🤔Mbona tuna vyanzo vingi vya kuingiza fedha zaidi hata ya Kenya na Uganda, tunakosea wapi jamani mlioko madarakani hebu amkeni🤔. Sawa sawa vijana kazi nzuri🤝
Swali lako ni la msingi sana. Badala ya kushobokea mikopo tuangalie vyanzo vyetu. Tukope inapobidi. Kwa mfano-tunaingiza kiasi gani kupitia gesi yetu?? Uchangiaji wake kwenye pato la taifa ni kiasi gani??
CCM na CHADEMA WOTE NI WAPIGAJI A na B kama alivyosema mzee Mwinyi. Mbaya zaidi wamepata mpiga debe hatari ambaye ni double standard dealer (Dr Slaa) na amekuwa wa ovyo ovyo
Badala ya kumlaumu Samia unapambana na Magufuli! Wewe ni mnafiki sana! Wewe kila siku kulaumu Magufuli kila Samia akikosea unamsimanga Magufuli! Huyo bibi yako anakopa tu na kinachofanyika hamna so kukopa sio issue kila unafanyia nini mikopo?
@@emmanuelzani2889 Na huyu mama anakopa ilikuendeleza hiyo miradi aliyoanzisha magufuli kama SGR,Bwawa la Nyerere na miradi mingine Shida siku za nyuma walisema hawakopi.
Wanatumia uongo kwasabbu niwatoto wayule baba waongo wadunia hii yaani shetani aliyefukuzwakulembinguni,SASA anaishi kwenye mamlaka yatz, eemungu tusaidiye utuepushe napepo wabaya wasipate nafasi tena nchini, asanteni sana,
Ni rahisi sana kuwadanganya watanganyika sio watanzania kwani umeshasikia lawama za wazanzibar tena kwamba bara inawanyonya na sijui kwa biashara gani iliopo kwenye mwungano
Habari wadau, kweli Mh. Hayati Magufuli alisema SGR na Bwawa la Mwl. Nyerere tunajenga kwa fedha zetu wenyewe ila nilivyomwelewa mimi hata kama tumekopa maana bado sisi ndo tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Mfano ukienda kukopa gari na ikiwa unalipa kidogo kidogo maana unahesabika umelinunua gari hilo kwa fedha zako mwenyewe. Sijui tumeelewana wadau
Kwa maneno haya, watanzania tuliamini tuna pesa kumbe tulikopa! Sasa tena tunazudi kukopa kwa miradi ileile haijaisha! Kibaya zaidi tunaaminishwa tupuuze habari za uongo mitandaoni!!?
Taifa hili wote niwaong. Hakuna mkweli hata moja. Sijuwi kwa nini.huyo mtoto wa chadema anaakili sana kuliko vijana wa ccm. Situnawasikia. Na kuwaona mnamusikia huyo. Wajinga wanatudanganya mama. Kaleta wanafikiriwatuwote wajinga kama walivyo wawo.
Mimi nadhani sote tuwe wazalendo kwa nchi yetu. Kila Raisi ana mazuri na mapungufu yake lakini wote wanadhamira njema ya kuleta maendeleo kwenye Taifa letu. La msingi ninaloona mimi tusitumie majukwaa kujadili namna serikali inavyo kopa bali tuyatumie majukwaa haya kueleza namna bidhaa zetu zinavyo kosa masoko hususani bei ndogo kwenye mazao ya wakulima, manyanyaso kwa wafanya biashara wadogowadogo na mambo mengine yatakayo inua kipato cha mtu mmoja mmoja ili kuongeza idadi ya walipa kodi. Naamini kwa kufanya hivyo kutapunguza trend ya mikopo hii. Hakuna kiongozi anaye kwenda kukopa kwaajili ya maslahi yake au familia yake bali yote ni kwa maendeleo ya nchini yetu. Haifai kulaumu tu bila kutoa ushauri nini kifanyiki ili kupunguza trend hii vinginevyo ni kukosa uzalendo kabisa hii nchi ni yetu sote.
