katika nyimbo nilizowah kuzipenda basi NILIPIZE ndo ya kwanza xjui kwa sababu maneno yke yananiusu au tu nmetokea kuipenda tu...daah kwangu me xjaona km NILIPIZE
Ya lizy imechangia Kwa vile yanakuhusu na hata ingekuwa hayakuhusu bado ungeipenda kwasababu ni nzur na ameimba Kwa hisia yani nyimbo wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilizipenda Kwa Mara moja tangu niisikie ilikuwa unanihusu lakini hata isingenihusu bado ningependa kwasababu ni nzur Sana nikawa namwambiaga rafiki yangu naipenda akasema hata yeye anaipenda
Kuna mdada yule kwenye KAPUNI aliimba akaipatia nikasema kanikumbusha mbali nilikuwaga naitafutaga hii nyimbo sema nikawa sijuwi Jina gani nimefanya kubahatisha nikachukuwa upande wa shairi nikipata nikasema sijuwi nilipize inaitwa. Napenda pale anapoimba nilisema nilipize anavyoanza na Kuna baazi ya mashair nataka kuwa nawe mamito yani mashair mengi mazur
ttz salumu THT hiz sauti ziko nyingi mm bin afsi n ilitegemea makubwa kwa Ibrah lkn badae nikackia yupo Ivrah hilo jina tu ni rmx ya Ibrah. THT hawako serious na wasanii wao
wimbo wako umegusa sana matatizo yanayonisibu kwa sasa, asante kwa majibu ya nyimbo yako na nimejifunza kupitia nyimbo yako, mungu akukuze vema na kipaji chako .
Yani huu wimbo niliipendaga tangu unaingia nimebahatisha kuandika Jina Mala pili nimepata da wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilikuwa nikiusikia napagawa nakaa nausikiliza nikawa na mwambia rafiki yangu naupenda huu wimbo akasema hata yeye anaupendaga
Kwenye KAPUNI yule dada anayempenda kuimba alimwambia kaka yake pale da alinikumbusha nikasema ngoja nitafute muda nilikuwa naitafuta halafu aliimba vizur yule dada ana saut nzur paka kaka yake akamsifia pale
Hii nyimbo mpka mwaka huu 2022 bado.Hauchoshi na bado utaendelea kupeta sana miaka ijayo...Ujumbe tu kwa kizazi kijacho mjitaid kutoa masong kama haya yasiochuja.
Dah mapenzi yanaumiza sana hii nyimbo imegusa kabisa maisha yangu nakumbuka yaliyonitokea katika mahusiano yangu kwa yule niliyempenda kwa dhati daima nitakukumbuka maishani mwangu ndo maana napenda sana kuisikiliza hii nyimbo
God to be on ibrah nation music ...I like his melodies ..his one of the best musicians in east Africa watu wa subscribe na wa like kwa wingi ....#kenyan Love
Haha unanichekeshaga huwo usemi wa nyoko ya ibra anajuwa Sana wengi tuliikubali hiyo ngoma ni kali Sana na wengine walisema inawahusu wakazidi kuipenda
Mpaka sasa hivi mwaka 2024 ndio nyimbo yangu pendwa❤️❤️❤️❤️
😊😊😊😊😊😊tuko hapa2024
2030 I'm here.. wote wanaoikubar ii ngoma don't skip without #like this song..
Ilishakua ringtone ya kwenye cm yangu zaid ya mala 5 hv nan yuko nami 2020
Hata mm
Me piah
Even me
😢
kama imekuwa ringtone yako hapo ulipo si salama 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Nampenda sana ibrah mashairi yake yametulia ukiskiliza unapata emotion Kama wwe ndo umetendewa Hilo Jambo yupo vizuri kimuziki namkubali sana
Huyu ibra nation ndio mwanamziki nnaye mkubali Africa 🌍♥❤👏👌
Huyu jamaa ako talented sana ❤❤love from kenya 🇰🇪
katika nyimbo nilizowah kuzipenda basi NILIPIZE ndo ya kwanza xjui kwa sababu maneno yke yananiusu au tu nmetokea kuipenda tu...daah kwangu me xjaona km NILIPIZE
Ya lizy imechangia Kwa vile yanakuhusu na hata ingekuwa hayakuhusu bado ungeipenda kwasababu ni nzur na ameimba Kwa hisia yani nyimbo wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilizipenda Kwa Mara moja tangu niisikie ilikuwa unanihusu lakini hata isingenihusu bado ningependa kwasababu ni nzur Sana nikawa namwambiaga rafiki yangu naipenda akasema hata yeye anaipenda
Kuna mdada yule kwenye KAPUNI aliimba akaipatia nikasema kanikumbusha mbali nilikuwaga naitafutaga hii nyimbo sema nikawa sijuwi Jina gani nimefanya kubahatisha nikachukuwa upande wa shairi nikipata nikasema sijuwi nilipize inaitwa. Napenda pale anapoimba nilisema nilipize anavyoanza na Kuna baazi ya mashair nataka kuwa nawe mamito yani mashair mengi mazur
Massively underrated artist in Tanzania
2024 gather here
broo nakuombea kwa mungu kila kukicha utoboe..kuna kitu unacho ibra nation hakuna msanii anakupata (sweet vocal
ttz salumu THT hiz sauti ziko nyingi mm bin afsi n ilitegemea makubwa kwa Ibrah lkn badae nikackia yupo Ivrah hilo jina tu ni rmx ya Ibrah. THT hawako serious na wasanii wao
wimbo wako umegusa sana matatizo yanayonisibu kwa sasa, asante kwa majibu ya nyimbo yako na nimejifunza kupitia nyimbo yako, mungu akukuze vema na kipaji chako .
