Habari! Tunapo fatilia Habari kwenyMedia yenu Alafu mnatuchomeke ilo sauti linasema"UNATAZAMA Global tv" Ilosauti Lina tuchanganya Litatufanya tusifatilie Habari kwenye MEDIA yenu🎶🎵🙆
Shamy tapeli acha nimeteseka sana na kampuni ya gwamaka madalali wanahujumu sana hata mapato ya bandari yaani mungu afanye jambo kitengo hiki nenda taffa watakusaidia wapo vizuri ushapigwa
Yani upewe gari 9 kwa milioni 100 naa.. ukweli walikutana wote wajinga... kama unaweza kununua gari 9 cash unashindwaje kwenda china, sweden au uk ukachkue gari izo mwenyewe.. YANI HAO WOTE NI WATU KATI MAYBE ...... hao wahindi walitaka na wao walipe kidg kidg .. Sasa swali lingine mtu analipa kidg kidg sasa gari unaagizaje ! This is complicated sana
Inavyokuwa ni hivi Bilionea shami anafanya kitu kibiashara kinaitwa mbinu ya kuuza..katika kuuza kuna namna ya kumshawishi mteja ili anunue na apate mali yake,wahindi hao hawakuwa wanunuzi tu bali wachunguzi wa biashara yake,walichokitaka ni kufahamu gari zake shami zinatoka wapi ili wao waanze kununua na kuuza wao.Shami hapo alilitambua hilo mapema na ndiyo maana aliwakwepa kiutaratibu.Itashangaza sana muhindi anaejinasibu ni msomi anunue gari kutoka kwa shami tena kwa pesa za mafungu.!
Nilichogundua mimi, hapa BWANA BILIONEA alikua mid man na alichotaka kufanya ni kupokea hiyo hela aitumie kuprocess huo mzigo hadi umfikie auze apate hiyo percent yake, ila wana wakamsanukia wakaacha kumalizia hela so deal ikafeli.
Kuna jambo halipo sawa huyu anasema mkataba wa magari 9 kwa 585m Labda sijui bei ya magari lakini umigawanya hapo 585m kwa 9 ni 65m kwa gari moja yaani gari kubwa na trela kwa 65m Hii bei inatia mashaka mbona n ndogo sana ni either hawa hawajaweka fact sawa zina mashaka au kama ni kweli basi hawakuwa makini wakafata mtelezo
Hawa Vijana wa kihindi hawakuwa na nia yakuhitaji magari ila kumuharibia jina na biashara ya shami. Kama makubaliano yalikuwa ni wakimaliza kulipa waletewe magari yao tatizo la kumchunguza bilionea hadi China ilikuwa ni gani? Mtu ambaye analeta hadi mabasi ya mikoani angewatapeli malori tisa? Wangemaliza kwanza kulipa then kama Shami angefail ku deliver magari hapo wangekuwa na haki yaku demand pesa zao.
Tunajua mikataba,tumefanya mikataba,je mlikubaliana kulipa pole pole?, je mlikubaliana kulipa kwa awamu ngapi?, Magali yaliopo njiani ni yenu au ya wateja wengine?,mlivunja mikataba ndani ya siku Tano na kutaka hela yenu mrudishiwe,je mikataba yenu ilikuwa yasemaje?????? Tupeni majibu baba na tunataka mnawalipa mishahara hela ngapi kwa mwezi nyinyi 😢😢
Huyu mtanzania-muasia yupo sahihi sana, km aliwaonesha BL inayoainisha magari yapo majini toka china hiyo BL haibadiliki labda km meli imetekwa aidha huyo aliyepakia mzigo naye habadiliki hivyo jamaa ni tapeli tu
Watu Mfano Wa Uyo Awana Faida Kwa Taifa Letu Wanaalibu Sifa Ya Taifa Cha Kufanya Ashikwe Utajili Wake Uwe Kwenye Mikono Mingine Nayeye Malizaneni Nae Tapel
Inaitwa mpigaji kapigwa sema wengi mnacomment ila hamjawahi fanya biashara na hawa watu waarabu & wahindi Hio kesi huyo anayejiita bilionea alipe tu maana hata mahakamani hawataiweza
Uyo bilione siyotapeli Sema tualimua kuchukua pesa kusudi hakachukue Mzigo ilaalichelewa kutuma iyo pesa kulechina Sasa ndio awo waindi wakaona kama wanazulumiwa
Kabla hujafa hujaumbika Muombe Mungu akuongoze kila siku wanatapeliwa wasomi waliobobea uko nchi za watu zilizoendelea sembuse sisi hapa wageni wa mambo mengi tu
Kama mnaona mko sahihi fungueni kesi ya madai mpambane kwa vielelezo mahakamani . Maana utaratubu mnaoutumia kumdai haueleweki.kwanini mnakwepa mahakama??
