Migogoro mingi katika ndoa shida huanzia chumbani - Ukht Fatma Mdidi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024
  • Darsa la Ndoa Sehemu ya Tatu na Ukht Fatma Mdidi
    1.Haki/Wajibu wa wanandoa
    2.Haki za Mashirikiano(Mume na mke)
    3.Ya kuchukulia Tahadhari

КОМЕНТАРІ • 132

  • @lukullikiwamba6494
    @lukullikiwamba6494 Рік тому +13

    Anazungumza maneno mazito sana , izi elemu ziwe zinatolewa kwa waowaji na wanaolewa. Yani mpaka usingizi umeniisha kwa kumsilikiliza dada yangu …siku moja mungu anajalie mke mwelewa inshallah

  • @aishadotto3640
    @aishadotto3640 Рік тому +11

    Yaa Rabb nijaariye mume mbora mwenye kheir nami INSHA'ALLAH 🤲

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 Рік тому +15

    Masha'allah naomba M/MUNGU anija'alie mke mwema na kizazi chema insha'allah

  • @bindawood978
    @bindawood978 Рік тому +13

    Maashaallah, ni mara ya kwanza kusikiliza huyu Ukhty na ln Shaa Allah nitaendelea kusikiliza, Alhamdulillah nimepata faida kubwa.

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 4 місяці тому +1

    MashaAllah tabarakalah!Mawaidha mema dadangu,Jazzak Allahu khayr fii dunya wal Akhera.

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 Рік тому +4

    MAA shaa Allah ukhty Fatma! Nakupenda sana kwaajili ya Allah! Allah akubariki Sana wewe na familia yako! Najifumza Sana kwenye his darsa zako alhamdulillah..

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Рік тому +6

    Maashaallah baarakallah dadangu nakupenda kwaajili ya Allah..mungu akujaze kheri akupe maisha marefu na akupe mwisho mwema aamin

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 Рік тому +3

    MaSha Allah TabarakaLlah Shukran Kwa ukumbusho. Somo Mungu Akuhifadhi Akulipe kila lakheri. AlhamduLiLlah.

  • @nassorsalum1753
    @nassorsalum1753 Рік тому +3

    Mashaallah mashaallah mashaallah uhty numelipenda darsa lako Allah atakulipa ujira wako inshallah

  • @hassaniibrahimjafarijafari6229

    Maaashallah ukhty yetu kwakutufundishia wake zetu na dada zetu allah akulipe kheri na umry mrefu naafya njema

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 Рік тому +2

    Mashalla my ukht alla anijaalie nipate mume mwema

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Рік тому +2

    Allah akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha dini yake na akujaalie mume mwema inshallah

  • @swidiqrajab4519
    @swidiqrajab4519 Рік тому +1

    Mashaa Allah Natafuta mke mwenye sifa nzuri Allah anijalie nimpate kabla sijafariq dunya

  • @hamisidumbo1568
    @hamisidumbo1568 Рік тому +2

    Masha allah thabaraka.llah...Allah akujaalie kheir kwa kila jambo lako insha allah.

  • @mwaringakali483
    @mwaringakali483 Рік тому +2

    Kongole dada Fatma kwa mawaidha yako Allah akupe nguvu na afya njema inshaallah

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Рік тому +1

    Mashallwah Allwah akuhifadhi nakila husda uzidi kuisambaza dini yetu ya kiislam

  • @wilfredchomo3294
    @wilfredchomo3294 Рік тому

    Asante sana mwalimu Kwa Elimu hii ya maisha.Mwenyezi Mungu akujaalie Ili utupatie tena Elimu .

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 Рік тому +3

    Masha Allah, jazakalah khairan Ustaadha

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 Рік тому +1

    Mashallah..... Allah akujaze kila la heri... Faida tele kwa tele

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897

    MashaAllah tabarakaAllahu shukran jazzakhaAllahu

  • @gamalashur5412
    @gamalashur5412 Рік тому

    MASHA ALLAH UKHTI ALLAH AKUZIDISHIE ELIMU NA UMRI UZIDI KUTUPA FAIDA ZA MUME NA MKE
    NAMI ALLAH ANIPE MATHNA WA KHEI YAARAB.

  • @asiakassim9079
    @asiakassim9079 Рік тому +4

    Masha Allah maneno mazuri

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu7092 9 місяців тому

    Wallah juhudi zako dada etu fatma, Allah ajaze jaza njema katika mema yako nasisi inshaAllah tukumbuke kwa duaa ili endapo nasisi twayapitia haya, basi Allah atifanyie sahali inshaAllah

  • @adijarashidswedi6979
    @adijarashidswedi6979 Рік тому +1

    Manshaallah Allah akuljpe kwa mawaidha safi kabisa endelea kutuwaidhy

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Рік тому

    Inshaallah mungu aniajalie mume mwema wa kheri na pia kutokea katika familia ya dini ya kiislam

