SEKUNDE 60 | Timu tanozimetumia dimba la Azam Complex, Simba, Azam Yanga wamo
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- Klabu tano za soka nchini zimetumia dimba la Azam Complex, kama uwanja wao wa nyumbani kwenye mechi za NBC Premier League msimu wa 2023/24.
Leonard Musikula anakujuza idadi ya magoli yaliyofungwa katika dimba hilo na akikutajia mechi ambazo zilimalizika bila goli.
#Sekunde60ZaMusikula #Sekunde60 #LeonardMusikula #NBCPremierLeague #NBCPL #NBCPLRecords