ccm chondechonde, acheni uo mchezo kufanya ivyo nisawa na kucheza chini ya transformer, inchito itakuwa majivu kwafumya ivyo, acheni upumbavu, watu wameamka usingizini, msilazimishe Mambo.
Hivi wanafunzi wote wa Sekondari hasa wa mijini je wanaishi maeneo ya shule wanakosoma? Na Kama sivyo je hata Kama umri ni sahihi watapigaje kura kuchagua viongozi wasio wa mitaa yao?
Sasa hapo kunauchaguzi kweli sibora tuwekane sawa kwanza wakurugenzi ni shida nibora wananchi tugomee kura zetu maana kura zetu ndozinawapa kibuli wanatukoromea
Mungu yupo siku zahesabika
Safi
Nchi Inatakiwa iwe GEN Z, kama KENYA ndio serikali itaelewa kuwa serikali mamlaka ni ya Wananchi.
Jamani mbona amani imeisha Tanzania,,IPO soku
Ndugu zetu msikubali kuchazewa na ccm na Tamisemi simamisheni Uandikishaji wa wapiga kura, ccm imeandaaa kufanya DHULMA kama walivyofanya 2020.
Ccm na Tamisemi wameamua KUDHULUMU mfumo wote wa Uchaguzi pamoja na Uandikishaji wa Wananchi kama walivyofanya 2020.
ccm chondechonde, acheni uo mchezo kufanya ivyo nisawa na kucheza chini ya transformer, inchito itakuwa majivu kwafumya ivyo, acheni upumbavu, watu wameamka usingizini, msilazimishe Mambo.
Ndio maana hamtshili Luongo za hii nchi make mmjaliwa na lugha za matusi mmefanya ndio maji went mnafeli snaa
Kumbe walisha jua wanainchi hawawataki ndomaana wanachukua wanafunzi nawatoto wadogo ccm hawa siwaelewi
Hivi wanafunzi wote wa Sekondari hasa wa mijini je wanaishi maeneo ya shule wanakosoma? Na Kama sivyo je hata Kama umri ni sahihi watapigaje kura kuchagua viongozi wasio wa mitaa yao?
Polisi kipindi kama hiki hawatakiwi kuwa kwenye hivyo vituo?
KUFANYA UCHAGUZI BILA KATIBA MPYA NA TUME HURU NI KUPOTEZA MUDA
Sasa hapo kunauchaguzi kweli sibora tuwekane sawa kwanza wakurugenzi ni shida nibora wananchi tugomee kura zetu maana kura zetu ndozinawapa kibuli wanatukoromea
Serikali kama hawataki Democracy bora wavifute vyama vyote vya siasa wabakie chama kimoja ccm peke yao.
Hawa ma ccm ndio maana hawataki katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, SAFARI HII WATAUMBUKA
CCM mtaleta Vita Tusifike hko Kama mmefanya Kwa Nini manahangaka Kwa vituko vyiote hivyio no Aibu mefanyamaedelao alfu manaiba uwandikishaji KURA !!!
Ccm ni tatizo kubwa
Nchi waisani wanasemaje
Its so shime!!!!
Ndugu zetu msikubali kuchazewa na ccm na Tamisemi simamisheni Uandikishaji wa wapiga kura, ccm imeandaaa kufanya DHULMA kama walivyofanya 2020.
Nchi Inatakiwa iwe GEN Z, kama KENYA ndio serikali itaelewa kuwa serikali mamlaka ni ya Wananchi.