KRISMASI NI KAZI KWISHA!! WAKRISTO WENGI WAMEELEWA KUWA HAIMO KWENYE VITABU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 362

  • @sultanissamohamed3605
    @sultanissamohamed3605 Місяць тому +2

    Ramadhan kuria. Manshallah uko na msomaji wa maana sana kwa kufundisha hawaa mandugu wetu Wakristo... Inshallah Mungu awajalie maisha marefu. Na hii videos itaangaliwa na watu wengi na itakua sadakatu jaariya. Manshallah fil dunya waal akhira umeshafanya kazi. Imagine hii videos zako kaarne ngapi watu watajisaidia nayo ili kujinufaisha ..

  • @idalahow
    @idalahow 10 місяців тому +44

    Haki ya Mungu... Brother Ramadhani mnakabiliana na mambo mengi....na vichekesho lakini we will surely support these DAWAH TEAM Everyday, Every Night...

    • @Ukhtyzuhura
      @Ukhtyzuhura 10 місяців тому +4

      haki una subra sana
      kaka Ramadhan Kuria
      dah kuna watu vichwa ngumu wanafanya ubishi
      na ukweli uko wazi wazi
      hakika Allah awalipe
      kwa juhudi zenu

    • @sophiakassim6979
      @sophiakassim6979 10 місяців тому +1

      Aamiin

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 місяці тому

      ​@@Ukhtyzuhuraaamina

    • @AyubuIkaku
      @AyubuIkaku 3 місяці тому

      Amiin

  • @sultanissamohamed3605
    @sultanissamohamed3605 Місяць тому +2

    Brother Ramadhan, 😅😅😅😅 nimecheka kwa mahali ulisema, "unauliza mungu change, shindwa katika jina ya yesu".... Walahi Mola awasaidie, hii kazi inatakaa subra . Inshallah Allah s.w atawalipa.

  • @RobertWasike-hv2ex
    @RobertWasike-hv2ex 7 місяців тому +2

    Mimi ni Robert na Mimi ni mkristo,lakini naanza kuamini uislamu kweli kama yesu ni mungu basi pia natumuite yohana pia mungu juu wamezaliwa kwa njia moja nayo ni roho ama

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714 10 місяців тому +13

    Allah ndie mjuzi hakika Ustadh unapambana. Namuomba Allah akujalie mema ya dunia na kesho akhera akujalie pepo tukufu Biidhinilah. Allah Akbar. Idhaa Aradallah..

  • @Adm9464
    @Adm9464 10 місяців тому +11

    I thought he said hana dini. Now anatetea Ukristo bila andiko. Very sad

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 10 місяців тому +1

      Wanakua hivyo, maana anajua uko ndio kuna mateka wenzie,na ndio unaona anakua kiherehere nyingi na anahangaika nakujifanya mjuaji

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 10 місяців тому +12

    Hao wanajuwa ukweli lakini hawataki tu kuufuata ALLAH AWAONGOZE IN SHAA ALLAH

  • @mubariekabrahams2650
    @mubariekabrahams2650 10 місяців тому +9

    Assalam aleykum sheikh Ramadhan Allah akuzidishie uzima na umri wallahi tunafaidika Sana na mafundisho.

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 10 місяців тому +7

    Mm napendaga sana uyu msomaji anasoma vizuri sana

  • @fugichguyo9887
    @fugichguyo9887 10 місяців тому +3

    Allah S.W atupee sote kheri

  • @davidwalker2144
    @davidwalker2144 10 місяців тому +2

    "Never will God lead people a stray untill it has been blacklisted what they should avoid
    " GOD IS ONE ! Qul: hu Allahu Ahad 😮
    Muslim guy is warned Quran verse:- 2-42 & 109-3

  • @shuebissackshaka3236
    @shuebissackshaka3236 6 місяців тому +1

    واطيعوا الله واطيعوا الرسول فان توليتم فانما على رسولنا البلاغ المبين

  • @mustafarashid2484
    @mustafarashid2484 10 місяців тому +3

    Mashallah Sheikh Ramadhan,Allah atujalie Pepo inshallah.

