Nina shaka sana na historia ya wadigo namna anavyoeleza huyu mzee..namweshimu ila sikubaliani naye ..hususan kipengele cha Mombasa..sikweli kwamba mtu mweupe alimtangulia mdigo mombasa..nitafteni kwa majadiliano zaidi
Mdigo walikuja nyuma wadigo walikuja wakati walipokua na vita wao na waorma ama wagala kwa hio wadigo walikuja wakawakuta waswahili na mwarabu pia alivo kuja walikuta waswali
Babu ametuchanganya japo kuna mengine ni sahihi lkn hili la mdigo ametoka uarabuni ,ni stori ndefu sana ,hapo kamamtu hajasoma histry nivigumu kimuelewa ,
Mzee u mrongo tsona sana kaya ya adigo ni kongo. Ichikala wagomba adigo atuluka mecca hara amidzichenda anjina ni wa kulaphi? Maan lugha ya amidzichenda ni hiyo mwenga ni variation kidogo tu.
Mashallah shukran niukweli kabisa mzee wetu kaongea ukweli wadigo watoka Maka ndio chimbuko yuwaijua istoria kweli coz simara yakwanza kusikia huyu mzee akiongea hivo Kuna mwalimu wetu mmoja mbajun mashallah na yeye pia ni mtu wa reach aliwahi kutuambia ivyo ivyo wadigo chimbuko lao ni makkah
Hawa watu wa makah,inakuaje lugha Yao ni sawa na wgiriama,wachonyi,waswahili,waduruma!huyu jamaa msanii.nyele ngumu hizo ataka dandia!wadigo wabantu waafrika.
Masha Allah, elimu nzuri Sheik Mwakidudu na Mzee wetu awazidishie elimu na maisha marefu na mema apa duniani na kesho akhera Amiin Thumma Amiin
Nina shaka sana na historia ya wadigo namna anavyoeleza huyu mzee..namweshimu ila sikubaliani naye ..hususan kipengele cha Mombasa..sikweli kwamba mtu mweupe alimtangulia mdigo mombasa..nitafteni kwa majadiliano zaidi
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh 🙏🏽
@@mhmd-bn-asdllah walikumussalam
Ningependa kujadiliana na wewe kuhusu historia ya mdigo sijui tutawasilianaje?
Hapo bro uko sawa coz watu weupe walichakachua historia ili waonekane wao walikuja kabla mtu mweusi
Mdigo walikuja nyuma wadigo walikuja wakati walipokua na vita wao na waorma ama wagala kwa hio wadigo walikuja wakawakuta waswahili na mwarabu pia alivo kuja walikuta waswali
MASHALLAH Father kazi nzuri DIGO NI TRIBE KUBWA NA IKO INAISTORIA KUBWA SANA..WADIGO WALIINGIA MOMBASA MWAKA WA 1573
Mashallah mzee, mwinyi mm mdido fuko langu mdziriphe,bt swali langu mbona wadigo nasikia walitoka tanga?na hali wasema wanatoka makkah
Mimi ni mkina Ngome Natizama nikiwa Kuliko toka Wadigo (Gulf)
Babu ametuchanganya japo kuna mengine ni sahihi lkn hili la mdigo ametoka uarabuni ,ni stori ndefu sana ,hapo kamamtu hajasoma histry nivigumu kimuelewa ,
Elezea sasa
Assalam alaikum 😍nakupenda kwa ajili ya Allah mungu awazidishie inshaallah
Mzee hapo wakikuyu na wabajuni ni urongo mbajuni yuko kitambo tangu wareno hawajifika mzee story yako yakirongo
Mzee u mrongo tsona sana kaya ya adigo ni kongo. Ichikala wagomba adigo atuluka mecca hara amidzichenda anjina ni wa kulaphi? Maan lugha ya amidzichenda ni hiyo mwenga ni variation kidogo tu.
Do hapo shaka kubwa mzee babu historia hamna mdigo alitoka makkah) Mtangazaji unaongea sana
Mashallah shukran niukweli kabisa mzee wetu kaongea ukweli wadigo watoka Maka ndio chimbuko yuwaijua istoria kweli coz simara yakwanza kusikia huyu mzee akiongea hivo Kuna mwalimu wetu mmoja mbajun mashallah na yeye pia ni mtu wa reach aliwahi kutuambia ivyo ivyo wadigo chimbuko lao ni makkah
Mbona una haraka kuhoji unaohoji uambiwe ama tiyari ulikua unajua sijapenda interview yake
Shukran sana kwa taarifa hii mashallah
Imenigusa sana wadigo walikua kama watumwa
Aya na Mimi baba ndo mdigo wa msambweni .niko kundi lipi?
Hawa watu wa makah,inakuaje lugha Yao ni sawa na wgiriama,wachonyi,waswahili,waduruma!huyu jamaa msanii.nyele ngumu hizo ataka dandia!wadigo wabantu waafrika.
Ndivyo sheikh
Swali ivi wagunya ndio hao hao wabaajun
Hakuna wagunya wale ni wabajuni ila mzee kadanganya mbajuni wako zaidi ya mika elfu na makabila yote walipokuja waliwakuja wabajuni na watikuu
Jamani nisaidieni
Mmsijielewi kabilagan
Ila mamayangu mganda
Babayangu I uohukoowamzeemwansimba inamaana wadigo sasammnitakuwawap.. 😢
Kwa anayejuwa sokwaubaya.. 😢
Upande wa babako
Wewe mnyakyusa mwenzangu asili yako ni Mbeya
Tafuta hela,sio kabila.
Hahaha...uongo mtupu mzee..wadigo wametoka Congo..wadigo ni wabantu...wadigo ati walitoka Mecca...huo uwongo mzee...wadigo ni miji Kenda
Shungwaya n kwa mbajuni
@@mhmd-bn-asdllah Mbajuni ni nani...hawa asilia ya waarabu...kwa arabuni..Africa ni ya watu weusi..nywele ngumu...zako porojo
Muarabu ni muarabu mbajuni ni mbajuni
@@mhmd-bn-asdllah Haya maandishi yako si kiarabu...remnants wa kiarabu
Kiarabu lugha tu hata wewe weza jisomesha
nasikia mzee anasema mambasa sio mombasa nyinyi mnaeita mombasa na huyo mzee anaeita mambasa nani mkweli?
Kitambo ilikuwa inaitwa hyvyo
"Mdigo alitoka Makka ndio akaja shungwaya"Babu😂😂😂😂😂😂😂..Salaaaalah!!!!..Sio kilamzee anabusara hata wajinga huzeeka.
Duuh ati wadigo wali toka makka😁😁
😂😂😂
😂😂😂😂 duh! Makkah? hekaya!
mwarab ni mtu wakwanza kufika Africa baadae mzungu akatuweka fikra mbovu eti mwarab mtu mbaya
Shukran kwa kutuelimisha mi cjui fuko langu mpaka nimuulize mama😂😂
Fuko lako n mwachinyavu
@@chambukomedia153 pkwanza uwe mwana uwe teh, Adi iku!!!
Mkimbizi mdigo kumbe
Mtangazaji unaongea sanaaaaaa
Anazngua
Wacha kutu potosha mdigo n mu bantu chimbuko lake Congo
Nashangaa eti mdigo alitoka Makka !
Na ni mijikenda hadithi za mekha ni za abunuwasi
Langu ni mdziriphe
Mino nimchina gandi
Unaongea sana
Nina habari nzuri hapa ya Wasegeju;ua-cam.com/video/BUDcnuZjsR0/v-deo.html