NYIMBO ZOTE ZA KWARESMA ZILIZOIMBWA NA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.Mratibu- Aloyce Kipangula
Вставка
- Опубліковано 14 лют 2023
- KARIBU TUTAFAKARI PAMOJA NYIMBO ZA VIDEO ZA KWARESMA 2023 ZILIZOIMBWA NA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS. PAROKIA YA CHANG'OMBE JIMBO KUU DAR. NYIMBO HIZI ZITAKATAFAKARISHA VEMA KUHUSU UHUSIANO WAKO NA MUNGU.#kanisakatoliki #kwayakatoliki #nyimbozainjili #nyimbozakatoliki #nyimbozakatoliki#kwaresma
Huu wimbo hauchuji kila siku ni mpya kila unapousikiliza,Mungu awabariki sana waimbaji wote na kuwatia nguvu mtunge nyimbo nyingi zenye kugusa mioyo yetu
Wimbo unanisaidia kujihimiza kumrudia Mungu katika toba ya kweli katika msimu huu wa Kwaresma
Tuzidi kumwimbia kiristu maana bila yesu sisi wenyewe atuwezi
Napenda sana... Tuzidi kufunga na kuomba sana... Yesu atatuhurumia
❤❤
Tulikuwa tunaimba kwaya kipindi icho TYCS tujuane hapa kwa like
Naupenda huu wimbo Sana unanifariji sana
Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya kuinjilisha kwa njia ya uimbaji
Very weii sung. 🙏🙏🙏
Shukrani kwa wimbo nzuri
Asante Sana Aristote
Mungu awabariki san napenda kusikiliza nyimbo zenu wapendwa
Amen Amen, Mungu aturumie yote tunayo kosa.
Hongers Wana choir!
Nyimbo tamu,!
Classic songs!
Changombe hoiye!❤❤❤
Kila mwenye pumunzi na amsifu Bwana.
Beautiful touching and emotional lent songs. Proud Catholic!
Nice song
Mungu abariki huduma yenu.
I like the song especially this period of lent
Good choir .When i listen to your songs i feel encouraged and may you continue praising God and preaching to christians all over the world thanks ❤
Mungu Awabari sana kwa nyimbo nzuri
Mungu awabariki sana
🙏
Hongeni Sana nyumba nzur
Wimbo mtamu ajabu. Zidi kubarikiwa!🙏
Nyimbo poa sana
Mungu ni mwema
All glory to the Almighty God for the grace of life. Give thanks to the Lord all the dayf of your life
wimbo mzuri sana
Mungu awabaliki sana kwa kueneza injili kwa njia ya nyimbo.
Hongereni kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuinjilisha kupitia kwaya!
How I love this song it really touch my heart,,,, thanks for uploading
S
It really touch my heart
OKEY
Hongera sana Pd.Prosper Kessy Mungu akulinde na kukubariki uendelee kutulisha chakula cha kiroho.Asante sana
Congratulation we call it healing songs
Hongereni team Chang'ombe kwa kazi safi,mwalimu Aloyce Goden nyimbo zako za kwaresima hazina mfano,zanibariki sana.Mola azidi kukubariki katika uinjilishaji.
Asante Sana Denis Tunashukuru
@@AloyceKipangulayaani kwa siku hizi arubaini za mfungo nyimbo zako zanisaidiabkwa tafakari ya kila siku,nikiuliza kuna ule wimbo Bwana tulekee,mbona umeandika Tradition?
Mubarikiwe sana waimbaji wetu munapo nikumbusha nyumbani kwetu hapo Congo
Kwa kweli nyimbo izi zime activate mood zangu za kwaresma..Mola awabariki
True zinaniguza mpaka nalia pia
Amen
Nyimbo mzuri zanifundisha kutubu makosa yangu kwaajili mwokozi aenda kusulubiwa bila kosa Kristu nihurumie
Mungu ni muweza wa yote
This song has blessed my first Sunday of Lend. We sang it in our choir St. Mary's Miambani Parish - Kitui Diocese. Kenya.
Thanks to the Composer.
A very nice song❤
Thank you
Mbarikiwe sana wanakwaya nyimbo nzuri zakuvutia kweli
20:00 i love this song 🙏🙏
Im listening this song in Good Friday
Mun gu
Awabariki
Sana
Kazinzuri.
🙏
Good songs
🙏
Mungu wimbo huuu mungu unikumbuke
Mungu aendelee kuwapa nguvu kuinjilisha na kuwatafakarisha watu wote
Kwaresma njema
Amina
Hongera Sana Kwaya ya Chang'ombe Catholic Singers na Mratibu wenu Aloyce Kipangula. Nyimbo hizi zimenisindikiza sana wakati huu wa Kwaresma. Mubarikie Sana. Natoka Kenya
Asante Sana Ndugu Gregory Musembi kutoka Kenya.Endelelea Kutufuatilia Tutakuletea nyimbo nyingine nyingi hivi karibuni. Naitwa Aloyce Goden Kipangula Mtunzi wa Nyimbo na Mratibu wa huduma hii ya uinjilishaji
Moyo mnyovu ndani ya utulivu mkuu.
Ongera Kwa nyimbo zuri
Asante Sana Ndugu
Tupunguze dhambi tussfishe njia ili tuweze kumwona yesu kristo
Mungu hawajaze nguv Kwa utume huu
Nice songs
Ameen
Bila mungu hakuna liwezekanalo🙏
Huu wimbo unatafakarisha sana pia nakumbuka msiba wa first born wangu Briton apumzike kwa Amani
good music
Wow, this is so beautiful, you hold the Lenten season jaman na Nyimbo zenu. Asante Sana, Ashukuriwe Mungu
Asante Nathan Banda
Wimbo mzuri sana mungu awabariki 🙏🙏
Amen glory to Jesus
tuna kila sababu kusikiliza huu wimbo ktk kipindi hiki cha kwalesma.