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk 3 місяці тому +1

    Mashallah macheikh wetu.

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 10 місяців тому +4

    Masha Allah sheikh wetu ni kuwaelimisha sana tu ili wajuwe ukweli

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 26 днів тому

    Mashaallah

  • @AsiyaAwadh-zg8wf
    @AsiyaAwadh-zg8wf 10 місяців тому +1

    Wallahi sheikh ramadhan muko na kazi ngumu kulinganiya dini ya haki ya islam hawa wenzetu wa kushoto ni wabishiii sana!!! Allah azidi kuwapa nguvu na fahmu na uwezo kulinganiya dini hii haq

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 10 місяців тому +5

    Allah awahifadhi masheikh wetu

  • @khatibmuhsin7723
    @khatibmuhsin7723 10 місяців тому +2

    Allah atakulipa ujira wako ustadh kwa kuwafundisha watu neno la Allah na kuwapa uongofu,kazi yako tayari umeshaifanya,,,,, Mungu atakulipa ujira uliokuwa mwema wenye kheri na wewe,,,, inshalla Amiin....

  • @Naima-g1n
    @Naima-g1n 10 місяців тому +5

    MashaAllah sheikh ramadhan kwa kazi nzuri

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 10 місяців тому +2

    Mungu atusamehe tunahangaika sana na.dini.kuliko.mola.wetu

    • @dvjkelly8449
      @dvjkelly8449 5 місяців тому +1

      KABISA AKA, NA BORA WAHANGAIKE KATIKA UKWELI, ILA WANAHANGAIKA KATIKA KUPOTOSHA SANA MAANDIKO NA KUWEKA HISIA ZAO

  • @swidiqrajab4519
    @swidiqrajab4519 10 місяців тому +7

    Asalamu Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah, Allah Awabariki na Awazidishie Khayr Na Barkah Katika Kazi Mnayo Fanya, Na Rehma Na Amani Zimfikie Mtume Muhammad

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  10 місяців тому +2

      اللهم صل وسلم عليه وعلى آله وصحبه وسلم

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому +6

    Maashaallah tabarakallah walim wetu Allah amfanyie wepesi kueneza dini ya Allah

  • @gakobwaadija7949
    @gakobwaadija7949 10 місяців тому +2

    Masha Allah sheikh Ramadhan salamu zimfikie msomaji wako anasma vizuri

  • @Adm9464
    @Adm9464 10 місяців тому +5

    Total confusion Wakristo kila pahala. They can’t even agree on themselves.

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb 10 місяців тому +2

    Alhamdulillah kwa Neema ya Uislamu, kuna watu ambao vichwa vyao ni vizito, mswiba

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 10 місяців тому +5

    MashaAllah Akhii Ramadhan Allah awape Afya na umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah Muhammad RasuluAllah 9:29

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed7006 10 місяців тому +1

    Mashaa-Allah Allah awahifadhi wahadhiri wetu

  • @doramalisa2061
    @doramalisa2061 10 місяців тому

    Mi nawakubali Sana wakristo wasabato wayafuata maandiko, na hawana Christmas,coz wanasema kuwa tar 25 Dec ilikua birthday ya tamuzi mtoto wa mungu jua wa Babel. Na yasherekewa wakibandika picha ya Yesu na si Yesu, ni huyo mtoto wa upanini

  • @MwanaidyMwambez
    @MwanaidyMwambez 10 місяців тому +1

    Hogereni xna mkonakazi ngumu Allah awafanyie wepesi inshaaAllah

  • @sirnaismail8926
    @sirnaismail8926 10 місяців тому +1

    Sheikh ramdhn Allah akuhifadhi na akulinde na macho ya adui .... nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @rashidjuma3457
    @rashidjuma3457 10 місяців тому

