КОМЕНТАРІ •

  • @roseriakituku9750
    @roseriakituku9750 5 років тому +24

    Asante kwa ushauri
    Nitajaribu kabiza kwa maneno n.a. vitendo. God bless me with a happy family,I Pray in Jesus Christ name.

  • @glorywalter6895
    @glorywalter6895 5 років тому +190

    😂😂😂😂😂🤣🤣kama umemuelewe twende sawa

  • @dorineoyako4800
    @dorineoyako4800 5 років тому +39

    😂😂😂😂wa kulia unakula,wa kushoto unakula🙌🙌🙌🙌

  • @fatmawema572
    @fatmawema572 3 роки тому +16

    Nampenda sana huyu mama anamafunzo mazuri ubarikiwe mama

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 роки тому +3

    Wallah Mama mumenifurahish 🙌😍👍👌

  • @brigitteyamungu3396
    @brigitteyamungu3396 4 роки тому +6

    Hahaahah😃😃😃 jamani nimecheka 😄😄 adi machoz yananitoka. Asante sana mama kwa mafunzo haya.

  • @furahamudende6316
    @furahamudende6316 5 років тому +2

    Ahsante kwa maongezi,am learning

  • @juliusmatilya4025
    @juliusmatilya4025 4 роки тому +7

    Hongera sana Mama, kweli mwanaume Dhahabu kwa huduma hiyo! VIVA MAMA

  • @agathanyaguthii8034
    @agathanyaguthii8034 5 років тому +11

    Volume iko👌👌👌👌👌👌

  • @ednafiloteus5216
    @ednafiloteus5216 5 років тому +20

    uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 Рік тому +3

      wanaume km 👉🐓Ata uwawekee mchere ktk Sinia Ili wasichepuwe namchanga lakini SAWA nabureee🙆lazimaaa Atataka aparure nachini Mweeee🙄wamenishinda tabia❌

    • @jacklinebenjamine3936
      @jacklinebenjamine3936 Рік тому

      😅❤🎺mama asnteee😆

    • @SidiAm-wn4vb
      @SidiAm-wn4vb Рік тому +1

      Mmmmmmhhhhh mama hayo n kweli ila Hawa ndugu zetu sio

    • @rahimaessa2552
      @rahimaessa2552 Рік тому

      ❤❤❤❤❤ Ahsante 👏 kipenzi Chang 🥰🥰🥰🥰

    • @abimelekifabian4047
      @abimelekifabian4047 11 місяців тому

      ​@@rahimaessa2552😮😊😊😅😅😅plol lkkkkkkkkkkkkokkklklopopn

  • @shtatsalfa1668
    @shtatsalfa1668 4 роки тому +6

    Hahaaaa asante mamaaaa!! Nakupenda bureeeee

  • @tommytyga4417
    @tommytyga4417 5 років тому +5

    I love this kipindi naitwa Tommy Tyga... Salute Dada Tira

    • @sintasmarty4974
      @sintasmarty4974 5 років тому +1

      Du tommy sasa ujuzi umeshaujua nitakufanyiaje

    • @tommytyga4417
      @tommytyga4417 5 років тому +1

      @@sintasmarty4974 0688455787 it's MA no.

  • @yunicejames4263
    @yunicejames4263 5 років тому +46

    Mmmh je wamezetu wanalud saa6 uck tunafanyaje kuondok asubuhi kam upo pamoj namim gonga like twend sawa

  • @user-xo5ii2pw2h
    @user-xo5ii2pw2h 4 місяці тому +1

    Thank you very much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ asante sana mama tunayafanyia kazi ubarikiwe

  • @najma3268
    @najma3268 5 років тому +7

    🤣🤣🤣hatareee 🔥🔥🔥

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 5 років тому +18

    Mashauri matamu kwa sisi abao atujaolewa😘

    • @Switielie
      @Switielie 3 місяці тому

      Umeona eeeeeh

    • @Zubeda-zx7wt
      @Zubeda-zx7wt Місяць тому

      Kwr shaa apo kama unahakili utajifunza kitu from🇧🇮🇧🇮

  • @salomegeorge7027
    @salomegeorge7027 5 років тому +16

    Mwanamme hata umkunie nazi
    .umalaya wao huishi duniani..hata umpikie mkate wa sinia..tabia zao zile zile

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 5 років тому +22

    eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada

  • @vipvip-zv7xv
    @vipvip-zv7xv Рік тому

    Shuqran jazzilah khery mungu akujalie umri ili uwez kutuelimisha inshallah..❤

  • @annahkimani344
    @annahkimani344 4 роки тому +9

    Haaahhh kali hio,but you only do that kama ako na shilingi....akija mkono mtupu tuna angaliana tu😅😅

