MTOTO ANAYETANGAZA MPIRA KWA KINGEREZA TABORA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Ulivyokuwa na umri wa miaka 11 ulikuwa na uwezo wa kufanya kitu gani? kuna kitu gani ulikua unapenda kufanya.............. ? wakati unajiuliza hayo AyoTV inakukutanisha na Mtoto wa Tabora aitwae Mathias Robert Kinyongo mwenye umri wa miaka 11 Mwanafunzi wa darasa la tano ambae anapenda kutangaza mpira kwa kiingereza.

КОМЕНТАРІ • 246

  • @faustinfrancis9034
    @faustinfrancis9034 10 місяців тому +4

    Ongera sana mwanafunzi wangu, Mathias sio mpira tu.. kijana Huwa Yuko serious sana katika masomo yote.

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 2 роки тому +96

    Nimelia kwa furaha jaman hongera mwanangu... Mtt WA mwenzio ni wako pia

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 2 роки тому +2

      😀

    • @awadhhamza9296
      @awadhhamza9296 2 роки тому +2

      Umelia kwa y'ako tu ....

    • @fadhilajamal217
      @fadhilajamal217 2 роки тому +1

      @@awadhhamza9296 😀😂😂😂😂😂

    • @fadhilajamal217
      @fadhilajamal217 2 роки тому +1

      @@abuusufian6506 😀😂😂😂😂

    • @shabanikamsawa181
      @shabanikamsawa181 2 роки тому +1

      Mtoto wa mwenziyo ni wako ki msemo2 ila cyo kiuwalisia maana tunaona mama wa kambo wanavyo ishi na watoto wa wanawake wenziye kiukweli ni rahisi mwanaume kuishi na mtoto wa mwanamke wa baba mwingine kuliko mwanamke kuishi na mtoto wa mwanaume wa mwanamke mwingine atajuta kuzaliwa huyo mtoto

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 2 роки тому +24

    Tabora home
    The pride of Tabora 💪🔥
    Big up mdg wangu

  • @abahimbangerina380
    @abahimbangerina380 2 роки тому +25

    Very talented boy. We have another KASHASHA on board.

  • @nicotv4162
    @nicotv4162 2 роки тому +15

    Thats great , tumekosa chombo cha kufanya kazi hii pekee, tungepata chombo tungeweza wafikisha watoto mbali sana

  • @magesachacha3897
    @magesachacha3897 2 роки тому +3

    Huyu mtoto ana kipaji kukubwa sana japo Tanzania watoto wenye vipaji ni wengi ila hawaonekani sababu Media kuwaonyesha kama hivi ni mtihani mwingine natoa Hongera sana kwa Ayo Tv sababu mmekuwa mkionyesha vitu vya msingi sana na kusababisha hata wazazi wengine kuona ili kuwaonyesha watoto wao

  • @user-zs4mo4ts1h
    @user-zs4mo4ts1h 6 днів тому

    safi sana dogo mwenyezimungu azidi kukuza zaidi allah akupe wepesi uzidi kuimarika💚💚💚

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 роки тому +14

    That's so cool keep it up don't give up your dreams God bless 🙏 from Australia 2021🙌

  • @japhetchelsea73
    @japhetchelsea73 2 роки тому +22

    Dogo anajua,, nimeipenda hiyo""Ila akiendelea kusoma hapo bongo asitegemee kutoka watafute sponsor kutoka nchi za ulaya huyo mtoto apelekwe huko

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 роки тому +7

    Unajua TZ wangeanzisha Gifted Kids School huyu ni Gifted Sasa anapotezewa muda km akiperekwa Form one wanaweza shangaa performance yake itakuwa ya juu. Akamaliza Chuo kikuu akiwa na 20yrs. US kuna Professor ana miaka 22 ni gifted km huyu Mtoto.

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 2 роки тому +1

      Saa ww US ukafananishe na apa TZ sie tupo juu kw husda na uchawi tu

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 роки тому

      @@hamidmweusiii35 ahaaa one day dream will come true

    • @letisiamakonda3873
      @letisiamakonda3873 2 роки тому

      @@hamidmweusiii35 😆😆😆

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 роки тому +45

    Wana Tabora tujuane hapa gonga like tujuane

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 роки тому

      Tulihoi..

