Tanzania na chadema tunajivunia watu Hawa majasiri na hawaogopi 1. MH.freeman mbowe,2. Tundu lissu 3.mdude sumu ya nyigu 7x70 😅 4.Godbless lema 5.John mnyika 6. Boniphace jackob 7. Suggu
Yesu yupo kaka anatenda kazi..niwewe tu ujiandae mwenyewe umpokee awe mwakozi wa maisha yako ya sasa na huko utakapoenda baada ya andiko kutimia la kurud mavumbin..barikiwa sana
Mbona mama samia anawaua watu? kwani kuna shida mtu kufikiria tofauti na yeye? Magufuli aliwapiga akina tundu lisu risasi, mwishoe magufuli alimtangulia tundu samia akumbuke, dami ya watu haimwagiki bure malipo ni hapa hapa duniani
@@GodwinIssack Hio Tanganyika kamuulize alie unganisha Tanganyika na ZANZIBAR kuwa Tanzania, alafu tuambieni alikuwa na lengo gani? Jee ni baya au zuri,? Ukijua hilo koma kubwabwaja wewe Mcongomani.
Lissu ni mmoja tu Dunia nzima
Tundu Lissu brain 🧠 kubwa sanaa iyo 💪
Well Said Sir.
Tanzania na chadema tunajivunia watu Hawa majasiri na hawaogopi 1. MH.freeman mbowe,2. Tundu lissu 3.mdude sumu ya nyigu 7x70 😅 4.Godbless lema 5.John mnyika 6. Boniphace jackob 7. Suggu
Amen Amen Amen ❤️
Umesahau na heche pia
Nakuunga mkono mheshimiwa lisu mtetez wetu
Yesu yu karibu kuja tujiandae
Yesu yupo kaka anatenda kazi..niwewe tu ujiandae mwenyewe umpokee awe mwakozi wa maisha yako ya sasa na huko utakapoenda baada ya andiko kutimia la kurud mavumbin..barikiwa sana
Mwamba lissu rais ni wew wanatuchelewesha tuu
Huyo samia asikiri mungu hayupo, Mungu ninaemjua mimi atatenda juu ya hili
Akili kubwa 💪
Yes yes oyeeee Rais mtarajiwa anajua kuongea anajua kuongoza nchi
ILA NADHANI RAIS AACHIE MADARAKA TUMPE NCHI MPINA
namkubali huyu mzee
Kama mtanzania na mzanzibar nasimama na Lussu kwasababu ni mtu wa hakki
Hana lolote
My president 💪💪💪 Tundu lissu
Lisu nakukubari saana
Hahahhahhahahhaaa daa kuna watu wana akili sana. Sikutegemea .
Asaiv nakuelewa sana kaka ingawa nilikuwa sikupendi enzi za magufuli
SI ulikuwa kibaraka wa magufuli ?alifanya uovu mwingi lakini ulikuwa unamshabikia
Kwann lisu Mungu asikusqidie uwe ris pamoja nakwamba sheria zitakuwa ngumu ila una faa
Inauma Sana jmn we mungu itangulie nchi yetu mnayasikia mateso wanayoyapata watanzania wenzetu jmn
Tujitafakari kwaupya Watanzania. Tukubali kushuka ili tuendelee mbele, uchaguzi umbele yetu. Tuwe wawazi, dawa pekee. Mungu Atuongoze.
hii nchi inavyoendeshwa unaweza kulia ukiifikia kwa undani...Wenye madaraka wameota mapembe
Wao ni miungu watu Mkuu.
Uyu mwandishi wa habari ajiangalie sana wale wasiojulikana angalia wasije kuku azory gwanda tu
Mbona mama samia anawaua watu?
kwani kuna shida mtu kufikiria tofauti na yeye?
Magufuli aliwapiga akina tundu lisu risasi, mwishoe magufuli alimtangulia tundu
samia akumbuke, dami ya watu haimwagiki bure
malipo ni hapa hapa duniani
Mungu akulinde baba
Ooh God, please help us
Raisi wtu byu
Tatizo la chadema ni kukosa busara ya ufikishaji wa hoja zao. Hawajui kutofautisha kati ya kutoa hoja na kuropoka
Save the ngorongoro land for the Tanzania maasai,VIVA VIVA tundu lissu.Stop the maasai eviction.😢😢
Hamna kitu humu nayeye akiingia uko madarakan itakua bora ya mama
Bab lisu gombea kiti cha urais nitakupa kura yangu baba
Mungu akusaidie
Serikal yetu inasema kufa ni kawaida tusubili kuuwawa wote hatuko salama kama si kwako bas kwa wengine
Huyu ni araisi wa maono ya watanzania Mungu yuko juu
Samia kaota mkia kajiona yeye mungu mtu.
kweli 👍👍👍👍🙏🇹🇿
Atabaki na mashekh
Tundulisu huna shukrsn. Kwa uliyofanyiwa nasamia lkn bado wamlaani tu. Hunawemawewe
Bwana Tundu Lisu Mimi kuna wakati unanichanganya.
