Nakubali kazi yake nzuri , kikubwa akazanie MAENDELEO na MAISHA bora ya watu mapambano na malumbano ya KISIASA hayasaidii ktk UONGOZI watu kwa sasa wana TATHIMINI ya hali ya juu sana kuhusu uongozi bora uliojaa HEKIMA na BUSARA .
Makonda piga kazi,safisha Arusha,safisha njia kuelekea urais,jipime kukubalika kwako kwa watanzania kupitia Arusha,huku Dar,kusini,ziwa unakubalika sana.Kila la kheri MAKONDA.
Mmeongea ukweli kabisa, kumbe mnaongea vizuri sana ,nilikuwa nikiwaona vijana wengine wanaongea kwa sauti ya kulegea .ila Leo nimewasikia kumbe wanaongea vizuri tena kwa point.nafikiri makonda amesikia kero,vijana wamefanya vizuri kuongea kabla makonda hajaja.06.04.24.
Hawezi kuwa Rais wetu watanzania labda rais wako ila hatuwezi kumpa Nchi yetu Rais Huwa atajwi MUNGU anamuinua usiye mjua na ambae hakudhaniwa kama hayati JPM.
MAKONDA NDIE RAHISI WA TANZANIA WA AWAM YA 7 KWELI WANA ARUSHA TUNAKUOTAJI SANA SANA UTUSAIDIE TUKO NA WEWE MKONDA TUSAIDIE ARUSHA WEWE NDIE MAGUFULI AJAE
Unajua tatizo hawa watu bado hawajaelewa vizuri Sasa ccm ni ile ile na makonda hawezi kufanya kitu pasipo maamuzi kutoka juu, makonda sio upinzani yule ni ccm2
Kama kuna kitu mama samia kanifurahisha nikumleta makonda arusha maana makonda ni mchapakazi aliwaanyoosha wauza madawa dar,tunataka kuona mabadiliko arusha ni jiji la kitalii
Makonda maana ake n kirainishi cha mboga na kuwa tamu kwa lugha za kibantu ,kwo makonda Ana mvuto sana kwa sasa hata awali huyu aandaliwe kushika usukan tuuu
Kwa arusha makonda swala la wizi vibaka tatu mzuka panya Road limekuwa kero ushauri wangu asafishe jeshi la police alete police wapya kuanzia occd waje wapya kabisa hapo aanze nao kazi waliopo wamekaa sana mdaa mrefu kutekeleza kusafisha wizi ni ngumu sana
Makonda .tunajua Arusha wamekupa mtuani mkubwa kuwa makini tunakutengemea mno Tanzania kikubwa watanzania wote tumuombee MUNGU amulinde tuko nyuma yako
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Inaonyesha Arusha imechakaa sana. Makonda kaja Mungu atamsimia InshaAllah
Arusha haija chakaa
Nakubali kazi yake nzuri , kikubwa akazanie MAENDELEO na MAISHA bora ya watu mapambano na malumbano ya KISIASA hayasaidii ktk UONGOZI watu kwa sasa wana TATHIMINI ya hali ya juu sana kuhusu uongozi bora uliojaa HEKIMA na BUSARA .
Karibu sana Paul makonda we love you na tuko pamoja nawe
Arusha mnamajanga Sana,tumuombee makonda achape kazi
Makonda piga kazi,safisha Arusha,safisha njia kuelekea urais,jipime kukubalika kwako kwa watanzania kupitia Arusha,huku Dar,kusini,ziwa unakubalika sana.Kila la kheri MAKONDA.
Makonda usiogope kazi iendelee
Karibu sana Arusha Makonda. Tusaidie kwenye umeme na maji na bangi
Safi sana kijana.
Makonda.mkoa huu.Mungu akuongoze.kuna vijana wanajitambua.watakusaidia sanaa..achana na viongozi hawatakusaidia.
Subirini Makonda atawanyosha moja baada mwingine❤❤
syo chuga
@@DavalsonMarlonychuga ndio nn? Au ndio huo ushoga 😂😂
@@shinipapaya846 ushoga labda mkoani kwenu
Ushoga ni huko Dar hii ni Chuga hatuli chips .
@@domymerinyo8165 embu mchane uyo nyumbu anatletea mambo ya kiwaki
You're warmly welcome to Arusha comrade Makonda
Mimi nimependa mh makonda kuja Arusha, makonda naomba uanze na karatu
Mama samia uko safi sana.
Mungu amsimamie sana nakonda maana Arusha mmmh Mungu nifunze kunyamaza so poa
Arusha oyeee vijana mmechangia vizuri sana
Makonda umesikia Sasa unatakiwa kwanza kabisa umtangulize MUUMBA wako Kisha umpishe ukiwa umeishika SAUTI yake 2Nyakati 7:14--16. Ubarikiwe.
