Atomic Jazz Band - Tanzania yetu ni nchi ya furaha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 391

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko2490 2 роки тому +16

    R.I.P Dr.John P.Magufuli.huu wimbo ukipigwa lazima nimkumbe JPM.

  • @bridgetongare1986
    @bridgetongare1986 Рік тому +20

    Hata Mimi hapa mkenya nimekubali Tanzania ndio nchi ya furaha, nchi ya kusifiwa

  • @nyamarasapeter4302
    @nyamarasapeter4302 3 місяці тому +21

    From Tuzo za TMA na 50M😅...nmekuja kuusikiliza sasa!

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 3 місяці тому +34

    Kote ulimwenguni watu ote watambua 🙏🥹
    Nani yuko hapa 19/10/2024 like tuondoke

    • @ItsKlassified
      @ItsKlassified 3 місяці тому +2

      Nmekuja kuutqfuta baada ya tuzo...sikujua kama ndo yeye alie imba huu wimbo

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 3 місяці тому

      @@ItsKlassified kitambo sana 80s huko

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 3 місяці тому

      @@ItsKlassified kitambo sana 80s huko

    • @abdunasiriathumani9011
      @abdunasiriathumani9011 3 місяці тому +1

      Nilikuwa sijaujua huu wimbo nilipoona tuzo ndo nikaja kumtafuta Mzee Steve ambaye amefanya kama Mimi agonge like

    • @MageleMagele-e5w
      @MageleMagele-e5w 3 місяці тому

      Swali ndugu

  • @phelixodhiambo8920
    @phelixodhiambo8920 4 роки тому +69

    I'm a Kenyan but love Tanzania very much. I respect you guys

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Рік тому +19

    Nimeona interview ya mzee Steven hiza mtunzi wa wimbo huu na kuuimba pia, na msechu aliutumia sana wimbo huu enzi ya rais magufuli, ila jamani mzee anaishi kwa shida sana, na wimbo wake bado unatumiwa sana, ana umri wa miaka 75,anaishi kwa sh 6,000 tuu kwa siku hadi akaimbe kwenye mabaa ndio alipwe pesa hiyo. msaidieni.

    • @allyiasachogogwe3753
      @allyiasachogogwe3753 3 місяці тому +5

      Leo kakabiziwa kitita Cha shilingi million 50, na mheshimiwa raisi mama samia suluhu

    • @sava_lees
      @sava_lees 3 місяці тому +1

      Leo mzee hiza kapokea tuzo ya wimbo huu

    • @michaelchitema6064
      @michaelchitema6064 3 місяці тому

      Hongera Dada Mariam kwa Maono yako na ushauri, hakika Mzee Hiza amepata msaada

    • @tonykorir444
      @tonykorir444 3 місяці тому

      Asifiwe Maulana, Amina..Shukrani Kwa Mheshimiwa Suluhu Hassan Mzalendo kweli​@@allyiasachogogwe3753

    • @suleimanomary658
      @suleimanomary658 3 місяці тому

      Marehem Ben Kijiko,alishiriki kuimba wimbo huo pia.Sauti yake inasikika vizuri sana kwa wanao mkumbuka.

  • @washakiahamada2655
    @washakiahamada2655 Рік тому +2

    Watanzania Asante kuhudumisha Uzalendo inchini mwenu. Hi namna peke ya kumkumbuka marehemu Mwalimu Nyerere. Mi ni Washaki Ahamada, kutoka Uganda.

  • @michaelkibet6929
    @michaelkibet6929 3 роки тому +23

    Much love from 🇰🇪,tribute to the fallen Pan Africanist.

  • @erickangima970
    @erickangima970 5 років тому +13

    Kutoka Kenya but wimbo huu no mtamu kweli especially when I saw rais maghufuli alicheza Ngoma na bendi moja. Cheers TZ

  • @dr.kevinotienordn1980
    @dr.kevinotienordn1980 3 роки тому +31

    From Kenya, may the soul of Dr John P Magufuli rest in eternal peace 🥺🥺

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op Рік тому

      JPM..👏🏾👏🏾

  • @rajabushame2316
    @rajabushame2316 2 роки тому +6

    Naipenda sana sana nchi yangu. Hakika Tanzania ni kisiwa cha Amani, maisha ya Watz yametawaliwa na amani na Utulivu. Najivunia kuwa Mtz

  • @kahawathungu
    @kahawathungu 3 роки тому +76

    Nimekumbuka wimbo huu baada ya jirani zetu watanzania kumpoteza rais wao John Pombe Joseph Magufuli. Pokeeni rambirambi zangu kutoka Kenya.