    • @samuelbrown6326
      @samuelbrown6326 2 роки тому +2

      Cheyo b💥

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 2 роки тому +1

      Kwenye mauaji siwasikiagi mkisema tujuane

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 роки тому

      @@msafirisalum8436 umeonaee

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 2 роки тому

      @@heyumi2340 sana kaka nimekaa Tabora hawawezi kazi wanafanya ukabaji wa kipumbavu hata hicho kitoto chenye kipaji sio wa tabora ni wazazi wake wamehamia kikazi tu ila wanyamwezi mbadilike sio kutoa nafsi za watu kwa tamaa za kijinga muache uvivu

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 2 роки тому +7

    ♥️♥️🙏🙏Acheni mungu aitwe mungu...🙏🙏🙏 Much talletend Sana huyu mtoto akipata support ya kwenda njee kusomea kipaji chake atatisha Kama Barka anaefanya mazoezi ajax....mungu amjalieee jamn🙏🙏🙏

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 роки тому +6

    Masha'allah tabaraka Rahman 💗 Allah amlinde na hasadi za waja wake ..na kumfisha kwenye ndoto yake

  • @issashebe17
    @issashebe17 2 роки тому +8

    Your dream will come true Matias muombe mungu.
    Mtangazaji mbona haujasema shule anayosoma?

  • @ladislausmsongole8479
    @ladislausmsongole8479 2 роки тому +13

    Millard Ayo hebu mjiongeze. Huyu mtoto ni millionaire tayari hebu m-mconnect na vyombo vya habari kama BBC Super Sport nk msiishie hapo take the young boy further hapo kazi yenu itakuwa imekamilika kwa 100% lakini kwa sasa mna 30% bado 70%

    • @felichesmkweka1330
      @felichesmkweka1330 2 роки тому +1

      Nimeupenda ushauri wako

    • @sumadashsumadash7342
      @sumadashsumadash7342 2 роки тому +1

      Ushauri wako unamashiko na unahitajika kufanyiwa kazi

    • @phyniacerungu5368
      @phyniacerungu5368 5 місяців тому

      😮🎉🎉

    • @HAFinance
      @HAFinance 8 днів тому

      Sio kwer 😁😁😁ye asome kwa bidii ushauri wangu

    • @ladislausmsongole8479
      @ladislausmsongole8479 8 днів тому

      @@HAFinance ni kweli akisoma atapata kazi na atapata mshahara maisha yatasonga mbele kwa mentality yetu watanzania/waafrika. Huyo mtoto ni millionaire ila mindset lazima iwe sawa

  • @andreamsemwa7872
    @andreamsemwa7872 2 роки тому +2

    Very nice my children nice nice 👏👏👏👏👏

  • @farijijanna4916
    @farijijanna4916 2 роки тому +7

    That Is Lit🔥 My Uncle Hongera Sana.

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 2 роки тому +6

    Hongera sana mtoto, ongeza bidii utaifikia ndoto yako.

  • @gynae8407
    @gynae8407 2 роки тому +9

    Nyerere alisema likizungumzwa jambo la kipumbavu kwa kingereza linaoneka lenye busara sana. Ukoloni hautoisha kwa mwafrika

    • @bukuruphilibert8658
      @bukuruphilibert8658 2 роки тому +5

      Unajiona umeongea point kumbe upumbavu kwani ukimsifia mtoto wa mwenzio unapungukiwa nini

    • @simonchambo1230
      @simonchambo1230 2 роки тому +1

      @@bukuruphilibert8658 jamaa ana wivu atare

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 роки тому

      Hivi hujaona more than utangazaji?

    • @hajisoud4612
      @hajisoud4612 2 роки тому

      ndo umeongea nn asa akisema nyerere ndo nn nyerere si mtu kama ww

    • @aniahamisi7944
      @aniahamisi7944 2 роки тому

      sasa mtu kaonyesha uwezo bado unaona wivu duh

  • @shinjengasa3574
    @shinjengasa3574 2 роки тому +3

    Dogo akili mingi,kwanza kuaminiwa kuwa kaka mkuu shuleni ni mada nyingne kbsaa,honger sana kwake

  • @complexbrain4067
    @complexbrain4067 2 роки тому +3

    Appreciate young ...salute xan

  • @hassanhamudy982
    @hassanhamudy982 2 роки тому +5

    Nafasi ya darasani sio Sawa na kipaji unaweza ukawa WA mwisho darasani lakin kipaji kikabaki kama kipaji Binafsi siangalii uwezo WA darasani kwa mtoto Kama kipaji....

