Zijue mbinu aizotumia mwanadada ambeye ameishi na ugonjwa wa kisukari kwa zaidi ya miaka 10
Вставка
- Опубліковано 23 лип 2018
- Ikizingatiwa kwamba magojwa yasiyoambukizwa kama vile kisukari hufupisha maisha ya Watanzania wengi, Lucy Johnbosko amekuwa kinara katika kuwaelekeza watanzania jinsi ya kupambana na Ugojwa wa kisukari na hatimaye kuishi maisha ya kawaida kama wengine.
Ubarikiwe sana
Mungu akupe ujasiri udhidi kutoa elimu hii kwa jamii
Mm nina kisukari na simu ya kisukari ni mawazo pia uwe na dawa za kisukari na kuji nyima vyakula vya sukari utaishi
Mung u akubariki sister
Dada wa mikoan tutafaidikaje na semina hii
Nina ugonjwa wa sukar