Makonda you will be a president of Tanzania one day🇹🇿
Tuna omba Kwa Mwenyezi Mungu aifute hiyo siku..huyu mtu sio binadamu..hafai
@@jamesswai1683 sio mbaya nimaoni yako
MH MAKONDA❤
Makonda bwana nimefurahi sana karibu Arushaa big brooh
Ubarikiwe
Jamani Mimi Nina amani sana, ujio wako Makonda ni faraja sana kwetu, nakupenda sanaa kaka Mungu akutunze
Mungu akuwezeshe kuongoza vema. Utayaweza yote katika yeye akutiaye nguvu.
KUMBE SAS NAANZA KUELEWA KWANN SAMIA KAMTEUWA MAKONDA KWENDA ARUSHA ❤❤
Kwani nyie hapo hapakua na kiongozi? Pia usitegemee mpaka mtu aje awapangie cha kufanya. Badilikeni kwanza! Mungu akulinde Makonda!
3:37 3:38
Makonda is strong leader,
Mmeongea ukweli kabisa, kumbe mnaongea vizuri sana ,nilikuwa nikiwaona vijana wengine wanaongea kwa sauti ya kulegea .ila Leo nimewasikia kumbe wanaongea vizuri tena kwa point.nafikiri makonda amesikia kero,vijana wamefanya vizuri kuongea kabla makonda hajaja.06.04.24.
What an intro.....💥💥
Rais ajae Makonda ❤tunakupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💗
Shindwaaa pepoooooo
Hawezi kuwa Rais wetu watanzania labda rais wako ila hatuwezi kumpa Nchi yetu Rais Huwa atajwi MUNGU anamuinua usiye mjua na ambae hakudhaniwa kama hayati JPM.
MAKONDA MTOTO WANGU NAOMBA MUNGU AKUPE URAIS MWAKA 2024 MAKONDA HOYEEEEEEEEKARIBU SANA ARUSHA
Urais tena 2024 hii kali
@@romanilyimohumpendi wewe sio 30
MAKONDA NDIE RAHISI WA TANZANIA WA AWAM YA 7 KWELI WANA ARUSHA TUNAKUOTAJI SANA SANA UTUSAIDIE TUKO NA WEWE MKONDA TUSAIDIE ARUSHA WEWE NDIE MAGUFULI AJAE
Makonda ni mtu wa Mungu kwaukweli
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwani Global mna ugomvi gani na Makonda?
Yangu macho tu
Mwiz Yuko hapo hapo pemben anakusikiliza😁
Ni kumanisha makonda ni next prezo of tz
Huyu makonda akigombea uraisi mimi anawezakuwaraisi yukovizuri
Unapomzungumzia makonda unaizungumzia Tanzania na watanzania WA Hali ya chini, MUNGU MLINDE MAKONDA.
Leo siku ya 2 tunamkabidhi mikononi mwa mungu kesho tunamaliza tuungane jamani tumuombee madawa ushoga ni wakubwa hawatampenda
Nimefurahi kuona wananchi wana imani na MAKONDA
Mama samia naona utawle maisha.
Karibu sana makonda, Cha kwanza harusha ni tatu mzuka wanakata watu na kuwaibia, Hawa wanakuwa kwenye toyo ni hatari
Makondo in god we trust❤
So arusha machoko wengi sana 😏😏
DK 15 safi
Makonda anza Longido kwa Naibu Waziri wa Madini
Huyu jamaa anaongea sana kwa hisia, anahitaj pongez
SAFIIIIÏ. ❤❤❤😂
MIMI NILIZANI ARUSHA PAZURI SANAA.
N pazur ndy
Unajua tatizo hawa watu bado hawajaelewa vizuri Sasa ccm ni ile ile na makonda hawezi kufanya kitu pasipo maamuzi kutoka juu, makonda sio upinzani yule ni ccm2
Nipe namba ya Makonda acha uoga,
Nataka nimpongeze kwenye swara la ushoga.
😂😂😂😂😂 Kweli arusha ni hip-hop na Makonda ni Means hip-hop.
Mama kaona makonda asafishe huo mkoa
Ni mkoa uliojisahau kabisa
@@ConsalvaMumbarahuo mkoa haujajisahau? Tena moja ya mikoa wakazi wasio na hofu. Tatizo la arusha walikuwa hawapati viongozi sahihi
@@jasonwatz7457 mungu awakumbuke maana kila siku ni vituko mpaka tunawaogopa.
