Hua kuna watu wanakera ,unapotaka kutoa habari kuhusu mtu muhimu kwa Taifa na Africa kwa ujumla hakikisha una data za maana,za kutosha na za ukweli na sio kubumba bumba tu ,mwacheni Af mabeyo ni mtu mkubwa sana mwenye heshima zote , MUNGU ampe maisha marefu yenye amani tele mwamba wa Africa
Jwtz Toka lini ikawa jeshi la kujenga taifa acheni kukukurupuka kwenye kuapdates story Ili kupata views bhana pitieni kazi kabla yakupost msitupotoshe wengine tunajitambua.
Data mala nyingine huwa zinapotea ama kusahaulika so kwetu Tunahesabu kama "kosa " Hivyo kama haujaskia hicho kikosi Basi Ujue hajapitia ama kimesahaulika
@@FridayMwassa Waislam ndio walio fanya ukoloni(colonialism), Waislam ndio waliowaletea UKIMWI(AIDS Violence), waislam ndio waliowaletea ushoga(ni moja ya njia za mpango wa uzani walizowaletea wazungu), waislam ndio waliofanya biashara ya utumwa(The triangle trade/African slave trade). Waislam ndio waliouwa watu Afrika kusini? Shida yenu mkisikia waarabu tu mnakimbilia waislam! Dini za KALE kabla ya uislam pale arabuni; za Kisemiti, Ukristo, Uyahudi, Mandaeism, na Zoroastrianism. Ukristo uliongzeka hapo baada ya kuanzishwa na wazungu na baada ya kukinzana na ile Mila aliyoachiwa Nabii Abraham, ndipo mkaletewa chuma kuwakumbusha kuwa hizo mlizonazo sio njia sahihi! Sema wazungu wamekuwa na vita za kiuchumi toka enzi, leo Israel anafanya ugaidi lakini bado mnasema taifa teule! Kuna taifa teule linaruhusiwa kuuwa?
Nakukubali nakuombea Mungu akuongoze uishi maisha marefu kamanda
We appreciate cdf mabeyo kwa kazi nzuri na moyo WA unyenyekevu WWE ni mfano wa kuigwa
Mungu akulinde Mabeyo
Mashaallah allah akulipe umeli2mikia taifa kweli
Daah mtoto mmoja tu jeneral alikuwa nae
Kazi ya mungu huwaga haina makosa
Nani kakwambia alikuwa ana mtoto mmoja ??
Mwongo sio mtoto mtoto mmoja
Hua kuna watu wanakera ,unapotaka kutoa habari kuhusu mtu muhimu kwa Taifa na Africa kwa ujumla hakikisha una data za maana,za kutosha na za ukweli na sio kubumba bumba tu ,mwacheni Af mabeyo ni mtu mkubwa sana mwenye heshima zote , MUNGU ampe maisha marefu yenye amani tele mwamba wa Africa
Mungu ukupe maisha marefi
Nawe pia🫡
Miaka mingi kwako ngosha wa nshimba❤❤
Huyu Mabeyo kwangu ataendelea kuwa mzalendo halisi kutokea usukumani.!
🫡🫡🫡
❤ Amen 🙏
Bunda Hakuna Makao Makuu ya Serengeti
Jwtz Toka lini ikawa jeshi la kujenga taifa acheni kukukurupuka kwenye kuapdates story Ili kupata views bhana pitieni kazi kabla yakupost msitupotoshe wengine tunajitambua.
Daa mwamba muongo
me nimemuelew walikua kambin jkt vita viliv tokea wakachukuliw huko huko baada ya vita ndo akaingizw jwtz moja kwa moja
@@hassan-sarumboSafi umeelewa
@@mropetv7034 yupo sqhih ichi kitu alish ongeaga mbn yeye kam yey
Baba yangu ndo shujaa kwasabab ya uwepo wang
Mabeyo hajawahi kuwa komando.Angekuwa na seagull wings (bawa)
I WISH TO BE A SOLDIER I AM COMING FROM TANZANIA DARESALAAM
😂👊
Tuna Maombi tu nafasi zimetoka
Sawa mkuu@@mosesjohnswilla9926
Dah mtoto mmoja amemkuza mpka amekuwa rubani kisha mungu amemchukuwa kweli kifo iki jamani kah
🫡🫡
Banda iko mkoa wa mara siyo MWANZA
Umeiskiliza Vizuri lkn.....!!???