  • @mgenimwasabu
    @mgenimwasabu Рік тому +1

    Mashallah mama kwa mawaidha yko mungu azidi kukupa umri zaidi

  • @AbdallaSuleman-n9q
    @AbdallaSuleman-n9q 16 днів тому

    Mashallah Allah akulipe Kila la kheri

  • @mzackibra5856
    @mzackibra5856 Рік тому +3

    MaashaAllah 💫 khuty

  • @muhidinzaidi1408
    @muhidinzaidi1408 Рік тому +2

    Allah akupe afya njema
    Akupe umri

  • @fatmarashid8163
    @fatmarashid8163 Рік тому +4

    Asante ukhty mungu akujaze kheri.lakini ile ya mihogo kwa mama halima nimecheka sana😅

  • @rizikibakari514
    @rizikibakari514 Рік тому +1

    MashaAllah ukhty Allah akupe nguvu na ukupe umri mrefu

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 3 місяці тому

    Mashallah Allah akuhifadhi

  • @kassimdafa4864
    @kassimdafa4864 Рік тому +1

    Mashaaallah ukhty kwa maada mzr mungu akubariq

  • @zainabmusa2006
    @zainabmusa2006 Рік тому +3

    MASHA ALLAH

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj 11 місяців тому

    Masha Allah darsa zuri sana Allah akulipe kheri

  • @hussenaaghe2760
    @hussenaaghe2760 9 місяців тому

    Alaah kumpa afya njema na ujasri amin

  • @mwajumamkwera5587
    @mwajumamkwera5587 Рік тому +1

    Mashallah nakupenda Kwa ajili ya allah

  • @user-tt4hi8rv6w
    @user-tt4hi8rv6w 5 місяців тому

    Ishalwah madamu kwa mawaiza Allah akufanyie wepesi kwakutupa dawa❤

  • @mfaumemkigoma4370
    @mfaumemkigoma4370 Рік тому +3

    Mashallah

  • @barakaibadi2058
    @barakaibadi2058 4 місяці тому

    Ahsante sana ukht🎉

  • @allyibrahim2732
    @allyibrahim2732 Рік тому

    Mashaallah nasaha nzuri Sana za kuijenga ndoa sababu ndoa nyingi zipo kushoto

  • @IninahazweLatifa-v1e
    @IninahazweLatifa-v1e 8 місяців тому

    Ma shaa Allah Allah akulipe duniani nakesho Akhera

  • @TwalijiIsamail-z9d
    @TwalijiIsamail-z9d 4 місяці тому

    Mashaa àllah

  • @husnaamani6275
    @husnaamani6275 Рік тому +1

    Mashallah shukran ukhthy

  • @salimurindano7049
    @salimurindano7049 Рік тому

    Ukhti niukweli mtupu mungu akuzidishie ilmu

  • @nusrasadick3516
    @nusrasadick3516 Рік тому +1

    Mashallah Allah akuzidishie elimu uht wetu umejaaliwa confidence endelea kujiendeleza kielimu uzidi kuitoa elimu kwa dalili zaid

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому +1

      Ukishakua mcha mungu Allah atakuelimisha usiyoyajua

    • @rehmakondo
      @rehmakondo Рік тому

      Daah ila watu 😂😂kwaio ww mjuz zaid eti

  • @AbdullahAlZaabi-on4tb
    @AbdullahAlZaabi-on4tb 5 місяців тому

    Maashaallah

  • @a.856
    @a.856 Рік тому +1

    Jazakallah khayran

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Рік тому +1

    Allah akuongoeni wanawake w kiislam

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 Рік тому +1

    Masha Allah shukran❤

  • @abdulsamadhassanali4003
    @abdulsamadhassanali4003 Рік тому +1

    Mash Allah jazz kalahul kheir

  • @fatmasaid196
    @fatmasaid196 5 місяців тому

    mashaAllah

  • @aliakalipo189
    @aliakalipo189 Рік тому +1

    Masha allah

  • @adijarashidswedi6979
    @adijarashidswedi6979 Рік тому +1

    Nimefurahi mtwara. Kucheiee

  • @halimajigi1455
    @halimajigi1455 Рік тому

    Halima was just chilling 🤣🤣mashallah darsa zuri ukhty

  • @ismailsalim8853
    @ismailsalim8853 Рік тому

    Masha Allah kwani ndoa nyingi zimekosa muelekeo kwa kukosa mafundisho ya Quran na sunnah

  • @damandokondoko1787
    @damandokondoko1787 Рік тому +1

    Asante Kwa mafunzo mazuri

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 Рік тому +1

    Ila wametushinda tabia awa waume wasasa allah atunusulu vizazi vyetu

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому

      Si wote ila nawe unazngatia vipengele vyako

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому

      Utakapoxkua mwema Allah atakutngenea mambo yko

  • @SharifaShelukindo
    @SharifaShelukindo 6 місяців тому

    Mashaa Allah

  • @mariammohamed8829
    @mariammohamed8829 Рік тому

    Swadkta ukhtii

  • @ramadhanisomboja3609
    @ramadhanisomboja3609 Рік тому

    Asalam alleykum munguakulipe kheri siku yamwisho

  • @halifawahalifa2302
    @halifawahalifa2302 9 місяців тому

    Mashalhaa

  • @farijala1
    @farijala1 Рік тому +1

    Hi I darsa zake anafanyia wapi nimpeleke me wangu ?@KalamuTV

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Рік тому +1

    Aliekuoa amepata hakika, MUNGU muumba wa mbingu na ardhi bahari na vyote vilivyomo viavyoonekana na visivyoonekana akuongoze kuyatambua na mengine Zaid kwa faida ya wengi 🙄.