    • @raphaelwegesa1664
      @raphaelwegesa1664 3 роки тому +3

      Ahsnate kwa rambi rambi.. tunawapenda sana wakenya nyie ni ndugu zetu

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 Рік тому +2

      Imehusu nini nyimbo ya salum Abdallah kumtaja pombe

    • @kahawathungu
      @kahawathungu Рік тому +3

      @@h.alshidhani8971 Kuna kipindi Magufuli aliimba wimbo huu na kupiga kayamba

    • @maifeally2086
      @maifeally2086 Рік тому +2

      Asante kwa kutupa pole tunawapenda majirani zetu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +4

      na mimi niko apa leo kwenye kumbukizi la miaka miwili ya kuondoka magufuli

  • @jaafarmkatta1336
    @jaafarmkatta1336 8 років тому +51

    Jamani tuungane tunaozikumbuka hizi.

  • @lusajomwankusye3477
    @lusajomwankusye3477 Рік тому +7

    Rest well John Pombe Joseph Magufuli ❤

  • @georgeosoro159
    @georgeosoro159 3 роки тому +18

    Am Kenyan. Do enjoy listening this song, good bits!

  • @mzuvendi
    @mzuvendi 6 років тому +11

    Nimezaliwa na nimesomea Tz na niliondoka miaka 43 iliopita ila miaka hio kwangu ni namba maana kama juzi tuu! Tz nilioiacha sio hii iliopo enzi zile 60's na 70's ilikuwa raha mno maisha saafi sana watu walikuwa wema sana..leo hii uroho, ufisadi ili hali kila mmoja na kivyake..maadili yameporomoka unga kila kona balaa tupu!
    Ila huyu mzee wa kisukuma anachapa kazi na anastahili sifa! Huwa nasikitika sana hali ilivyokuwa ngumu..Mwalimu wangu akivaa suti mwenyewe anang'aa nilipokuja 1984 sikuamini macho yangu kavaa nguo za viraka! Kweli dunia duara...

    • @fhyubhhh2881
      @fhyubhhh2881 3 роки тому +1

      True mioyo inauma hivi.. hmn mapenzi

    • @mkazilakwamchilloh3563
      @mkazilakwamchilloh3563 2 місяці тому

      Asalaam aleikum kaka uko wapi hilo vazi uliovaa kama sio Oman basi itakuwa Yemen na mimi nimeondoka nyumbani miaka mingo nategemea kurudi mwakani mwenyezi mungu akiniwezesha .
      Naomba dua zako kaka

  • @egbertcharles
    @egbertcharles 5 місяців тому +1

    Najivunia kuwa Mtanzania.
    Nimekumbuka huu wimbo, ikiwa ni miaka 5 Tangu nitoke Tanzania niende China kutafuta Maisha. Mungu Ibariki Nchi yangu Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

  • @JotiTV
    @JotiTV 7 років тому +49

    Tanzania yetu ndio nchi ya furaha

    • @kijanamatata7135
      @kijanamatata7135 6 років тому

      Joti TV najisikia raha sana kua raia wa Tanzania

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 4 роки тому +1

      Joti TV tuipende Tanzania nchi yetu Mungu katujaria kheri nyingi wapuuzwe waroho wa madaraka wanaropoka mitandaoni Mungu wasaidie viongozi wetu wawe na uvumilivu wa kusikia na kuona

    • @boeihongoa1436
      @boeihongoa1436 3 роки тому

      Kumbe huwa unasikiliza ZILIPENDWA bwana mdogo Joti.
      Hongera.

  • @jumanjiku163
    @jumanjiku163 Рік тому +6

    R.I.P Magufuli,wish u'were alive...this very meaningful song could meant to our beloved Tz!

  • @DoctorInnocent
    @DoctorInnocent 2 роки тому +5

    Tanzania nchi yangu, Mungu akutunze ubaki kuwa kisiwa cha amani na tumaini kuu kwa Ulimwengu🇹🇿🇹🇿💚

  • @carloskallomo6929
    @carloskallomo6929 4 роки тому +10

    Anae Angalia hii 2021 Gonga like

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 10 місяців тому +2

    Ndg zetu Wakenya sisi Watanzania tunawapenda sana muendelee kuwa jirani mwema.

