Kila mtu anayesikiliza hii habari hapa na kuona hii habari , angetoa kuchangia hata elfu moja au elfu tano nina uhakika Mzee tungeweza kumjengea nyumba . Pole sana baba
Katika budget tunaambiwa kuna budget ya WAZEE 👏🏼👏🏼👏🏼Je huko Songea USTAWI WA JAMII unamsaidiaje huyu mzee? Kwanza haoni vizuri, serikali mliyokuwa mnatuimbia NYIMBO kuwa ni ya wanyonge, inachukua jukumu gani kwa huyu lonely old sweet babu? Kuweni na huruma nyie USTAWI WA JAMII. Mnatakiwa mmfanyie budget ya mlo kwa mwezi, mpelekeni akapimwe macho apewe miwani, na kuwa mnamtembelea. Mnapokea mishahara ya bure😌😌 #waziriwaafya #wizarayaafyamaendeleoyawazeenawatoto fanyeni kazi mliyotumwa
Ustawii wa jamii inafanyaa Kazi, kubwaaa sana ...lakini Haipewiii Heshima Kama inavo Takiwa ... Imagine ustawiii wa Jamiii ni kitengo na haina budget ya serikari kuuuu sasa hiyo si kitu cha ajabu jamani ..... Serikaliii iangaliee kwa kweliii ....
Hahaha Mzee alifanya mahesabu makali sana nilichukua sturi nikachukua kiwembe cha kunyolea ndevu nikazilengeta korodani mpaka nikazikata na nikazitupa chini
Jamani mwezenu sipati picha kweli hasira hasara alipo yatoa nazani alikuwa kalewa heeee yataka moyo inijichoma mwiba niasikitika. Yeye kayakata jamani. Kuna watu makatili heee
Duh nikweli anaishi maisha ya shida kwasababu hana mtu wakumsaidia kazi alafu nayeye kashazeheka😢 Sasa mzee wangu kukwambia mwizi ndo ukakate korodani jamanii?
Hiyo wizara inayoshughulikia wazee, wanachojua Ni kujaza matumbo yao, na wazee wanaowatambua ni wale wachumia tumbo wenzao, haki watu watafika mbinguni wakiwa wamechoka sana
Sakata la harmonize na diamond limefika pabaya ua-cam.com/video/dEJ1zjYhX0c/v-deo.html ua-cam.com/video/dEJ1zjYhX0c/v-deo.html ua-cam.com/video/dEJ1zjYhX0c/v-deo.html
Zamani kidogo nikitoa aja ndogo nashika kwa mkono wa kulia au kushoto niikungute kungute asaivi ipo Kama mlenda ulotiwa magadi yani Kama mwanamke tu 🤣🤣atar Ilami naisi au alilogwa akapata mshipa ndo akaukata
Kweli haon jmn maana hivyo vyombo mweeee🙌🙌🙌🙌maskin itakuwa hata sabuni hana, kwann mtangazaji asimuulize kuhusu familia yake? Na kwann asiish hata na mtt wa ndugu yake kk au dd yake wakiume aliekuwa na mke na watt ili awe nakafamilia atilist asiwe mpweke hata ikitokea kaumwa nyumban kuna watu maskin.
Yani wewe maswali gani hayo mzee wa miaka 87 unamwambia akipata msaada wa koridani duh wewe kweli mtata mzee asaidiwe macho aone vizuri na cjakula khaaaaa🙄🙄🙄
Mungu wabarikii wazee wetuu ssi sote tunaelekea hukohuko
Huyu mzee kweli aliwaza namna ya kujiua ndo mawazo yake yakaishia hapo dah! Kweli ulijitoa muhanga kama magaidi wa alshaabab
Mungu amuonekanie mzee,huyu haitaji korodani kwa sasa, awezeshwe afurahie maisha yake yaliyobakia, huu umaskini ni mwingi mno. Inasikitisha.