Watanzania wengi tunacoment mambo bila hata kuchunguza huyu bilionia alipolisema vibaya jeshi la polisi wengi walikuja kulifedhehi na kulisema vibaya ooo polisi wezi ,majambazi waonevu
Huyu kweli criminal ulionyesha BL bandia ingekuwa wakati wa corona ungewini sasa ni mugu kwa mguu hata hiyo ofisi huwa wanakodi vyumba kwa muda na kuweka sticker milangoni wakimaliza tu utapeli wanabandua hizo stiker alipe tp mkbwa
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Mnamzalilisha shigongo hilo jingo la ninini
Habari! Tunapo fatilia Habari kwenyMedia yenu Alafu mnatuchomeke ilo sauti linasema"UNATAZAMA Global tv" Ilosauti Lina tuchanganya Litatufanya tusifatilie Habari kwenye MEDIA yenu🎶🎵🙆
Hilo lisaut mnaboa sisi tunajua hii n global bana
Mnaboa kwan hatujui kama hiyo ni global mnatukera na hiyo sauti🎉
Sure
Hilo li sound track lenu mnakera. Kwani sisi hatujui kama ni global tv?😏😣
Bilionea, Leo siku imefika, ya kufezeeka. Pole mzee
mimi nafanya shipping china to tz.muhindi yuko sahii Bill of lading sio editable yani na kuibadili kuna process ndefu sana
Shamy tapeli acha nimeteseka sana na kampuni ya gwamaka madalali wanahujumu sana hata mapato ya bandari yaani mungu afanye jambo kitengo hiki nenda taffa watakusaidia wapo vizuri ushapigwa
Huyo ni mwizi komaeni nae na serikari imfatilie kwani inaonekana ni tapeli mutlaq
Yani upewe gari 9 kwa milioni 100 naa.. ukweli walikutana wote wajinga... kama unaweza kununua gari 9 cash unashindwaje kwenda china, sweden au uk ukachkue gari izo mwenyewe.. YANI HAO WOTE NI WATU KATI MAYBE ...... hao wahindi walitaka na wao walipe kidg kidg .. Sasa swali lingine mtu analipa kidg kidg sasa gari unaagizaje ! This is complicated sana
Hujasikiliza vizuri
Inavyokuwa ni hivi
Bilionea shami anafanya kitu kibiashara kinaitwa mbinu ya kuuza..katika kuuza kuna namna ya kumshawishi mteja ili anunue na apate mali yake,wahindi hao hawakuwa wanunuzi tu bali wachunguzi wa biashara yake,walichokitaka ni kufahamu gari zake shami zinatoka wapi ili wao waanze kununua na kuuza wao.Shami hapo alilitambua hilo mapema na ndiyo maana aliwakwepa kiutaratibu.Itashangaza sana muhindi anaejinasibu ni msomi anunue gari kutoka kwa shami tena kwa pesa za mafungu.!