Nchi wakutusaidia ni mungu tu tunakufa kama kuku
Inasikitisha mnoo 😭 😭
Munhu akupe maisha marefu kamanda wetu
Kwan nchi niyake
Lisu ni mashine kubwa
Ukimtendea wema muungwana atakushukuru na ukimtendea wema mpumbavu atakutukana, huyu jamaa ni mpumbavu sana
Shukuru umoja wa ulaya!
Kwanza mikia gani mbona hayo maneno kauli siyo ya kiongozo mkubwa mikia ni aibu
Anakosa la kujitetea maana anajua ye ndio anausika kwa mauaji
Kazi ipo Tanzania uogoz upizani Bado san
Mimi najua siasa ni mchezo mchafu. Nyinyi wenyewe ndo mnachezesha shele huu mchezo. Uaneni ila acha kusingizia serikali
Kwanini wasiyojulikana wanaatikana Tanzania wanazaliwa kwetu tu
Wenye akili timam wana ongozwa na mtu asie kua na akili apo una zani uongozi uo utakua salama
Malipo ni hapahapa Duniani hakuna ujanja
Mimi lisu ananiuzi kumtaja magufuri tuu kwengine kote sawa
Ee Mungu hii tuna kwenda wapi
Mtangazaji mchochezi
Mauaji ni mabaya ila mabalozi wa africa hua hawa kosoi mauaji yakifanyika marekani na ulaya ,nafikiri ndo maana
Kitu kinaniuma sana , serekali yetu dereva wa mbunge ana elimu kubwa kuliko mbunge,,,,, kigezo cha kugombea ujue kusoma na kuandika
❤❤
Acheni ujinga ndio muandamane pumbavu zenu hata kama ni mm rais siwezi waruhusu nyie wapumbavu wachumia tumbo muandamane
Kazi ipo ngoja tuone 2025 picha litaendelea vp
Niwalewale waliyokunywa ujiwa mugonjwa
Mpo vizul
leten na watoto wenu waje apa tz,,wew na lema watoto wenu wapo ughaibuni afu leo uhamasishe watt wa wenzako kuandamana,,jingaa sana hili
Jinga mamaako na tunaandamana mamaee
Bladfakeni ww Huna akili
Alf uyu ndio mchochezi sana wa haya mambo na unataka uraisi kweli ww hufai
Kachochea nini ambacho Hakika?
Hakipo?
Aise we Akili yako imejaa shahawa za mama yako
Kwa maana hii ni kuwa Tz bila kanisa na maaskofu Rais hana nguvu, hii nchi ni ya kanisa?
Umewaza kama mimi🫡
Mwelewe Tundu Lisu
Kama Tanzania anapokea msaada mkubwa kutoka marekani kuliko nchi yoyote .... Israel wasemeje ?
Ndio uingie kwenye account yake Balozi wa Marekani atakujibu.
Lisu acha ujinga wako kwani ukigombana na Askof ndio umefeli maisha? Unaongea ujinga mtupu bwege wewe .
Na kutupatwa
Habari zirizojilo
❤❤❤❤❤❤❤❤🔥🔥👏👏👏👏👏❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Anajili watu wote
Huna jipya
Kama mama yako tu
Ukiona mtu wanasema hivyo, jua huyo ni mshirika na watekaji wapotezaji na wauwaji.
Boya ww
Duuh jipya Gani unataka juu mauaj
Ujinga tu na upuuzi huu usio na maana yoyote.
Si kama wale mnao furahia kutekwa kupotezwa na kuuwawa kwa wa Tanganyika!
Kam usivyo na akil
@@GodwinIssack Hio Tanganyika kamuulize alie unganisha Tanganyika na ZANZIBAR kuwa Tanzania, alafu tuambieni alikuwa na lengo gani? Jee ni baya au zuri,? Ukijua hilo koma kubwabwaja wewe Mcongomani.
@@nelsonissangya Akili zako zionyeshe tuzione rangi zake na idadi yake na tuambie zinakaaga wapi mtandaoni au kwenye simu yako apo kiunoni.
@@abdullahmasakata170 mwendawazimu wewe mlaanika na kizazi chako, unaleta upumbavu wako ilihali mbaguzi ninyi mnanufaika Tanganyika yetu wapuuzi wakubwa ninyi! Ukiniita Mimi mkongomani wewe mnani tumbili wewe mkosa Ardhi unaetegemea kila kitu kutoka Tanganyika! Mpumbavu mkubwa kawambia wakosa shule wenzako umasikini wako wa Fikra na Akili.
𝔩𝔦𝔰𝔲 𝔪𝔪𝔬𝔧𝔞 𝔫𝔦 𝔰𝔞𝔴𝔞 𝔫𝔞 𝔠𝔠𝔪 100000
20000000
Amen Amen Amen ❤️
600000000