscious6826
    @Luscious6826 Рік тому

    🤣🤣 as a team wamesamehewa

  • @fredrickyjames3689
    @fredrickyjames3689 Рік тому +1

    kaka njoo kwenye beti kaka kama una bahati ya kushinda maana mikeka huku so poa yan njoo utupe tips

  • @officialthekillertzbaddest8315
    @officialthekillertzbaddest8315 10 місяців тому

    Ok vunjabei

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 Рік тому +3

    Uzuri wetu wakinga tunasambaza upendo hatunaga vinyongo

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael6138 Рік тому

    Mashem noma sana

  • @iddymbuma2856
    @iddymbuma2856 Рік тому +2

    Sisi tunasapoti had mwisho

  • @naymar8823
    @naymar8823 Рік тому

    🤣🤣🤣 mashem Shem🙌🙌

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 Рік тому

    nakukubari mwamba

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 Рік тому

    Sema jamaa yupo sirious iv ayupo kweny chama kweli cha freemason mana mmmmh 😁🙆‍♂️🤭

  • @deusmallya3384
    @deusmallya3384 Рік тому +1

    👊👊👊👊👊

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    👍🙌📌

  • @tunuwarsam1762
    @tunuwarsam1762 Рік тому

    Mashemshem😂😂😂😂🙌

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Рік тому +1

    Mbona hajaongea vibaya,,Tunda amemtukana bure huyu kaka

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Рік тому +3

    Sasa kama hapo amejichubuwa huko mwonza alikuwaje

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 Рік тому +2

    mpambano uendelee🤣🤣🤣🤣

  • @MaaneML
    @MaaneML Рік тому +2

    Whozu ni ndugu wa Fred Vunjabei? Wa kuzaliwa tumbo Moja? Maana Whozu hiyo rangi ya ngozi sijui ndiyo ya mama au Baba.

    • @zuhurafaustine6934
      @zuhurafaustine6934 Рік тому

      Hapana ni mdogo wake frank knows

    • @morismontego3241
      @morismontego3241 Рік тому

      Whozu n mdg wa rafiki yk vunja Bei apo anaitwa Frank kwons

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 Рік тому

      Hawana undugu

    • @teddyndungurusabnu4792
      @teddyndungurusabnu4792 Рік тому

      hahaha no whozu anakaka yake nae ni mfanya biashara mkubwa na nimarafiki wakubwa na fred so whozu anamuita fred kaka kupitia kaka yake huyo wa damu

  • @emmanuelmeena6542
    @emmanuelmeena6542 Рік тому +1

    🥴🥴

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Рік тому +1

    Mwanaume gani anakuwa na mikono ya kike hivi?

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Рік тому +2

    Nilishawai kumuona muwembe yanga huyu fred na team yake ya to much money wakikwenye gari sema namkubali sana

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 Рік тому +1

    Vunjabei si mtu wa madrama ila mnamlazimisha kuwa mtu wa madrama kwa kuokota umbea kwake...ila ni mtu anaeweza kuwakabili waandishi wa habari kwa majibu yake ya mkato

  • @salumtanganyika9551
    @salumtanganyika9551 Рік тому +1

    😝

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому +2

    najiuliza watu walio toka kimaisha kwanini wanakimbilia Chama cha mapinduzi nasivyama vingine? jibu nimepata nalo ni moja tu (ubinafsi

    • @musason1680
      @musason1680 Рік тому +2

      Bado hujapata jibu n kuwa karb na watu wenye nguvu ili kulinda mali zao

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      @@musason1680 jibu ni hilo... watanzania wana ubinafsi sana kwamba kwasababu wao tayari wameshatoka kimaishana, basi wanaona hakuna sababu ya kuwasemea watanzania wengine wenye hari ya chini ambao ni wengi.ndomana kila mtu akitoboa jambo la kwanza ni kulipia kadi ya ccm

    • @shadrackmohamedi8765
      @shadrackmohamedi8765 Рік тому +1

      Ubinafsi si Sana. Kikubwa wanajitengenezea ulinzi wa mambo yao. Ukiwa chama pinzani, ni rahisi kupotea ktk kila utachokifanya.

    • @frankrobertkomba2318
      @frankrobertkomba2318 Рік тому

      Ramadhan hii watu wanakimbilia kule ndo kwenye usalama wa biashara hadi mali zao maana viongozi na watu wanyazifa za juu ni rahisi kuwasiliana nao endapo mtu utapata changamoto.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому

    Mapenzi ya MITANDAONI,NINYAUNGO KABISAAA! Mnawaharibu saana VIJANA WA LEO HIZO zenu ni FILM sio mspenzi 👀

  • @zena6203
    @zena6203 Рік тому +1

    Sweety heart Fredi nakupenda sana sauti muonekano wako rangi yako lakini sura mmhhhhhhh no comment huna kabisa ila mengine ilove it

    • @safiyatheonlything7848
      @safiyatheonlything7848 Рік тому +2

      Ukitaka sura utakesha sana

    • @zena6203
      @zena6203 Рік тому

      @@safiyatheonlything7848 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 Рік тому

      Kama sura umba wako

    • @zena6203
      @zena6203 Рік тому

      @@jazeerajuma5014oyanimesema sura sijasema mbaya wala nzuri kwani shida ipowapi

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Рік тому

      Kinacholiwa ni chini sio uso mi naona sawa tu jamani au vipi wadau

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Рік тому +2

    🤣🤣🤣

  • @browndebora2195
    @browndebora2195 Рік тому +2

    mtu msomi hutamjua tu hata anavyoongea.

    • @ommylee2497
      @ommylee2497 Рік тому

      Mwinjaku jeevsio mdomo😂😂😂😂

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Рік тому

      Kwakweli hata anavyoandika tu utamjua huyu sio msomi

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Рік тому +1

    Bonge la interview

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Рік тому +4

    Angalia mikono yake amejichubuwa

  • @theresasimba7372
    @theresasimba7372 Рік тому +3

    Good

  • @angelwilliam3471
    @angelwilliam3471 Рік тому +2

    Good