    Good job

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 10 місяців тому +2

    Mabruk masheikh wetu kw juhudi zenu

  • @mziguwaosman8539
    @mziguwaosman8539 10 місяців тому +2

    Mungu awape subra kwenye misukosuko na muwe wavumilivu kwenye safari zenu mungu atawalipa InshaAllah

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 10 місяців тому +1

    Masha Allah shukran jazeelan sheikh ramadha kuria somo zuri sana

  • @Aminedanisman76799
    @Aminedanisman76799 10 місяців тому +1

    MashaAllah tabarakallah.leo nimepata kusikiza hii mjadala.Allah awape nguvu na subra kwani hii kazi ni mgumu sana.si rahisi kushawishi watu kuingia kwènye dini ya haki

  • @TulloMhombo
    @TulloMhombo 9 місяців тому

    Shika Imani Yako. Usijitengenezee uongo Kwa kulazimisha watu wa Imani tofauti Kwa mambo fekifeki. Mtu anajifa ya mkristo kumbe ni muislam mwenzako. Mungu HAHADHIKIWI. MSPOTOSHE WATU

  • @GodfreyMuhanji-m5q
    @GodfreyMuhanji-m5q 10 місяців тому +1

    I salute pastor Ndacha. Huu ujunga unaoongea ushakatazwa na Ndacha. Leo amepatana na wanyonge..I kindly request our Christians to read the bible and listen to BND

    • @Alithoya-qr7di
      @Alithoya-qr7di 10 місяців тому

      Soma maandiko acha kufata mtu ety ndacha, ndacha ndio Nani yeye mwenyewe maandiko hajui

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 місяці тому

      ​@AlitmaajabuEti.ndachahoya-qr7di

  • @yusufmohamed7235
    @yusufmohamed7235 10 місяців тому +1

    Maa shaa Allah ustadh,kazi njema munaifanya kwa kweli.Mola awajaze mema na awabariki.

  • @georgekamau9855
    @georgekamau9855 10 місяців тому +1

    You are right ✅ my brother. Most Christians no longer celebrate Christmas as it should be. To most, it's a time to drink beer and engage in bad sexual behavior. May God help them to understand the real meaning.

  • @carolinevijedi9139
    @carolinevijedi9139 10 місяців тому +3

    Mimi ni mkristo but ukweli hakuna kurisimax but huwa twaichukua kama siku ya yesu kuzaliwa

    • @parinshii1898
      @parinshii1898 10 місяців тому

      Ni siku tu watu wamechagua ya kusherehekea

    • @JamilaJumanne-u7q
      @JamilaJumanne-u7q 11 днів тому

      @@parinshii1898❤❤❤ bora ww msema kweli

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv 10 місяців тому +2

    Maa Shaa Allah MUNGU AWABARIKI

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV 9 місяців тому

    Nime subscribe,,,unafanya kazi nzuri Allah akujaze na Allah azidi kukupa ilmu

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 10 місяців тому +1

    SubhannaAllah ama kweli akili zinakutu iliyoganda Allah aeaongoze katika swiratwal mustakim

  • @ammielvictorykirango2887
    @ammielvictorykirango2887 10 місяців тому

    Usimlinganishe Yesu na mtume yeyotee, unakosea sana kusema Yesu ni mtume, yaani ni heri mkubali Yesu ni Mwana wa Mungu alafu usimkute kwenye wadhifa huoo kuliko kumshusha alafu ukamkuta ndio Mungu, na ni mhukumu, kiukweli utajuta sanaa wewe ndugu

    • @salimmohammedmwazecha4169
      @salimmohammedmwazecha4169 6 місяців тому +1

      Kwa lipi yesu ndo awe Bora kama si mtume tu unastaajabu ya yesu kuzaliwa na maryam bikira je Adam mtu wa kwanza naye je tumuite ni mtoto wa mungu au mungu pia Kila Allah analolitaka akisema jambo kuwa lina kuwa hapo hapo

  • @hamadihome-hg5oj
    @hamadihome-hg5oj 10 місяців тому +4

    ALLAHU AKBAR😍😍

  • @omarmuhamud3302
    @omarmuhamud3302 2 дні тому

    Masha Allah

  • @selemanendemangandemanga
    @selemanendemangandemanga 10 місяців тому +3

    Allah Akbar, so big proud islamic Dawah

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 10 місяців тому

    Manshallah sheikh Ramadhan Allah akubaliki.