Umesha elewa kaka. Ndio ivio
Umefafanua vizuri
Hapa nimeelewa kidogo
Jamaa tapeli alipe Hela za watu kesi cross
Kueni wastarabu wanaume hawagombani kwani mlilazimishwa kufanya nae mkataba acheni kua nyanyasa wa Tanzania 😢😢😢😢😢😢😢
Ndo maana waarabu na wahindi wanatudharau mno. Viongozi na mamlaka zetu ndo chanzo Cha kudharauliwa.
Bilonea gan anateseka na milion 100😅😅😅😅
Huwezi kutoa pesa isiyohusika na biashara husika
Achana na mil 100. Tajiri haachagi hata sh. 50 ipotee. Maskin anaacha hata mil 200 iende zake
. NB. Mbinu za utajiri ni ubahili/ how to buget
Global TV washamba sana... Hamjiamini na kazi zunu Mpaka Muweke soundtone Kwenye Video??? Producer/ Editor ni Vilaza.
Achen kuweka misaut yenu ya global tv mnabowa bana
Shamy ipo ivi kama ulichukua pesa yawatu naunakili ulichukua bas lipa tu boss ili uwe huru..vinginevyo utatafuta matatizo boss pesa yamtu ningumu sana
Nilichogundua mimi, hapa BWANA BILIONEA alikua mid man na alichotaka kufanya ni kupokea hiyo hela aitumie kuprocess huo mzigo hadi umfikie auze apate hiyo percent yake, ila wana wakamsanukia wakaacha kumalizia hela so deal ikafeli.
😂😂😂😂muhindi anaongea kiswahili kimenyooka hata mimi sikiwezi😅😅😅😅
Ni wengi sana wamezaliwa hapahapa Tanzania
Global tv kwa hii video ni soundtrack mpaka mnaweka signature tone kama producer???
Global mmekuwa washamba sasa hiyo signature yenu ya nini
Hawa wahindi hata wao wanajichanganya maelezo. Haiingii akilini walimpa pesa Shamy bila kujiridhisha.
Hiyo sauti vipi wakuu mnakera bana, jiongezeni bhana
Inaonekana huna Nia njema. Sababu hakuna makubaliano yyt Yale ya Aina unayosema wewe eti ulipwe zote ndio ulete mzigo
Sasa Tusikilize hiyo tangazo la Global au Tusikilize mahojiano?
Kuna jambo halipo sawa huyu anasema mkataba wa magari 9 kwa 585m
Labda sijui bei ya magari lakini umigawanya hapo 585m kwa 9 ni 65m kwa gari moja yaani gari kubwa na trela kwa 65m
Hii bei inatia mashaka mbona n ndogo sana ni either hawa hawajaweka fact sawa zina mashaka au kama ni kweli basi hawakuwa makini wakafata mtelezo
Hawa Vijana wa kihindi hawakuwa na nia yakuhitaji magari ila kumuharibia jina na biashara ya shami. Kama makubaliano yalikuwa ni wakimaliza kulipa waletewe magari yao tatizo la kumchunguza bilionea hadi China ilikuwa ni gani? Mtu ambaye analeta hadi mabasi ya mikoani angewatapeli malori tisa? Wangemaliza kwanza kulipa then kama Shami angefail ku deliver magari hapo wangekuwa na haki yaku demand pesa zao.
Toweni hicho kisauti Cha global tv
Kurumba anajiona kama Star ujue
Alikuwepo shayo
Wacheni hii kutangaza wakati mtuu anaongea unatuchanganya kusikiliza global tv
Iyo mmetapeliwa mgenunua china mkatafuta shipping agents
Aisee Hatar utapeli uwo😂😂
Litapeli hilo kamateni funga maisha shenzi mkubwa huyo
Unatazama kinyesi tv
Hiyo voice over ya global Tv ni ya kipumbavu sana
Someni comment za watu mshaambiwa hiyo sound track itoeni mpaka mtu anafungua ashawajua ni global tv
HAWA wajanja walitaka kuliteka Soko la bililonea kiwizadi, waende MAHAKAMANI!!!
