AHMED ALLY "MANULA WALIMPIGA NILIVYOONDOKA" | AAHIDI VITA YA KISASI KWA MKAPA | AKOSHWA NA HAMZA..
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Hili semaji kuna baadhi ya interview zake yupo serious anaangalia na interview yenyewe,big up
Poleni kwa Safari hongera Sana kwa TIMU yote
Mungu Mkubwa Asante Mungu mmefika salama
Nakubali ❤❤
Mm ni Yanga ila hapa leo Ally Ahmed nimemuelewa sana leo, kweli kama jamaa watakuja kufunguka kwa kweli mechi itakuwa ngumu mno tena mno,ila kama watajilinda basi mechi wataifanya kuwa nyepesi.Kwa kweli wanasimba inabidi mzidishe maombi Ili hao jamaa waje kujirinda hapo mechi wataifanya kuwa nyepesi mno,ila kama watakuja kujiripua kwa kweli Simba mtakuwa na mechi ngumu mno tofauti na hapo kwa kweli yaweza kuwa ndo mwisho wenu.
Unaleta comment Za kiunazi,nazi Kati ya Tripoli na Simba Nani kacheza game ngumu Zaidi za hii michuano ukinijibu bhasi nitajua wewe ni mwanamichezo ama mnazi tuh
@@deniseliuter3002mmm mmmmmh😢😢😢😢 jamani sisemi kitu acha ncheketu
Mashabiki wao wasiingie kwa Mkapa
Mungu aitangurie Simba ishinde
Polen sana askar wetu Simba nguvu moja
Poleni kwaxafar
Nimekubali
❤❤❤
Hayakuwa matokeo mazuri kwetu,sare ya magoli ni mbaya sana kwetu hapo ni ushindi tu.
Kwani lengo ni are tena. Ni mechi ya lazima kushinda.
Simba nguvu moja
Semaj una balaa zito umetoka Libya tena umekaa siku 7 ❤
Simba sasa uongozi na benchi la ufundi pamoja na wazee waendelee kushirikiana nguvu ya ziada wafanye ili ushindi upatikane kwa Mkapa vijana wanajituma ni kazi ya Viongozi kuimaliza mechi nje xx
Yaan tunawasubiri Kwa ubwala sana
❤
Ubaya ubwela
Isucha n masaliga
Ahmed Ally anajua sn kuongea na mbwembwe zakutosha
Tatizo mnatembelea jina simba mnasahau lifanywa na uwezo wa chezaji tizameni kama wanauwezo wa kutoboa
naondoka na hii ya abdulrazack hamza ni kama shekhe yahya
Namuona passmilioni anacheeka maneno yaSemàji
Semaji la caf😂
Mnataka wafungiwe😂😂😂😂😂? Tulieni ,wanakuja kuwakanda
😂😂😂😂na mkipata goli Moja si mtaua mtu mkisherekea kwa sare Libya kulidamshi kwa wenyeji ila nyie ata sikuona ata kiongozi jukwaani kavaa jezi yenu ama na nyie mliambiwa mvae za ah ahly 😂😂 Bora ata Ethiopia wananchi walikuwepo zaidi ya 60
Kwa hiyo Ethiopia ni sawa na Libya😂😂.
Swala la kufungua kesi hapo bora muachane nalo tu,kama Yanga alinyimwa gol halali na kila mmoja aliona lakini wapi.
Hapa hatuongelei yanga unaleta habari za yanga hapa
VidiMate
Mijitu ya Libya imemiambukiza mafua semaji letu