Kweli Khadija kubadili Dini sio suala la mchezo. Mimi nakumbuka baba angu alisema ukipata bw wa Kiislam mahali ni sh 100 ni kweli ikawa nikaolewa ndoa ya dini yangu baba yangu alifurahi sana akapakaa Jivu usoni kote kwa furaha yaan. Hadi sasa ndoa yangu ina miaka 45 hivi.
Wivu tu unakusumbua😂😂😂....nenda kamshauri na fahma wa rayvanny kabla hajafunga ndoa na yeye......haya na vipi kuhusu paula wa marioo naye asi atabadili dini.., mtazoea tu
Mimi nashangaa wanaopga vta ndoa ya ringo kisa dini kwani sisi wakristo hamna majina ya Yusuph mbn ht kwny bible ameandkwa vzr tu ht mm namtoto anaitwa yusuphu mwng anaitwa ayubu km mungu asingetaka huyu dada kuolewa basi angezuia mpk kaolewa ina maana Mungu kabariki
Waja bhana hapo angekuwa mkristo na hakaingia uslam hapo wee ongera kama zote lakini katoka uslam kaja mkristo maneno waja dini imani jamanini kulalamika2 kuoga aaah😅😅😅😂
Wabongo tunazingatia vitu vya kijinga sana et oooh dini ko nyumbn kwako unaenda kuishi na dini ya kiislamu au kikirsto ebu angalia mtu kma anakufaa din kipengele cha ziada sana kma utajua umhim wa mtu na cyo dini
Ameshakuwa mke, ila kabla ya ndoa yao alifanya mgomo kwa sababu zake zisizoweza kuwa public. Mwandishi hajakosea, angekuwa hajaolewa asingemwita mke wa Ringo. Je we mtazamo wako ni upi? Je ungemwita vipi katika kichwa cha habari?
Yaani huyu mkewe ringo na fahima woote michizi, mtot wa kiislam kweli ubadili kuwa mkristo?? Hawa waislam jina tuu uislam hawaujui, haya bado ya fahima sasa na yy afanye afunge ndoa haramu.
Yaani wewe unayemwambia mwenzio kafuata dini ya haramu unaweza kuwa mwanaharamu kuliko yy yy hana uana haramu wowote na ukristo sio uanaharamu ni dini pia haramu ni matendo yako
Yaaaan waandishi wengine waovyo sana yaaan kilichosemwa kingine ili MLADI TUangalie interview
Kidada kimodo saaf 👌🔥🔥
Kweli Khadija kubadili Dini sio suala la mchezo. Mimi nakumbuka baba angu alisema ukipata bw wa Kiislam mahali ni sh 100 ni kweli ikawa nikaolewa ndoa ya dini yangu baba yangu alifurahi sana akapakaa Jivu usoni kote kwa furaha yaan. Hadi sasa ndoa yangu ina miaka 45 hivi.
45 mashallah shkamooo
Mhhhhhhh na wewe una miaka mingapi
Mbwa alikua uyo babaako au ni ww au wote wawili
Nimempenda huyu bi arusi hadi rahaa❤❤❤❤
Shinda wazazi hawakufundisha ndini sio makosa yake lakini wazazi tujitahidi kuwaleya watoto wetu kimadili Mazuri
Hii laana mzazi mungi wa pili,asipo ridhia utashangaa mwenyewe
Yaani mdada yuko vizuri sana sana
Mtihani mkubwa sana Kala hasara kubadili dini looo subiri kdogo utaona raha ya kubadili dini
Wivu tu unakusumbua😂😂😂....nenda kamshauri na fahma wa rayvanny kabla hajafunga ndoa na yeye......haya na vipi kuhusu paula wa marioo naye asi atabadili dini.., mtazoea tu
Fikiri kabla ya kunena, mfano angebadili kuwa muislam napo ungeongea hivyo?
Anajibu maswal ipasavyo jaman amejitahd na saut nzur
A beautin one❤❤❤
Mke kazi ipo, nakumbuka chanuo..miaka 7 mnamuasi Mungu tu..
Dada unamajibu mazuri sana
Tafuteni headline sahihi, acheni kupoteza Mbs zetu
Hongera sana dear mashalllah 🎉
Sasa uko vizuri unajibu point
Mimi nashangaa wanaopga vta ndoa ya ringo kisa dini kwani sisi wakristo hamna majina ya Yusuph mbn ht kwny bible ameandkwa vzr tu ht mm namtoto anaitwa yusuphu mwng anaitwa ayubu km mungu asingetaka huyu dada kuolewa basi angezuia mpk kaolewa ina maana Mungu kabariki
Dah waislamu tunaishi 😢
Doh! Innalillah wayna ilayh rajiun 😢
Yani 😢
Bac Sawah dada khadija, bwana asifiwe 😂😂😂
Yani mke wa Ringo amekataa kuolewa na Ringo Sasa ndo umeandika nin hapo
Mmmmmm sa kukosana kidogo tu ndo ukatae ndoa au ndo ilikuwa kutiana hasara ,,Ila we kupotezea ahaaa
Bila shakaa kikwazo ilikuwa ni utofauti wa dini,, huenda ikwa hvo but sina uhakika
Inalilah wainailah rajiun
Ana macho mazuri
Anaongea vizuri
Nyinyi wambea kweli
Mke halafu kakataa kuolewa?Hawezi akawa mke kabla hajaolewa.Uandishi wa habari wa hovyo sana,hawana elim ya wanacho kifanya!Mxuuuuuuuuh😢
Tanzania vyombo vya habari ni vingi havizingatii qualifications za profession yao
Sure
Ndonamie nmeshangaa hapa,michizi hii😂😂😂
😂😂😂😂
Koment utumbo na hunakazi
Huyu dada haijui Dini yake ndio maana zjawa anafanya Zinaa kabla ya ndoa.
