HOJA MEZANI II Wadau wa sheria na ugumu wa shule ya sheria kwa vitendo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024
  • Baada ya idadi kubwa ya wanafunzi wa sheria kufeli katika shule ya sheria kwa vitendo wadau mbalimbali wa sheria wametoa maoni yao juu ya hili.

КОМЕНТАРІ • 23

  • @husseinlatifa1443
    @husseinlatifa1443 2 роки тому +1

    My learned brother Deo umekosea sana, kusema kuwa mawakili waliofaulu pia hawaakisi ubora wa law school it means unashusha level of trust kwa clients kua sisi mawakili hatuna ubora...Mi Nafikiri huo mjadala wangealikwa mawakili seniors ambao Wana busara na hekma na sio hao Vijana wanaoongea kwa mihemko

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 Рік тому

    Alexander yupo vizuri.

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 2 роки тому

    Watangazaji hawana upeo mzuri wa kuhoji hilo ni tatizo, hawamuelewi

  • @godfreymuroba7973
    @godfreymuroba7973 2 роки тому +1

    Ili utoboe law school inatakiwa punde ukimaliza degree tafuta ofs ya wakili jishikize ufahamu practice kisha uende law school utafanya vizuri tu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Hata mahama ya lufaa zizochukua miaka wao wamefaulu au nao nitatizo

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Ni lamuli siyo shule Ili waendeleye kura Bata waonekane wa muhimu sana kumbe hamuna kitu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Ni kadili kawatu waonekane miungu watu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Wewe utoke kayumba lugha tee

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Hao ndio hata mahakamani kesi Zina chukua miaka 20 wote ni bogasi kesi miaka 20 na sisi Wana nchi bogasi

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Mbona wanaokula lushwa mahamani na kuchelewesha haki za watu hawafukuzwi

  • @jamesmayala5491
    @jamesmayala5491 Рік тому

    Uyu mwanafunz kaiva Sasa xjui amafeli vipi

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 2 роки тому

    Jamaaa kachafukwa ataki kitu yyte😅

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 2 роки тому

    Hahaha😅jamaaa anamambo meng kinyama.

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Рік тому

    Watapewa rushwa hao majibu yatakuja yauwongo

  • @TheConqueror__Yb
    @TheConqueror__Yb 2 роки тому

    Huyo mtangaji wa kiume hajui kutangaza mbona anakatisha jamaa #Alexander au na yeye katumwa na low school. Angemwacha jamaa ajieleze kwa nini ameamua kuishitaki law school. Siyo kwa nini amefeli..

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Рік тому

    KUFAURU MBAKA UTOE RUSHWAAA

  • @ezrayavanijosias
    @ezrayavanijosias 2 місяці тому

    😂😂

  • @muhanyijr
    @muhanyijr 2 роки тому

    Mbona hiyo hali ipo miaka yote, iweje mwaka huu ndio ionekane kama ni ajabu?
    Waziri alipaswa kufikiria kwa kima kabla ya kuunda tume kutumia pesa za walipa kodi ambao wanalia kila kukicha

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 2 роки тому

    Huyu dogo alieishtaki anaongea vitu vyenye logic sema km vile watangazaji hawamwelewi cjui!!

  • @blazingsaddle7492
    @blazingsaddle7492 2 роки тому

    Watoto wasome. Waache kulalamika Chuo kikuu sio kama Shule ya sekondari. Unajitayarisha kabla kuingia darasani. Huna muda wa kusoma kama sekondari

    • @annaurassa7082
      @annaurassa7082 2 роки тому

      Walimu wengine no waoneve zaidi wanataka rushwa ya ngono