  • @charlesopudo7192
    @charlesopudo7192 10 місяців тому

    Nendeni mukahubirie waaislam wenzenu, achana na waikristo. Mungu ndiyo muamuzi.

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 10 місяців тому +1

    Poleni Sana msojua maandiko na kudanganywa.ilishuka usiku lini, wapi just stories

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA 10 місяців тому +4

    MASHA ALLAH ❣️ ❣️ ❣️ ALLAHU AKBAR

    • @hamadihome-hg5oj
      @hamadihome-hg5oj 10 місяців тому

      ASALAMUALIKUM

    • @UMMYYFATMA
      @UMMYYFATMA 10 місяців тому

      ​@@hamadihome-hg5oj WALIKUM SALAM WARAHMATULLAH WABARAKATUH

  • @Sal.0
    @Sal.0 10 місяців тому +10

    MashaAllah Ustad.
    TabarakAllah Team, pamoja na Cameraman!
    Hii info fo WaKristo:
    Kitabu alicho PEWA Nabi ESA, kama Ma Nabi wote, lili kuwa ni KITABU KiMOJA, tuu!
    SIO, Four 'Gospels' za WAZUNGU, au 66 StoryBooks, za KingJames!
    The word 'GOSPEL' is an abbreviated form of an OLD ENGLISH Word, known as:
    1) 'good spell'.
    And 'good spell', means, a 'good story'…!
    Yaani POROJO Nzuri!
    Kwa hivyo, neno 'GOSPEL', hata SIO Neno kamili, na SIO Holy.
    It is just an ordinary English abbreviated WORD, which simply means, a 'Good STORY'…!
    Na hicho KiTABU Ki MOJA tuu, cha INJEEL, ili andikwa katika LUGHA ya MaYAHUDI, na lugha ya ESA, cha ARAMAIC, which is an Old form of ARABIC.
    AND the Aramaic language, was spoken by the YAHUDIS since 750BC!
    Hata Nabi SULEIMAN ali kuwa ana ongea Ki ARAMAIC!
    Na hata QUEEN of SHEBA, ali kuwa ana ongea Ki Aramaic.
    BONIFUS alikuwa ana ma'anisha kama SADAKA katika Mskiti, huwa ina pewa IMAM?
    Answer is SADAKA, in the FIRST instance, must be given to: MaFUKARA na MASIKINI.
    Huyu HILARY, ni kichwa Ngumu!
    Haroon, HAYUKO Kanisani!
    CORRECTION......
    QURAN HAI kuja NYUMA ya Biblia!
    The ENGLISH Bible, ili TUNGWA na KingJames na WaAndishi wa 46, kule ENGLAND, in 1611AD, using the Primitive OLDE ENGLISH!
    Therefore, the FIRST Olde English Bible, is ONLY 400 Years OLD!
    NA.... the SWAHILI Bible 1952, munao soma, ni COPY ya a 'VERSION', of the SAME original King James Bible, FABRICATED in 1611AD!
    Kwa hivyo, the Bible, or Biblos, or ANY other MZUNGU Fabrication, all came 1000yrs AFTER the HOLY QURAN!
    Na PAULO ali kuwa mu ANZISHI wa ROMAN Catholic teachings.
    Na PAULO, ali kuwa ni MuCRUSADER aliye FUKUZWA from ANTIOCH by the Mamaluks, in 1426AD.
    Na Kanisa la MWANZO la the ROMAN Catholic CHURCH, la ST PETERS ili jengwa, ili iweze kufuatisha mafundisho ya Mu Crusader PAULO, wa KARNE ya 14.
    Note.
    ALL of Allah's REVEALATIONS like the:
    TORAT, and ZABUR and INJEEL, are SINGLE BOOKS, just like the QURAN, which is just a SINGLE BOOK!

