Yarrab waongoze watoto wangu wawe wema ameen yarrab wame mashekh na maamir na maukhty kuliko mashekh na maukhty wote dunia nzima ameen yarrab .sheikh Hamza Allah akulipe pepo ww na sisi ameen yarrab
Mashallah!! Ewe Mola wangu niongozee kwenye njia unayoipenda wwe,mmi pamoja na umma wa kiislamu...nisamehe dhambi zangu zote mmi na wazazi wangu wawili
Mashaallaah. Sheikh. Allah Mola mwenye Huruma atujaalie kizazi chema na awarehemu wazaz wetu na atusamehe tulipo kosea atupe mwisho mwema inshaallaah,,,,, Aaamin⭐🌙🕋🕌
Allah azidi kukupa elimu ili utukumbushe waislam, ila usijekubali kujiunga ktk BAQWATA utajivunjia heshima yako,pia epuka sana mizozo na mashekhe wenzako,baadhi ya mashekhe wako kwa ajili ya kusubiri mashkh wenziwao waongee kitu ktk membari halafu nawao hujidai kumkosoa ili yey onekan bora,liangalie sana hili maalim.
Dua ya kuingia msikitin na kutoka msikinitini 1) kuingia.... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma ftahalii abewaaba rahmatika 2) kutoka... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma inniy as aluka min fadhilika allahumma A'aswiminy minash shaytaani rajiyim..love you all from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ya rabii mungu tunusuru si umat Muhammed s a w ya samiu mjibu shk kila analo litaka LA kheri ya manani walipe mashk wetu ujira unao ujuwa kwa kazi kumbwa ya rabii wape umri mrefu na mwisho mwema piya nimefaidika sana kwa mawaidha yako
Ahsante sana sheikh, asante kwa kutupatia mawaidha na nasahi hii ya maana sana, tunaomba mungu atuzidishie neema zake na wote wako katika imaan, tupatane katika Janaah, ameen ameen
Asalam alekum, Mashallah tabak ALLAH;Mimi niko Saudi Arabia nimefurahi sana kwahiyo Mawaitha yako ALLAH akuzidishie kilalagheri dunia na akhera .👍👍👍👌💯💯🇰🇪💐🇸🇦🇸🇦
Asalam alaikum warahamatulah warakatu.maostadhi na mashekhe Allah awape umri mrefu na awape nguvu za kutupatia nasakha.Allah awape maisha mema dunia fili akhera
Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu na Allah akulipe kher hapa dunian na akhera
Yarrab waongoze watoto wangu wawe wema ameen yarrab wame mashekh na maamir na maukhty kuliko mashekh na maukhty wote dunia nzima ameen yarrab .sheikh Hamza Allah akulipe pepo ww na sisi ameen yarrab
Ameeen🤲
Asate san
Ameen
Aslam alaykum
Waombee wasiwe washekh Tu Ila wawe mashekh wenye kufata haki sio maslahi insha'Allah Allah atuokoe sisi na vizazi vitokanavyo na sisi
Mashallah!! Ewe Mola wangu niongozee kwenye njia unayoipenda wwe,mmi pamoja na umma wa kiislamu...nisamehe dhambi zangu zote mmi na wazazi wangu wawili
Amiin
Mwenyezi mungu nisamehe dhambi zangu pamoja na wazazi wangu wote 🙏🏿
Ya Allah mrehemu wazazi wangu na uwaokoe na adhabu ya kaburi
ewe mwenyez mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu nijaaalie Mimi nawazazi wangu mwisho mwema
Ameen
Amina
allahuma AMINNA
Allahuma amiin
Allahumma Amiin
Mashaallaah. Sheikh. Allah Mola mwenye Huruma atujaalie kizazi chema na awarehemu wazaz wetu na atusamehe tulipo kosea atupe mwisho mwema inshaallaah,,,,, Aaamin⭐🌙🕋🕌
Ya rabii mungu a tujaliye mwisho mwema shk mungu akupe umri mrefu na akukutanishe na kipenzi wetu S. A. W
Sheikh wangu umenitoa mbali sana
Mashallah Jazakallahu kheir sheikh Mansour Allah akuzidishie Ilmu tena na tennaa
Allah atuongoze kwenye njia ya haki itakayo mfurahisha Allah Amin yarab
Mashallah sheikh Hamza mansoor mungu atakulipa
Allah atupe mwisho mwema Sisi pamoja na wewe inshallah
Subra ni jambo jema tumtegemee allah,,shukran shehe kwa nasaha
Amen
Ameen
Mashallah shekh mungu akupe mwisho mwema wewe na sisi kwa pamoja
Allah azidi kukupa elimu ili utukumbushe waislam, ila usijekubali kujiunga ktk BAQWATA utajivunjia heshima yako,pia epuka sana mizozo na mashekhe wenzako,baadhi ya mashekhe wako kwa ajili ya kusubiri mashkh wenziwao waongee kitu ktk membari halafu nawao hujidai kumkosoa ili yey onekan bora,liangalie sana hili maalim.