Mbona amesema vizuri tu mkoani Mara?
Sio Banda ni Bunda 😅
Imagine cdf mstaafu ni kijana ukilinganisha hayati cdf wa kenya aliyetangulia mbele za haki
mkikamatwa mnaanza kusema serikali mbaya
CDF hakufeli kua padre
Wala hakushindwa kwenda chuo
Anamtoto Mwingine ni mjeshi
Alivusha taifa salama
Muongo sana umepata wapi izo stori mbona ujataja alipitia ngelengele 92 komando.uyo ni mtu mzito na muimu kwenye nchi hii
Data mala nyingine huwa zinapotea ama kusahaulika so kwetu Tunahesabu kama "kosa " Hivyo kama haujaskia hicho kikosi Basi Ujue hajapitia ama kimesahaulika
Are you sure ni commando?
Mbona sijaona kua (komando) hapo ??
Unaitaji kuwa komando mkuu 😂🤓
Good
🫡🫡🫡🫡
Hatari gani na nyie,hatari kulinda watawala wasio ongoza nchi kwa haki?
Na hiyo ndo hatari Zaid...kimlinda mtu asiyependwa
Kama humpendi ww unadhani Tanzania nzima hawampendi???@@mlokaferdinand
What means of kuongoza kwa haki? Kusikiliza ujinga wa wanasiasa ndo kuongoza kwa haki???
Sf Sana cdf msitaafu
Venance mabeyo
Padili ten
mkuu wa jeshi la kujenga taifa (jwtz) 😂 huyu jamaa anatulelea mapuuza wazi
Umeandika nini Kwani mbona hauelewiki mkuu?
JWTZ nan mwengin alieskia maan yke jmaa katupakia ap😂😂😂😂😂😂
Mbona minasifiya vtu ambavyo avipo
Poor narrative, msimuliaji ana pwaya sana. Story IPO vagalant!
Komando kivipi yani
Eti alifeli.. uongo mtupu
Huyu mabeyo hafai ni mnafiki msimpe sifahizo muasi huyo
🤔🤔🤔🤔
ACHa wivu
Kwani ni lazima kila Mtu awe Mtangazaji?
Acheni kuharibu fani za watu! Lafudhi mbaya na hujui chochote, kwa kifupi unaropoka tu.
Kwani kunaulazima wa wewe Ku comment hapa unaonekana chizi kumfuatillia mropokaji @abdallahcooper3111
Acheni ufala nyinyi, makundi ya kigaidi ya kundi la kiislam ni yapi? Nyie mbwa achani mambo yenu
Kwaani uongo,magaidi yote ni maislam
@@FridayMwassa
Waislam ndio walio fanya ukoloni(colonialism), Waislam ndio waliowaletea UKIMWI(AIDS Violence), waislam ndio waliowaletea ushoga(ni moja ya njia za mpango wa uzani walizowaletea wazungu), waislam ndio waliofanya biashara ya utumwa(The triangle trade/African slave trade). Waislam ndio waliouwa watu Afrika kusini?
Shida yenu mkisikia waarabu tu mnakimbilia waislam!
Dini za KALE kabla ya uislam pale arabuni; za Kisemiti, Ukristo, Uyahudi, Mandaeism, na Zoroastrianism.
Ukristo uliongzeka hapo baada ya kuanzishwa na wazungu na baada ya kukinzana na ile Mila aliyoachiwa Nabii Abraham, ndipo mkaletewa chuma kuwakumbusha kuwa hizo mlizonazo sio njia sahihi!
Sema wazungu wamekuwa na vita za kiuchumi toka enzi, leo Israel anafanya ugaidi lakini bado mnasema taifa teule! Kuna taifa teule linaruhusiwa kuuwa?
Waasi wa Kiislamu ndio nini wewe wacha upumbavu. Hao ni waasi tu
Waasi wa dini yenye itikadi Kali mkuu , Kwa macho hivyo tulivyotamka ni sahihi Ila kama unazungumzia Imani kila mmoja ana uelewa wake mkuu
Hakuna waasi wa ki Islamu wewe Fala
😂😂😂Sawa
Wilaya ya Bunda iko Mkoa wa Mwanza, siyo Mkoa wa Mara.
Uko sahihi !?
Bunda iko Mwanza!!!!! tangu lini aisee???
Bunda iko Mara ndugu
Bunda Ipo Mkoa Wa MARA mkuu Sio Mwanza
Ni mara
😂😂
😂