Nampenda sana huyu mama anamafunzo mazuri ubarikiwe mama
Wallah Mama mumenifurahish 🙌😍👍👌
Hahaahah😃😃😃 jamani nimecheka 😄😄 adi machoz yananitoka. Asante sana mama kwa mafunzo haya.
Ahsante kwa maongezi,am learning
Hongera sana Mama, kweli mwanaume Dhahabu kwa huduma hiyo! VIVA MAMA
Volume iko👌👌👌👌👌👌
uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S
wanaume km 👉🐓Ata uwawekee mchere ktk Sinia Ili wasichepuwe namchanga lakini SAWA nabureee🙆lazimaaa Atataka aparure nachini Mweeee🙄wamenishinda tabia❌
Hahaaaa asante mamaaaa!! Nakupenda bureeeee
Mmmh je wamezetu wanalud saa6 uck tunafanyaje kuondok asubuhi kam upo pamoj namim gonga like twend sawa
Thank you very much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ asante sana mama tunayafanyia kazi ubarikiwe
🤣🤣🤣hatareee 🔥🔥🔥
Mwanamme hata umkunie nazi
.umalaya wao huishi duniani..hata umpikie mkate wa sinia..tabia zao zile zile
eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada
Shuqran jazzilah khery mungu akujalie umri ili uwez kutuelimisha inshallah..❤
Haaahhh kali hio,but you only do that kama ako na shilingi....akija mkono mtupu tuna angaliana tu😅😅
Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.
Ahsante sana kwa mafunzo mazuri ya kiufundi 😘😘
Dada tira nakipenda sana kipindi chakoo... ❤❤
Asante mama japokua cjaolewa ndio nakaribia kuolewa bac nimejifunza kitu asante sana
😄😄😄 you made my day
Waschna wa oshe mume mgu mume akitoka viyatu atoke kazini bibi yuko kwa mamake sagapi socks zi tolewe
Uko vzr mama ahsante kwa maneno mazur
Mama nimekuelewa jmn nakupenda Burr asante kwa somo kungwi wangu
mama Angu Upo Sahihi But now Wanaume Wassaivi Ukiwafanyia Hivo Utaulizwa Kwani Vipi Unataka Kuniomba Nini Mbona Mbwembwe
Asante sana mamake kwa usaha urii huoo
Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.
Nyie wanaume mnajikutaga nani vile?mwanamke siyo mtumwa wako kama akikufanyia ivo na wew mfanyie ivo hakuna mtu ambae apendi raha
😂😂😂 Chama chetu Cha Mapinduzi 😂😂😂
Mama nakuamini....tira hongera Kwa kumleta kwigi
Nimependa sana mafunzo❤❤❤❤❤❤❤❤
Mhh mama ujakutana na wanaume wenye asila ata uwe wazi kias Gani jogoo hapand mtung, hata mfanyanye sio Hawa wanaume wa Sasa labda wazamani
Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane
Hahahaha ha-ha aise I like yua point ...mme mmoja wanawake 20..na misuruali zafunguliwa zip na kila jangili
Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao
Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.
Cha kwanza Mungu Sara na kazi ukikazana kumpetipeti mume bila kujua kuwa ndoa iliubwa bado kuachwa pamoja na hayo utaachwa
Nimewapenda kweli
Jambo dada umeonge maneno sahihi Mungu akujalie nauendelee
njoo kwetu kenya ujionee maajabu hivo mnavyo zungumza ni ndoto kwetu sie hatutambwi bora umwage uende ukabet
nimeelewa asante kungwi
Mungu akuweke nimekupenda bure ❤
Onyesha mzigo😂😂😂😂😂😂😂
Hongara mama kwa mafunzo
Kwa ninachokiamini mimi
"Hakuna mkate mgumu mbele ya supu"
Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii
Je sisi wanawake wa karne hii je?
Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu....
Nawatakia kila la kheri wanandoa
Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana
@@khadijaidd7514 ndio my saaa iv twahara wanakatwa hosptal atafunzwa saa ngap
🤣🤣🤣🤣 Hongera sn bb kama namuona kungwi wng
Hongera sana mama 😍😍😍
Mamisaaa wewe muhuni sanaaa but Naku hishimu sana mama nta mwambiya mkee wangu ajee umufunze
Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.
Wow 👍👍👍👍👍 vp
Hahaha ahsante
Mafunzo mazuri sana hakuna group la watsap jmn ili kupata hayo mafunzo zaidi
Haaaaaaaha asante mama nakupenda mnooo❤
Majendj na majuu tenaaaaah👌 hahaha ataondka yy Asante mama
Dada nakupenda na nitazidi kukupenda zaidi sijaingia kwenye ndoa lakin mashaaala
Nimeipenda sana
Nzuriii
Wanao yaweza yaliyosemwa hapo nyosheni mikoko...utamaliza yote malipo atapokea mchepuko
vzr san mam la mama
Mubarikiwe ila ungeongeza sauti kuna baadhi yamaneno hayaskilizikani wamama wanguvu
Mwali wa zamani
Si kwawanaume wasasa hata ukifanya nn lazima litatoka tu
Acha tuu kama wamerogwa wamevaa roho mbaya kama maibilisi utadhan amelazimishwa akuoe
👀🔥hawajui visosi maslay queen aahahahhah #chama chao cha mapinduzi😇😇
Mashalaaa ww m bomba san mam nmejifunza
😂😂😂nakukubali
Walah nimecheka 🤣🤣🤣😝😘
Sadkta ...nmefurahi kwamawaidha mazuri...ahsanthum
Safi kabisa. Huu mama mfundaji expat.
Napendaa ichii kipindi
kipindi kitam jamani 😂😂😂
Chama chetu cha mapinduziiiiii.....aisee bibi umenipa somo
Responsible man au mwanaume yeyote anapaswa kufanyiwa hivi 😂
Kungwi yupo vizuri 😂😂😂
Sio kwa wanaume wa kibongo 😂
Nimeipenda
Hahahahah ma amisa nakkubali sana
SAFI SANA HII JAMANI....
Up Safi
Asante mama mafunzo mazur sn
Wow nimependa sana nakufatiliy sana namimi nikijaliwa ndoa ntafatish ushaul wako ❤mung akulinde
Asante saana mama !!
Asante mama mahaba niuweee
Asante sana mama
Hehehe hapa Kenya bora uhai
Oooh Mume wangu atafurahia
Maa Shaa allh
Asante sana mamangu
❤❤asantee viva mam nakupenda sana mam
Asanten imepenyaaaa iyooooo
Asanteni sana
Hahahaaa asante
😂😂😂😂😂😂😂shikamo bwana mkubwa nimejifindisha ki2
Hatare fire
Asante kwa ushauri
Nitajaribu kabiza kwa maneno n.a. vitendo. God bless me with a happy family,I Pray in Jesus Christ name.