    • @abduljembe6608
      @abduljembe6608 2 роки тому +2

      Hakika maswali ya darasani anashika namba ngapi yalikua hayana msingi ktk suala la kipaji chake

  • @Malaikalaizer-d2q
    @Malaikalaizer-d2q 5 місяців тому +1

    Oyiii 😂 God 🙏 blessing Mungu akusaidie

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 роки тому +7

    Safi sana uncle , big up sanaaa

  • @fantsonmpango7502
    @fantsonmpango7502 2 роки тому +8

    Mungu amuendeleze, Amina

  • @mwana4599
    @mwana4599 2 роки тому +4

    So nice..

  • @agnessmnyole4416
    @agnessmnyole4416 2 роки тому +8

    Wow nice

  • @justusjoseph4649
    @justusjoseph4649 2 роки тому +1

    Kuna madogo wako talented big up

  • @AgnesRobert-q1i
    @AgnesRobert-q1i Місяць тому +1

    Hongera Sana wa kukaya❤❤

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 2 роки тому +4

    Wow!! So good my boy...keep it up 😅😃😄😂🙌👏🏽

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 роки тому +7

    Mungu amkuzie kipaji chake one day awe mtangzj bora BBC

  • @salamaalihemed6220
    @salamaalihemed6220 16 днів тому

    Mashaallh thabrk allh mungu akulinde mwanangu

  • @villasdiary
    @villasdiary 2 роки тому +8

    Niice🔥

  • @kitwarajuma5604
    @kitwarajuma5604 2 роки тому +2

    Dogo nomaa kwa bongo hii tumpe suport zaid %

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 роки тому +14

    icho kiingereza kajifunzia wapi kwenye shule izi izi za msingi?!

  • @salhaayubu6027
    @salhaayubu6027 2 роки тому +3

    Allah akuinuwe mdg wangu inshaallah kipaji unacho

  • @williamfabiano4425
    @williamfabiano4425 2 роки тому +1

    Nakubari sana mdogo wangu uko vizur

  • @complexbrain4067
    @complexbrain4067 2 роки тому +1

    You are intelligence

  • @saidymsangi7785
    @saidymsangi7785 2 роки тому +7

    Haya sasa kipaji hiki hapa kazi kwa azam tv

  • @zainabamran6716
    @zainabamran6716 2 роки тому +8

    Hongera sana mtoto mzuri

  • @fatmakhalidmussa7593
    @fatmakhalidmussa7593 2 роки тому +1

    This is good

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 2 роки тому +14

    Kipaji cha ajabu hiki.Lakini tutakuja kusikia kapigwa marufuku kutangaza kwa kiingereza.Kama wale wazee wa Iringa waliozalisha umeme kwa ubunifu wao na meneja wa Tanesco kuwadhihaki.Yuko wapi aliyeunda helikopta na kupigwa marufuku kuirusha hewani?

  • @kajungumturi7414
    @kajungumturi7414 2 роки тому +9

    sasa zile tabia za wazazi kulazimisha watoto kusomea udaktari wakati wao wanapenda kingine mjifunze toka kwa huyu mama. unalazimisha mtoto asomee udaktari wakati akiona damu ya kuku anakimbilia uvunguni!!