Mungu awabariki mnaotuhubiria kupitia nyimbo hizi
Nami kwa niabaya Waimbaji wenzangu Tunakushukuru. Aloyce Goden Kipangula Mtunzi wa Nyimbo na Mratibu
Mungu ni mwema kila wakati, tumrudie true, mbarikiwe sanaà
Aksanti baba Aloyce.
Asante Pia Ndugu Lazare Fabrice. Tumshukuru Mungu. Je wewe uko nchi Gani?
Jaman mnayoyaimba muyaix 6:48 h kwa vitendo
🙏
Ama kweli kinachotoka kwa moyo kinagusa moyo mwengine, mumeumba kutoka kw moyo na hisia hadi imenielekeza kutubu. Tumrudieni kw miyoyo yetu yote.
KAZI MUSURI SANA 💙💙💛💕💯
🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏
Mungu ni mwema Kila wakati amina
🙏
mungu ni mwema
Amina.
Mungu awabariki
Mungu Yu mwema wakti wowte
🙏
Baba tuhurumie
Mungu awabaliki sana
Amina
Kila mmoja amekosa kuzidi kutubu makosa yetu
Asanteni Kwa kutuliwaza
Tumshukuru Mungu
Thanks lod
Asant San kwa uijilisahaj wenu mung azidkuwalid
Amina
Nyimbo hizi zinanigusa mno mpaka natokwa na machozi kujua kua dhambi zangu ndizo zilizosababisha kifo cha Mwokozi wangu. Mungu bariki kwaya hii kwani pia wanaimba kwa roho ya unyenyekevu mno....!
Amina
Zina mafundisho mazito nazinatusogeza karibu na mungu maana tukizisikiliza tunalshi matendo mema naofu ya mungu
Mungu awabariki sana walmbaji nawaandaaji wanyimbo lzo zenye mguso wakipekee
@@olympiaurio3029 asante sana mimi muumini julius mbuya
😀
Wimbo huu unanifariji Mimi Yani naupenda nausikiliza kila mara
Endelea kubarikiwa
Kwa wale ambao hatujui. Maashairi ya wimbo a kwanza yapo katika Bibilia- Yoeli , surah 2, Ayah12-17. ''Lakini hata sasa asema BWANA, Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kulia , na kwa kuomboleza'' . ''Rarueni mioyo yenu wala sio mavazi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu, kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema naye hughairi mabaya''...................................
Asante Antipas kwa kunisaidia katika jukumu hili la uinjilishaji. Ni Mimi Aloyce Kipangula Mtunzi wa Wimbo
@@AloyceKipangula Ahaa. Asante sana. nashukuru . Ayah hizi zote ni tafakari kuu hasa kwa Kanisa la nyakati zetu na hasa saumu hii.Nipo hapa Nairobi
Umenena
Hakika nyimbo ni nzur sana
Tumtukuze Mungu
@@AloyceKipangula tuko pamoja kwenye safari ya kwenda mbinguni tujitaldi unyenyekevu mbele ya mungu
Huu wimbo unanitafakarisha sana MUNGU awabariki sana🙏🙏🙏🙏
Asante
Nice song God bless you all
@@naamulesuzy6913 wimbo huu ni wa matumaini na unatukumbusha kujinyenyekeza kwa Mungu.
Beautiful song 🤩🤩
@@AloyceKipangula Mungu awabariki kwa uimbaji uletao wito wa kumtiì Bwana wetu Yesu Kristo.
I feel revealed with heavenly angles
SHUKURANI kwa mtunzi wa nyimbo hizi❤❤
Amina
Haswaaa....huo ndio utamu wa kanisa katoliki.
Hki kibao kitamu sana.
Huu ndio uhondo wa kanisa takatifu.....katoliki
..la.....
Hongera sana mtunzi
Na azid kubalikiw ,kwa utugaji wake maan sis tukio weng tunatengemea hulum ya mung
How can i download these mixtapes to my external memory
Mbarikikiwe waimbaji kwa kujitoa katika uimbaji mmeacha vingi mmsali kwa kuimba Mwemyezi Mungu, awakumbuke kwa utume wa uimbaji wenu.
Kwaresima njema Mimi nafarajika kuliko chochote , baba nihurumie
Barikiweni sana wanakwaya wa hiz nyimbo zinatuvutia kweli sana
Wakati huu wa kwarezma nimulmu kufunga nakumlili mungu atusamee kwakila jambo namamboyote tunayo tenda ambayo ayampendezi mungu nakujitaldi kwalasiku zamalsha kulshi malsha matakatifu
🙏🙏🙏
Safi mwakipangula
🙏🙏
Amina 🙏
Mungu wa mbinguni awabariki sana wa imbaji wote sina chakuwapa bali nitawaombe mungu awalinde wote amina
Tuzidi kumsifu yesu kristo
Thanks to the lord
Nyimbo hizi zinanibariki sana
Arc. Aadio
Amen
B@@gracekahawa6415
Na zani katoliki kama sija ji danganya 😢😮😅😂
Tumrudie yesu kwa mioyo yetu ,,,yesu alitupenda akafa msalaban,,,yesu naomba ufufuke pamoja na familia yangu
We love you Jesus
Kila wakat ni mwem
Mimi ni riziki kyalondawa francois, kwa inchi ya Congo Sud Kivu/mwenga kamituga paroikia yamutakatifu François xavier tangila
Nilazima kumusifu Bwana Lila siku