MURO: DEAL DONE! ELLI PANZU MRITHI SAHIHI WA KIBU D SIMBA? ANACHEZA WINGA ZOTE! ANALIJUA GOAL BALAA!
Вставка
- Опубліковано 2 тра 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
- Спорт
Shida hawaendi na hela wanaenda na maneno tutaona
Habari za usajili wa wachezaji dirisha kubwa tutazipata kwenye app ya Simba,
Sio kwenu waandishi njaa
Hivi ninyi wachambuzi ndiyo huwa mnawachagulia Simba wachezaji wapya? Kama ninyi ni wakweli vyanzo vyenu mmnatakiwa mviweke wazi ili tuwaamini. Vinginevyo ni mbinu yenu ya kubuni vitu ili mpate viewers. Hakuna Kiongozi wa Simba mwenye akili timamu anayeweza kuweka mipango ya timu hadharani. Tabia yenu hiyo ni mbaya sana kwani inawachonganisha Viongozi na Mashabiki pale Uongozi utakaposajili wachezaji tofauti na hao mnaowaimba kisanii ili kujipatia viewers.
Wakwaza mimi naitwa network
saw simbaaa😢😮
Humjui Elli panzu
Usanii umeanza manzoki tena adebayo na wengine ngoja tuone😊
Elie mpanzu hakuwepo chan 2016,
Simba wasituchukulie wachezaji wanaoachwa na vilabi vyao watuletee wachezaji wenye viwango tumeteseka sana miaka 3 si mchezo waache kuokoteza wachezaji
Watu ma midia wakemeeni uwongo wao alafu tusiwaone kataka muhala waharibifu hao kemea !!!!
Wanasimba mazuzu bado tu wanadnganywa
Acha usanii tumechoka na usajili wa mapicha pacha
Tuache uzushi
Nilazma huyu mwamba tunamchukuat
Panzuu
Msitoe talifa zauongo ili tu niza ukwel tunamaliza bando
MIKIA FC WAKISIA YANGA KAENDA MAHALA BASI NAO WANAKWENDA..
Utopolo mtupu
Yani nyie mnavyongea nyie ni waongo sana
paper players
Danganya neni kuhsu chama Kuma nyie
Mbona sijawahi kuona matajiri wakifanya ushamba huo? ila nimeamini kweli nimpigaji tu wewe
Sijaelewa bado MO anataka simba inaenda wap??media fikisheni ujumbe huu ,kwani smba ni simba mo ni mo ,mo amekaa mbali mo akitoa hela usajili Ana mpa nanii?? Nani has anatukusanyia aina Jobe?asee aibuuuh
Kiukweli viongozi wetu wanatumizasana mashabiki wasimba hawajambo kwa kusajili majinamakubwa yawachezaji walahawana hata aibu inatosha Sasatukumbuke mazoki mbaka Leo hawajawahi kutoa mulejesho wowo
Mmeanza kutuletea akina jobe
Jobe alie chngamka
Humjui elli panzu wewe yule ni mtu kaka