Sikia ushauri wa JORAM NKUMBI kwa serikali, ashusha Nondo nzito

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 23

  • @EwardWilbroad
    @EwardWilbroad 7 місяців тому

    Very power! Hongera sana mwana wa Pan African movement .
    Siku unakutana na prof. PLO naomba unialike.

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 6 місяців тому

    I saw the new solidarity spirit in tanzania. Be bless Mr Joram.

  • @goodramamwanyombo6756
    @goodramamwanyombo6756 Рік тому

    safi sana haya ndio mawazo chaya ! kwani leo umeleta mipango nyeti sana,😂😂

  • @OhongoihondeIhondeohongoihonde

    Good my brather

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Рік тому +1

    Kumbe wazalendo wadogowadogo wapo!!! Jamani polepole wamuona huyu

  • @hakiyangu
    @hakiyangu Рік тому +1

    Umesema safi sana ila Tz yetu viongozi akili ndogo japo wengine wana elimu kubwa.

  • @yordanyona8663
    @yordanyona8663 2 місяці тому

    nimekuelewa sana

  • @malizeniengibethi5295
    @malizeniengibethi5295 Рік тому

    Nondo mzito hizi Tanzania ni Bongo land lakini sasa ni bongo lala

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Рік тому +1

    Vijana Kama Jeremy serikali hawaoni. Tuna vijana Wenye akiri lakini surname zawo sio Kikwete , Munaule ama Makamba. Vijana wanateuliwa sio kwa maarifa, akiri wala elimu zawo bali kwa majina yawo. kuendelea kwa uongozi wa ubaguzi tulio nawo

  • @danielmuro5707
    @danielmuro5707 Рік тому +1

    Good idea bwana nkumbi.

    • @yapukahassan
      @yapukahassan Рік тому

      Wamekalia kuwapromote dp world hakiri mgando. Umenena vema bro

  • @Hassan-bq8bg
    @Hassan-bq8bg Рік тому

    Kwa Tanzania yetu haiwezekani

  • @AndreaNzunda-f7o
    @AndreaNzunda-f7o Рік тому

    Joram wote tuna Mawazo hayohayo vijana wote lakini aya majambaz ya Karam kam akina samia ndo kikwazo

  • @JumaMasunga-h6q
    @JumaMasunga-h6q 3 місяці тому

    Mlumbi mwenyew.

  • @yubraTV
    @yubraTV Рік тому

    Hakika mlumbi umetoa madini adhwim sana

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 Рік тому

    Umesema jambo muhimu sana ndugu. Tatizo tulilonalo nchini ni kuwa na viongozi wabinafsi. Unapoongelea kuona technology Tanzania Ina watanzania wengi sana walionahatika kusoma nje ya nchi na ni maprofesa na wengine ni engineers. Na mnaweza kukumbuka hata ndege tulizonunua aliyeleta ni mtanzania baye ukiachia urubani yeye ni engineer wa ndege. Tumekuwa tukiomba urais pacha ili kuleta technology nyumbani tukiangalia kuwa tunaweza kurudi nje tulikojiendeleza lakini kwa sababu ya viongozi wabinafsi wanakataa waliogopa challenges za wasomi tulio nao nje ya nchi.

  • @goodramamwanyombo6756
    @goodramamwanyombo6756 Рік тому

    😂😂

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 4 місяці тому

    Du

  • @MwinyiBwanga-i3l
    @MwinyiBwanga-i3l Рік тому

    Tumechoka porojo zenu kila mtu bandar bandar hamna shughuri nyinyi

    • @hakiyangu
      @hakiyangu Рік тому +1

      Hujielewi, jitafakari

    • @yordanyona8663
      @yordanyona8663 2 місяці тому +1

      ndio mitanzania tulionayo kuclash vitu vya akili

    • @gervasemartin
      @gervasemartin 10 днів тому

      Huyu mpumbav Hana akili kabisaa yaan Joram anaongea mambo ya muhimu, WW unapinga?😢😢😢😢😢😢😢

    • @gervasemartin
      @gervasemartin 10 днів тому

      Hili lijamaa Ni lipumbavu Sana Halina akili kabisaa😢😢​@@yordanyona8663