Wanawake hawa watakuhamasisha ujitume zaidi na ujiamini nawe unaweza kufanikiwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 24

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 4 роки тому +2

    Mtangazaji ukovizur Sana unauliza maswali vizuri

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 років тому +1

    pole mama na ongera piya kwakuwa moyo wakupambana nyinyi njo wanawake waotakiwa najamii.

  • @DalkhasKitchen
    @DalkhasKitchen 7 місяців тому

    Hongera sana mama mungu akuzidishie rizik katika kazi yako

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 5 років тому +3

    Mama mungu akupe afya Inn shaa ALLAH ameen

  • @kalamuyantajajr2605
    @kalamuyantajajr2605 5 років тому +1

    Mama umetisha! Umefanya kazi mpaka wizara ya kazi

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 5 років тому +1

    Asante mama umeongea poit saan

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 4 роки тому +3

    Haya ndomambo tunayoyataka sio kila kukicha zari diamond

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому +2

    Mashallah Safi sana

  • @DalkhasKitchen
    @DalkhasKitchen 7 місяців тому

    Mashallah nataman siku Moja nifike alipofika huyu dada

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому +2

    Ona mama mjane anavyopamba mwenyewe tu unatamani kumsaidia. lakini midume mizima na nanii zao kazi kuomba tu mpaka unaogopa kuwa online kuchat sababu ya kuombwa. Creez nimependa sana kipindi chako naamini kitaelimisha wengi.

    • @fatwimamakungu5456
      @fatwimamakungu5456 5 років тому +1

      Mwanajuma O Mahundumla 😂😂😂😂yamekuwa ayo unaogopa kuchat hahaha wallah ningekuwa mm namchana mtu

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому

      @@fatwimamakungu5456 kuna ninao wachana ila kuna wengine mmmm hata huwezi kuamini kama ndio yeye kweli hata huruma wala aibu hawana

    • @fatwimamakungu5456
      @fatwimamakungu5456 5 років тому

      Mwanajuma O Mahundumla shosti wangu kama upo nchi za watu kwajili ya kutafuta pesa basi jiulize waombaji uwa awaishi mm nipo Dubai ila baadhi ya watu wakinitangazia ziki nawachunia wengine nawaosha vizuri wallah

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 5 років тому +1

    Mama zetu hao Mungu awape afaya njema inshallah 😘🙏🏿

  • @chainbre275
    @chainbre275 5 років тому +1

    Chris Leo ugekua karibu nigekulipia lunch maan hiki kipindi kinanifajiri munoooo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому +1

    Mashallah

  • @diamondplatnumznewsajm2053
    @diamondplatnumznewsajm2053 5 років тому +3

    KWERI HAPA NI KAZI2 MAANA USIPOFANYA KAZI Utabaki kuongea VIBAYA2 Watu 😂😂😂

  • @KiddiesBibleTV
    @KiddiesBibleTV 5 років тому

    Poa sana HAPA kazi OK ila PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE na bonyeza kengere bofya kapicha kushoto