HALIMA MDEE AMVAA WAZIRI WA FEDHA | ATAKA UFAFANUZI WA UPOTEVU WA FEDHA | SPIKA AINGILIA, ATOA TAMKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 43

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan 2 години тому +1

    ❤😂Bunge Letu Pendwa Ssfi Sana!
    Asiwapeleke peleke!

  • @edsonkilatu5211
    @edsonkilatu5211 6 годин тому +1

    Halima has always been intelligent

  • @ProductionWinderBulyanhulu
    @ProductionWinderBulyanhulu 11 годин тому +2

    Safi sana😂😂 abananishwe huyo Mwigulu

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 5 годин тому +1

    😂😂 nchemba kashawapiga tena 😂😂. Technical issues,, Trab Trait 😅

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 7 годин тому +1

    Mimi kwa elimu yangu naona Mh Halima Mdee ana hoja. Huyo Prof wa uchumi anatuchanganya. Wakati umefika kuwa na Waziri makini.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 9 годин тому +1

    Mhe Mpina alihoji suala hili mapema kabisa lakini Mhe Mbarawa ilimjibu kwa kejeli kwamba Mpina Hana uzoefu na mambo haya.

  • @Robust78
    @Robust78 Годину тому

    mnatoa mandate ili muibe mwigulu jiuzulu bhana bora wizara hii apewe halima

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 11 годин тому +2

    Ahsante sanaaa Dada Halima na Dada Tulia,ukweli umetulia kama jinalako , ukweli Hilo jambo linaukakasi NAWAOMBENI MTUSAIDIE WANANCHI KODIZETU ILIITUMIKE IPASAVYOO🤝🇹🇿.

    • @chellususnkungu4333
      @chellususnkungu4333 5 годин тому

      spika tulia hapo wananchi kwa unyonge wetu tunakuelewa walau.

    • @chellususnkungu4333
      @chellususnkungu4333 5 годин тому

      kubadilisha maneno si kubadilisha dhamira dahaaa!!! ama kweli!;

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 8 годин тому

    Kuna siri gani kwenye masuala ya fedha😂😂😂

  • @Robust78
    @Robust78 Годину тому

    kwakweli mwigulu siyo kabisaaa

  • @meshackzegezege9893
    @meshackzegezege9893 11 годин тому

    Ukiona mkubwa anakosa majibu ujifkirie sana kuna siri nzito 😂😂

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 12 годин тому +1

    Hiyo ndiyo athari ya Bunge lisilotekelezewa maazimio yake huko serikalini.

  • @notnecessary-b7m
    @notnecessary-b7m Годину тому

    Kwa nini mkope??? Nijibuni, tuna rasirimali nyingi ila akili hatuna mafatuma sisi, mbwa sisi kabisa

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 6 годин тому

    Mwiguru ni mtoto wa pekee wa waramba asali wa nchi hii Halima wanakuona kama zeze tu na usaliti wako

  • @meshackzegezege9893
    @meshackzegezege9893 11 годин тому

    Ngoja nikae kwnz kwa utulivu kumbe pazur awamu hii 😂😂😂😂

  • @HonorataMafala
    @HonorataMafala 10 годин тому +1

    Kwa nini mnawahi kupigamakofi kabla hoja haijaeleweka???? Acheni ushabiki. Tumewatuma kazi.

    • @MalandoJilala-m3r
      @MalandoJilala-m3r 7 годин тому

      Kuna baadh ya wabunge ni wajinga ndo maana wanapiga piga makof hata hayatetei yameenda kukaa tu bungeni

  • @YacobRenatus
    @YacobRenatus 8 годин тому +1

    🚶🏼‍♂️🏃🏼‍♂️🚶🏼‍♂️🚶🏼‍♂️🏃🏼‍♂️🚶🏼‍♂️🏃🏼‍♂️🚶🏼‍♂️

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 10 годин тому

    Hawa viongozi wa serikali (Waziri wa ujenzi, wa fedha na wengine) wanavyocheza na maneno haya kiasi cha kushindwa kueleweka kwa hoja zao kwa urahisi ni ishara ya uwepo wa rushwa, ufisadi na wizi wa fedha za umma, hilo halina ubishi. Tujiongeze na tusiburuzwe tu na hii serikali ya ajabu

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 5 годин тому

    Hapa mnatuchanganya Waziri hajaeleweka
    Kabisa

  • @notnecessary-b7m
    @notnecessary-b7m Годину тому

    Spika naye wale wale tu, funika kombe mwana haramu apite.

