BINTI ATOA MACHOZI AKISIMULIA MAISHA ALIYOYAPITIA MPAKA KUWA DEREVA BAJAJI MKOANI GEITA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 лип 2022

КОМЕНТАРІ • 187

  • @shailabushiri4578
    @shailabushiri4578 2 роки тому +21

    Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 2 роки тому +15

    Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому +13

    💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 2 роки тому +24

    Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 роки тому +16

    Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 2 роки тому +29

    Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha

  • @nicholausmakundi2663
    @nicholausmakundi2663 2 роки тому +20

    Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada

  • @uajeupe4299
    @uajeupe4299 2 роки тому +8

    Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato 2 роки тому +19

    Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 2 роки тому +3

    Dada upo njema sana.
    Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako.
    🔥🔥❤

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 2 роки тому +3

    Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up

  • @jaypolmc1861
    @jaypolmc1861 2 роки тому +7

    Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana

  • @daliamkwamba683
    @daliamkwamba683 2 роки тому +7

    Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.

  • @agnellapius8142
    @agnellapius8142 2 роки тому +13

    Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰

  • @peruthyshideko2379
    @peruthyshideko2379 2 місяці тому

    Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 2 роки тому +8

    Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia

  • @kassebo
    @kassebo 2 роки тому +13

    MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +6

    Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 роки тому +7

    In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.

  • @danielmakunganya6928
    @danielmakunganya6928 Рік тому +1

    Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu

  • @yahyachande3009
    @yahyachande3009 Рік тому +2

    Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia

  • @matildajonasmboya5320
    @matildajonasmboya5320 2 роки тому +2

    Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 роки тому +3

    Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.

  • @annastaziandatulu7899
    @annastaziandatulu7899 2 роки тому +13

    Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 2 роки тому +2

    Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 роки тому +3

    Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 2 роки тому +5

    Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi6967 2 роки тому +3

    Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha

  • @pachamalota4455
    @pachamalota4455 2 роки тому +1

    Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 роки тому +9

    Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali

    • @husseinyappi9330
      @husseinyappi9330 2 роки тому

      Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 роки тому +3

    Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪

  • @ireneflorence2232
    @ireneflorence2232 2 роки тому +2

    Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume

    • @anzania3663
      @anzania3663 Рік тому

      Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 2 роки тому +1

    HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA

  • @florianhashimu1370
    @florianhashimu1370 2 роки тому +11

    Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua

    • @aminah3346
      @aminah3346 2 роки тому

      Mim nimesha lizw san

    • @neemacharles5502
      @neemacharles5502 2 роки тому +1

      @@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa

    • @aminah3346
      @aminah3346 2 роки тому

      @@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani

    • @aminah3346
      @aminah3346 2 роки тому

      @@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi

    • @khadijamohamedy4492
      @khadijamohamedy4492 2 роки тому

      @@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 2 роки тому +2

    Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️

  • @richardbubani7070
    @richardbubani7070 2 роки тому +4

    Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 2 роки тому +4

    Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @wiliminawiliams9384
    @wiliminawiliams9384 2 роки тому +1

    Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 Рік тому

    Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan

  • @davidmagambo3001
    @davidmagambo3001 Рік тому

    Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz 2 роки тому +1

    Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu
    Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up

    • @sheagraphics269
      @sheagraphics269 2 роки тому

      Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 4 місяці тому

    Hongera sanaa dada piga kz
    Mungu bado anampango nyie wacha kulia

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 роки тому +8

    Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...

    • @amockkalinga1520
      @amockkalinga1520 2 роки тому

      Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭

  • @ladysasty
    @ladysasty 2 роки тому +2

    Hongelaa sana dada👏

  • @abdrizackadanali5047
    @abdrizackadanali5047 2 роки тому +14

    If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.

  • @angelkavishe5240
    @angelkavishe5240 2 роки тому +4

    Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 роки тому +4

    Hongera sana Mungu akubariki

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Рік тому +1

    dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 2 роки тому +1

    Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.

  • @msukuma1
    @msukuma1 2 роки тому +5

    Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭

  • @fabiankasu8138
    @fabiankasu8138 2 роки тому +5

    Dada yuko vizur sana.