@@AnsbertNgurumo unajuwa kwanini msielewe mtu hakukopa kwa awam yakwaza kutoka dar morogoro ilitakiwa tena kuwaza awam yapil morogoro kwenda had mwaza sasahapo unajiuliza nini? Halaf ikiwezekana hatutaki maneno muwe mnakuja na dokimet nasio mnatupigia kelele leteni dokimet inayo onesha kuwazia siku yakwaza tulipo aza kukopa nakila talehe namwez mwaka nasio mnatowa maneno yenu midomoni halaf kilamtu anakuja nalake gwajima alitowa hesab yadeni alilo likuta jpm nakukiacha chadema wanakuja nahesabu nyingine Sasa Nani mkwel leteni dokimet muitume mtandaoni kila mwenye kuingia aone Nani alikopa nanani alikopa Zaid kwasokimet nasio msome huko halaf mtuletee maneno unahoji mlad wakat kauliziko Waz leli iliyolipwa ni awam yakwaza kutoka dar molo nasio walipwa paka mwaza nawakat hata wakandalac hawakuwepo mbona m atufanya wajinganyie
@@AnsbertNgurumo Huoni alivyofanya? Wewe zungumzia aliyepo sasa unazunguka sana mbuyu? Unafiki ndo tatizo kwako! Umemsikia Pambalu hapo kasema mama kakaopa trillion 31 hoji hiyo imefanya nini? Sio unakosoa kwa kupaka mafuta mgongo wa chupa! Mnanatatizo sana nyinyi wahaya ujuaji mwingi mbele giza ndo maana hata mkoa wenu umedumaa!
@@sambulugu9988 zamani walisema JPM hakopesheki. Serikali yake haina hela iko hoi. Leo wanaamisha goli. Wanadhani technolojia ni ya kuiumbua tu serikali.
Ni kweli tunajenga kwa fedha yetu wenyewe kwa kuwa ukikopa tayari ni zako unachotakiwa ni kulipa deni kama inavyofanyika na mnavyothibitisha na kukopa si msaada labda tafsiri imekuchanganya tu alafa Tanzania ya leo si mchezo inavutia hasa ,amani,vituo vya afya ,rami kila kona umeme sasa mpaka vijijin,stendi za kuvutia kila kona na mengine mengi sana ,sijui unahoji ukiwa wapi weye?YAWEZEKANA HAUPO KWETU TANZANIA.
Sasa kama ndiyo hivyo kulikuwa na mantiki yoyote kutamka hivyo? Kwani nchi nyingine hufanyaje? Andaa utetezi mpya, maana yeye alisema nchi nyingine zimajenga kwa "mikopo," maana yake yeye alitaka kusema sisi hatujengi kwa mikopo. Simple
Acha mbwembwe zako njoo toa hoja ukiwa hapa nchini, acha ukibaraka. Uzuri ni kwamba mh alikuwa anatoa speech hadharani kuwa tunajenga kwa fedha za ndani, na vyombo vya kimataifa vilikuwa vinamsikia kwa nini basi nchi donors wasikanushe? Acha ushamba bro, wanyonge bado wanaishi na kauli hio
@jumannealmas7945 Ndugu yangu, sasa wewe "uliye ndani ya nchi" haya yote yalikupita ukiwa wapi? Hata hujamsikiliza waziri wa fedha na mipango na hao mabeberu wake walitoa mikopo? Halafu unakurupuka kujibu kabla hujaelewa!! Ama kweli, wajinga ndio waliwao. Amka!!!
Na kwa nini tusiamini wakati alionesha njia? Siyo kusingizia nchi imezidiwa COVID ndipo mpatiepo pesa, siyo ya kutibu Covid bali kujengea madarasa ya shule na zahanati, na wanaotoa hela wanakubaliana na udanganyifu huu, hamwoni kama jamaa hao wanaitaka nchi yetu? Nitamtetea marehemu hadi nami niingie kaburini.
Tafuta clip miradi ilipokuwa inazinduliwa kama bwana wa nyerere alisema tutatumia pesa zetu na tutakopa. Na kuna sehemu nyingine pia alisema tutakopa. Miradi ilipotaka kutekelezwa wahisani walifanya sabotage ya kuchelewesha fedha. Akaanza kwa pesa za ndani. Walipoona anamaanisha wakajileta wenyewe. NDIO MAANA WAPINZANI WALIKUJA NA HOJA KWAMBA HAKOPESHEKI. Sema JPM hakuwa kiongozi wa KUITISHA PRESS CONFERENCE NA KUANDIKA MAGAZETI YOTE YA NCHINI KUHUSU KUKOPA KWAKE. HEADLINE YA KUKOPA GAZETINi ZIMEKUWA KAMA FASHION.
