Tukio La Utekaji Lilivo Tekelezwa Na Watu Hawa Wa Wasio julikana

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025
  • Tukio La Utekaji Lilivo Tekelezwa Na Watu Hawa Wa Wasio julikana

КОМЕНТАРІ • 37

  • @latenitepiano
    @latenitepiano 2 місяці тому +1

    Wasio julikana leo wame julikana na ku onekana wazi mchana kweupe peeh!
    Wenye ndugu zao walio potea na kuuawa katika mazingira ya ku tatanisha, wahusika wamojawapo ndiyo hawa! Mungu awape nini tena?
    Ana waumbua mchana kweupe kabla ya ku rudi kwa “YESU KRISTO”, Amen 🙏🏾🥹!

  • @TeodoriLussona
    @TeodoriLussona 2 місяці тому +1

    Nchi hii ikoje

  • @alicedusabe7510
    @alicedusabe7510 2 місяці тому +1

    Wanainchi gani wajishuhudia mwenzie kihivyo ndiomaana hata nijipata vacances siendi tz hakunaga usalama

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba5841 2 місяці тому +1

    Hivi akuna serikali nchiii

  • @AllanLyombile
    @AllanLyombile 2 місяці тому +3

    Raisi wa Tanzania kweli hujuwi hawa wasiojulikana kwamba wanatumwa na nani? basi ngoja tumuombe Mungu aliyetuumba atujulishe wanaowatuma.

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 2 місяці тому +3

    Wanatakiwa wNanch wawaue

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 2 місяці тому +3

    Afu mchana kweupeee tunaelekea wapi jamani

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 2 місяці тому +1

    Hii nchi inakoelekea ni kubaya sana. Wakiachiwa hivi, basi kila mtu ataanza kufanya analolijua ili kujitetea.

  • @KennedyKenato-j6y
    @KennedyKenato-j6y 2 місяці тому +1

    Tanzania ya leo ni aibu aibu aibu aibu ulimwenguni

  • @ZiggysebahZiggysebah
    @ZiggysebahZiggysebah 2 місяці тому +1

    Nchi hii haijawahi kutokea

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 2 місяці тому +1

    Raia wote wapate mafunzo ya mgambo kwa lazima, wote, wanawake na wanaume.

  • @deusdedith
    @deusdedith 2 місяці тому +1

    Wa mama wa maeneo hayo ata kupiga kelele jamani ni hafadhari warudishe jeshi la sungusungu kama zamani katk kila mtaa ili kudhibiti watekaji

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 2 місяці тому +1

    mpaka nimecheka

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 2 місяці тому +1

    inteligencia dhaifu.....

  • @GodfreyMakotha-t7f
    @GodfreyMakotha-t7f 2 місяці тому +1

    Kwanza hao jamaa si mahili

  • @BerniceAtieno-n4m
    @BerniceAtieno-n4m 2 місяці тому +1

    Hapo hotelini waulizwe vizuri

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 2 місяці тому +1

    Angalia hata mimama haistuki kumsaidia talimo jamani

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 2 місяці тому +1

    Tanzania ni nchi yenye watu wasio julikana kwa hiyo tanzania haina amani

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 2 місяці тому +2

    Madhara ya kukubaliana na wao wayatendayo Warumi 1:31 Mkisto unaona mtu anatekwa unakaa kimya?Utatoa hesabu kwa MUNGU,Umemuona mwivi umeridhiana naye!

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 2 місяці тому +2

    Hata Farao Firaun ilikua hivhiv ubabe anaua wt et tutakupata MUNGU ndoo akupate tunaomba mfe kw Ajali nyie hamta shinda Allah atusaidie TZ

  • @nizigiyimanaibrahim2329
    @nizigiyimanaibrahim2329 2 місяці тому +1

    Niliyekwa na polisi wariova kilaia walitesa na baada kama wanyedkuijua haki kunifuatilia niliachiwa kwa kupewa kesi yamchongo tena mauaji nyie leo ndoo mnaona jueni nipolisi wenyewe na wanalindana

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 2 місяці тому +1

    Tanzania mpya usidanganyike uko salama ulipo kufa ngumu....nchi iko pagumu hakuna amani tena...

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 2 місяці тому +1

    Wamesimama tu pembeni hata kupiga kelele hamna, afu mbona watekaji ni wafanyakazi jeshi la polisi wamevaa buti kabisa hamuoni Tanzania yetu jamani

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 2 місяці тому +1

    Wakanyongwe tu kusudi iwe fundisho kwa hao Wauwaji poa na Vyongonzi wanalifahamu hili swala haya Mwaka 2025 Tutafikiya wapi ? Kwa Samia suluhu na Kikwete wake R.I.P Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly 2 місяці тому +1

    Tumekwisha na wala tusijidanganye,Amani iko wapi??
    Sio Tanzania tuliyo izoea.

  • @ShannyBrowntz
    @ShannyBrowntz 2 місяці тому +1

    Ukiuwa Kwa Upanga nawe Utauliwa Kwa Upangaa Uwezii kuondoa tatizoo kama Ujuwii Chanzoo Chatatizoo

  • @salumuhassani590
    @salumuhassani590 2 місяці тому +1

    Haya mambo sijui kama mikoani yangefanyika bila huyo jamaa kusaidiwa, watu wa dar ni watu fulani ambao hata huwezi kujua wana akili gani

    • @philomenastephen3364
      @philomenastephen3364 2 місяці тому +1

      CHIPS HIZO!! MIKOANI TUNAKULAGA UGALI. UGALI CHAKULA CHA WANAUME.

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 2 місяці тому +1

    Watu wanaoangalia bila kusaidia au kupiga kelele wana roho ya namna gani? Serikali itoe tamko kuhusu matukio haya.

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 2 місяці тому +1

    Roho inaniuma sana mtu anaomba msaada wamekodoa macho tu pembeni

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 2 місяці тому +1

    TUNAKUWA KIZABIZABINA BADALA KUTOA MAONI YANAYOLETA MANUFAA KWA WOTE, KULALAMIKIA POLISI, POLISI, POLISI, KAMA VILE WAPO KILA KONA ZA MITAA.
    MTAANI TUNAMOISHI NDIPO WALIPO HAWA WAHUNI NA VITENDO VIOVU, HUTUWASEMI SABABU KUWAOGOPA..

  • @AtilioMangula
    @AtilioMangula 2 місяці тому +1

    Kafanyaje

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 2 місяці тому +1

    Watu wamesimama tu hata kelele hawapigii

  • @BerniceAtieno-n4m
    @BerniceAtieno-n4m 2 місяці тому +1

    Hapo hotelini kulikua akuna watu?mtu analiakwauchungu kiasi hiki,akuna hata wakujitokeza

  • @emmanuelyasa7266
    @emmanuelyasa7266 2 місяці тому +1

    Watanzania nyie ni fake number 1 mnacojua ni simba na yanga na kufirana 2

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 2 місяці тому +1

    Kunaman kwer Tanzania limboka kipindi Cha kikwet alitolewa meno Ben sanane hazole gwand a mdude Mohamed moo nchi yaman maskof wachungaji mashehee tuko wap tumekua machawa na sis tujitafakali