  • @chellususnkungu4333
    @chellususnkungu4333 5 годин тому

    waziri mwigulu anaibomoa nchi ninyi wabunge msipo angalia kwa ushabiki taifa hili litatesa vizazi vijavyo ,na laana hii iwe mikononi mwenu.

  • @PascasiMunishi
    @PascasiMunishi 7 годин тому

    Safi sana

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 8 годин тому

    Kuna muda ccm kuna wabunge wa hovyo sana spika anaongea hoja nzito waziri anatoa majibu mepesi wanampigia makofi waziri 😂😂😂😂😂😂 ni kilio cha taifa hiki

  • @EastherEmmanuel
    @EastherEmmanuel 6 годин тому

    Sisi wananchi waziri hatujamwelewa Jamani kwanini imefika Manali Spicker amwambie atafute njia mbadala iliafunike pale aliandika mwenyewe? Hii kitu inauma maana hata tusioenda shule tunagundua k unashida

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv 8 годин тому

    Ndiyo maana barabara hazina viwango mimi ni oparetor wa grader tunaibiwa tu hapo hakuna mwandisi hapo kamateni hao wezi sana hata ukaguzi hawakanguwi hakuna mkataba wa hivyo

    • @georgemtewele7656
      @georgemtewele7656 5 годин тому

      waziri wa fedha na Ujenzi wanafirisi Taifa,, ukiangalia kinachoendelea mabarabarani anashinda Derava wa Gereda bila Msimamizi, kabla barabara hazijanza kutumika vilaka

  • @marwakawawa8460
    @marwakawawa8460 13 годин тому +1

    Simuelew huyu waziri

    • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
      @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 12 годин тому

      Waziri anatupiga sana huyu sio mchezo ila Mungu anamuona huyu waziri hiii sekta hakupaswa kupewa

  • @johnshigela9369
    @johnshigela9369 10 годин тому

    Kuna hatua ifike ipigwe kura ya maoni kumng'oa kwenye nafasi yake ya uwaziri, sema ndio hivyo nqfasi ni ya uteule

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv 8 годин тому

    Kwanza tumekosa kazi tunateseka wakandarasi hawana hera yani hakuna hakiri hapo niwezi hao hatuwaelewe

  • @ChristerKok
    @ChristerKok 10 годин тому

    Jibu swali la spika sio maelezo?

  • @Simonleonad
    @Simonleonad 10 годин тому

    Big star mwigulu,hapo tunapigwa wazi wazi,kwani hakuna mwingne wakummbadili huyu,mbona kila wakat majib yake uwa mepesi?au ndio mishahara ya wachezaji inatoka huk?

  • @MDCISFORMALINYIPEOPLE-
    @MDCISFORMALINYIPEOPLE- 2 години тому

    Hii ni 2024 but you are reporting as if it early today!!!!

  • @HonorataMafala
    @HonorataMafala 10 годин тому

    Mwigulu amesema kingeteza kinawachanganya.

    • @Worldunite
      @Worldunite 8 годин тому

      Kwanini kitumike?

    • @georgemtewele7656
      @georgemtewele7656 5 годин тому

      😂ana kingereza chake chaT rabu and Trait 😂😂😂😂

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv 8 годин тому

    Kwanza mnatufanya wajinga sisi wakati tunajua wizi unafanyika kamateni haoo

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 12 годин тому +1

    Mwugulu huyo Wacha apige pesa zake huyu jamaaa ndio anatuangusha sana kwenye hii wizara ya fedha akiulizwa swali hajibu kabisa inavyotakiwa anavunga vunga tu

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 8 годин тому

    Huyu COVID namchukia jitu lisaliti kwasababu ya fedha Wacha mwigulu apige fedha na we upige fedha kwa wakati wako usimuonee wivu