  • @kyomuhendo1984farida
    @kyomuhendo1984farida Рік тому

    mashallah

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Рік тому +1

    Masha Allha

  • @wilfredchomo3294
    @wilfredchomo3294 Рік тому +1

    Andaa kipindi redioni ili Elimu hii ikutane na wengi.

  • @susanawereschuhmacher9880
    @susanawereschuhmacher9880 8 місяців тому

    👍👍👍

  • @saidlwambo1995
    @saidlwambo1995 Рік тому

    Swadakta madam

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Рік тому

    Je hali ya wanawake ilivyo sasa, inaweza kusababisha upungufu wa nguvu za mazungumzo, inayo wakabiri wanaume kwa sasa?

  • @idrisanurdinirajabu1200
    @idrisanurdinirajabu1200 8 місяців тому

    Swa dada

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Рік тому +2

    Wanawke hawapend kula wamo ktk vivaz t

  • @nilihamhamisi1927
    @nilihamhamisi1927 Рік тому +2

    Ukhty Fatuma mie mwaka wakuolewa mie Namtaka uje nyumban uje unipe drasa za ndoa

  • @ahmadshaame1332
    @ahmadshaame1332 Рік тому

    Kila mmoja anapaswa kuwa mtiifu juu ya mwenzake ili kudumisha mapenzi ya ndoa na mambo mengine.

  • @balaineshmohamed9372
    @balaineshmohamed9372 Рік тому

    Your one side

  • @ShadiaNzeyimana
    @ShadiaNzeyimana 11 місяців тому

    Ninaswali mwalim

  • @DouxfloryNingabo
    @DouxfloryNingabo 5 місяців тому

    Naitaji number ya bi fatma mdidi

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Рік тому +3

    mwanamke gani wakiswahaba akipaza sauti yake na kuonesha sura zake.hizi darsa zako fitna.masheikh wamejaa hewani.nakama wafanya kwa ajili ya Allah .usingejipiga video.uzinifu uko njia nyingi,nahii ya sauti nimoja wapo.muogope Allah

  • @ShadiaNzeyimana
    @ShadiaNzeyimana 11 місяців тому

    Naweza kupata in-box yako kwajili ya Allah

  • @DouxfloryNingabo
    @DouxfloryNingabo 5 місяців тому

    Asww

  • @shabanikingazi
    @shabanikingazi Рік тому

    Kaswaid audio

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 Рік тому

    Lakin ukhty ikiwa mke mwenyewe hanatabia nzuri hatakatika malezi hawape malezi bora ya kislam nivizuri asiendeleye kuza mana kuza tu bila kuzingatia malezi misione umuhim wake??

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Рік тому +1

      Sasa kama mke hanatabia mzuri, kaa nae kitako na umuelimishe haifai kumuachie bila ya kumuelimisha ,In shaa Allah ataelewa

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому

      Hakuna kuongokewa wote

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому

      Na uko kuzaa ndio uzima wao ao

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому

      Wasipo shuhulika na kizaz haw ndio hujikarbisha na Kaz si zao km uongozi

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Рік тому

      Wazae t ww km huez kuhdumia family walet uku

  • @KhadijaIddyShabani
    @KhadijaIddyShabani Рік тому

    😅😮

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman9018 Рік тому +1

    Jambo hili wamama wengi limewafanya kuwachika

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Рік тому

      Jambo gani hilo

    • @saidsuleiman9018
      @saidsuleiman9018 Рік тому +1

      @@aminaalmazrui9785 ukhty ameliongea hujamuwelewa

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Рік тому

      @@saidsuleiman9018 nimemuelewa lakin Wew ndio hujamalizia jambo gani nataka nielewe samahani

    • @saidsuleiman9018
      @saidsuleiman9018 Рік тому

      Kujikweza Kwa waume zao kutokuomba ruhsa wanapo enda safari zao na kujiona wapo sawa na waume kwamba na yeye yupo na say

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Рік тому

      @@saidsuleiman9018 sub Hanna Allah,shukran sana,hili ni kweli kabisa na tena hata sijui mtu anafanya ivi kwa lengo gani,maana kama utafkiria mauti muda wowote utakufa huwezi kufanya ivi.

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Рік тому +3

    Mashaallah

  • @YahayaBori
    @YahayaBori 2 місяці тому

    Mashaallah

  • @MwanaishaSuleiman-mr8ij
    @MwanaishaSuleiman-mr8ij Рік тому

    Mashallah

  • @nubianqueen1599
    @nubianqueen1599 Рік тому

    Mashaallah