Ni kweli Evelyn imetugusa na inamafunzo Sana nasikia hata mobeto aliikubali Sana yani kila mtu alinipenda mim nilivyokuwaga naipenda wee acha
Ana sauti nzur na jita a alipiga vizur mwenyewe yani hatar hatar
I knew this song 2017 jkt maramba surprisingly niliskiaga tu mdundo na the day naiskiza maneno kbs it became masterpiece to date 2024💕
Aisee ndugu tumepishana kidogo tu mie jkt maramba 2019
Aiseee this song is so niceeee....nasikitika kwa jinsi tulivyo u underate.
Ata mm pia nimeguswa
hii ngoma n kari xana huyu jamaa ni msanii kweli
ngoma uwa ina hishi moyoni mwangu jiwe kali sana ni maisha yetu ya kila siku👌🔥
2022 now and im still listening to this song. Timeless tune. 🔥🔥
This sound will always be the present n the future
💊
Sijawah kuona muandishi mwenye uandishi mzuri kama ibra piya sauti❤❤❤🎉
kaz nzur schoolmate!
ni mwaka tangu umeniambia nisikilize huu mwimbo sikukufatiliaa, masikini I wish nikuone hata sasa, ila ndio haiwezekani. hakika ulinipenda kweeli.
Scola Nyonyo pole sana
Ndo umekja kulijua hilo😧 hakika mnatutesa🙏 Tabibu wa moyo wke
😫😫😫
Kumbe alikuimbia ww hakika ulimuumiza sa ibra
Oh
2022...still hear✨it's a vibe
Napenda sana huu mwimbo
Lets give him 1mil in this Sound and nicest Voice of his Ibranation
Daaah jamaa anajua bhana lkn wabongo wanapenda vibovu wanaojua hawatambi
Aisee leo ndo umeupata huu wimbo 😢 nimehangaika sana
After 3 year😳
May 24 2023 this song is still Massive hit
Nikisema nilipize mabaya yako nikuumize!!Ngonga like kama bado unaangalia huu wimbo 2018
sanatuuui
Gd xan
Yani huu wimbo niliipendaga tangu unaingia nimebahatisha kuandika Jina Mala pili nimepata da wakati unaingia nilikuwa fild zanzibar nilikuwa nikiusikia napagawa nakaa nausikiliza nikawa na mwambia rafiki yangu naupenda huu wimbo akasema hata yeye anaupendaga
Kwenye KAPUNI yule dada anayempenda kuimba alimwambia kaka yake pale da alinikumbusha nikasema ngoja nitafute muda nilikuwa naitafuta halafu aliimba vizur yule dada ana saut nzur paka kaka yake akamsifia pale
Nishaudanlodi
Ninachohisi ni kupenda kwenye moyo wangu, sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako.... Who is with me 2020
Daaah IBRA nafikilia wazo ulilipata wapi la kinimbia Mimi mana kila ulichoimba kina nusu Mimi daaah naumia sana
My song when I remember our time but he decided to run away. .am doing great but I miss you
Kama 2019 kama Mimi gongaa like apaa
One of the underrated artist in Tz
ngoma zur Sana naikubal kinyama ...Ninachojua nakupenda kwenye moyo sina hakika na kupendwa kwenye moyo wako
2019 who is with me❤❤❤
2020
This song is one my biggest hits in di country
2023 still love this song❤😢😢
Music live❤❤
One of my few favourite artists in +255
Ninachojuwa nakupenda kweny moyo wangu
wabongo tunajua
Emotional... Deep down inside.. Feelings
Wimbo umenilizaga huu leo ndo nimeukumbuka
hadi nililia machoz song hatar sana
oooooh IBRA hongera
Hii nyimbo mpka mwaka huu 2022 bado.Hauchoshi na bado utaendelea kupeta sana miaka ijayo...Ujumbe tu kwa kizazi kijacho mjitaid kutoa masong kama haya yasiochuja.
Best song ever 🎉🎉🎉
The music is so good!! 💯
Dah😭😭😭😭 nakumbuka mbali sana nikisikiliza hii nyimbo
Dah mapenzi yanaumiza sana hii nyimbo imegusa kabisa maisha yangu nakumbuka yaliyonitokea katika mahusiano yangu kwa yule niliyempenda kwa dhati daima nitakukumbuka maishani mwangu ndo maana napenda sana kuisikiliza hii nyimbo
fundi wa mziki...!!
