MURO: DEAL DONE! ELLI PANZU MRITHI SAHIHI WA KIBU D SIMBA? ANACHEZA WINGA ZOTE! ANALIJUA GOAL BALAA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 тра 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 27

  • @user-ut2mp3hn9g
    @user-ut2mp3hn9g 2 місяці тому +5

    Shida hawaendi na hela wanaenda na maneno tutaona

  • @AdamNgogo-gg3tt
    @AdamNgogo-gg3tt Місяць тому

    Habari za usajili wa wachezaji dirisha kubwa tutazipata kwenye app ya Simba,
    Sio kwenu waandishi njaa

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 2 місяці тому +1

    Hivi ninyi wachambuzi ndiyo huwa mnawachagulia Simba wachezaji wapya? Kama ninyi ni wakweli vyanzo vyenu mmnatakiwa mviweke wazi ili tuwaamini. Vinginevyo ni mbinu yenu ya kubuni vitu ili mpate viewers. Hakuna Kiongozi wa Simba mwenye akili timamu anayeweza kuweka mipango ya timu hadharani. Tabia yenu hiyo ni mbaya sana kwani inawachonganisha Viongozi na Mashabiki pale Uongozi utakaposajili wachezaji tofauti na hao mnaowaimba kisanii ili kujipatia viewers.

  • @user-mz4ik1hx1q
    @user-mz4ik1hx1q 2 місяці тому +2

    Wakwaza mimi naitwa network

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 2 місяці тому +1

    saw simbaaa😢😮

  • @mustafamtanganya7538
    @mustafamtanganya7538 2 місяці тому

    Humjui Elli panzu

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 2 місяці тому

    Usanii umeanza manzoki tena adebayo na wengine ngoja tuone😊

  • @user-kg7jc8tb1f
    @user-kg7jc8tb1f 2 місяці тому

    Elie mpanzu hakuwepo chan 2016,

  • @ShabaniAthumaniDinya
    @ShabaniAthumaniDinya Місяць тому

    Simba wasituchukulie wachezaji wanaoachwa na vilabi vyao watuletee wachezaji wenye viwango tumeteseka sana miaka 3 si mchezo waache kuokoteza wachezaji

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 2 місяці тому

    Watu ma midia wakemeeni uwongo wao alafu tusiwaone kataka muhala waharibifu hao kemea !!!!

  • @hekimangeze
    @hekimangeze 2 місяці тому

    Wanasimba mazuzu bado tu wanadnganywa

  • @joanesgerevaz3757
    @joanesgerevaz3757 2 місяці тому

    Acha usanii tumechoka na usajili wa mapicha pacha

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 2 місяці тому +1

    Tuache uzushi

  • @AmosiManase
    @AmosiManase Місяць тому

    Nilazma huyu mwamba tunamchukuat

  • @TimotheoGoloba-vi7cd
    @TimotheoGoloba-vi7cd 2 місяці тому

    Panzuu

  • @user-rj6fe7dh7z
    @user-rj6fe7dh7z 2 місяці тому

    Msitoe talifa zauongo ili tu niza ukwel tunamaliza bando

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 місяці тому

    MIKIA FC WAKISIA YANGA KAENDA MAHALA BASI NAO WANAKWENDA..

  • @athuman7480
    @athuman7480 2 місяці тому

    Yani nyie mnavyongea nyie ni waongo sana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 місяці тому

    paper players

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 2 місяці тому

    Danganya neni kuhsu chama Kuma nyie

  • @victornyese9009
    @victornyese9009 2 місяці тому

    Mbona sijawahi kuona matajiri wakifanya ushamba huo? ila nimeamini kweli nimpigaji tu wewe

  • @JobnManase-gh2fp
    @JobnManase-gh2fp 2 місяці тому

    Sijaelewa bado MO anataka simba inaenda wap??media fikisheni ujumbe huu ,kwani smba ni simba mo ni mo ,mo amekaa mbali mo akitoa hela usajili Ana mpa nanii?? Nani has anatukusanyia aina Jobe?asee aibuuuh

  • @user-yn1wq3gi7o
    @user-yn1wq3gi7o 2 місяці тому

    Kiukweli viongozi wetu wanatumizasana mashabiki wasimba hawajambo kwa kusajili majinamakubwa yawachezaji walahawana hata aibu inatosha Sasatukumbuke mazoki mbaka Leo hawajawahi kutoa mulejesho wowo

  • @tembonyarobi1007
    @tembonyarobi1007 2 місяці тому

    Mmeanza kutuletea akina jobe