  • @gideonakwabi4003
    @gideonakwabi4003 5 років тому +9

    My President Uhuru Muigai Kenyatta made a private visit to his Brother Pombe Magufuli at his Chatu home. Kweli wa Tanzania sisi ni mandugu wa thati!

    • @MohamedUchungu
      @MohamedUchungu 8 місяців тому

      Kwa unwell tunashukulu sana maana nchi za wenzetu tunasikia wanavyoteseka

  • @hellosamsung193
    @hellosamsung193 3 роки тому +15

    Hii nyimbo ni kali sana kuliko nyimbo zote za Diamond platnumz

    • @JumaLitto
      @JumaLitto 8 місяців тому

      Sku zote mboga huwez kulinganisha na wali au ugali lakini unavila vyote

  • @patrickchemigin9378
    @patrickchemigin9378 4 роки тому +6

    Very patriotic classique Tanzania is a truly united country...good job president magufuli following in footsteps of founding father mwalimu Nyerere

  • @peninahsayo1605
    @peninahsayo1605 Місяць тому

    Nimezaliwa na kulelewa Kenya baba yangu ni mtanzania akapewa araia Kenya mama ni mkenya Kila nikisikia huu wimbo mwili unanisisimka!
    Kweli blood is stronger than water💪💪

  • @Douglas-Moola
    @Douglas-Moola 3 роки тому +5

    Magufuli brought me here...

  • @adambago3581
    @adambago3581 8 років тому +15

    Naipenda nchi yangu toka rohoni. Asante Mungu kwa kutupa Magufuli. Tutavuka tuu hivi karibuni...nina matumaini makubwa.

  • @allymussa9831
    @allymussa9831 3 місяці тому

    Asante mama samia kwakumpa milioni 50 mzee wetu hakika wimbo wake hautakufa daima

  • @rahilyas254
    @rahilyas254 8 місяців тому +2

    Wimbo huu unanikumbusha mbali sana utotoni 😢😊
    Enzi za Nyerere

  • @naurumnazaleti6774
    @naurumnazaleti6774 7 років тому +17

    dah!! huu wimbo nikisikiliza uwaga nalia tu cna budi ila niseme tu Tanzania ahxante xana!!!

    • @pascalnyanda1289
      @pascalnyanda1289 4 роки тому

      Nuru habari yako ndugu nimeumia Sana yawezeezrkana umepitia maramba kuwa mzarendo wa nchi yako😥😥

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 6 років тому +27

    I love my country Tanzania with all my heart❤️

  • @collinskitoto2184
    @collinskitoto2184 2 роки тому +5

    Love Tanzania,.......Its my hope that one day i will visit the grave yard of the late Dr John Joseph Pombe Magufuli in Chato Mkoa wa Geita.....God Bless Africa God bless Tanzania

  • @CharlesMsakila
    @CharlesMsakila 10 місяців тому +2

    Hakika Tanzania 🇹🇿 yetu Mungu akutunze akuongoze vema Taifa langu udumu Ameeni

  • @yusuphmalongo706
    @yusuphmalongo706 3 роки тому +2

    Wimbo mzuri acha baba zetu warioipigania tanzania Hadi sasa inaitwa tanzania ya amani acha warare sarama nyerere mpaka na jpm nae karara juzi dah amakwer itabaki Mirima tu

  • @edithleitichchepngenoh9102
    @edithleitichchepngenoh9102 3 роки тому +19

    My sincere condolences Tanzania, you've lost a great leader,I can't sleep,I'm mourning a great servant who recognized God all of his life on Earth 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @fhyubhhh2881
      @fhyubhhh2881 3 роки тому

      True very sad

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@fhyubhhh2881 magufuli nota a great leader never
      Great 4 what? I think u don't know well the TZ country.

  • @luswagawamba2232
    @luswagawamba2232 8 місяців тому +3

    Magufuli r i p.nakupenda sana my baba wa taifa la kizaz kipya cha dunia.daaah magufuri

  • @davidmax917
    @davidmax917 8 років тому +25

    Utenzi wa nyakati...toka rohoni...Tanzania yetu ndio nchi ya kusifiwa,kote ulimwenguni watu wote watambua,Tanzania yetu ndio nchi ya furaha...