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 роки тому +6

    Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 2 роки тому +1

    Big up kwa Muwe wa uyu dada👏

  • @onemuzungu7291
    @onemuzungu7291 2 роки тому

    Hongeraaa sana dada and never give. Up

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 2 роки тому +3

    Hongera dada n'a ujasiri wako

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe2970 2 роки тому +3

    Ongera sana sana my Dada

  • @ramadhaniadam553
    @ramadhaniadam553 2 роки тому +3

    hongera sana unajitambua

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 2 роки тому +2

    Uyu dada anaakili sana 🥰

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 роки тому +5

    Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 2 роки тому +1

    Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 2 роки тому +5

    Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.

  • @robesongvictor
    @robesongvictor Рік тому

    Hongera mwenyezi Mungu akutangulie

  • @mcmrtichaentertaimentgudi7331
    @mcmrtichaentertaimentgudi7331 2 роки тому +9

    Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Рік тому

    Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 роки тому +1

    Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 2 роки тому

    *u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 2 роки тому +4

    pole sana pambana

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 роки тому +1

    Pole na hongera sana

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 2 роки тому +2

    Mungu aendelee kuwapigania

  • @geofreymaina3838
    @geofreymaina3838 Рік тому +1

    Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 2 роки тому +1

    Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh
    Wabarikiwe wazazi wako

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 2 роки тому

    Interested😘

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah7664 Рік тому

    Interview nzuri Sana inspired

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonline 2 роки тому +8

    Wife material ndo huyu sasa

    • @josephmarwa7212
      @josephmarwa7212 2 роки тому

      Kwakweli

    • @devotafrances1876
      @devotafrances1876 2 роки тому

      Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima

    • @janethmwanda357
      @janethmwanda357 Рік тому

      Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko

  • @marcondunguru618
    @marcondunguru618 2 роки тому

    Safi sana we nimke bora

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 2 роки тому

    Love 💕.....

  • @euniceyalledy1745
    @euniceyalledy1745 2 роки тому

    Waooooh anajieliwa sanaaa

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 2 роки тому +3

    Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana

  • @veronicangwesa3273
    @veronicangwesa3273 2 роки тому

    Hongera mdada

  • @michaelselis8531
    @michaelselis8531 Рік тому

    Mungu ni mwema mamangu

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 2 роки тому +1

    Anajua Kujielezeaa sanaaa

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 2 роки тому +1

    Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 роки тому

    Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +2

    Ndo maisha yalivyo

  • @veronicamayenga9531
    @veronicamayenga9531 Рік тому

    Pole

  • @linamacha7686
    @linamacha7686 2 роки тому +1

    👏👏👏👏💪💪💪

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Рік тому

    Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo

  • @sarhiabenson2683
    @sarhiabenson2683 Рік тому

    Nice 👍

  • @naimanuran2663
    @naimanuran2663 2 роки тому

    SoMo kubwa sn hapa🙌🙌

  • @timothkalega1333
    @timothkalega1333 Рік тому

    Huyu ndo Super women

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Рік тому

    Marehemu tatizo. Sisi sote ni maiti .Nani anabisha yeye atakuwa mlinzi wa Dunia .Mbona Mimi Siyoni tatizo Sisi sote maiti kubali ukatae.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Рік тому

    Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!!
    Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 2 роки тому

    *its joikle voliple fighter my ccter so hole toiple choice za blople people according to za life ua voice it will be well very soon coz no one is perfect god is creater*

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 роки тому +2

    Milima na mabonde 😢

  • @emes602
    @emes602 2 роки тому +1

    Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 2 роки тому

    Mungu awalinde na mumeo

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 роки тому

    Vzr pambana

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel1302 2 роки тому +1

    Safi Sana dada. Good

  • @denniskado3990
    @denniskado3990 2 роки тому

    Safii

  • @martinakessy5413
    @martinakessy5413 Рік тому

    Binti una akili sana. Wewe ni mwanamke mpambanaji,fanya kazi kwa bidii utaona matunda yake.