Mwanza: Polisi Waua Majambazi 6, Tazama Video Eneo la Tukio

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 жов 2024
  • SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
    Watu sita wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi katika mtaa wa Fumagila Mashariki Kata ya Igoma jijini Mwanza.
    Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kuzingirwa katikati ya majengo mtaani hapo na kufanya mashambulizi ya kujibizana risasi kwa muda mrefu.
    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lakini akaomba alitolee ufafanuzi baadaye kwa kuwa hivi sasa bado anaendelea kukusanya taarifa zaidi.
    “Ni kweli hilo tukio hilo lipo, ila bado tunashughulikia naomba munipe muda nitataoa ufafanuzi baadaye,” alisema kwa ufupi Kamanda Msangi.
    Shuhuda wa tukio hilo, ambaye ni diwani wa Kata ya Kishili iliyo jirani na kata hiyo, Sospeter Ndumi amesema kurushiana risasi baina ya watu hao na polisi kulianza usiku wa manane hadi majira ya asubuhi.
    Amesema katika majibizano hayo polisi walifanikiwa kuwaua watu hao na kukamata silaha mbalimbali za kivita walizokuwa wanazitumia.
    Katika mtaa huo huo ndipo lilipotokea tukio la Desemba 3 mwaka jana ambapo polisi waliwakamata watoto 11 wenye umri unaokadiriwa kuwa na miaka sita hadi 14 baada ya kuizingira nyumba moja kwa lengo la kuwakamata watu waliowahisi kuwa majambazi.
    Mmoja kati ya watu watatu waliokutwa kwenye nyumba hiyo alikimbia baada ya kuwarushia polisi bumu la mkono, kabla ya polisi kuwadhibiti waliosalia kwa kushirikiana na wananchi wa mtaa huo.
    Kadhalika katika tukio hilo, watu watatu waliosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa na bunduki mbili aina ya SMG na AK47, magazine saba, bastola moja na risasi 183 vilikamatwa na polisi.
    Baada ya polisi kuondoka katika eneo hilo, wananchi waliiteketeza nyumba hiyo kwa moto.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishe...
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers

КОМЕНТАРІ • 46

  • @tumainiemanuelmbuba934
    @tumainiemanuelmbuba934 4 роки тому

    mungu awe nanyi katika kazi hii yakukomexha huwadilifu nchin tanzania

  • @yusuphpaul6498
    @yusuphpaul6498 6 років тому

    Mmbarikiwe kwa kazi nzuri mnayo ifanya yakulinda taifa letu

  • @beatricehoji7970
    @beatricehoji7970 7 років тому +3

    kazi nzuri police

  • @ruffratemo425
    @ruffratemo425 6 років тому

    songa mbele maasisa wetu mungu awalinde na awape kinga

  • @elizabethnkonyoka5472
    @elizabethnkonyoka5472 6 років тому +1

    hongereni saaana jeshi la police,mnafanya kazi nzuri,endeleeni hivyo hivyo

  • @anwarkimweri8393
    @anwarkimweri8393 6 років тому

    Hongera sana TzPolice

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 років тому +1

    safi mungu awape nguvu jeshi la polisi

  • @ishimwemeshack7455
    @ishimwemeshack7455 4 роки тому

    Tekelezen hapa kazi 2

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 7 років тому +3

    hongera sana polic mwanza

  • @mcanyongesake
    @mcanyongesake 6 років тому

    good job

  • @kelvinstephano8
    @kelvinstephano8 6 років тому

    mungu ibariki Tanzania kwa ujumla maana tunataka amani

  • @fatumaramadhan822
    @fatumaramadhan822 6 років тому

    Kazi nzur

  • @wilsonlaiser7038
    @wilsonlaiser7038 6 років тому +4

    Kazi nzuri makamanda mziogope jambazi akizingua piga chuma ukimwonea huruma yeye atakuhuwa Niko njia kuja jeshini kujumuika na nyie

  • @mako331
    @mako331 7 років тому +2

    Mungu ibariki Tanzania, hichi kikundi inaonesha kina mtandao mpana, serikali jitahidini kuujua huu mtandao, God be with you

  • @joharisalim379
    @joharisalim379 7 років тому +6

    hongereni sana jeshi la polis kwa kuendelea kutetea nchi yetu

  • @kelvinanton2763
    @kelvinanton2763 6 років тому

    Hongereni polis kwa udhirikiano huo

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 7 років тому +4

    songa mbele makamanda wetu, Mungu awape nguvu na kinga

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 7 років тому

    ulivyo mjinga Mzava Mathias unaweza kuwafundisha kazi askari

  • @fredsmsangi4161
    @fredsmsangi4161 6 років тому +3

    Police n wazaifu sana wapewe mafunzo zaidi

  • @tabithahenry1057
    @tabithahenry1057 6 років тому

    majinga aya tutayatumbua tabia gani izi jaman

  • @tatunaally1510
    @tatunaally1510 7 років тому +5

    jamani watanzania atujazoea mambo haya tujitaidi kutoa tarifa

  • @felixchriss4492
    @felixchriss4492 6 років тому

    p1 xaana

  • @omaniinfo4367
    @omaniinfo4367 7 років тому +1

    e jamani

  • @jhonthomas93
    @jhonthomas93 7 років тому +2

    free mason

  • @mitamboenock8214
    @mitamboenock8214 7 років тому +2

    nivizur kukomesha ualif

  • @mathiasmavanza605
    @mathiasmavanza605 7 років тому +2

    jambo la ajabu ni kuwa hakuna anayeachwa hai ili asaidie upelelezi? wote wanauawa? hivi ndio ujue kuwa jeshi letu linakosa weledi

    • @hamismkude4271
      @hamismkude4271 7 років тому +1

      huyo mmoja aliyekamatwa hatoshi au plz do research before you say anything hyo n km kuwakatisha askari wetu tamaa

    • @bakarimussa2904
      @bakarimussa2904 7 років тому

      Mathias Mavanza ww ndo hujui kitu kaa kimya bwege wee mbona wao wanauwa wakale chakula cha bule

    • @bakarimussa2904
      @bakarimussa2904 7 років тому

      bwege huyo

    • @fettysalum8290
      @fettysalum8290 7 років тому +1

      tulia wewe ujui chochote

    • @moheremachota9208
      @moheremachota9208 7 років тому

      Mathias Mavanza a cha zako

  • @eddieross2581
    @eddieross2581 7 років тому

    kusema kanzu fupi kilemba anamaanisha nini?

    • @hamismkude4271
      @hamismkude4271 7 років тому

      we hujui anamaanisha nn kwn kipi usichokielewa

    • @hamismkude4271
      @hamismkude4271 7 років тому

      tatzo mnataka waseme uongo ndo mnaridhika kwan km amekuta kanzu aseme suruali au reason before you make any decision

    • @charlejacob5094
      @charlejacob5094 6 років тому

      mtwewe dada

    • @blandinasaulo3725
      @blandinasaulo3725 5 років тому

      Kazi nzur sana