Nausikiliza kila siku, kuna watu huwa wanumiza sana kwny mapenzi mpak unajikuta unabadisha msimamo!!!
nice song ibrah....kaza ivyoivyo
God to be on ibrah nation music ...I like his melodies ..his one of the best musicians in east Africa watu wa subscribe na wa like kwa wingi ....#kenyan Love
guud i first heard it as a caller tune thats when i had to look after the song....good message in it
Ukisikia watu wanaimba nyimbo zinazoishi miaka yote ndio hii ila huna bahati tu kweli nimeamini maneno ya twenty wenye vipaji wengi masikini
Safi Sana Kaka nyimbozako zot nazipenda zinagusa😍😍😍😍😍
Binge la ngoma miaka buku
❤❤❤😢uyu jamaa kipaji alipotelea wap jmn
dah nliutafuta sana huu wimbo its so classic
Edwin Chavala coolson chavala ni ndugu yako
Kwa kweli nimeuelewa yaan co pw upo konky
Ok 👍👍 kaka sana umeuwa sana iiningoma sio poa aaaaa inaniliza mapenzi sio poa
Daaah!! Huyu jamaa sijui anakwama wapi yani anajua kuimba kinoma noma yani sijui ndio muda bado maana toka ile ngoma yake na mubanda.
Ile Real Love ni kwere wewe Jamaa
Ibranation I love u so muchhh
nice song kaka Ibra inanisisimua kila ninapoisikiliza
hii dunia haiko fair kabisa ,,,,oooooooh shit!!!!!!!!!!!! ,,,, BONGE LA DUDE LITAISHIA MIAKA 80000000 ,,,,,HONGERA IBRA NATION KWA ZAWADI HIII
Would love to hear a sax version of this
Jmn kupenda bila kupendwa nishda tena nihatar kama ya mahela yote yechuyechu mafekechee naumia sana kuona nimependa nisipopendwa
@lilian jitulize kwangu acha kulia Lia😁😁
aisee nimeipenda xn good song
My favorite song ever 2024❤
2023❤Ibra Nation
Wapi Emma the boy na hawa wasanii wake, they are completely quite
Umetisha sana bro
Ningesema nilipize mabaya yako nikuumizee🎶🎶🎶
2024 na bad naipenda tang 2017
muziki mtamu
2023🔥🔥
I love the song
2024 and still the hit song😍
Ngoma naielewa sanaaaa
Up to December 2024
Nakupenda San ibra unajuw kaka sjw up wap
u knw brooooooo kip it up pazuriiii
Mwanangu mbona unAjuA kabisA💥
A conscientious man I see you higher
daah wimbo mzur huu unanikumbusha mbali sana na mtu flani
Kka voko zmekwenda shulee upp vzur.kaz nzur
kudadeki nilikuwa sikujui mkl nilipo kuona unapiga hii ngoma wasafi festival mtwara atimae nimepekua nakukuona kumbe ww ni nyokooo ibra asee kwl kuna vipaji vikal sana ila maskin wachache natmaa zao wanawavunja moyo awasikiki bonge la ngoma limenitoa machozi asee sabu ujumbe ulio imbwa umenigusa nakumkumbuka mtu nilie mp moyo Wang lkn nilicho kutwa ibra nation broo sarot kwako
Haha unanichekeshaga huwo usemi wa nyoko ya ibra anajuwa Sana wengi tuliikubali hiyo ngoma ni kali Sana na wengine walisema inawahusu wakazidi kuipenda
Mim nilikuwa kila nikisikia huu wimbo nachanganyikiwa nikawa natamani usiishe
Wakati unaingia nilikuwa zanzibar fild nilikuwa namwambiaga rafiki yangu naipendaga hii nyimbo akawa anasema hata yeye anaipenda
Sauti yake nzur nyimbo nzur
moyo wangu tu.....sina hakika na wako
Na Kuna ule wimbo wa wivu wangu ni mzur nilikuwa naupendaga nawo
Ya moyo wangu tu Sina hakika na wako but mim nakupenda
Dah u always kill it brother am glad 4 u kip it up
among da best songs za muda wote kwangu - NILIPIZE
2018 who still listeng now...
saluath kdouty
2019 naupenda pia huu wimbo
24/6/2024 still love this 🎵 ❤
Jamn 2024
sawaaaaaa ibra umesomekaa
Unajuw sana Kaka so kwnn ucende WCB Kaka na ukatoka hapo THT
I'm here 2024 for this lit
Francis...im here because of u
Mpaka leohii 2019 badotu aujachuja,wimbo mkali cn aya mapenzi ayana mwenyewe
Bado iko hoti 2021 ngonga likee tujuane
Kila neno ni hit🔥🔥🔥
Wow. what a voice!!! I love this song.
Kaka unaweza sana
uko vizuli shetani asikuharibie ndoto zako ♥️
big up bro nyimbo kaliii
Ibra uko vizuri Kaka unajua na unakipaji sauti yako inanikumbusha mtu mmoja akiitwa makamua sauti zenu the same