  • @EvanceJohn-ij6ec
    @EvanceJohn-ij6ec Рік тому +3

    ❤ mor love my Country Tanzania I pray for my Country to be Happy Forever ❤❤❤❤

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Рік тому +2

    Tunaosikiliza Mwishoni mwa mwaka 2023 tugonge like✅

  • @omarimuhali1374
    @omarimuhali1374 8 років тому +40

    I love my country Tanzania

  • @EMERYNDAYIKEZA-y7b
    @EMERYNDAYIKEZA-y7b 3 місяці тому

    Mimi si Mtanzania ila wimbo huu naupenda sana na naipenda Tanzania.

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 4 роки тому +1

    Hakika naipenda Sana Tanzania kweli ndiyo nchi ya furaha! Asanteni Sana Atomic jazz kutoka Tanga jamani Tanga kunani???

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 3 місяці тому

    Rip baba yangu nakukumbuka sana baba yangu mpendwa 13/3/2021 sitoisahau hii siku mpaka mwisho wa maisha yangu

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 6 років тому +2

    ni yangu Tanzania, naipenda sana sana.natamani vijana wawe critical thinkers and reasoners, wasisupport ujinga kwa kuwa walevi wa vyama

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 місяці тому

    Hongera mama samia suluhu hasani kwa kumpa Steven Hiza million 50

  • @aloycetemba8652
    @aloycetemba8652 7 років тому +26

    This time nipo nyumbani hotel, Tanga Mzee Stephen Hizza anaimba huu wimbo live... tuwakumbuke wazee wetu hawa.

  • @irungujohn1909
    @irungujohn1909 3 роки тому +2

    Mimi ni MKenya lakini huu wimbo naupenda sana huwa naucheza sana utathani Niko Tanzania

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 місяці тому

    Nakupenda sana mama Samia mungu akupe maisha marefu sana,

  • @robertodari7264
    @robertodari7264 2 роки тому +4

    A beautiful patriotic song! God bless Africa. God bless Tanzania.

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 роки тому +1

    Tanzania yetu ndiyo nchi ya furaha sanaaaaa, waTanzania woteeee ninawapenda sana, Mungu atubariki.

  • @joachimchisanza9424
    @joachimchisanza9424 2 роки тому

    Am Nyawombo Mwiligwa from Tanzania..Dodoma..ilazo sincerely speaking I greatly honoured by president Nyerere..Mkapa and Magufuli the iron ..Tanzania my mother country ..love you much ..

  • @mbondokambi8053
    @mbondokambi8053 6 років тому +2

    Naipenda nchi Yangu Tanzania,,,, japo kuna baadhi ya watu ni wabaya sana ila siwezi kuichukia nchi yangu

  • @eliyutamoyo1034
    @eliyutamoyo1034 3 місяці тому

    Niko hapa 28.10.2024 naipenda sana nchi yangu

  • @holystarjmsigombane2987
    @holystarjmsigombane2987 2 місяці тому

    gonga like zako hapa kama umesikikiza huu wimbo mwaka 2024🎉🎉🎉🎉

  • @nixonlameck3215
    @nixonlameck3215 5 місяців тому

    Serikali imtunze mzee Steven Hiza mzee mama Samia mjengee nyumba huyu mzee ni hazina kweli kweli

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 5 років тому +1

    Hakuna nchi kama Tanzania hatuna budi kumshukuru Mungu kwa Nchi yetu yenye amani na vipaji tele

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому +1

    Miongoni mwa wimbo bora wa Karne ya 20 ni Tanzania Yetu ulioimbwa na vijana machachari wa Atomic Jazz,namkumbuka sana Baba yangu Mkubwa Steven Hizza, Mungu Ibariki Tanzania

  • @miriamfritsi9183
    @miriamfritsi9183 9 років тому +20

    Ni wimbo uliotia fora sana na ulipendwa na watu sana ni wimbo mzuri sana.nipo uswis na nafurahia kusikia nyimbo za kwetu zilipendwa.asante power nguzo endelea kutukumbusha nyimbo za zamani.kuna, wimbo wa tabora jazz nautafuta sana unaitwa halima.hebu utafute kwenye maktaba yako.nitafurahi sana ukiupata.mariam fritsi

    • @nafuweber-swedi2662
      @nafuweber-swedi2662 8 років тому

      tupo pamoja, wo sind sie in der Schweiz? ich bin in Zurich, kweli nyimbo safi sana

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 8 років тому

      +nafu weber-Swedi ich wohne in Olten zeit zwei jahre.04.02.17.

    • @joshuanyonyi819
      @joshuanyonyi819 7 років тому +1

      miriam fritsi asante Ndugu mi kila weekend nkiwa free lazima ni sikilize huu wimbo..nko hapa Germany Dortmund.

