Joramu Nkumbi - TBC - Mlumbi Atondoa Utondozi, Ndani ya TBC Taifa- JAMBO TANZANIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • JAHAZI LA LUGHA LINAKWENDA UBENIBENI

КОМЕНТАРІ • 22

  • @benmbwele
    @benmbwele Рік тому +6

    Jitihada za kutokomeza kiswahili kasuku, kiswahili Shelabela zinahitaji utondozi wa mara kwa mara kwa usimamizi wa walumbi. Hakika kiswahili sanifu na mufti kinaleta chata na tandwa zilizojaa tabasamu taanusi.

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 8 місяців тому +1

    Morning Greetings/Salam ya Asubuhi 😃💯
    Chewa nana
    (Good morning madam)
    Chewa Nina
    (Good morning mom)
    Waambaaje?
    (How are you)
    Answer/itikio la salam
    Chewa (Fine)
    Sina la kuambaa/Salama (Fine thank you)

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 Рік тому +1

    Mwalimu Joram nakukubali Sana,nipe bei ya kila kitabu naweza mwakani jalali akijalia nami nipate kimoja nikuze ulumbi

  • @soundmale
    @soundmale Рік тому +1

    Kumbe diamond alitumia kiswahili fasaha ..nana

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi  Рік тому +3

    TAANUSI = a kupendeza

  • @mawandayalughatv
    @mawandayalughatv 11 місяців тому

    Joram you are a powerful speaker. Keep on.

  • @EmmanuelBass-jr4nl
    @EmmanuelBass-jr4nl 3 місяці тому

    God bless you bro

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Рік тому

    Safiiiiiiiiiii.... Mungu awe nasi wakati wote. Kiswahili ni lugha muhimu sana.

  • @FurahiniJM
    @FurahiniJM Рік тому

    Joram una burudan sana 😄🤣😂😆 thanks

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Рік тому

    Sheria bela.mimi napenda niwe Mlumbi mdogo wa kiswahili.

  • @PaulNgusa
    @PaulNgusa Рік тому

    Safiiii brooo

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Рік тому

    Huyu jamaa namkubali sana kwa udondozi wake

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Рік тому +2

    ASANTE JORAM. MTAALAM.

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi  Рік тому +4

    KUZA MLUMBI

  • @abdulrazakabduljalil664
    @abdulrazakabduljalil664 8 місяців тому

    I want to learn Kiswahili from Nkumbi.

  • @petermakondo109
    @petermakondo109 Рік тому

    Hii ni hazina kwa Taifa. Serikali inapaswa kuitumia katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Рік тому

    Kama Nana wangu

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Рік тому

    Serikali inatakiwa kua inanasa mapema vijana kama hawa na kuhakikisha hawapotei na kuchukua mawazo yao dhidi ya anacho kijua wakifanyie kazi, kitaifa na kimataifa

  • @elishaen3328
    @elishaen3328 Рік тому

    hakika nimekutana Mlumbi, wewe

  • @geofreyyohance9085
    @geofreyyohance9085 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣

  • @allymbaruku3868
    @allymbaruku3868 Рік тому