Yes Indians were the first people to land across the East African coastline,my community were sea farers coming in dhows from bhuj gujrat to trade,we don't have a written data,but we have been here since some 700 years ago.
" Hapo ndo Mji wetu wa Mombasa ulikua na sifa za kipekee! Saa hii ni wakora, machokora na watu kutoka bara walioleta mila zao na kuharibu kila kitu!! Ukoloni ndio ulileta huu mchanganyiko sababu kila mtu alikua na kwao!
@@hassanalhussein3982 mwarabu nyamaza rudi yemeni ama Omani…pwani Hapo ni ya Bajuni, mjikenda na waswahili. Muarabu sio mswahili… you are foreign..mwende msaidie ndugu zenu wapalestine.
@@otaibonny8835 Kwetu Ni Lamu wewe punda funga Domo lako. Sio kila MTU Ni muarabu. Pia waarabu walikua hapo kabla ya wewe ngombe kuja hapa pwani shenzi type
Mwanamkisi ni malkia balkis, alkuwa malkia wa sheba,alietawala,nchi ya yaman, pamoja na ithopia,somalia,kenya,Tanzani,malawi na sehem nyingi za africa mashariki na kati
Hongera Kaka kwa kutuelimisha
MashaAllah Shukran
Yes Indians were the first people to land across the East African coastline,my community were sea farers coming in dhows from bhuj gujrat to trade,we don't have a written data,but we have been here since some 700 years ago.
" Hapo ndo Mji wetu wa Mombasa ulikua na sifa za kipekee! Saa hii ni wakora, machokora na watu kutoka bara walioleta mila zao na kuharibu kila kitu!! Ukoloni ndio ulileta huu mchanganyiko sababu kila mtu alikua na kwao!
Pwani si Kenya! Wacheni kusema Mombasa Kenya. Hakuna Kenya Wala hatutaki Kenya. Mombasa ulikuweko kabla ya Kenya.
Yessssss ❤
Lakini sio ya wayemeni, na waomani. Walihama huku pia…
@@otaibonny8835 Na Wala si ya babako Wala mamako punda wa bara wewe.
@@hassanalhussein3982 mwarabu nyamaza rudi yemeni ama Omani…pwani Hapo ni ya Bajuni, mjikenda na waswahili. Muarabu sio mswahili… you are foreign..mwende msaidie ndugu zenu wapalestine.
@@otaibonny8835 Kwetu Ni Lamu wewe punda funga Domo lako. Sio kila MTU Ni muarabu. Pia waarabu walikua hapo kabla ya wewe ngombe kuja hapa pwani shenzi type
❤❤❤❤
Ikiwa wataka kujuwa asili ya waswahili agaliya vedio za STAMBULI WA Abdi Llahi nasiri
Safii
Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah
Shukran sana
Swadaqta kabisa
Kibrit kiarabu huwo anaetoa history muone stambuli akufundishe
Likoni imetokana na neno riko maana ya riko kivuko
Na ni lugha ya kidigo hiyo
Aah wapi hata hiri songe renyewe mmetumia la tanga tz
arafu mwajivunia !
mwana mkisi ni queen of Sheeba,na hakuna kabila la mkuze, na wamiji yamaanisha wenye mji
Mwanamkisi ni malkia balkis, alkuwa malkia wa sheba,alietawala,nchi ya yaman, pamoja na ithopia,somalia,kenya,Tanzani,malawi na sehem nyingi za africa mashariki na kati
Kueleza mombasa si.mchezo
Hi ni kuguza lakini mengi yakosekana
Wasomi hakuna hapo
Iko kazi ikiwa kiswahili kita kua lugha ya africa
Looking good follow back done God bless you 🇱🇷 💪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