Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Tatizo ndugu zetu wa kike na adada zetu mnafuata sana utamaduni wa Tanganyika kwa hiyo mnauwa Tamaduni zetu
Mashallahu nyumban nkuzur sana mashallahu naipenda Zanzibar yangu
Namshukuru Mungu ya kwamba kwa nimepata bahati ya kwamba navuna falsafa kutoka kwa Maalim Farid
nasheka mie nimesome napenda mung wangu nitaeka kanga mbili
Gaucho hahahahaha Bi Nasra uko vizuri
Asante sana 🙏
aaa bi nasra masha Allah ,bibi wa vitongoji
bibi wa kengeja huyo hongera nassra kwa kazi nzuri
Allahumma rhamu mzee wetu mzee mvita..amin amin
Nasra mama wa Dubai uko vizuri
mashaallah nimefaidika sana lakini bi Nasra angalau onesha bashasha ya sura basi mtangazaji ni lazima awe na uso wa bashasha.
Kipindi cha mwanzo kuanza kutangaza kwa hio ilikuwa full khofu ndugu yangu. But kutoka hapo ilikuwa ni kawaida na mood nzuri
Wanaume wanafaa kanga ila kwa mazingira maalum
naommba nieolielimishe ndugu, ni mazingira gani hayo mathalan?
kumbe stupid politics ndio imeua uchumi wa Zanzibar otherwise tungekua mbali ni masoko ,maana tungekua tuna jitegemea kwa viwanda adi international markets ila so sad now kila kitu kimeenda ,allah ajaalie znz yetu irud kama zamani
Inna' lillah wainna' ilayhir Rajioon, Nimekufahamu nikiwa ZU:Septemba 22, 2024
Sisi wengine tunajivalia tu hatujui kama hii ya mjane au ya mwenyehezi 😁😁😁
Pole weèee
Napenda sn vazi LA khanga
Nimeipenda sana hii mada historia yetu ni kitu cha muhimu kuliko siasa za kiubaguzi
Dadangu nasra umepndeza karbu zazbar
Tumeelimika kidogo. Fareed himid tunakupenda kwa kazi nzuri unayoifanya. Ha kika hii ni fahari yetu
Mashaallah
Tatizo ndugu zetu wa kike na adada zetu mnafuata sana utamaduni wa Tanganyika kwa hiyo mnauwa Tamaduni zetu
Mashallahu nyumban nkuzur sana mashallahu naipenda Zanzibar yangu
Namshukuru Mungu ya kwamba kwa nimepata bahati ya kwamba navuna falsafa kutoka kwa Maalim Farid
nasheka mie nimesome napenda mung wangu nitaeka kanga mbili
Gaucho hahahahaha Bi Nasra uko vizuri
Asante sana 🙏
aaa bi nasra masha Allah ,bibi wa vitongoji
bibi wa kengeja huyo hongera nassra kwa kazi nzuri
Allahumma rhamu mzee wetu mzee mvita..amin amin
Nasra mama wa Dubai uko vizuri
mashaallah nimefaidika sana lakini bi Nasra angalau onesha bashasha ya sura basi mtangazaji ni lazima awe na uso wa bashasha.
Kipindi cha mwanzo kuanza kutangaza kwa hio ilikuwa full khofu ndugu yangu. But kutoka hapo ilikuwa ni kawaida na mood nzuri
Wanaume wanafaa kanga ila kwa mazingira maalum
naommba nieolielimishe ndugu, ni mazingira gani hayo mathalan?
kumbe stupid politics ndio imeua uchumi wa Zanzibar otherwise tungekua mbali ni masoko ,maana tungekua tuna jitegemea kwa viwanda adi international markets ila so sad now kila kitu kimeenda ,allah ajaalie znz yetu irud kama zamani
Inna' lillah wainna' ilayhir Rajioon,
Nimekufahamu nikiwa ZU:
Septemba 22, 2024
Sisi wengine tunajivalia tu hatujui kama hii ya mjane au ya mwenyehezi 😁😁😁
Pole weèee
Napenda sn vazi LA khanga
Nimeipenda sana hii mada historia yetu ni kitu cha muhimu kuliko siasa za kiubaguzi
Dadangu nasra umepndeza karbu zazbar
Tumeelimika kidogo. Fareed himid tunakupenda kwa kazi nzuri unayoifanya. Ha kika hii ni fahari yetu
Mashaallah