  • @deborapeter9188
    @deborapeter9188 2 роки тому +1

    Eewaah hongera mtt mzuri Mungu akutunze sn

  • @abdallahmkodo
    @abdallahmkodo Рік тому +1

    Safi sana kipaji

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 2 роки тому +3

    safi sana. Mungu akutangulie

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 2 роки тому +7

    Hongera sana Mtoto mzuri

  • @Ram_1893
    @Ram_1893 2 роки тому +5

    Chalii amenifurahisha kuwa na kipaji kama changu
    Kama umechekeshwa na hii comment tafadhali like nikujue

  • @shedrackmangambila2999
    @shedrackmangambila2999 2 роки тому +2

    Daaah nimekosa chakuongea ila daah Mungu amzidishie daaah

  • @marthakavishe5923
    @marthakavishe5923 Місяць тому

    Ongera Sana Kaka kwa kazi mzury ta taifa letu la Tanzania

  • @veronicapatrice436
    @veronicapatrice436 2 роки тому +6

    Congratulation Sana Mathew hongera dada yangu

  • @nyambumujayanyambui6024
    @nyambumujayanyambui6024 2 роки тому +1

    Gifted boy

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 роки тому +7

    Nimempenda

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 2 роки тому +6

    Nafurahi sana kweli

  • @lissadee9009
    @lissadee9009 2 роки тому +6

    Nimechok nimechoka nipitie tu kila la kher Kaka😂

  • @musason1680
    @musason1680 2 роки тому +21

    Mbna anaongea kikubwa mno ana confidence kubwa Sana

    • @mweyoms5548
      @mweyoms5548 2 роки тому +4

      Lugha ya vijiweni wanasema "anaupiga mwingi"

    • @abduljembe6608
      @abduljembe6608 2 роки тому +1

      Maajabu ya Mungu hayo

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 2 роки тому +5

      Huyo ni mdogo kwa umri na mwili ila akili kubwa hiyo

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 2 роки тому +1

      @@abduljembe6608 Kweli kabisa mwamba

    • @abduljembe6608
      @abduljembe6608 2 роки тому

      @@Ram_1893 Naam

  • @shabaniissa3163
    @shabaniissa3163 2 роки тому +7

    Mungu ndio mueza wa kila jambo , mungu amuongoze ndoto yake itimie🙏🙏🙏

  • @mohamedyally9912
    @mohamedyally9912 2 роки тому +4

    Ongera kwake ..mtoto saf sana

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 2 роки тому +5

    Keep it up

  • @listerrobert142
    @listerrobert142 2 роки тому

    Congratulation, GOD BLESS YOU MORE.

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 роки тому +6

    Yupo vizuri

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema Місяць тому

    Yuko vizuri, Wazazi endelea kumpa moyo.

  • @mussanganda505
    @mussanganda505 2 роки тому +7

    Anaongea vzr

  • @emmanuelsaguda7136
    @emmanuelsaguda7136 2 роки тому +3

    Nice🔥🔥

  • @maryamsanga7551
    @maryamsanga7551 2 роки тому +1

    Bright mtoto

  • @mwavamwambarkissensi7586
    @mwavamwambarkissensi7586 2 роки тому +3

    Mpenja jiangalie Sana hapo mtoto wa mboka manyema.

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 2 роки тому

    This child must give him big support because he is very talented

  • @abubakarkarsan31
    @abubakarkarsan31 2 роки тому +13

    Anawazidi kwa mbali sana hata watangazaji wakubwa tu wa tanzania ambao hawawezi kabisa kutangaza kwa usahihi majina ya wachezaji,mfano gundugan huyu mtoto anamtamka gunduwan exactly linavyotakiwa ambapo hawa watangazaji wa tanzania wanamtamka gundugani

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 2 роки тому +2

      Ni Gundogan.siyo Gundugan😆😆

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 2 роки тому +3

      Yaani umenichekesha mpaka makamasi yametoka puani unataja GUNDUGANI

    • @fredmajaliwa2304
      @fredmajaliwa2304 2 роки тому

      @karsan mtoto asaidiwe kuendelezwa, najua unaweza

  • @fakiibabalao4185
    @fakiibabalao4185 2 роки тому +2

    Ungetangaza kiswahili ili uje upate kz hpa tz ssa iyo English yko nani atakuajili uko nch za wenzetu fanya vtu kwa faida ya baadae ila upo vzr sna kaza dgo

    • @mbarakrashid6204
      @mbarakrashid6204 2 роки тому +1

      Ama kweli akuna apendae mbuzi ya mwenzake izae mapacha ivi kumpingania nadua kwa wingi apate kuienua tz mwaanza mabo ya kiswaili hivyo ndivyo vipaji vya kukuza inchi basi ikiwa mwaona atawatia aibu kwa sababu ya icho kingereza tupeni sisi wakenya

  • @SusanNassoro
    @SusanNassoro Рік тому

    Mungu akutunze mwanangu kila la kheri kwenye kipaji chako

  • @musason1680
    @musason1680 2 роки тому +3

    Congratulations

  • @makaatalia121
    @makaatalia121 2 роки тому +4

    Itabidi uende ulaya,sisi ni waswahili uzalendo ni pamoja na lugha.

