Yaaaan ukweli usemwee tu kuanzia viongoz, waandishi , msemaji, wazeee, wachezaji, makocha na benchi la ufundi, na mashabiki , pia hawa wote wanajielewa sanaaaa ndio maaan wanaishabikia yangaaaaaaa
Hili Tangazo la kibiashara lilitakiwa lilipiwe pesa ila mumefanya bure.huu ni upendo mkubwa kwa Club kwa mchezaj wake.musimshahau na Max asije akatia unyonge
Hongela sana kwa kujitambua
Yaaaan ukweli usemwee tu kuanzia viongoz, waandishi , msemaji, wazeee, wachezaji, makocha na benchi la ufundi, na mashabiki , pia hawa wote wanajielewa sanaaaa ndio maaan wanaishabikia yangaaaaaaa
Safi wananchii mzize clemen pambana sisi yanga tuna upendo wa kweli 💚💚💚💚💛💛💛💛💛🙏🙏🙏🙏
No kweli kabisa dadaangu upo sahihi yanga hii ni bonge la club good management
Wananchi mmeonyesha sana Upendo kwa Mzinze Mungu awabariki sanaaaaaaa.
Safi sana kijana na mungu akupe hitaji la moyo wako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera mwanetu kufanya fursa ya kutafuta lizki sehemu nyingine mwenyezimungu akutunzie biashara yako naww ujitunze ktk soka Aameen💚💚💚🙏
Aisee mzize kazi mzuri
Naomba muweke location ya duka hilo, wengi hatujuwi liko wapi.
Yanga hii kitu amaizing sana
Hili Tangazo la kibiashara lilitakiwa lilipiwe pesa ila mumefanya bure.huu ni upendo mkubwa kwa Club kwa mchezaj wake.musimshahau na Max asije akatia unyonge
Yanga bingwa
Hongera sana
KAMA UHISHABIKIII YANGAAAA BAS TUKUPE POLEEEEEEE UNACHELEWAAAA KUPATAAAAA FURAHA YAKO YA KUDUMUUUU😂😂😂😂😂😂😂
Mwenyekiti kama panya rodi 😂😂😂
🔥🔥🔥
Nimechukia simba walivyo funga jana 😡😡
Safi sana🎉🎉🎉🎉
Nunua, lipia, piga picha😂😂
Hii ndio Yanga !
GOD Yanga Kanunua Ngap????😂😂😂😂
Huo ni unafiki kwani mlikua wapi mbona Hilo duka lilikuwepo toka zamani lkn pia yaani kumuunga mkono Hadi afunge kweli hii Tim haina mkubwa
Cry more😂😂😂😂😂
Pita kule hayakuhusu
💛💚🧠
Vichekesho
@@MamaaOdettakwa mwenye roho ya nzopata na kilangarilo ataona ni vichekesho 😏