  • @lazizerujanabose8802
    @lazizerujanabose8802 4 роки тому +6

    Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 5 років тому +7

    Ahsante sana kwa mafunzo mazuri ya kiufundi 😘😘

  • @jescamaro6226
    @jescamaro6226 5 років тому +2

    Dada tira nakipenda sana kipindi chakoo... ❤❤

  • @halimaomar8087
    @halimaomar8087 2 роки тому

    Asante mama japokua cjaolewa ndio nakaribia kuolewa bac nimejifunza kitu asante sana

  • @missjudytuwei3900
    @missjudytuwei3900 5 років тому +6

    😄😄😄 you made my day

  • @hamidhamiyanji
    @hamidhamiyanji 5 років тому +11

    Waschna wa oshe mume mgu mume akitoka viyatu atoke kazini bibi yuko kwa mamake sagapi socks zi tolewe

  • @jenipherclement2103
    @jenipherclement2103 4 роки тому

    Uko vzr mama ahsante kwa maneno mazur

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 5 років тому +10

    Mama nimekuelewa jmn nakupenda Burr asante kwa somo kungwi wangu

  • @zainabumohammed8334
    @zainabumohammed8334 5 років тому +30

    mama Angu Upo Sahihi But now Wanaume Wassaivi Ukiwafanyia Hivo Utaulizwa Kwani Vipi Unataka Kuniomba Nini Mbona Mbwembwe

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 4 місяці тому

    Asante sana mamake kwa usaha urii huoo

  • @majaliwamtemele4102
    @majaliwamtemele4102 5 років тому +14

    Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.

    • @gloryavelin2583
      @gloryavelin2583 5 років тому

      Majaliwa Mtemele kaka siyo wote wako hivyo

    • @chibochibz9917
      @chibochibz9917 5 років тому

      😂😂😂🤣🤣🤣🤣

    • @moshiraelqady9513
      @moshiraelqady9513 3 роки тому

      😂😂😂😂

    • @dorislema2465
      @dorislema2465 2 місяці тому

      Nyie wanaume mnajikutaga nani vile?mwanamke siyo mtumwa wako kama akikufanyia ivo na wew mfanyie ivo hakuna mtu ambae apendi raha

  • @annyrutty657
    @annyrutty657 5 років тому +1

    😂😂😂 Chama chetu Cha Mapinduzi 😂😂😂

  • @sitatinaomi5942
    @sitatinaomi5942 2 роки тому +2

    Mama nakuamini....tira hongera Kwa kumleta kwigi

  • @zeyanaali5746
    @zeyanaali5746 5 років тому +7

    Nataka ukande ukikunja siku ya kuachwa ikifika unamwagwa tu 😂😂

  • @user-jg5xb4kp6e
    @user-jg5xb4kp6e 2 місяці тому

    Nimependa sana mafunzo❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Ester-fp3pk
    @Ester-fp3pk Рік тому +1

    Mhh mama ujakutana na wanaume wenye asila ata uwe wazi kias Gani jogoo hapand mtung, hata mfanyanye sio Hawa wanaume wa Sasa labda wazamani

  • @reenvictoria
    @reenvictoria 5 років тому +75

    Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane

    • @ndzmah47ali6
      @ndzmah47ali6 5 років тому +1

      😀😀😀😀😀kweli kabisa zamani sio sai

    • @salomegeorge7027
      @salomegeorge7027 5 років тому +3

      Hahahaha ha-ha aise I like yua point ...mme mmoja wanawake 20..na misuruali zafunguliwa zip na kila jangili

    • @fahmsaidi1010
      @fahmsaidi1010 5 років тому +13

      Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao

    • @sylviemutwale9527
      @sylviemutwale9527 5 років тому

      Mh WW

    • @manasejames8404
      @manasejames8404 5 років тому +1

      Sio wote

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 5 років тому +7

    Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 місяці тому

    Cha kwanza Mungu Sara na kazi ukikazana kumpetipeti mume bila kujua kuwa ndoa iliubwa bado kuachwa pamoja na hayo utaachwa

  • @mohamedkhamis1140
    @mohamedkhamis1140 5 років тому +7

    Uyo dada mtangazaji nampenda sana sijui nitamuona wapi

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 років тому +2

      mohamed khamis clouds media ni department music clouds FM.