Amiin yarrab 🤲
Shukrn yaa usitadhi Allah akupe mwisho mwema lnshallah🙏
Ameen
@@aishaali284 Assalaamualykum
Dua ya kuingia msikitin na kutoka msikinitini
1) kuingia.... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma ftahalii abewaaba rahmatika
2) kutoka... bismillahi wassalaatu wassalaamu Alaa rasuulillahi allahumma inniy as aluka min fadhilika allahumma A'aswiminy minash shaytaani rajiyim..love you all from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ma sha Allah sheikh may Allah grant you jannatul firdous
Asante kwa darasa shekhe wetu mungu akujalie akupe maisha marefu na uzidi kutukumbusha inshaallah
Ameen
Mungu atusamehe madhambi yetu. Amiin
mwenyezi mungu atudjalie Amani nasalama 🙏
Mashaallah Allah atungoze katika njia ilio swa lnshaallah
Inshallah mungu atupe subra katika kila hatua ya maisha yetu na atupambe na baraka zake ktka majambo yetu
Mashaallah sheikh hamza mungu akuzidishiye
Ya rabii mungu tunusuru si umat Muhammed s a w ya samiu mjibu shk kila analo litaka LA kheri ya manani walipe mashk wetu ujira unao ujuwa kwa kazi kumbwa ya rabii wape umri mrefu na mwisho mwema piya nimefaidika sana kwa mawaidha yako
Asante sheikh kwa mawaidha MUNGu ataleta wepes ishaallah kwa mawaidha yak MUNGu atusameh kwa makos yetu inshaallah biidbininllah 🤲🙏
Naaaam Allah atupe mwisho mwema ya RABBI
Mungu atuongozee kwa njia za Sawa in shaa Allah
Ameen yarabil ala
Inshallah khier
Ameen ya rabi
Mashallah tabaraka llah, Allah Akbaru Allah akuzidishie
Masha Allah mawaidha mazuri Allah atuongoze na akujaze na ww na kheri zote duniani umetuilimisha
Masha Allah, May ALLAH grant you Jannah Firdhaus Sheikh Hamza Mansour🤲🤲
Amiin
Amiiiiin
Amiiin
Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh Hamza uendelee kutupa mawaidha mazuri.
