JORAM NKUMBI-Msikilize Mlumbi akiwapa madini mamia ya vijana walioshiriki katika
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Katika #NJEYABOXYOUTHTALK iliyoandaliwa na Ufaulu Project Tanzania, Vijana zaidi ya elfu moja na mia tano walipata bahati ya kujifunza mengi kutoka kwa ndugu Joram Nkumbi ambaye ni moja ya vijana mahiri na machachari katika kukuza uzalendo na kuhamasisha matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili sambamba na uongozi mahiri kwa vijana wa Tanzania na Afrika nzima. Katika hotuba yake Ndugu Joram alihimiza vijana kuwa na uthubutu, kujituma na kujijengea mazoea ya kuwaza NJE YA BOX, ili elimu wanayoipata darasani iweze kuwa na manufaa kwao na kwa jamii nzima ya Tanzania na bara la Africa kwa ujumla.
Safi sana ..
Umenifurahisha sana kwa hoja nzuri katika lugha yetu ya kiswahili..
Hongera sana rafiki yangu Joramu Nkumbi na waliondaa hadhara hii kwa Wana chuo, Mungu awabariki. Mimi Mwl Ibrahim Jumanne Mbeya.
Masha Allah Yoram Mkumbi
Great speech of all time
Nimelipenda somo hili❤❤🎉
Stay blessed Mr. Joram Nkumbi.
all the glory comes from the perseverance of the beginners
All glory comes from daring to Begin🔥🙏
Hongera brother Simon Chamy
Asante sana
Hongera sana mwalimu
Ma Shaa Allah
Big up brorher JN
Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)
Great speech indeed 🤝
Good talk
A moment to remember
asante sana
Nimemsikiliza mr Jorum kati ya maneno ya kingeleza alio ongea ni mawili t kwenye hotuba yake yote mathematical na excel
Yuko vizuri na anaongea Swahili fasaha na ikitokea akaongea kiingereza anatafasiri ila kuna wajinga waliogubikwa na ujinga wanaongea kiingereza kwenye kufundisha tena kwa mitandao
𝑵𝒊𝒄𝒆 𝑻𝒂𝒍𝒆𝒏𝒕𝒆𝒅 𝒎𝒂𝒏
Bro unavitu vingi sana kichwani
Huyu jamaa ana miaka mingapi?
😅
Mdogo sana😅😅😅