Kila mtu anayesikiliza hii habari hapa na kuona hii habari , angetoa kuchangia hata elfu moja au elfu tano nina uhakika Mzee tungeweza kumjengea nyumba . Pole sana baba
Katika budget tunaambiwa kuna budget ya WAZEE 👏🏼👏🏼👏🏼Je huko Songea USTAWI WA JAMII unamsaidiaje huyu mzee? Kwanza haoni vizuri, serikali mliyokuwa mnatuimbia NYIMBO kuwa ni ya wanyonge, inachukua jukumu gani kwa huyu lonely old sweet babu? Kuweni na huruma nyie USTAWI WA JAMII. Mnatakiwa mmfanyie budget ya mlo kwa mwezi, mpelekeni akapimwe macho apewe miwani, na kuwa mnamtembelea. Mnapokea mishahara ya bure😌😌 #waziriwaafya #wizarayaafyamaendeleoyawazeenawatoto fanyeni kazi mliyotumwa
Ustawii wa jamii inafanyaa Kazi, kubwaaa sana ...lakini Haipewiii Heshima Kama inavo Takiwa ... Imagine ustawiii wa Jamiii ni kitengo na haina budget ya serikari kuuuu sasa hiyo si kitu cha ajabu jamani ..... Serikaliii iangaliee kwa kweliii ....
Hivi pembeniyako sikunawatu ambao hawajiwezi unasaidia wangapi kama unasaidia unawapa misaada wote?
5
😒😒
Huyu mzee namfahamu toka nipo Primary ni story ya kweli kabisa.Kweli Millard unajua kuzipata habari aisee.
Hahaha Mzee alifanya mahesabu makali sana nilichukua sturi nikachukua kiwembe cha kunyolea ndevu nikazilengeta korodani mpaka nikazikata na nikazitupa chini
😄😄😄😄😄🙏
😂😂😂😂😂😂
Dah! Aiseeee mesikiliza mpk mwishooo ila mzeee una tabu Sana, pole
Sad..
🤣🤣🤣🤣🤣 sema mzee muhuni sana eti bunduki ipo
Vjna tujifunzeee tutafute pesa na tumwombe mungu haya yote ni umaskn pia unachangia mungu tupe mwsho mwema
Uyu mzee yuko very strong. Ni watu wachache sana wanaweza huu mziki
Pascooo hadi unakunjwaaa suraaaa ulivosikiaaa zika dondokaaa 😂
🤣🤣
Eeh! mzee Jamani pole sana eti kusukutua
First Muombe Mungu msamaha Kwanza maana hata kama umewaza mpaka kufika mwisho ndio ujikate korodani?
GOD HAVE MERCY ON US.🙏🙏
Babu angetuonyesha tuone kipisi kilichosalia
Nimeumia sana tu juu ya huyo babu mungu amtunze
Pole sana hivikweli mzee ulisingiziwa besikeri au ni mke wamtu?maana besikeri na nyeti haviendani kabisa dah🙆♂️🙆♂️
😄😄😄
Kweli kabisa ila mimi nimesikia ilikuwa ni kweli na alikuwa natabia ya udokozi amefanya kazi kwa mama mkwe wangu
Babu bhana 😄 eti Wanawake wote Wanajua nipo " open" 😄😄😄
Serikali naomba msaidieni mzee huyu hata kama ni kwakumpa msaidizi wa kazi za ndani au kumpa makazi yaliyo bora
Jamani wanawake tujitokeze mzee wetu kashasema bunduki ipo
😅😂😂mzee muwazi kweli kweli.
Ipo Sawa je risasi inafyatua🤣🤣🤣
@@aminaally9156 umalaya huo 🤣🤣🤣🤣
@Athuman Fuko 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Mie nataka nikae na babu uyo kweli kabisa ila kwake sikujui pia nauli Sina
Mhmh
@@hadijamagufuli2661 kweli kabisa mie mwenywe Nisha zeekamiaka 60 nikipata uyo Sawa tuu
Mwenyezi mungu atafanya njia utafika na utaenda ishi nae
Mkoa wa luvuma niwagumu Sana kusaidia wazee na mama wa Jane viongozi wanapenda lushwa sana
Kwa muonekano wa nyumba hyo kwa enzi hizo lazima uonewe wivu inaonekana ilikua matata sana,Mungu aendelee kukutunza
PASCHAL nakuona unavyokunja USO kwa kuyawazia hayo maumivu,duuh.Aliyesema usifanye maamuzi ukiwa na hasira aliwaza vema sana.
