Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
Kama mm vile 😜
Sanaaaaa
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
🤣🤣🤣🤣🤣
🤪🤪🤪
Swadakta
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
hahaha
😂😂😂😂
Kabisaaaa
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
Dada upo njema sana.
Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako.
🔥🔥❤
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
Mim nimesha lizw san
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu
Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
Hongera sanaa dada piga kz
Mungu bado anampango nyie wacha kulia
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
Hongelaa sana dada👏
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
💯
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hongera sana Mungu akubariki
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
Yani ni shiida sana
Imeisha hiyo haha
Dada yuko vizur sana.
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
Hongeraaa sana dada and never give. Up
Hongera dada n'a ujasiri wako
Ongera sana sana my Dada
hongera sana unajitambua
Uyu dada anaakili sana 🥰
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
pole sana pambana
Pole na hongera sana
Mungu aendelee kuwapigania
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh
Wabarikiwe wazazi wako
Interested😘
Interview nzuri Sana inspired
Wife material ndo huyu sasa
Kwakweli
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
Safi sana we nimke bora
Love 💕.....
Waooooh anajieliwa sanaaa
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
Kweli dada
Hongera mdada
Mungu ni mwema mamangu
Anajua Kujielezeaa sanaaa
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
Ndo maisha yalivyo
Pole
👏👏👏👏💪💪💪
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
Nice 👍
SoMo kubwa sn hapa🙌🙌
Huyu ndo Super women
Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!!
Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia
*its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*
Milima na mabonde 😢
Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana
Mungu awalinde na mumeo
Vzr pambana
Safi Sana dada. Good
Safii
Binti una akili sana. Wewe ni mwanamke mpambanaji,fanya kazi kwa bidii utaona matunda yake.