    • @ramadhanihassan3062
      @ramadhanihassan3062 6 років тому

      Karb rud nyumban

    • @juniormsisi834
      @juniormsisi834 6 років тому

      Halima mdee au??

  • @patrickchemigin9378
    @patrickchemigin9378 4 роки тому +2

    Great number...amplified by President Magufuli...hongera Tanzania nchi ya furaha

  • @PH-hg2vn
    @PH-hg2vn 8 років тому +17

    Naipenda nchi yetu Tanzania, Nakupenda Nyerere, Nakupenda Magufuri

    • @gilbertmasaki795
      @gilbertmasaki795 8 років тому +2

      The song has reminded me of Mwalimu Nyerere he struggled to see no Country in Africa is under colonial rule.Nyerere could speak his mind in the U.N assembly for the sake of Africa.

    • @jamalhassan718
      @jamalhassan718 6 років тому

      Niko oman napenda sana nyimbo za nchi yangu TANZANIA

    • @aliah1732
      @aliah1732 6 років тому

      Magufili sio magufuRI

    • @masalujeremiah416
      @masalujeremiah416 6 років тому

      nakupenda mama Tanzania mungu akubariki daima amina

    • @mohamedyahya1677
      @mohamedyahya1677 5 років тому

      Magufuli kajaje humu

  • @rashdy1963
    @rashdy1963 8 років тому +11

    Waw it's just like yesterday. Amazing sound.

  • @tonykorir444
    @tonykorir444 3 місяці тому

    Mie mzalendo Mwafrika mzalendo Mtanzania mkenya....old is gold

  • @waryobanyakyaga5601
    @waryobanyakyaga5601 3 місяці тому

    Tanzania yetu ndio nchi ya furaha🥰🥰🥰

  • @ivansiffredisantaana9995
    @ivansiffredisantaana9995 6 місяців тому

    I don't know how I've ended up here but I like this I fw it

  • @suleymandachi5596
    @suleymandachi5596 7 років тому +2

    powa Nguzo ingependeza zaidi ungeweka majina ya wapigaji wa wimbo huu usioniisha hamu nasikia solo ilipigwa na hayati mbaraka,nitafurahi

  • @charlesmwamwimbemunguaifar4559
    @charlesmwamwimbemunguaifar4559 8 років тому +9

    nakumbuka,sina hakika wasanii hawa walijua kuwa taaluma yao itakosa warithi!

  • @waimbuthia820
    @waimbuthia820 2 роки тому +1

    President Nyerere, one of the most brilliant & best leaders & Pan Africanist Ever. RIP sir. Rest in power, great man.

  • @CharlesMsakila
    @CharlesMsakila Рік тому

    Naipenda sana inchi yangu Naipenda Afrika yetu hongera woote Freedom fighter of Africa NYERERE, JOMO KENYATTA MANDELA LUMUMBA, SAMORA MICHAEL, HAILE SELASI , MUGABE and other regents of Africa Mungu awape pumziko la Amani,

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Рік тому +1

    Tanzania Yetu ndio inchi ya Furaha, hata ulimwengu unajua.

  • @cpt.mukhwasi
    @cpt.mukhwasi Рік тому +1

    2023 and still this song inanifraisha from Kenya 🇰🇪🙌🏿

  • @willymutole6932
    @willymutole6932 3 роки тому +1

    Pumzika...John Pombe

  • @rutarutahindurwa2080
    @rutarutahindurwa2080 Місяць тому +1

    2028 bado nausikiliza

  • @florasangiwa2840
    @florasangiwa2840 7 місяців тому

    It's 2024 still hitting song. Naipenda sana nchi yangu Tanzania!

  • @Ronaldoshelukindo
    @Ronaldoshelukindo 9 місяців тому

    I love my country 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 4 роки тому +1

    Now ndo naona na kuhisi umuhim wa hizi nyimbo za zamani, kipindi hicho nilikuwa nazichukulia powa

  • @jimmassimo1159
    @jimmassimo1159 8 років тому +4

    Tanzania, nakupenda kwa moyo wote. Nchi nzuri yenye jema ulitakalo...amani yetu ndio umoja wetu.