Pole Babu, japo umenichekesha pia
Mtangazaji usoni anaonekana kama ni zake zinakatwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Pole mzee mungu ajusaidie
Yy mwenyewe ndo kayafanya maisha magumu kila mtu ataogpa ujikate korodani jmn jeee uyo mke akifnya kosa si atamuua uyu ss mdiso haupo atampata nan labda apate jini mahaba limsaidie saidie kupungza shahawa
Poole sana babu huruma kwako
Jamani mwezenu sipati picha kweli hasira hasara alipo yatoa nazani alikuwa kalewa heeee yataka moyo inijichoma mwiba niasikitika. Yeye kayakata jamani. Kuna watu makatili heee
😅😅😅😅😅😅😅Pamekaaa filesh bunduki ipoo
Pole mzee kwa maamz magum uliyo yafanya
Kama umesikia neno Fieta gonga like
Duh nikweli anaishi maisha ya shida kwasababu hana mtu wakumsaidia kazi alafu nayeye kashazeheka😢 Sasa mzee wangu kukwambia mwizi ndo ukakate korodani jamanii?
🤣🤣
😂😂😂😂
@@salhaali9284 zamani hio ilikua fedheha sana kwa mtu kuwa mwizi kwenye jamii namuelewa huyu mzee why alifanya vile
Hahahahahaha
Pumbavu mkubwa ukate korodani kwa ajil ya kuambiwa mwizi
Pole sana
Yani uyu babu aba kuacha usahau u chungu unacheka😂😂😂😂eti bunduki kama mlenda ulitiwa magadi mm nakuja lakini uni kabizi iyo arithi😂😂😂😂😂
😄😄😄😄
Bunduki lege lege kama mlenda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bunduki haitoi risasi inashtuka shtuka ,bunduki bunduki ipoo 🤣🤣🤣🤣umenichekesha babu ila pole sana.
,,,🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umemkosea sana mungu kuharibu uumbaji wa mungu kwako
we ni mbuzi kweli judge not my friend
Hahaaaa yupo vzr akazitupa chini
Namkubari Babu bahati mbaya ilifanya mahamzi yajaziba kuhusu mke wake alikua mvumilivu sana upendo niakiba
🤣🤣🤣🤣 mzee noma sana. Nikalengeta. Hii nchi nomaaaa. Sasa huna korodani mwanamke wa nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Mzee ulijihasi mwenyewe aise ingeiacha ata moja
😅😅😅😅😅Nicheke kwanza Sasa kolodan na baskeli wapi na wapi Samahan jmn Kwan ukizikata zile Hua usimamishi
korodani ndoo nn
@@heyumi2340 nafikiri itakuwa nizile zinazo ning'inia
@@khadijahali4837 kaharibu sukari ya mashangingi
@@heyumi2340 ttz ilikuwa haifanyi kz ipasavyo
@@khadijahali4837 alikuwa na mke vip mm naona sasa hivi ndiooo kaharibu kabisa
Hiyo wizara inayoshughulikia wazee, wanachojua Ni kujaza matumbo yao, na wazee wanaowatambua ni wale wachumia tumbo wenzao, haki watu watafika mbinguni wakiwa wamechoka sana
Sana bro Mungu atusimamie
Mbinguni gani,unauchezea ujana wako badala ya kujipanga vizuri, na wewe ukifanya mchezo mambo ndio hayo.
Pole mzee shetani alikuvaa
Sn
Pole sana babu amakweli hasira hasara dunia mapito 2 tuna pita
No coment
Jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😌😌nimecheka sanaaaaa
Nikweli Jmn anaitaji msaada kweli
Babu yetu huyo wa mtaani mtoto wangu wa kwanza mimba nilipatia apo kwa uyo babu nikama mtani hivi wa mume wangu
Pole sana babu , lakini huyu babu alikuwa mtata.
😭😭😭 daa Mungu mjalie mwisho mwema huyu mzee nimelia sana
Dah pole lakn kwann umezikata jmn tusiwe na mamuz magumu namna hii
Mh #AMEKATA TONGO ZOTE MBILI kisha kutupa chini alijiona komando 😀😀😁😂😂
Sakata la harmonize na diamond limefika pabaya
ua-cam.com/video/dEJ1zjYhX0c/v-deo.html
ua-cam.com/video/dEJ1zjYhX0c/v-deo.html
ua-cam.com/video/dEJ1zjYhX0c/v-deo.html
Duuuu pole hasira hasara
Zamani kidogo nikitoa aja ndogo nashika kwa mkono wa kulia au kushoto niikungute kungute asaivi ipo Kama mlenda ulotiwa magadi yani Kama mwanamke tu 🤣🤣atar
Ilami naisi au alilogwa akapata mshipa ndo akaukata
Hayo maisha ya kukomoana yapo Sana yan hii dunia acha tu
Dah aiseeeee!