Kweliii kak
Allah wepesi avikuze vyombo vyetu vya kiislaam
mashaallah
Amin
Ishallah
Jazakallahu khair ustadh 🙏🙏 Allahu'akbar Alhamdhulilah 🤲❣️
Heeee mwenye zi mungu samehe wazazi wangu hote mawili mali wipo Amina yarabih 👏👏
Ameen
Masha Allah Allah awalipe mashekhe wetu kheri na malipo zaidi ya Yale yanayostahikk
Mashallah jaza yako iko kwa Allah
Ahsante sana sheikh, asante kwa kutupatia mawaidha na nasahi hii ya maana sana, tunaomba mungu atuzidishie neema zake na wote wako katika imaan, tupatane katika Janaah, ameen ameen
Kweri nimempendasana shak Allah akurinde Amiin
Nice darasa mashallah my brother mungu akuzidisia elimu ameen thuma ameen akupe afia ameen
Chulani cheikhs hamza
Asante kwa darasa zuri mungu akulipe, namuomba M/ mungu anijaalie pepo Mimi na Wazaziwangu
Mashallah
Masha Allah Dunia inatudanganya atuangalii mbele
Ya rabil nipe mwisho mwema mm na wazazi wangu na mumewangu na watoto wangu
Ameen
I wish I had known this earlier... After listening to this teachings, I think I have come to love this religion
Your welcome❤
May Allah guide you to the right path of islam
May Allah guide you 🙏
Sammy Ngunjiri Your most welcome brother
Welcome brother
Subra ni jambo jema katika maisha na mwenyeezi mungu atafungua njia 😇
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi naakujaalie kher kwa ukumbusho jazakallah khaira
Mungu nijalie mwisho mwema Mimi na família yangu amin🤲🥰
Shukran jazeelaah.. Allah akufanyie wepesi wa kutuelemisha,Allah na sisi waja wako wanyonge subra ya mitihani zetu
Asante Kwa faida shekh wangu ALLAH atakujaza moyo huohuo na yeye ndo atakulipa
I like so much listening to your khutbah ,mawaidha .may Allah Grant you a blessed life and Grant you jannah
Mashallah,Allah atujaalie mwisho mwema inshallah
Asalam alekum, Mashallah tabak ALLAH;Mimi niko Saudi Arabia nimefurahi sana kwahiyo Mawaitha yako ALLAH akuzidishie kilalagheri dunia na akhera .👍👍👍👌💯💯🇰🇪💐🇸🇦🇸🇦
Alhamdulillah kwa kila jambo mwenyezi MUNGU ni mjuzi zaidi
Allah mpe umri mrefu huyu shekh apate kutuelimisha zaid inshaallah
Asalam alaikum warahamatulah warakatu.maostadhi na mashekhe Allah awape umri mrefu na awape nguvu za kutupatia nasakha.Allah awape maisha mema dunia fili akhera
🙏
Masha Allah mungu akupandishe darja tukufu.
Maa shaa Allah sheik Hamza may Allah bless you....long life💖
Sheikh Hamza...
Your teachings are real.
Allah akujalie mwishomwema inshallah nawa Islam oote watakaomfata mtume wetu Muhammad swalallah alayhi wasalam
sheikh ALLAH ATUJARIE kila kheri wewe na sisi wanafunzi wako
MashaAllah TabarakkahAllah sheikh I love you for sake of Allah
124
124
Mashallah ewe Yarabi tujaalie mema hapa duniani na kesho akhera
Allah Akbar walillah walihamnd wallah Akbar Allah atujalie mwisho mwem inshallah 🤲
Jazakallahu khayra sheikh, maashallah, mbora ni yule anaesikia nakuyafanyia kazi, inshaalla Allah atufanyie wepesi tuyafuate yaliosemwa,
Allah Allah akbar
Amiiin
Amina
امين
Shukran Nasaha nzuri Sana MashAllah Allahubarik
Mbora wenu ni yule anayemcha. M.ungu. mashallah ustadhi nakupnda kwa mawaiza yako mazuri sana tu
Mashalah Allah akuongoze
Mashallah Ewe molanisaidie kwenye mtihani yangu na wasaidie wazaz wangu na mtto wang waepushie magojwa wape ridhiki
Manshaallah Allah aku hifathi sheikh hamza
Ammyn thumma ammyn thumma ammyn yarabb laalamyn
Shukran sana sheykh kwa mawaydha tuna muomba allah nasi waja Wake atujaalie mwisho mwema
Baraakallahu FIIKUM,,wajakumullahu khaira
Sheikh Hamza Allah akupe kila unchokitamani Ila kiwa ni halali Allahuma amiiin 🤲
JazzakaAllahu Kheir .....mashaaalah i just love this sheikh
Mashallah Kwa mwaidh mazuri inshallaha yarrabi tupe mwisho mwem
Allah tujaalie tuwe miongoni mwa waja wko wema
Allah akulipe pepo
Mashaallah!!ALLAH atupe Imani n subra katika kila Mtihani unaotufika inshaallah
Mungu amlaze pahali pema peponi shekh Hamza Mansoor kwa kutupea elimu inshallah
Kwani keshatangulia mbele za haki?