👏👏👏👏
Wewe hujui Kiswahili, wananchi hawajamchana Makonda, Walichokifanya ni kumuonyesha Makonda kile kilichoko Arusha,
Mbunge mzuri lakini Halmashauri hiyo wezi wengi wa Arusha humo
Ila Arusha hahahahahaa
Makonda tunakupenda mi ningependa uwe mkuu wa mkoa wa momba chkua maua🎉 yako
Chawa!
Lekanaga nabho makonda ugunoga duhu nkoi abatale badahaile utumame baguchalile Arusha ukwame kalaganaga eeee
Ameshaonja cha Arusha huyo😅😂
Jamaa wa DK15 amenikosha sana
Naamini one day utakuwa kiongozi wa wanyonge 🫡🫡🫡
Kweli arusha kama hamna uongozi vile barabara za mitaa maji yanapasua barabara mpaka yakatize yenyewe uongozi upo lakini hatua haichukuliwi ya haraka
Ni kweli wizi umezidi Arusha apambane nso
Wamemchana wapi global mbwa ninyi
Kama kuna kitu mama samia kanifurahisha nikumleta makonda arusha maana makonda ni mchapakazi aliwaanyoosha wauza madawa dar,tunataka kuona mabadiliko arusha ni jiji la kitalii
Karibu sn arusha ila changamoto ni nyingi mtangulize allah
Sijuwi Lema uko aliko yupo katika hali gani.
Atawatunza Makonda ila nanyi nawaombeni mkubali kutunzika
wafungieni ndani muwatie kibiriti tu
MAMA AMESIKIA KILIO CHENU.
Makonda karibu Arusha shida ya wanarusha na manyanyazo ya wanyonge kwisha wewe ni Damu ya mpendwa watu magufuli
Media yenu mlichoandika na kinachosemwa tofauti
Bangi shida
Duuh mbona hatarii mashoga
Mashoga si wako kila mahali
Kama namuona MAKONDA
Sisi Wana Arusha makonda Arusha haimtoshi apewe mpaka manyara
Navibaka pia arusha wamezidi sana yaani makonda washyrikiye kisawa sawa
Magukufuli wasingemuuwa hayoyt yangeisha
Makonda maana ake n kirainishi cha mboga na kuwa tamu kwa lugha za kibantu ,kwo makonda Ana mvuto sana kwa sasa hata awali huyu aandaliwe kushika usukan tuuu
Makonda ni kama maji auwezi kumkwepa na ni lazima ata shine Arusha
Dk 15 ana hoja nzito zilizoshiba!! Huyu mtu anafaa kuwa mbunge wa Arusha .
Makonda tukuombea kabadilishe Arusha jiji limechoka sana
Kichwa cha habari mbona hakiendani na maudhui..Kumchana mtu ni kumwongelea kwa mtazamo hasi.
Yaani kama manzese.
SIYO KUPIKA MAJUNGU KAMA VILE KINA LEMA.
Ivi hiyo barabara ni mbovu kuzidi Ya Mkuzo Songea😂😂
Duu songea pia mambo sio mazuri
Kama Arusha inawatu wa aina basi kama ndio picha hii basi inabidi waolewe kabisa
Watu wa kutumwa utawafahamu tuu da, haitaji ufahamu, waliokuja wengine hawakuwa wakuu wa mkoa mbona hatukuwasikia.
Machoko n wengi arusha
watangazaji ivi kweli mmesomea waandishi unapeleka mic kwawanywa gongo hovyo kabisa
Kwa arusha makonda swala la wizi vibaka tatu mzuka panya Road limekuwa kero ushauri wangu asafishe jeshi la police alete police wapya kuanzia occd waje wapya kabisa hapo aanze nao kazi waliopo wamekaa sana mdaa mrefu kutekeleza kusafisha wizi ni ngumu sana
Ondoa shoga Arusha safisha yoteee
Makonda .tunajua Arusha wamekupa mtuani mkubwa kuwa makini tunakutengemea mno Tanzania kikubwa watanzania wote tumuombee MUNGU amulinde tuko nyuma yako
Dk 15 ameongea kwa husia
Kwanini hamkumwambia mkuu wa mkoa aliyepita ama wabunge ninyi wananch ni tatizo jaman wambien makosa wakiwa na vyeo
Makonda anafiti Kote makonda hoyeeee
Oya Danieli nitafute as nicheki fb natumia jina wakwetu jitu
Wavuta Unga wengi,makonda atawanyoosha,angekuwepo hai3makufulina amina chifupa watu wangenyooka
Hapo umechomoa wanavaa uchi mhh UMESAHAU wanavaa RUBEGA ACHA ZAKO
Atawaonesha