Pombe sio chai
Babu anabango la ccm nyumban kwake ila hawamjali mpinga kura wao kweli ccm inawenyewe
Nimeamini msemo usemao ,ata wajinga nao wanazeeka. Mungu anisamehe Kama nimekosea
Kwanini
Bofya kupata internet bure usisahau kusubscribe ua-cam.com/users/NUHUONLINETVp
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Babu jmn eti kam mlenda
Pamekafreshi😂😂😂😂babu uyo eti bunduki bunduki ipo
Kweli haon jmn maana hivyo vyombo mweeee🙌🙌🙌🙌maskin itakuwa hata sabuni hana, kwann mtangazaji asimuulize kuhusu familia yake? Na kwann asiish hata na mtt wa ndugu yake kk au dd yake wakiume aliekuwa na mke na watt ili awe nakafamilia atilist asiwe mpweke hata ikitokea kaumwa nyumban kuna watu maskin.
Wako na budget yao serikalini lakini wanafahidi ni mafisadi tu😭🇹🇿
Mwamposa
Mtangazaji pole maana navocheka huku huu mzee balaa.🤣🤣🤣
Duh, mtihani kweli
Unajua kusukutua bunduki wewe 😀😀😀 poleee Babu yangu
Hyu mzee atakaa na nan unafkri we korodani zake mwenyewe kaamua kuziondoa ndo mtu kwl uyu Iman anayo kwl hyu?
Mmmmh kweli kuwa uyaone
Huyu mzee ni mkatili sana
Hahahahahaha mzee bwana ety bunduki,posho na kusukutua
Bunduki, kupiga mnyama, maneno ya mzee
Sipati picha uyu mzee alipokuwa kijana🙊🙊🙊
🤣🤣🤣🤣
Waanchangie nyumba mbovu
Watajenga nyingine
Uyu MZEE bana 😀😁😁😁😁😁
Mzee jiwe bunduki yako ikitaka kupiga mnyama hatari,,, sasahivi kama mlenda wa magadi duuuuu
Korodani ni nini.. Makende au mboo?
Mmmmh makubwa! Dunia ina mamboo
Jamani babu is 😂😂😂😂😂,nimecheka kweri
Tena mtihani yaani huo ugali uji haujawi va unga kidogo uji mwingi pole mze ndio duniya
Pole babu
Karibu kw Chanel yngu pia 🥰
Maamuzi ya ulevi mzee . Kwa mimi bora nionekane mwizi kuliko kukata mali
🤣
😆😆😆😆
Sijui kwanini alifanya hivyo
Unaikung, uta 🤣🤣
Yani wewe maswali gani hayo mzee wa miaka 87 unamwambia akipata msaada wa koridani duh wewe kweli mtata mzee asaidiwe macho aone vizuri na cjakula khaaaaa🙄🙄🙄
Mbona kauliza powa tu kauliza ki utu uZima na swali zakutuelimisha maybe pako korodani bandia unajuwaje HUJUWI!! Kwahiyo wangine tumeelewa
Nacheka kwa sauti 😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣bunduki imelalayoo🥳
Bala ulivo ikata imepunguza kupata malaxo ya ngono
Kumbe inamajina MENGI hivi 🙏
Bunduki, smg au? 😂😂😂
@@aishaamwalimu2887 😂😂😂😂😂
@@khadijahomankweliyamjahaya7421 😂
🤣🤣🤣kwani ujui au kusudi
Sasa kama ulikuwa unataka Kujiua kwa nini hukukata SHINGO....Ukajikata KORODANI.!!??
😂😂😂
Aiiii🤣🤣kumekucha🏃🏃
🤣🤣🤣🤣unamambo wew
Apo ndo mtaamin uchawi upo 😏
Mmmm kua uyaonee c magorofa mambo kama haya
Jamen daah
Maswali mengine?
Mmm😭😭😭
Ukorofii Y ukate Kolo ..?
Duh una roho ngumu kuliko ya Yuda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukorofi huo ulioufanya mzeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti bunduki inastuka stuka,,
hahahahahhahah
Tazama wimbo huu mpaka mwisho, utagundua kitu. Bonyeza hapa>>>ua-cam.com/video/lDXPefFzIdU/v-deo.html
mbayasana