Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa /Sheikh Walid Alhad Omar

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa / Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa / Sheikh Walid Alhad Omar
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    UA-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 46

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Рік тому +4

    SIFA 05
    1.Kuunga udugu
    2. Kua mkweli
    3. Kubeba mazito ya watu
    4. Kupokea wageni na kama hawapo kuwatafuta
    5. Kuondosha majanga ktk Jamiii.

  • @Hinduhamza
    @Hinduhamza 4 місяці тому +2

    Swalu ala na bii Allahuma swalli ala saiidina muhammadi waalihi waas habihi asallamu 😢

  • @barwani890
    @barwani890 Рік тому +5

    Mashaallah tabarak rahmani
    Allah akuondoshee kila shari

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Рік тому +5

    Allah akupe kila kheir shiekh

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому +5

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir Ya Sheikh

  • @fettysalum8481
    @fettysalum8481 Рік тому +4

    Jazaqallah kheir

  • @mgawabuya7265
    @mgawabuya7265 Рік тому +4

    Mawaidha mazuri ,mungu akuzidoshie

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri3764 Рік тому +3

    Walid akiongea anaeleweka sana
    Allah ampe umri wenye kheyr azidi kutufunza kheyr.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому +6

    Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Wa Alihi Wa As'Habihi Wassallaam

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Рік тому +3

    Machallah

  • @ashaibrahim4331
    @ashaibrahim4331 Рік тому

    Allah akuzidishie shekh elm nakupenda kwa ajili ya Allah namwomba Allah japo siku moja akukutanishe na ww nikuone kwa macho yanqu live

  • @SamsungA-vw7lj
    @SamsungA-vw7lj Рік тому +1

    MaashaAlahu

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 Рік тому +2

    Ukitoa mawaidha unaeleweka ssana,wald wetu.ALLAH atuongezee mashekh wengi kama wewe inshllah.wewe mpole,mkarim,maashaallaah.

  • @abubakarishame2624
    @abubakarishame2624 Рік тому +2

    Barakallah fiik

  • @hadijaissawasissa7872
    @hadijaissawasissa7872 Рік тому +2

    Ma shaaa Allah

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 Рік тому +1

    Shukran Allah akujaze kheir

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Рік тому +1

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazakaAllah kheir. sheikh walid .

  • @ashakiumbe4885
    @ashakiumbe4885 Рік тому +1

    Mashallah Allah akupe umri mrefu uzid kuwanufaisha watu kwa ilmu

  • @mayssas
    @mayssas Рік тому

    MashaAllah Tabarakallah

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 Рік тому +1

    Maashaallaah.alwalid,unaeleweka ssana uktoa maisha.ALLAH aklinde nachchote kbaya,naatupe pepo sote

  • @jeffkakozi1395
    @jeffkakozi1395 Рік тому +1

    Maa Sha ALLAH sheikh wangu kipenzi... ALLAH Akupe Umri Mrefu wa Manufaa Aamin...

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Рік тому +1

    Mashaallah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Рік тому

    Mashaallah allah akujaze kher sheikh wetu

  • @ffed1876
    @ffed1876 Рік тому

    Shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka Amin na inshaAllah tutayafanyia kazi 😊

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 Рік тому +1

    MashaaAllah kabisa!!!

  • @aisajs8303
    @aisajs8303 Рік тому +1

    Asante sana sheikh Walid nakuombea afya njema na umri mrefu

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Рік тому

    Allahuma swali alaa nabiina muhammad

  • @nishafernandes8798
    @nishafernandes8798 Рік тому

    Mashallah ukumbusho mzuri, Mmungu akulipe mazùri inshallah.

  • @ramadhanisalum2271
    @ramadhanisalum2271 Рік тому

    Allah atuongoze sote mimi na wewe atufishe katika sunnah akuzidishie elimu ya haq na yenye khery kwako akuepushe na elimu ya mchongo, bainisha haq na batili kwa kutaraji malipo kutoka kwa Allah sio vinginevyo:

  • @nasrahassan7272
    @nasrahassan7272 Рік тому +1

    mashaalah

  • @afric01
    @afric01 Рік тому

    Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹. Ameen ya Rabbal alamin 🙏

  • @rahmajuma6825
    @rahmajuma6825 Рік тому

    Prof Walid from now I call Allah hakuifadh na hakupe umri mrefu tupate dawa ya nafsi inshaAllah

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Рік тому

    MashaAllah, Allah akulipe kheir Sheikh wetu.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Рік тому

    Kurogeka si kwa kuwa una kasoro ni mapenzi ya mungu kuwapotosha zaidi warogaji

  • @azamajid9530
    @azamajid9530 Рік тому

    Ameen yarab

  • @mohamedmzaka6946
    @mohamedmzaka6946 Рік тому

    MashaAllah .

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Рік тому +1

    JE رسول الله صلى الله عليه وسلم ALIPOTOGWA HAKUWA NA HAYO MAMBO MATANO?

  • @hafidhsalim4039
    @hafidhsalim4039 Рік тому +4

    tumefundishwa kujipamba na sifa njema,tufanye mema na kuacha mabaya,Mtume aliletwa awe kiigizo chetu ndio maana Allah amesema katika Qur an Nimewaletea mtume anayetokana na nyinyi ili wasitokee watu wakaongea kama makafiri wa nyuma,walimbeza kwamba mtume gani anakwenda sokoni kwanini asingekuwa malaika ,hikma yake ili kiigizo chetu mtume tupate kumuiga lazima tuishi nawe tule nae,tufanye mambo mengine ili tukimuiga tupate role model wa kweli ndio maana mtume aliumwa kama sisi ,alisikia njaa,alichoka lakini vipi alizishinda changamoto za kidunia na kufaulu kiuchamungu ndio tunapopupia waumini kumfata yeye ,kwahiyo hata yeye alirogwa ili kutufundisha Kwamba mambo hayo yapo na vipi tufanye,Allah ndio mjuzi zaidi

  • @rahmaseleiman1545
    @rahmaseleiman1545 Рік тому

    Assalam alayqum. SHEKH wetu walid alhad Mimi Ninauliza suali MTU kwaiyo alirogeka VIP na alikua na mambo yote hayo matano. Na twambiwa kwa mtume alirogwa?

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 Рік тому +1

      Ulikuwa ni mtihani kwake ili tupate salama sisi. Ndio tukapata aya zile

    • @dulaabdallah6127
      @dulaabdallah6127 Рік тому

      Ilikuwa katika Hali ya kupeana mafunzo kwa mfano ulio hai. Mungu alitaka limfike Hilo ndio ipatikane sababu ya kuelezea kinga na kujitibia kutokana na Hilo. Mungu anao uwexo wa kumkinga mtume Kwa Hilo, ila alipenda limfikie ili yapatikane mafunzo