MTOTO BARAKA KUPELEKWA CHINA AMKOSHA NAIBU WAZIRI KWA UWEZO WAKE MKUBWA SHANGWE LAIBUKA
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Ongera mwanangu mungu akutunze uje utuongoze tzania
Mtoto baraka amekariri ipasavyo. Hongera zake. Kinachosikitisha hakuna mikakati ya kuendeleza hawa watoto wenye vipaji vya kukariri waweze kuwa wabunifu na wagunduzi wa mambo mbalimbali. Tumeshawasikia watoto wengi kama baraka. Lakini sasa wako wapi? Mfano yule bingo wa Hisabati kule morogoro. Aliishia wapi? Waje waliotengeheza magari, ndege na katapila wako wapi? Tanzania sasa ianzishe Silicon Valley yake kuendeleza, kukuza na kutumia hawa wenye vipaji wafanye maajabu ya kugundua vitu bikubwa zaidi vyenye faida kwao na nchi yetu. Big up Prof. Baraka.
Baba na mama wa balaka hakika walitulia sana kumtengeneza baraka mwenyezi mungu amulinde
Safi Sana Mungu amtunze mtoto uyu
Mwenyezi Mungu akuepushe na hasadi mtoto mzuri,amiin amiin amiin
Big up mjukuu wangu Baraka halafu wakubwa wazima wasio na aibu wanasema Mama Samia hajafanya kitu huyu ni Professior kweli.
Jsmaniee hongera kwa mzazi ❤
Mimi nakubwa wangu sijui chochote nipo tu hata kujieleza siwezi 😂😂 hongera sana Baraka. Mungu akulinde
Upo kama mimi😅
Mimi pia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Ila ww
Bismillah mashallah 🙏🏼
Mtoto noma mashaalha
Mashallh
China mnawapelekea hicho kipaji....inamaana sie hatuna matumizi nae?
😂😂😂
Big up!!!!!!! Kwa huyu mtoto. Mbele yake kuna mwanga mkubwa.
Kweli hakika, kazi inaendelea ipasavyo.
MashaAllahMajinayanaumba
Afate nn China? Angeletwa kwangu nimfundishe.....why China???? Tuache utumwa. Mpeni professor Kabudi huyo mtoto amfundishe kiswahili na amfanye kuwa professor halisi.
Akasome china
Kabudi amfundishe nini… kuwa kigeu geu au…. Fatilia historia ya kabudi babu
Export 🤣🤣🤣🤣
@@georgepeter2055 sio kigeugeu ni mfumo wa jamii ulivyo........hata wew ukipata nafas hiyo.....utakuwa kigeugeu tu
Mama Samia Sulhu Hassan
Nibonge la RAIS wa Heshima
Mashallaah🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤
MashaAllah ❤❤❤
Hongelamwanangu..uwezowako
Huyo prof. kwanini asipewe wizara aongoze?
Magufuli kazaliwa upya mzee wa takwimu
kwendeni zenu uko
Mbona mnatumia nguvu kubwa kwani kunanini ,hakika kibaya chajitembeza watanzania wasasa sio wakupangwa na maneno wanajua hivyo tusipoteze mda
Mimi naitwa professional j yan sijuh kitu
Mawaziri mwengine maongezi kama hayo ndio lazima Atizame mwenye makalatasi 😂😂😂
Icho kichwa Cha sungu sungu.hatari
😢
Ngonjera like.
Hapo Tanzanite imelindwa na kuokolewa kiasi gani??
Wawooooo❤❤❤
Anasoma mahali au anagea tu kutok kichwan
Wewe unaebeza kipaji chake wewe hata ukaririshwe miezi 6 huwezi acheni hasad muombeeni duwaa
SASA HUYO SI MTOTO AMEKARIRISHWA TU.
Hakuna MTU anayejua bila kukaririshwa ! Hata wewe umekaririshwa kuita baba,mama , kuvaa kunya kula, nk au wewe ulijua bila kufundishwa ? Mimi nilikaririshwa kuwaambia watu kama wewe " mjinga wewe
Ni kweli
The kid is capable...than many adults.... genius