Ewe mola wetu tujarie wisho mwema duniani na kesho ahera
Maa Shaa Allah.Sheikh mbora Allah atupe mwisho mwema.
Subhanallah Allahuakbar jazakallah kheri Alhamdulila Allahuakbar ❤ 💚 💙 💕
Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu na Allah akulipe kher hapa dunian na akhera
Maasha.allah tabaaraka llaah
naam
●▬▬▬▬▬▬ஜ۩۞۩ஜ▬▬▬▬▬▬●
اللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّدٍ وَّ عَلَى آلِ مُحَمَّدٍ كَمَا صَلَّيْتَ عَلَى إِبْرَاهِيمَ وَعَلَى آلِ إِبْرَاهِيمَ إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ
اللَّهُمَّ بَارِكْ عَلَى مُحَمَّدٍ وَّ عَلَى آلِ مُحَمَّدٍ كَمَا بَارَكْتَ عَلَى إِبْرَاهِيمَ وَعَلَى آلِ إِبْرَاهِيمَ إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ
●▬▬▬▬▬▬ஜ۩۞۩ஜ▬▬▬▬▬▬●
Mashalah
Allahuakubar mungu akuzidishiye elimu zaidi inshaallah.
Mashallah ewe ya raaby tunaomba mwisho mwema mola wetu
Masha Allah Alhamdulillah
Alhamdulillah
Mawaidha yanatutoa sehem moja kwenda nyengie Allah akulipe kheri
Mwenyezi mungu atupe mwisho mwema shehe wangu na mungu akupe afya njema ili uzidi kutufundisha
Allah akupe khusnul KHATIMAH Allahumma Amiin
Ameen 🤲🤲🤲
جَزَاكَ اللَّهُ خَيْرَ
Maanshaallah BarakaAllahu khayra Allah akuzidishie kheri, na akujalien mwisho Mwema inshaallah
She.alaa.akupe.umli.mlefu.ami
Masha Allah bless you and your family Ijumaa kareem my shelkh
Jazakallahu Khairaa Allah Azid Kukuneemesha Sheikh Wtu
Ewe mola wangu nakuomba unijaalie mwisho mwema🙏
Mashaallah shukurani 🙏🙏🙏❤️❤️
Ya Allah wasamee ndugu zetu walio tangulia Allah uma amiiin
Sheikh hamzaaa mungu akuwekee kwa jili ya waislam wote 😢
Jazakallahu kheri kwa ukumbusho
Mawaidha mazuri.. Allhamdulilah 🤲
Ashallah eeh Allah atuongeze katika njia ilionyooka Amen🙏
Shekh Allah akulinde na mashekh wote wanaofanya hay kwaajili ya allah
Asante Kwa darasa mm n mchrito but nampenda mafundisho ya kiislam Allah anijalie crash wangu awendio wa kuniongoza kuingia Kwa dini ya islam
Ma sha allah
Sheikh wetu allah akuhifadhi na akubariki
Swadakta maneno matam sana hakuna mfano wadini ya hakki Kama uislam niraha sana Masha Allah Allah akulipe kheri
Allahu akbar 🧕❤🧕
Mashaallah allah akulipe khery god bless you👏
Mashanlah Allah atujalie sote tuwe wenye kusubiri na sheikh Allah akupe umri mrefu
MashaAllah.Jazaaka Llahu khaeran .
Allahumma ajirnii fi muswibatii wa aghlif lii khairan minha
Allah atujaalie tuwe miongoni mwa waja wema