Mke mchumba ,
Nyie waandishi wa habari kheeee lichoandika na kinachoongelewa hapo sio wapuuzi
❤hongera
Kichwa Cha habari na habari ni tofauti
Wee muandisbi njinga kweli Sasa kakataa nn hapo au ndio kutaka watu waangalie
Chioma wetu❤❤❤❤❤❤❤
Pole sana Allah akurudishe ktk njia iliyonyooka urudi ktk uongofu utoke ktk upotofu
Wivu unakusumbua tyu, je Ringo angebadil din ungeongea, acha watyu wapendane, mungu ni mmoja mkristo Muslim wote niwatoto wa mungu
Na wote tunamsubiri huyo mmoja.acha maneno mengi jamani
Waandishi wa abari acheni ujinga kilicho andikwa kwenye kichwa Cha abari kingine na kinacho hojiwa kingine
Cute bride
😮#tellaaxistz
Mwanamke ndio kubadili dini
Zinaa Mika saba
Ashalindu hilo neno la mbwa linakujaje.Kwani mimi nimekujibu wewe nimemjibu Khadija. Sitaki matusi halafu mimi sio umri wako.
Yaani unavosema kama sawa eti niachane na ili swala kwanza uoni mwenzio alikuwa ameshajipanga
Muwe mnaolewa mkiwa org.Sasa macho ya ajabu2
Ameisha kwambia walikwazana kidogo huachi
Hakuna lolote walikuwa wanatengeneza kiki tu
Hamfai kuwa waandishi kabisa
Umekula hasara shoga. Umebadili dini duh mtihani
Uhakika kakosea
Wivu huo unakusumbua...nyie mmezoea wanawake wa kikisto tu ndo wanabadili dini.... upendo upendo tu mwenzio kapenda kwa mkristo😁❤
Waja bhana hapo angekuwa mkristo na hakaingia uslam hapo wee ongera kama zote lakini katoka uslam kaja mkristo maneno waja dini imani jamanini kulalamika2 kuoga aaah😅😅😅😂
Wabongo tunazingatia vitu vya kijinga sana et oooh dini ko nyumbn kwako unaenda kuishi na dini ya kiislamu au kikirsto ebu angalia mtu kma anakufaa din kipengele cha ziada sana kma utajua umhim wa mtu na cyo dini
@@magrethdastanhaule3449Hakuna mwenye wivu hapa, huyu biharus han akili, dini ya kikristo sio dini sahihi kabisaa na hatodumu nae.
Ujue yandan yawatu ili iweje.
Mkee akataa kuolewa😅😅😅😅
Weh huogopi
Kiki hadi kweny ndoa
Kubadili dini kazi kweli yaan. Na ndio maana wazee wake hawakuja kanisan.
Zaid kw mwislam kuritadi😢mtihan mkubwa allah atunusuru atujaze imani
Umeacha dini ya haki? Kisa visent vya komred?
Mbona kama
Hapo hakuna ndoa Muislamu kwenda kanisani kuomewa, haikubaliki dada yetu umepotea waulize mashehe.
Badili naww uolewe make povu limekutoka san
@@user-zt4rd5pr1e inalilah wainailah rajiun
@@user-zt4rd5pr1ewewe kafiri na uyu biharasi kafiri😢
Hata wewe ni khafiri@@aishaarusha894
Kuongopa Caption Ila Kuoga Aaaah
😅😅😅😅
Kazurii kana akiri kana jibu vizurii❤
😂
Jiongeze bana mwandish wa habar kukataa kulewa dini na mama kuto kuja eeh
Anamajb mazur
Kwanza nikabaya
Nani kabadili dini
Mke
Ndoa imefungwa kw maadili ya ukiristo Ina maana dada yetu ameamua kuritadi .....
Ndio
Ameshakuwa mke, ila kabla ya ndoa yao alifanya mgomo kwa sababu zake zisizoweza kuwa public. Mwandishi hajakosea, angekuwa hajaolewa asingemwita mke wa Ringo. Je we mtazamo wako ni upi? Je ungemwita vipi katika kichwa cha habari?
Halafu wameshaishi kabla ya hii siku ya ndoa. Manake wamehalalisha tuu ndoa
Hawa wamehalalisha ndoa maana walishaishi kwa miaka kabla ya hii siku.
Wametoka kwenye umaskini. Na tamaa ya visent. 😂
Kanisani Na piko jamani
Kwani hairuhusiwii au vp😮
Hakuna mke
Duu jamani mbona kama kabadili dini jina lake na lababa Ake Bado ya kisilam au mm nimesikia vibaya pale kanisani
Kabadil.din
7:44
Hii media wahudumu wote mnatombwa na wachawi sio bure, kichwa Cha habari na stori havina uhusiano
Hakuwa kuwa na dini huyo miaka 7 ndani ya zinaa!!!
Yaani huyu mkewe ringo na fahima woote michizi, mtot wa kiislam kweli ubadili kuwa mkristo?? Hawa waislam jina tuu uislam hawaujui, haya bado ya fahima sasa na yy afanye afunge ndoa haramu.
Badili naww naona povu linakutoka san
Yaani wewe unayemwambia mwenzio kafuata dini ya haramu unaweza kuwa mwanaharamu kuliko yy yy hana uana haramu wowote na ukristo sio uanaharamu ni dini pia haramu ni matendo yako
Hata ww badili nikuoe mimi
@@mariumseif6751😢
Loh poh mwanamke wa kiislam kubadili dini
Mtangazaji acha umbeya