Aise ogopa Mungu na Teknolojia, KWELI twaliwa.
Duuh 😮😮😮
🤔Mbona tuna vyanzo vingi vya kuingiza fedha zaidi hata ya Kenya na Uganda, tunakosea wapi jamani mlioko madarakani hebu amkeni🤔. Sawa sawa vijana kazi nzuri🤝
Swali lako ni la msingi sana. Badala ya kushobokea mikopo tuangalie vyanzo vyetu. Tukope inapobidi.
Kwa mfano-tunaingiza kiasi gani kupitia gesi yetu?? Uchangiaji wake kwenye pato la taifa ni kiasi gani??
Kipande cha kwanza zilikuwa pesa za ndani, kipande cha pili na vinavyoendelea ndo vya mkopo
CCM na CHADEMA WOTE NI WAPIGAJI A na B kama alivyosema mzee Mwinyi. Mbaya zaidi wamepata mpiga debe hatari ambaye ni double standard dealer (Dr Slaa) na amekuwa wa ovyo ovyo
Badala ya kumlaumu Samia unapambana na Magufuli! Wewe ni mnafiki sana! Wewe kila siku kulaumu Magufuli kila Samia akikosea unamsimanga Magufuli!
Huyo bibi yako anakopa tu na kinachofanyika hamna so kukopa sio issue kila unafanyia nini mikopo?
Huyu jamaa kweli ana matatizo, sasa shida ya Magufuli ni ipi? Kwa sababu hata kama alikopa, kazi aliyoifanya inaonekana. Asante.
Huyu jamaa ni fala sana sijui analipwa shingap kumchafua mtakatifu maguful
@@emmanuelzani2889 Na huyu mama anakopa ilikuendeleza hiyo miradi aliyoanzisha magufuli kama SGR,Bwawa la Nyerere na miradi mingine Shida siku za nyuma walisema hawakopi.
@@emmanuelzani2889 ipi? miradi ya jpm haijaisha itatufilisi maana alitaka kusifiwa na alifanikiwa kwa hilo
@@ndakimanyakenda1519 mtakatifu kinyume chake ni muovu alikuwa huyo
Wanatumia uongo kwasabbu niwatoto wayule baba waongo wadunia hii yaani shetani aliyefukuzwakulembinguni,SASA anaishi kwenye mamlaka yatz, eemungu tusaidiye utuepushe napepo wabaya wasipate nafasi tena nchini, asanteni sana,
Hatuna serikari wote wababaishaji...chadema chukuweni dora.tumechoka na ccm vijana wa ccm ni mazezeta hawajuwi kitu.
Ujielewe n wewe n upara wako uo maisha y magu tulion vilivy fanyiwa Ila unaropok kwasbb ni chawa w wazungu
Hahaha haha! Hongera!
Ni rahisi sana kuwadanganya watanganyika sio watanzania kwani umeshasikia lawama za wazanzibar tena kwamba bara inawanyonya na sijui kwa biashara gani iliopo kwenye mwungano
Habari wadau, kweli Mh. Hayati Magufuli alisema SGR na Bwawa la Mwl. Nyerere tunajenga kwa fedha zetu wenyewe ila nilivyomwelewa mimi hata kama tumekopa maana bado sisi ndo tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Mfano ukienda kukopa gari na ikiwa unalipa kidogo kidogo maana unahesabika umelinunua gari hilo kwa fedha zako mwenyewe. Sijui tumeelewana wadau
Haya maneno sio yako.usitubabaishe
Kwa maneno haya, watanzania tuliamini tuna pesa kumbe tulikopa! Sasa tena tunazudi kukopa kwa miradi ileile haijaisha! Kibaya zaidi tunaaminishwa tupuuze habari za uongo mitandaoni!!?
Tanzania yetu bado sana.
Vyama vya upinzani vinatakiwa kusimama imara na kuichallenge serikali labda watastuka.
Najiuliza ivi Luna Spika na wabunge nchi hii
Taifa hili wote niwaong. Hakuna mkweli hata moja. Sijuwi kwa nini.huyo mtoto wa chadema anaakili sana kuliko vijana wa ccm. Situnawasikia. Na kuwaona mnamusikia huyo. Wajinga wanatudanganya mama. Kaleta wanafikiriwatuwote wajinga kama walivyo wawo.