hako kasauti ulichokiweka katikati ya video siyo nzuri maana tunaijua global tv
madalali wanaharibu sana biashara,
Tunajua mikataba,tumefanya mikataba,je mlikubaliana kulipa pole pole?, je mlikubaliana kulipa kwa awamu ngapi?, Magali yaliopo njiani ni yenu au ya wateja wengine?,mlivunja mikataba ndani ya siku Tano na kutaka hela yenu mrudishiwe,je mikataba yenu ilikuwa yasemaje?????? Tupeni majibu baba na tunataka mnawalipa mishahara hela ngapi kwa mwezi nyinyi 😢😢
Sasa ata robo3 ujalipa unataka document 😢
Bilionea muogope Mungu uripe pesa zawatu upunguze tamaa
Acheni ushamba kuweka li background la global kwani nani ataiba iyo saund bana acheni mnakera watu a
Sasa nyinyi mume soma vzr na wenye viwanda muna wajua na munaongea nao vzr kwann musiwend kiwandani sasa au munataka kutaperiwa tu polen sana
Huyu mhindi sio ,hamuoni kama kaweka order ya magari kiwandani halafu unavunja mkataba je huko kiwandani ?
Huyu mtanzania-muasia yupo sahihi sana, km aliwaonesha BL inayoainisha magari yapo majini toka china hiyo BL haibadiliki labda km meli imetekwa aidha huyo aliyepakia mzigo naye habadiliki hivyo jamaa ni tapeli tu
Toeni hiyo kisauti
Hii ndo faida ya kusikiliza pande 2 kwa jambo lolote lile.
Tumejua sasa imekaaje
Watu wanapenda kuwa na pesa bila kutoka jasho sasa aibu iyo
Mnasumbua na saut linu tunajua kuwa ni global
Tyr towa pesa za wanaume utamwagiwa mbegu uwaz kutembea mikon juuuu
Huyu sammy yuko sawa nyie wahindi mlikinaliana mlipe tsh m900 mkatoa ml 100 harafu mnataka magari mmeshindwa hiyo mliotoa mchezea ngoma
SIKU HIZI MATAPELI ni WENGI SANAA kudadeki huyu Shammy Afanywe Kitu Kibaya Ili iwe FUNDISHO kwa matapeli Wengine
Mbona kakimbia mji sasa halafu taarifa zinasema arudishwe haraka sana mbona mnamuhoji tu huko 😂😂😂
Dawa ya deni kulipa billionea fanya urudishe pesa za hao vijana,
bilionea kama bilionea
Wanao amini ni kiki gonga likii hapa
Acheni Ushamba Iyo Saundi Sauti Mbovu Toeni
Nchi hii Sasa hivi wahindi na waarabu watu weusi hawana nafas lakini subirini mutanyooka nyote nikichukua Nch Black people ndie mwenye haki
Sorry for you brother, I hope justice be served. Sometimes, it's scary to do business in KenyaandTanzania.😎🇺🇲
Ametuchafulia kamanda Mulilo Wetu yule mshenz 😢
Uyo Shami nilidhani mtu wa maana kumbe bogazi aiseee!!😂
Watu Mfano Wa Uyo Awana Faida Kwa Taifa Letu Wanaalibu Sifa Ya Taifa Cha Kufanya Ashikwe Utajili Wake Uwe Kwenye Mikono Mingine Nayeye Malizaneni Nae Tapel
Huyu itakuwa si mwanasiasa watanataka kumrushia paka wa uso ndo zao hao
hao waindi mataperi huyu nimtanzania mwenzetu lazima tumpambanie polis bana hao waindi walipe pesa ya huyu jamaa kishawachukue gari zao
Kosa Kubwa Mtu Akiwa Na Hela Na Kuwa Na Urafiki Na Viongozi Anaisi Serikali Iko Mkononi Mwake
Inaitwa mpigaji kapigwa sema wengi mnacomment ila hamjawahi fanya biashara na hawa watu waarabu & wahindi
Hio kesi huyo anayejiita bilionea alipe tu maana hata mahakamani hawataiweza
Hawa wanaojipa majina ya bilionea kwenye mitandaoni kama Mudi tuwe makini nao jmn maana hata darali anajiita bilionea yamemtokea puani leo 😂😂
Habari haina jingo kurumbaaaaa
Jamaa tapeli uyoo
Fungueni KESI ya MADAI
Dawa ni moja tu nendeni mahakamani maana huyo shami anasema lake na nyie mnasema lenu ila mkienda mahakamani kuna suluhisho la mwisho
Bilionea mill 100 inamshinda?