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 5 років тому +3

    Nimewapenda kweli

  • @cissegabriel3074
    @cissegabriel3074 Рік тому

    Jambo dada umeonge maneno sahihi Mungu akujalie nauendelee

  • @wycliffendege7785
    @wycliffendege7785 4 роки тому +1

    njoo kwetu kenya ujionee maajabu hivo mnavyo zungumza ni ndoto kwetu sie hatutambwi bora umwage uende ukabet

  • @gloryjane4147
    @gloryjane4147 5 років тому +5

    Nan kasikia chama kikongwe gonga like twende sawa😂😂😂👆

    • @na0m1fes51
      @na0m1fes51 5 років тому +2

      jane mbwilo 😂😂😂

  • @imeldabwire6628
    @imeldabwire6628 5 років тому +3

    nimeelewa asante kungwi

  • @user-hh6hv9bw1g
    @user-hh6hv9bw1g Місяць тому

    Mungu akuweke nimekupenda bure ❤

  • @lovemonjemonje5777
    @lovemonjemonje5777 4 роки тому +3

    Onyesha mzigo😂😂😂😂😂😂😂

  • @Kennedy-g6r
    @Kennedy-g6r 11 днів тому

    Hongara mama kwa mafunzo

  • @farhatsuleymaan5625
    @farhatsuleymaan5625 4 роки тому +6

    Kwa ninachokiamini mimi
    "Hakuna mkate mgumu mbele ya supu"
    Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii
    Je sisi wanawake wa karne hii je?
    Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu....
    Nawatakia kila la kheri wanandoa
    Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana

  • @sitihassan9439
    @sitihassan9439 4 роки тому +2

    🤣🤣🤣🤣 Hongera sn bb kama namuona kungwi wng

  • @elizabethelizabeth7335
    @elizabethelizabeth7335 2 роки тому

    Hongera sana mama 😍😍😍

  • @kaksridi6403
    @kaksridi6403 4 роки тому +2

    Mamisaaa wewe muhuni sanaaa but Naku hishimu sana mama nta mwambiya mkee wangu ajee umufunze

  • @elizabethzephania6057
    @elizabethzephania6057 2 роки тому +2

    Aiseee!!!! Patamu hapo hongera mama Kwa mafunzo mazir 🌺

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 4 роки тому +5

    Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.

  • @bshrkkz
    @bshrkkz Рік тому +2

    Wow 👍👍👍👍👍 vp

  • @khadijaswahibu4033
    @khadijaswahibu4033 5 років тому +2

    Hahaha ahsante

  • @hasnatimazigo3492
    @hasnatimazigo3492 Рік тому +1

    Mafunzo mazuri sana hakuna group la watsap jmn ili kupata hayo mafunzo zaidi

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira Рік тому

      Mafunzo ni kuwasiliana na nyakqnga mwenyewe.ila huyu hayupogi tena

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z 4 місяці тому +1

    Haaaaaaaha asante mama nakupenda mnooo❤

  • @tunnaika
    @tunnaika 5 років тому +5

    Si Mapenzi tena hayo ni bizness na politics 🤪😀😀😀

  • @marypaul8908
    @marypaul8908 5 років тому

    Majendj na majuu tenaaaaah👌 hahaha ataondka yy Asante mama

  • @halimanindi8055
    @halimanindi8055 5 років тому +1

    Dada nakupenda na nitazidi kukupenda zaidi sijaingia kwenye ndoa lakin mashaaala

  • @annamwaiswelo9663
    @annamwaiswelo9663 5 років тому

    Nimeipenda sana

  • @ananiakamms7026
    @ananiakamms7026 5 років тому +2

    Nzuriii

  • @madamgrory8320
    @madamgrory8320 5 років тому +10

    Wanao yaweza yaliyosemwa hapo nyosheni mikoko...utamaliza yote malipo atapokea mchepuko

  • @rajabusamsimba7150
    @rajabusamsimba7150 5 років тому +2

    vzr san mam la mama

  • @aminatradjabu6392
    @aminatradjabu6392 5 років тому +1

    Mubarikiwe ila ungeongeza sauti kuna baadhi yamaneno hayaskilizikani wamama wanguvu

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 років тому +4

    Mwali wa zamani

  • @rahmabenedicto6838
    @rahmabenedicto6838 5 років тому +67

    Si kwawanaume wasasa hata ukifanya nn lazima litatoka tu

    • @juliethhenry2374
      @juliethhenry2374 5 років тому +4

      Nilifanya yote mume anagubu

    • @joymasaki1657
      @joymasaki1657 5 років тому +5

      Acha tuu kama wamerogwa wamevaa roho mbaya kama maibilisi utadhan amelazimishwa akuoe

