Mungu ibariki timu yangu ya yanga tujaalie 2bebe ilikombe la xhirikixha ili tuweke rekodi mpya na sis mungu ibariki tanzania mungu ibariki yanga uwape moyo nguvu nia uwezo umakini tukabebe ilikombe tunakuomba san mungu wetu ili tuwaxhangaze hao wanao tuzarau kama unapenda mafanikio unaipenda nchi yako unaipenda yanga basi sote kwa pamoja tuseme mungu ibari yanga kila iendapo mwixho tuseme ameni
Huwezi kushinda ukiwa chini ya kiwango. Kocha WA Brazil Tele Sentana aliwahi kusema timu iliyocheza vizuri ndiyo iliyoshinda. Tuwapongeze wachezaji kwa kazi nzuri.
Hongera sana yanga ila niseme tumeshinda cos team yetu Iko vizur ila kiukwel sijawahi kumwelewa Cedric kaze, mpira hautembei plan B zero mfumo wake ni hafifu sana kiwanjani🤔 na hataki kujifunza kutoka Kwa Naby😢
Tumeshinda jaman..lakin very poor performance tumecheza chini ya kiwango chetu kabisa, mtu kama mudathil, mayele, bangala sijui mlikua na nn...tujifue vizur robo usijetokea ujingaujinga wa aina yeyote
Dah!yanga hii inafurahisha
Allah tujaalie tubebe hili kombe la confederation cup Inshaallah
Bangi sasa😀😀😀
Tuko vizuri🍋🍏🍋🍏🙏🙏 tumewakunguta kung'ukug'u home and away
Yanga yangu timu yangu💛💚💚💛💪💪 Asante Mungu
Mungu ibariki timu yangu ya yanga tujaalie 2bebe ilikombe la xhirikixha ili tuweke rekodi mpya na sis mungu ibariki tanzania mungu ibariki yanga uwape moyo nguvu nia uwezo umakini tukabebe ilikombe tunakuomba san mungu wetu ili tuwaxhangaze hao wanao tuzarau kama unapenda mafanikio unaipenda nchi yako unaipenda yanga basi sote kwa pamoja tuseme mungu ibari yanga kila iendapo mwixho tuseme ameni
Hongera uto. Kazi iendelee!
Mungu afanyewepesi tushinde leo wananchi magoli matatu leo
Huwezi kushinda ukiwa chini ya kiwango.
Kocha WA Brazil Tele Sentana aliwahi kusema timu iliyocheza vizuri ndiyo iliyoshinda. Tuwapongeze wachezaji kwa kazi nzuri.
Wananchi
Pole sana kwa tpm
Tushinde leo wananchi magoli matatu leo wananchi
🇨🇻🇨🇻
Hongera sana yanga ila niseme tumeshinda cos team yetu Iko vizur ila kiukwel sijawahi kumwelewa Cedric kaze, mpira hautembei plan B zero mfumo wake ni hafifu sana kiwanjani🤔 na hataki kujifunza kutoka Kwa Naby😢
Wananchi tunatisha
😂😂😂😂😂😂Makipa walikuwa wawil😂😂😂😂
Tumeshinda jaman..lakin very poor performance tumecheza chini ya kiwango chetu kabisa, mtu kama mudathil, mayele, bangala sijui mlikua na nn...tujifue vizur robo usijetokea ujingaujinga wa aina yeyote
Match haikuwa na umuhim wwt yann kujitutumua
Ynga
Ynga
PEOPLE'S CLUB 💚💛🫶