KWA HUZUNI KUBWA DKT MWINYI AFIKA KWA FAMILIA YA HAJJAT BI. AKIBA ALIEKUFA MADINA
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Ma shaa Allah viongozi kama hawa ndio wakuigwa
ahsante mhe raisi wangu
Maa Shaa Allah Dk ,mh Rais! Kwa kuitembelea Familia ya Bi Akiba!
Umeifariji sana Familia hii🙏😭
Mh tunakuomba kila mwaka wa Hijja wapeleke japo 2,2 waende Hijja
Allah atakulipa zaidi
In Shaa Allah
Ma sha allah
Binti umeeleza vzr maelezo yako allah amrehemu mama yetu
Allah awahifadhi na awabariki wtt wa marehemu
Amiini
Mashallah... Jamni huyu Rais namkubali Hadi bass Allah amuhifadhi . Aaamin
Mashaallah kusema kweli Mimi na mpenda sana huyu RAISI wetu kwa tabia na ukweli na huruma ilizo jaaliwa na Allah
Na Mimi pia hii ndo sifa ya kiongozi sikuwaona sheni na balozi sefu kufanya hivi anaupendo Wa dhati kabisa
@@sabihaibrahim143 Kabisa kwa kweli mm toka nianze kua na fahamu zangu sijawahi kuona Rais wa Zanzibar kua na hulka kama hizi na kujishusha kwa watu wa kawaida..
Nimeshuhudia utawala wa Salmin Amour, Amani Karume, Dr Ali Shein na Dr Hussein Mwinyi, wallah kusema ukweli huyu amajitofautisha sana na hao wenziwe..
MashaaAllah
Aaaamiiin
Amin 🤲
Amin 🤲
Amin 🤲
Allah ampe mafanikio dunian na akhera. Ameifanya familia kuwanafuraha. Namuomba allah ampe wakumfurahisha zaidi duniani na akhera, furaha zenye kudumu kwaufalme wake.
آمين ياالله 🤲
آمين ياالله 🤲
Juma kapilima ni sawa usemavo lakini mwenyeji wake yani mume wa marehem kakaa juu ya kiti vipi rais akae chini?
Unajua maana ya hekima?
Amiin ya rabii mpokee mama yetu mikono miwili 😭😭😭😭😭😭😭🤦🏿
Amiin thumma amiiin 😭😭😭
asante rais wetu , mungu akulinde na shar za viumbe wabaya
Hongera rais tunapopata majanga raia utufariji
Innalilah Wainah Rajiun
Hongera mheshimiwa Kwa kwenda kuwafariji wafiwa, ila ingependeza sana mheshimiwa ukienda Sehemu kama hizo na wewe kukaa chini kama walivyokaa wenzako , mama samia alionyesha mfano mzuri Kwa Hilo,,
Binaadam bwana hamuishiwi na hoja kwani kuna maziko hapo mpaka akae chini
@@maryamalli9090 huna ulijualo!!
@@jumakapilima7295 😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
@@jumakapilima7295 na wewe hivyo hivyo
@@maryamalli9090 bahati mbaya sana huwa sina muda na watu ambao inaonekana wazi kichwani hamna kitu,,,
l
Maashallah nimependa sana na mm jinsi rais alivyo fanya mola amjaalie na yeye awe na mwisho mwema aamin