  • @mwalongojulius1755
    @mwalongojulius1755 2 роки тому +2

    Wajina wenye majina haya huwa tuna vitu serikali mtutafute tutawafikisha mbali tz

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 2 роки тому +1

    Kipaji Ni kile kile ila yye katumia kingereza Basi....ila kwa umri wake ndio tumpe hongera

  • @stevenkawawa7807
    @stevenkawawa7807 2 роки тому +3

    Kwenye kusoma ad masters apo ndo penyewe lkn tahadhar kubwa xan inatakiwa ichukuliwe kwako maan masters weng wanakuaga watumwa wa fikra za watu wengine

  • @jofreymassawe8566
    @jofreymassawe8566 26 днів тому

    Hatari

  • @elibarikimiage6204
    @elibarikimiage6204 2 роки тому +2

    Safi sana

  • @MarriamNg9wi
    @MarriamNg9wi Місяць тому

    Wakwanza nipeni like zangu nyingi tu

  • @musajr7179
    @musajr7179 2 роки тому

    nice

  • @musamwapinga361
    @musamwapinga361 2 роки тому +10

    DOGO KANISHINDA TABIA 😂 YAANI ANAJIBU MASWALI KIUFASAHA MPAKA NAANZA KUJIONA SINA LOLOTE MIE.

  • @kalokolaaporinary4777
    @kalokolaaporinary4777 2 роки тому

    Huyo mtoto noma wazazbtunza kipaji chake na baadae msimulazimishe kusomea kitu ambacho hakitaki

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 2 роки тому +2

    Mungu akusimamie jamani

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 роки тому +1

    Bongo mtoto kama huyu wanampoteza chap. Bora apelekwe mbele. Anatoka

  • @sultanseifu9689
    @sultanseifu9689 2 роки тому +1

    Cool

  • @ausonjustinian2080
    @ausonjustinian2080 2 роки тому +2

    Vipi, mbona mtt hakutaja bb au hayupo nn? Au ndo baadae njemba zianze kujishebedua kua ni mtt wangu kisa kaona dogo yuko drim zaidi?? Kazana dogo

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe Місяць тому

    Furaha imenizid, sijui nimelia nini😢

  • @abdyshots1572
    @abdyshots1572 2 роки тому +1

    Huyo mtoto kipaji anacho kinachotakiwa ni kutengenezewa msingi mzuri wa huyo kuiishi kipaji chake

  • @mbarakjabry7634
    @mbarakjabry7634 2 роки тому

    Jamani watanzania kazanisheni ulimi

  • @patrickokachecheba9945
    @patrickokachecheba9945 2 роки тому

    Safi sana dogo sijamuona kama ww

  • @georgeigogo9259
    @georgeigogo9259 2 роки тому +2

    Mtangazaji wa umrii huu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 роки тому +1

    Manshallah

  • @abrahamkipuyo5940
    @abrahamkipuyo5940 2 роки тому +1

    Dogo yupo vizuri

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 5 місяців тому

    Sasa mbona hukumweka atangaze hata kidogo Taarifa Gani hio

  • @official_nillan9621
    @official_nillan9621 2 роки тому

    Maashaallh

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 2 роки тому +2

    ISAYA 54;13 .MUNGU APATE KUMLINDA MTOTO HUYU.

  • @maxwellmutta5244
    @maxwellmutta5244 2 роки тому

    Big up sana

  • @neemamoseti3376
    @neemamoseti3376 2 роки тому +3

    Nice ♥️♥️

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 роки тому

    MASHALLAH MUNGU AMUONGOZE

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi84 2 роки тому

    very intellegent

  • @mwaminmodolo3126
    @mwaminmodolo3126 2 роки тому

    Mashallah