MTOTO BARAKA KUPELEKWA CHINA AMKOSHA NAIBU WAZIRI KWA UWEZO WAKE MKUBWA SHANGWE LAIBUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 45

  • @miriummbisse2278
    @miriummbisse2278 3 місяці тому +3

    Ongera mwanangu mungu akutunze uje utuongoze tzania

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd 3 місяці тому +1

    Mtoto baraka amekariri ipasavyo. Hongera zake. Kinachosikitisha hakuna mikakati ya kuendeleza hawa watoto wenye vipaji vya kukariri waweze kuwa wabunifu na wagunduzi wa mambo mbalimbali. Tumeshawasikia watoto wengi kama baraka. Lakini sasa wako wapi? Mfano yule bingo wa Hisabati kule morogoro. Aliishia wapi? Waje waliotengeheza magari, ndege na katapila wako wapi? Tanzania sasa ianzishe Silicon Valley yake kuendeleza, kukuza na kutumia hawa wenye vipaji wafanye maajabu ya kugundua vitu bikubwa zaidi vyenye faida kwao na nchi yetu. Big up Prof. Baraka.

  • @konatatufilm
    @konatatufilm 3 місяці тому

    Baba na mama wa balaka hakika walitulia sana kumtengeneza baraka mwenyezi mungu amulinde

  • @user-dh2zb2dm1v
    @user-dh2zb2dm1v 3 місяці тому +1

    Safi Sana Mungu amtunze mtoto uyu

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 3 місяці тому +3

    Mwenyezi Mungu akuepushe na hasadi mtoto mzuri,amiin amiin amiin

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 3 місяці тому

    Big up mjukuu wangu Baraka halafu wakubwa wazima wasio na aibu wanasema Mama Samia hajafanya kitu huyu ni Professior kweli.

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 3 місяці тому

    Jsmaniee hongera kwa mzazi ❤

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 3 місяці тому +5

    Mimi nakubwa wangu sijui chochote nipo tu hata kujieleza siwezi 😂😂 hongera sana Baraka. Mungu akulinde

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 3 місяці тому +1

    Bismillah mashallah 🙏🏼

  • @mohddelo
    @mohddelo 3 місяці тому +2

    Mtoto noma mashaalha

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 3 місяці тому

    Mashallh

  • @mabiolojinamakemia9143
    @mabiolojinamakemia9143 3 місяці тому +3

    China mnawapelekea hicho kipaji....inamaana sie hatuna matumizi nae?

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 3 місяці тому +1

    Big up!!!!!!! Kwa huyu mtoto. Mbele yake kuna mwanga mkubwa.

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 3 місяці тому +1

    Kweli hakika, kazi inaendelea ipasavyo.

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 місяці тому

    MashaAllahMajinayanaumba

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1o 3 місяці тому +8

    Afate nn China? Angeletwa kwangu nimfundishe.....why China???? Tuache utumwa. Mpeni professor Kabudi huyo mtoto amfundishe kiswahili na amfanye kuwa professor halisi.

    • @EliauMtishbi-os5ky
      @EliauMtishbi-os5ky 3 місяці тому +1

      Akasome china

    • @georgepeter2055
      @georgepeter2055 3 місяці тому

      Kabudi amfundishe nini… kuwa kigeu geu au…. Fatilia historia ya kabudi babu

    • @mabiolojinamakemia9143
      @mabiolojinamakemia9143 3 місяці тому

      Export 🤣🤣🤣🤣

    • @user-rh5yn3bc1o
      @user-rh5yn3bc1o 3 місяці тому

      @@georgepeter2055 sio kigeugeu ni mfumo wa jamii ulivyo........hata wew ukipata nafas hiyo.....utakuwa kigeugeu tu

  • @JulaybibiBabah
    @JulaybibiBabah 3 місяці тому

    Mama Samia Sulhu Hassan
    Nibonge la RAIS wa Heshima

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 3 місяці тому

    Mashallaah🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 3 місяці тому

    MashaAllah ❤❤❤

  • @SelnaKawana
    @SelnaKawana 3 місяці тому

    Hongelamwanangu..uwezowako

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 3 місяці тому +1

    Huyo prof. kwanini asipewe wizara aongoze?

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 3 місяці тому +1

    Magufuli kazaliwa upya mzee wa takwimu

  • @hassanisamuya
    @hassanisamuya 2 місяці тому

    kwendeni zenu uko

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 3 місяці тому +1

    Mbona mnatumia nguvu kubwa kwani kunanini ,hakika kibaya chajitembeza watanzania wasasa sio wakupangwa na maneno wanajua hivyo tusipoteze mda

  • @JudithDaniel-sw4og
    @JudithDaniel-sw4og 3 місяці тому

    Mimi naitwa professional j yan sijuh kitu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 місяці тому

    Mawaziri mwengine maongezi kama hayo ndio lazima Atizame mwenye makalatasi 😂😂😂

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 місяці тому

    Icho kichwa Cha sungu sungu.hatari

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 3 місяці тому

    😢

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 3 місяці тому

    Ngonjera like.
    Hapo Tanzanite imelindwa na kuokolewa kiasi gani??

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 3 місяці тому

    Wawooooo❤❤❤

  • @Franknicholaus246
    @Franknicholaus246 3 місяці тому

    Anasoma mahali au anagea tu kutok kichwan

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 3 місяці тому

    Wewe unaebeza kipaji chake wewe hata ukaririshwe miezi 6 huwezi acheni hasad muombeeni duwaa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 місяці тому

    SASA HUYO SI MTOTO AMEKARIRISHWA TU.

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 3 місяці тому +2

      Hakuna MTU anayejua bila kukaririshwa ! Hata wewe umekaririshwa kuita baba,mama , kuvaa kunya kula, nk au wewe ulijua bila kufundishwa ? Mimi nilikaririshwa kuwaambia watu kama wewe " mjinga wewe

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 3 місяці тому

      Ni kweli

    • @mabiolojinamakemia9143
      @mabiolojinamakemia9143 3 місяці тому +1

      The kid is capable...than many adults.... genius