    • @ibrahimamey3990
      @ibrahimamey3990 5 років тому

      yafanyeni kweli muone atatoka mnasema tu

    • @jupiterbibi9630
      @jupiterbibi9630 5 років тому +3

      Hata ukafanya nin kama hataki kuekwa at aenda tuu🙄🙄

    • @sophiashomari7896
      @sophiashomari7896 5 років тому

      Yn

  • @djrobie24
    @djrobie24 4 роки тому

    👀🔥hawajui visosi maslay queen aahahahhah #chama chao cha mapinduzi😇😇

  • @FlorenceKenaz
    @FlorenceKenaz 3 місяці тому

    Mashalaaa ww m bomba san mam nmejifunza

  • @marymaomar7592
    @marymaomar7592 5 років тому +1

    😂😂😂nakukubali

  • @mayahhajih2636
    @mayahhajih2636 4 роки тому +2

    Walah nimecheka 🤣🤣🤣😝😘

  • @mulhatjamal6678
    @mulhatjamal6678 5 років тому

    Sadkta ...nmefurahi kwamawaidha mazuri...ahsanthum

  • @desirenkuba4920
    @desirenkuba4920 4 роки тому

    Safi kabisa. Huu mama mfundaji expat.

  • @salwamohammed9542
    @salwamohammed9542 5 років тому +2

    Napendaa ichii kipindi

  • @zuwenakabesela5150
    @zuwenakabesela5150 5 років тому +1

    kipindi kitam jamani 😂😂😂

  • @monicaalute1777
    @monicaalute1777 5 років тому +13

    Chama chetu cha mapinduziiiiii.....aisee bibi umenipa somo

  • @lovenessmathew7170
    @lovenessmathew7170 4 місяці тому

    Responsible man au mwanaume yeyote anapaswa kufanyiwa hivi 😂

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 3 роки тому

    Kungwi yupo vizuri 😂😂😂

  • @tausihasheem5169
    @tausihasheem5169 Рік тому +1

    Sio kwa wanaume wa kibongo 😂

  • @glorywalter6895
    @glorywalter6895 5 років тому

    Nimeipenda

  • @umyalykaneza9526
    @umyalykaneza9526 5 років тому

    Hahahahah ma amisa nakkubali sana

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 4 роки тому

    SAFI SANA HII JAMANI....

  • @CatherineUpendo
    @CatherineUpendo 2 місяці тому

    Ushauri mzuri tatizo wote wapambanaji hayo utayafanya saa ngapi

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira 2 місяці тому

      Inaweza ikawa Mara moja moja sio lazima kila siku

  • @michaelfrancis1959
    @michaelfrancis1959 5 років тому

    Up Safi

  • @sarahdebaba2255
    @sarahdebaba2255 5 років тому +1

    Asante mama mafunzo mazur sn

  • @rizikihasan2198
    @rizikihasan2198 Рік тому +1

    Wow nimependa sana nakufatiliy sana namimi nikijaliwa ndoa ntafatish ushaul wako ❤mung akulinde

  • @arlettedebbiezaina6247
    @arlettedebbiezaina6247 5 років тому

    Asante saana mama !!

  • @joycemdoye8555
    @joycemdoye8555 2 роки тому

    Asante mama mahaba niuweee

  • @salamamwakaribu2708
    @salamamwakaribu2708 5 років тому

    Asante sana mama

  • @rachealwambui6303
    @rachealwambui6303 5 років тому +1

    Hehehe hapa Kenya bora uhai

  • @wamuyugathura1767
    @wamuyugathura1767 5 років тому

    Oooh Mume wangu atafurahia

  • @zainabumussa5472
    @zainabumussa5472 Рік тому

    Maa Shaa allh

  • @mauwabijoux6966
    @mauwabijoux6966 5 років тому

    Asante sana mamangu

  • @airatkiyange3078
    @airatkiyange3078 8 місяців тому

    ❤❤asantee viva mam nakupenda sana mam

  • @UpendoEmanuel-cu5zu
    @UpendoEmanuel-cu5zu 3 місяці тому +1

    Asanten imepenyaaaa iyooooo

  • @irinendubi5813
    @irinendubi5813 5 років тому +1

    Asanteni sana

  • @zahraaalhabsy5448
    @zahraaalhabsy5448 5 років тому +1

    Hahahaaa asante

  • @zuwenayahya6767
    @zuwenayahya6767 5 років тому

    😂😂😂😂😂😂😂shikamo bwana mkubwa nimejifindisha ki2

  • @rosemongi5084
    @rosemongi5084 5 років тому

    Hatare fire