    • @athmanadi7391
      @athmanadi7391 10 місяців тому +2

      Brother maelezo yako ni mazuri na yana mafunzo mazuri kwa wasiolewa, unastahili kuwa muhibiri

    • @Sal.0
      @Sal.0 10 місяців тому +2

      @@athmanadi7391
      JazakAllah Bro.
      Nina jaribu by posting, ili wanao pitia hapa, wa Elimike.
      Na, as a Muslims, na post Vitu ambazo nimeya Research vizuri, na ku hakikisha ni ya KWELI.
      Factual Research.
      Sisi huwa HATUNA Porojo za WaKristo.
      So i am glad, ume like info nilio post.
      Sasa, wewe, take this info, and teach others, because even some of our Daees in East Afrika, are NOT confident about the FACT, that the Bible was FABRICATED, only 400 years ago!
      Even though the FACTS are plain to see.
      Some of our Daees, who were former christians, find it especially hard to digest the fact that the English bible, is just a mere STORY BOOK!
      A StoryBook which was FIRST made by a GREEK MAN, called ERASMUS, and others, who had started COPYING factual HISTORICAL EVENTS from the QURAN, beginning in the late 1495s!
      The Translation of the QURAN in 1490s on, ENABLED the World's FIRST GREEK Biblos, to be complied in 1516, by ERASMUS the Greek, who lived in Rotterdam, using the HISTORY contained in the QURAN!
      After the First GREEK Biblos was made, from 1516AD onwards, as the GERMAN language developed, then subsequently OLDE ENGLISH developed by 1536, other EUROPEAN Groups, also started FABRICATING their own 'Bibles', or COLLECTIONS, which were NOT HOLY, but simple FABRICATIONS and modifications!
      Then in 1605AD, KingJames decided, and said :
      "ALL previous 'Bibles' (or collections), were "NOT to be 'trusted",( like the HENRY Bible, Bishops Bible, and Geneva Bible), and that a NEW Bible will be written!
      Therefore, in 1605 AD, King J, appointed 46 Writers, to MANUFACTURE or Write HIS Bible, known as the 'King James Bible', using the still PRIMITIVE language of OLDE ENGLISH.
      And this 1611AD K.J Bible was the FIRST Bible, to be distributed to ALL the ENGLISH Speaking Colonies, including AFRICA and USA.
      Therefore, the KING James Bible 1611AD, is the MASTER BIBLE of all the thousands of 'bibles' in the World TODAY.
      And the SWAHILI Bible of 1952, is a COPY or translation, of a VERSION of this ORIGINAL 1611AD Bible, called:
      The KingJames VERSION Bible, produced by the British, in 1810AD.
      Sawa?

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 10 місяців тому +3

      Shukran bro jazakallahu Khair

    • @Sal.0
      @Sal.0 10 місяців тому +1

      @@Noorein-ws8wk Waiyakum.

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 10 місяців тому +4

    Ma sha Allah ❤

  • @mziguwaosman8539
    @mziguwaosman8539 10 місяців тому +1

    Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu ndugu zangu samahani kama nitawakosea nauliza naomba kujuwa nikitabu Quran gani emeandikwa kuswali ni kucheza kwa sababu kila juma pili wanasema wanaswali kisha kwenye kanisa wana piga ngoma na kucheza

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 10 місяців тому +2

    Mwenye Enzi Mungu awape nguvu, afya muendelee kuitangaza dini ya haqi na kuwa fundisha walio potezwa na walio kuwa hawana elimu. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin

  • @FarajiSalimu
    @FarajiSalimu 10 місяців тому +4

    Allah awaongoze waifuate njia ya haki

    • @RahamaMohamed-nv1bm
      @RahamaMohamed-nv1bm 10 місяців тому

      Njia ya haki ni gani

    • @JamilaJumanne-u7q
      @JamilaJumanne-u7q 11 днів тому

      @@RahamaMohamed-nv1bmsoma au sikuliza haq nikua mnyenyekevu Yaan kua muislam baaas❤❤❤

  • @giuseppinapaul4432
    @giuseppinapaul4432 10 місяців тому

    Shika adabu Yako. Yesu ni Mwana wa Mungu na ni Mungu. Tubu na kuiamini injili. Krismass oyeeeee. Kuna chinja chinja

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 10 місяців тому +2

    Alhamdhulillah 🤲

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 10 місяців тому

    Shukran sana mashekhe wetu, Allah akubarikini nyote, baada ya kuwaeleza kwa mujibu wa vitabu pia waeleze Kwa nini umeacha ukristo

  • @ElizabethKakolanya
    @ElizabethKakolanya 10 місяців тому +1

    Bora nanyi waislam muwafungue sisi wasabato tumefundisha hawaelewi,Mungu awabariki

  • @Fabgenius04
    @Fabgenius04 10 місяців тому +1

    ALLAH ATAKUJAALIA JANNATUL FIRDAUS AL U3LYAA IN SHAA ALLAH.

  • @abisalomwasike8280
    @abisalomwasike8280 10 місяців тому +1

    Masha Allah
    Ramadan uko poa sana

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 9 місяців тому

    Ukimjua Mungu wa kweli utajua kwamba Hana dini Wala kabila.hakuna dini ya mwenyezi Mungu .Wala lugha ya mwenyezi Mungu

    • @issaabdallah7660
      @issaabdallah7660 4 місяці тому

      Huyo Mungu unamjulia wapi bila dini

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 4 місяці тому

      @@issaabdallah7660 Yani watu wa dini wangalimjua Mungu wasingaliwauwa mitume Wala manabii wake

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 10 місяців тому +1

    Mbarikiwe sana Sh.

  • @essanda1
    @essanda1 9 місяців тому

    asalaam alaykum,naweza pata bibilia kama hiyo?. mnafanya kazi nzuri.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 10 місяців тому +1

    Nyinyi Wasilamu msitusumbue Christmas ni Siku ya kuzaliwa Yesu kristo alie hai. ( 25/12/ Miaka 2000 Iliyopita.,msituguse ktk Hilo, kila kitu mnataka Kutupangia , 😂 ,Yesu amezaliwa kimiujiza kwahiyo anaweza kuzaliwa chini ya miezi 9 yani kivyovyote anaweza zaliwa. Acheni kutusumbua wasilamu. Mnatafu ugovi na sisi big up Christmas 2023

    • @rahmaabdalla7643
      @rahmaabdalla7643 10 місяців тому

      Toa andiko basi ,

    • @salimmohammedmwazecha4169
      @salimmohammedmwazecha4169 6 місяців тому

      😂Soma vitabu Ama soma Quran kwani whats special kwa yesu hata adam aliletwa bila Mama wala Baba

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 10 місяців тому

    MashaAllah hustadhi ramadhani kazinzur zaidi umewafundisha hawataki kuelewa Bado Wanalazimisha yesu ni Mungu nitabu shda kuzidi sana wasema wamuongeza andiko lakumsapoti Ili aende jikoni vizur 😂😂😂😂

  • @naimamohammad8870
    @naimamohammad8870 10 місяців тому

    Masha Allah Masha Allah wape ujumbe Shehe Ramadhani

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan3809 10 місяців тому

    Brow una pambana sana Allah akuzidishie afya uzidi kusonga mbele kueneza neno lake.

