MAMBO MATANO USIYOYAFAHAMU KUHUSU MSHAMBULIAJI MPYA WA SIMBA YAO JEAN CHARLES OLIVER
Вставка
- Опубліковано 4 лип 2024
- Simba imemsajili kimya kimya mshambuliaji wa SKA Khaborovsk ya nchini Russia Yao Jean-Charles Oliver Raia wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 23 kwaajili ya kuimarisha safu yao ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao
Kwa kulitambua hilo Simba Pro tumeona tuje na mambo matano ambayo yanaweza kumpa picha mwanasimba juu ya ubora wa nyota huyo mpya katika kikosi cha Simba
Kama unahitaji kuungwa kwenye group tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kuungwa - Спорт
Wakwanza kabisa nipo hapa nimetisha kumuunga mkono Mr dulla hassan ❤❤🎉🎉
Aliekwenda simba ni jean Charles ahou, huyo Oliver unamjua ww
Hakuna simba ya wazee sasa uzee uko kwa wenzetu tuu
Hamna straika apo kaka ,,, mpira ni mchezo wa wazi mzeee uyu jamaa ni jobe alie changamka ,,, au na ww unatumika na viongoz wa simba ???
Hakuna streka hapo viongozi walete streka lakueleweka
Daa moyo wa korosho huo, wewe ni chura tu