Nyie global mnaboa sn mbona mnaferi sauti ya nini?
Uyo bilione siyotapeli Sema tualimua kuchukua pesa kusudi hakachukue Mzigo ilaalichelewa kutuma iyo pesa kulechina Sasa ndio awo waindi wakaona kama wanazulumiwa
Mmesoma mnatapeliwa namna hii.poleeni...mmepigwa changa la macho...
Kabla hujafa hujaumbika Muombe Mungu akuongoze kila siku wanatapeliwa wasomi waliobobea uko nchi za watu zilizoendelea sembuse sisi hapa wageni wa mambo mengi tu
Ndo maana hawakuendelea kumlipa na wakataka pesa yao
Toen hilo lisaut linaboa kwelikweli kuna muda mm had natoka sitak kuendelea kusikiliza lisaut linaboa
wanasheria waingie kazini acheni kuzubaa ovyo
Grobal mnazinguaaaaaaaaa na hayo masautiii ya katikati mnakelaaaaaaaaa mnafeli
Bilionea umefeli kulipa nusu inaonyesha unataka iwekesi yamadai 😂😂😂😂😂 daa mjini kagumu
Unatazama nyoko tv.
😂😂😂
😂😂😂
Huyo NI moja ya matapeli WA tz Yani kiufupi Pande zote mbili NI matapeli wanao aminiwa na vyombo vya dola
jamani huyu mwarabu
Lipeni hela mliyokubaliana acheni maneno
Kama mnaona mko sahihi fungueni kesi ya madai mpambane kwa vielelezo mahakamani . Maana utaratubu mnaoutumia kumdai haueleweki.kwanini mnakwepa mahakama??
Kabisàaaaaaaa
Watanzania wengi tunacoment mambo bila hata kuchunguza huyu bilionia alipolisema vibaya jeshi la polisi wengi walikuja kulifedhehi na kulisema vibaya ooo polisi wezi ,majambazi waonevu
Huyu kweli criminal ulionyesha BL bandia ingekuwa wakati wa corona ungewini sasa ni mugu kwa mguu hata hiyo ofisi huwa wanakodi vyumba kwa muda na kuweka sticker milangoni wakimaliza tu utapeli wanabandua hizo stiker alipe tp mkbwa
Wahindi Wadogo sana hawa lakini ni mabilionea
Nyie wenyewe washamba tu
Auwawe tu ndo dawa ya tapeli
SASA WWE BILIONEA GN HUNA ML. 100
Siyo Vizuli Kabisa Kama Ni Kweli Analeta Utata Kwenye Uchumi Wa Nchi
Komaeni jamaa alipe na miwani yke ya wizi,, akishindwa muuweni
tapeli ww kamanda mniro fanya kazi yako
@dr howo unahusika hp
Mnaweka matangazo ya nin mtu mnamuhoji
Huo ujinga wa sauti naomba mtoe
Toeni kisauti chenu icho aaah kinakeraa
Huu ,ubilionea huwa mnaitanaitana mnavyojisikia,?milioni mia anakimbia,kimbia,halafu mnaita bilionea😂😂😂😂
Daima sikiliza na upande wa pili kabla ya kutoa hukumu ndo hii
jamani huyu sio muhindi uyu mwarabu we ulioni pua hilo kashipa
Iv unasugua meno
Kisauti kinakera kitoeni maana tunajua kuwa tunaangaria
Hao wahindi wanajifanya wanataka