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 10 місяців тому

    Yesu asifiweeee,sasa kwa aya hiyo aliyosoma mnafeli wapi kumwamini Yesu

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 10 місяців тому

      Tunaamini yesu ni nabii wa mungu ila shda yenu munamuamini ni mungu hapo ndipo mmepotea.wapi yesu alisema yy ni mungu?andiko hatutaki porojo

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 місяці тому

      Tunaomba.naHilo.andiko.eti.yesu.asifiwe.Sifa.zote.njema.Ana.stahik.Allah.yahn.Mungu

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 10 місяців тому +1

    Mashalla Allah ❤❤❤

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 10 місяців тому +3

    MASHAALLAH

  • @Farkhan-ju6js
    @Farkhan-ju6js 10 місяців тому

    Maasha'Allah brother Ramadhan ALLAHU Baairk

  • @RahamaMohamed-nv1bm
    @RahamaMohamed-nv1bm 10 місяців тому +2

    Najivunia kuwa mkristo Hadi mwisho wangu Dunia

    • @abdalahsuleiman8989
      @abdalahsuleiman8989 10 місяців тому

      Wewe njoo uslm Rahma bint Mohammad Wakristo wote ni moton

    • @RahamaMohamed-nv1bm
      @RahamaMohamed-nv1bm 10 місяців тому

      @@abdalahsuleiman8989 wewe ni mungu unajua wenye kwenda motoni

    • @JoyceHaule-v7t
      @JoyceHaule-v7t 10 місяців тому +1

      Najivunia ukristo katika maisha yangu yote

    • @JoyceHaule-v7t
      @JoyceHaule-v7t 10 місяців тому +1

      Kweli kabisa

    • @RahamaMohamed-nv1bm
      @RahamaMohamed-nv1bm 10 місяців тому

      @@JoyceHaule-v7t Amen Jesus is the Way and the truth 🙏🙏

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb 10 місяців тому

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu,,, Maa Shaa Allah...hao ushaa wafoki

  • @ammielvictorykirango2887
    @ammielvictorykirango2887 10 місяців тому

    Wewe Yesu ni Mwana wa Mungu...

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 10 місяців тому

      Labda mungu wako ndy anazaa maana wa ukweli hana mshirika na hawezi kuzaa anajua kuumba

  • @Saidi-cops2023.
    @Saidi-cops2023. 10 місяців тому +2

    Masha Allah ❤

  • @SalimOmary-w8j
    @SalimOmary-w8j 10 місяців тому

    mashaAllah Allah akuhifadhi kaka kuria

  • @rithapuran5835
    @rithapuran5835 10 місяців тому +1

    ALLAH AKBAR ❤❤❤

  • @sarahshamala9093
    @sarahshamala9093 9 місяців тому

    Bibilia haihalalishi, bibilia. Hapo mumethibitisha visawa.
    However, wakulao na kulewa si wenye imani.

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 10 місяців тому

    Wajua. Kila kitu hao sema uislamu umetukataza mengi ndio mana wataka endekeza yakidunia wapoteze akhera

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 10 місяців тому +1

    Waleykum Salaam Waramadhulillahi Wabarakatu Ustadh Ramadan

    • @MohamediHussein-o9b
      @MohamediHussein-o9b 10 місяців тому

      Hao unaowasema wewe kua wanakunywa pombe Na wanaiba
      Sasa hao sio waislamu Ila wanajulikana kama waislamu Sasa hao wapo upande wako wewe wote nyie sio waislamu

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 місяці тому +2

    WanamsrehekeaYuleMwizi.kaachiwaHuru🤣🤣🤣

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 10 місяців тому

    Shekh Ramadhani katika hiyo kumbukumbu la torati 16_14 katka biblia hizi za mtandaoni wametoa neno (Eid) wameweka sikukuku ili kuficha ukweli wa uislamu, tafadhali hiyo biblia yenu ya zamani muitunze sana maana siku zijazo watatoa maneno mengi sana yanayoonyesha dalili za uislamu

  • @ChristinaCharles-py1ct
    @ChristinaCharles-py1ct 10 місяців тому

    Mungu akubariki Kwa kuuweka ukweli wazi.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 10 місяців тому +4