  • @sethmartin5789
    @sethmartin5789 6 років тому

    Duh enzi hizo mwl. Nyerere alikuwa na nguvu zake akiiongoza Tz ifikie maendeleo, tu nawashukuruni sana wana muziki kwa kutukumbusha kuwa Tanzania ndiyo nchi ya furaha. Zilipendwa safi sana, naburudika... 19.08.18 London

  • @allypandit
    @allypandit 3 місяці тому +1

    Wenye tumekuja tena kusikiliza baada ya TMA na 50M za mama🥱

  • @neemaadam9256
    @neemaadam9256 3 роки тому +1

    Kweli kabisa Tanzania Hoyeeeeee! Hongera sana Atomic Jazz Band wimbo mzuri sana aiseee 💪

    • @iddiramadhani5272
      @iddiramadhani5272 2 роки тому

      NIKISIKIA WIMBO HUU NAIPENDA INCHI YANGU MARA 100%NASIKIA FURAHA SANA

  • @saidihemedi698
    @saidihemedi698 4 роки тому

    Mzee hizza hoongera sana uzalendo unaoneka kuna rafikiangu ni kijana mdogo lakin akiusiliza huu wimbo machoz yanambubujika tz yetu we love much our country

  • @yohanapendo5506
    @yohanapendo5506 8 років тому +8

    I have absolutely real love to my country.

  • @gracejames6164
    @gracejames6164 3 роки тому +3

    In love with the song, i love my country Tanzania.

  • @nixonlameck6195
    @nixonlameck6195 4 роки тому

    Iendeshwe harambee huyu mzee Stephen hizza ajengewe nyumba!tuwe na huruma watz bado tunapendana

  • @ezekielfunuki6402
    @ezekielfunuki6402 6 років тому +5

    Naipenda Tz kutoka moyoni mwangu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 років тому +2

    walio imba nyimbo hizi kama bado wapo Mungu azidi kuwaweka..

    • @calabash4221
      @calabash4221 6 років тому +1

      Mzee Steven Mhina yupo. Yuko Tanga. Ameendelea kuimba kwa muda mrefu Sana.

  • @AsiaMsalu-l7j
    @AsiaMsalu-l7j Рік тому

    Namkumbuka sana jemedari wetu amir jeshi mkuu na rais wetu magufuli.. an ilikuw tukisikia huu wimbo wote tunakimbilia kwenye tv tumuone rais wetu Leo Yuko wp na anataka kusema nn.. mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi amiina

  • @scholambalila9691
    @scholambalila9691 7 років тому +4

    big up watunzi wa nyimbo wa zamani na nyimbo za zamani

  • @tumelofe3510
    @tumelofe3510 3 роки тому +2

    Tanzania woye

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 5 років тому +2

    Ukiwa ndani ya kivuko Kigamboni huu ndio wimbo pekee unaokufanya usafiri kwa raha kutoka Magogoni kwenda Kigamboni

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 2 роки тому

    Wimbo umetulia sana daah...

  • @Boyfromtanzania
    @Boyfromtanzania 2 роки тому

    Tanzania yetu, one day nitarudi home kutulizana na kufurahi

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf 9 місяців тому +1

    2024 huu wimbo bado unabamba

  • @margaretkahurananga8544
    @margaretkahurananga8544 3 роки тому

    Mungu ibariki afrika
    Mungu ibariki Tanzania
    Wazalendo halisi wa taifa letu wapate pumziko la milele mbinguni.

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano7302 3 роки тому

    Dah! Vijana wa zamani hatari sana hizo gitaa na sauti zimetulia!!!!...

  • @geofreymaghali183
    @geofreymaghali183 6 років тому

    Duh! Enzi za mkate wa siha, Gloria, maharage ya kopo, samaki chakula barafu,vipande vya papa, saluni chini ya miembe. Dar yenye mikomamanga ndani ya uzio wa makuti. Things have changed a lot, I remember those peaceful days!!!

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Рік тому

    huu wimbo wakati unaimbwa sina hakika kama nilikuwepo duniani lakini unanifanya nahisi mziki mzuri sana

  • @SadikiSinkala-zi3ln
    @SadikiSinkala-zi3ln 3 місяці тому

    Nimekuja hapa baada ya kuoata tuzo na milioni hamsini

  • @alimdoe8307
    @alimdoe8307 2 роки тому

    Majaliwa,Mpango,Suluh,ITAMBUENI ATOMIC JAZZ.

  • @OmanOman-il3dc
    @OmanOman-il3dc 5 місяців тому +1

    Yani daah nyimbo yoyote inayohusu taifa langu la tanzania inanikumbusha raisi magufuli yeye ndio kumbukizi langu jemaa😭😭😭