    Mwambieni huyo sheikh idd na Maulid hazimo ndani ya Quran lakini waislamu wa washerehekea kwaiyo waache kutufuatilia wakiristo kwanza imani ni tofauti ❤❤️❤️🎄✝️

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 10 місяців тому +1

      Xmass is pagan holiday

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 10 місяців тому

      @@mohamedimohamedi8933kushrehekea idd Mubarak na Maulid ni ushetwani

    • @tembeakenya254media
      @tembeakenya254media 10 місяців тому

      ​@@mohamedimohamedi8933 ni pagan holiday according to Muslims not Christians what if Christians say idd fitri na idd baraka is pagans how will Muslims yap

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 10 місяців тому

      @@tembeakenya254media sorry if i bother u but u can google by yourself Jesus was not 25th

    • @tembeakenya254media
      @tembeakenya254media 10 місяців тому

      @mohamedimohamedi8933 if u tell me I Google why bothering especially Muslims what is I say it's the other way round Muslims holidays in the first place ur Antichrist therefore ur holidays are those of pagans straight from ur hadith

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 10 місяців тому +1

    Tena basi huyu mwenye akasema yesu alisulubiwa si ndie anaemshusha thamani yesu kwasababu anadaisha alisulubiwa, na hapa tunampa cheo ya kwamba hajasulubiwa

  • @bashkamohamed4015
    @bashkamohamed4015 10 місяців тому

    MashaAllah Ramadan

  • @barackmugatsia4714
    @barackmugatsia4714 10 місяців тому

    Nitakutimizia Muda wako wa kuishi Kisha nikuinue kwangu , , Muda wako wa kuishi utilmizwe ndio ainuliwe kwa Mungu si mbinguni ,hivyo ni kweli yesu alikufa ndio akainuliwa, msalabani kufa hapana , Aya ni wazi

    • @salimmohammedmwazecha4169
      @salimmohammedmwazecha4169 6 місяців тому +1

      yesu aliomba kikombe hicho cha mauti kimuepuka na mungu akamsaidia na akamuenua juu mbinguni na wakabadilishiwa mtu mwengine wakadhani ni yesu so yesu hakufa na yeye atarudi mwisho wa dunia

  • @cindymorgan8765
    @cindymorgan8765 10 місяців тому +1

    ALLAHU AKBAR

    • @flm1530
      @flm1530 10 місяців тому

      Pamoja na alahu akubar yako usipookoka na kumfwata YESU kuzimu ya Moto inakusubiri

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 10 місяців тому

    Huyo jamaa wa swali ya yesu ashasumbua akina salim for loong amekuja kusumbua ramadhan sasa..mweke speed governer ramadhan

  • @HalimahassanMwachinyezi
    @HalimahassanMwachinyezi 10 місяців тому

    Aki napenda sana hii daawah

  • @doramalisa2061
    @doramalisa2061 10 місяців тому

    Maibada ya misanamu yaliyoingizwa kwenye ukristo Kwa njia ya Roma ndo yanatuletea mambo ya masanamu, Mungu atusaidie lakini ukafiri ndo huo kuingiza mambo yasiyokuwepo

  • @mubariekabrahams2650
    @mubariekabrahams2650 10 місяців тому +1

    Mimi niko cape town.
    Na nilikuwa na hitaji kile kitabu

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 10 місяців тому

    Nakubali imeshushwa Sasa mbona Ina vitabu vinne torati zaburi injili na mafundisho ya mtume acheni kutuona viazi

  • @ShakurAKBAR
    @ShakurAKBAR 10 місяців тому

    Maashallah

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 10 місяців тому

    Mashallha

  • @salimiddi7583
    @salimiddi7583 10 місяців тому

    Ustdh waaaaah uko mkali hivyo but umefikisha ujumbe

  • @lizgardner-jy4lq
    @lizgardner-jy4lq 10 місяців тому

    Well God the Creator is Not religious but the truth and the unconditional Love & if you ever want to know about God the Creator just submit to God the Creator & wait for the answers & you will receive it 🙏