Mimi nadhani sote tuwe wazalendo kwa nchi yetu. Kila Raisi ana mazuri na mapungufu yake lakini wote wanadhamira njema ya kuleta maendeleo kwenye Taifa letu. La msingi ninaloona mimi tusitumie majukwaa kujadili namna serikali inavyo kopa bali tuyatumie majukwaa haya kueleza namna bidhaa zetu zinavyo kosa masoko hususani bei ndogo kwenye mazao ya wakulima, manyanyaso kwa wafanya biashara wadogowadogo na mambo mengine yatakayo inua kipato cha mtu mmoja mmoja ili kuongeza idadi ya walipa kodi. Naamini kwa kufanya hivyo kutapunguza trend ya mikopo hii. Hakuna kiongozi anaye kwenda kukopa kwaajili ya maslahi yake au familia yake bali yote ni kwa maendeleo ya nchini yetu. Haifai kulaumu tu bila kutoa ushauri nini kifanyiki ili kupunguza trend hii vinginevyo ni kukosa uzalendo kabisa hii nchi ni yetu sote.
Mimi nafatilia saana lakini najua wazi kwamba NCHI INAINGIA SHIMONI , uwezi kukopa wakati uzalishaji ni sufuri
Kwakweli inabidi uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya mikopo hiyo, unahitajika Sana.
Kabisa! Maana kama walikopa, zile zilienda wapi hadi waendelee kukopa sasa kwa ajili ya miradi ile ile?
@@AnsbertNgurumo Amini Mwenyezi Mungu, Tunapigwa Sana mkuu. Tunapigwa hadi shetani anashangaa maana mwenyewe shetani hakuwafundisha hivyo.
@@kenedrocky5964 😂😂😂😂
Makufuli kakopa kaziyake imeonekana sasamnakopa kazihatuzioni
Alisema hakopi. Shabaha ya kutudanganya ilikuwa ipi? Je, alizokopa zilienda wapi? Mbona wanakopa nyingine?
@@AnsbertNgurumo unajuwa kwanini msielewe mtu hakukopa kwa awam yakwaza kutoka dar morogoro ilitakiwa tena kuwaza awam yapil morogoro kwenda had mwaza sasahapo unajiuliza nini? Halaf ikiwezekana hatutaki maneno muwe mnakuja na dokimet nasio mnatupigia kelele leteni dokimet inayo onesha kuwazia siku yakwaza tulipo aza kukopa nakila talehe namwez mwaka nasio mnatowa maneno yenu midomoni halaf kilamtu anakuja nalake gwajima alitowa hesab yadeni alilo likuta jpm nakukiacha chadema wanakuja nahesabu nyingine Sasa Nani mkwel leteni dokimet muitume mtandaoni kila mwenye kuingia aone Nani alikopa nanani alikopa Zaid kwasokimet nasio msome huko halaf mtuletee maneno unahoji mlad wakat kauliziko Waz leli iliyolipwa ni awam yakwaza kutoka dar molo nasio walipwa paka mwaza nawakat hata wakandalac hawakuwepo mbona m atufanya wajinganyie
@@AnsbertNgurumo Huoni alivyofanya? Wewe zungumzia aliyepo sasa unazunguka sana mbuyu? Unafiki ndo tatizo kwako! Umemsikia Pambalu hapo kasema mama kakaopa trillion 31 hoji hiyo imefanya nini? Sio unakosoa kwa kupaka mafuta mgongo wa chupa!
Mnanatatizo sana nyinyi wahaya ujuaji mwingi mbele giza ndo maana hata mkoa wenu umedumaa!
@@sambulugu9988 zamani walisema JPM hakopesheki. Serikali yake haina hela iko hoi. Leo wanaamisha goli. Wanadhani technolojia ni ya kuiumbua tu serikali.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
Mtalipa watanganyika sio watanzania
Sielewii hii inchi inaelekea wapi tunadanganywa kama watoto wadogo
Nilisema ugonjwa mbaya kabisa ni Bunge la Tanzania
ccm ni waongo.tu
Ni kweli tunajenga kwa fedha yetu wenyewe kwa kuwa ukikopa tayari ni zako unachotakiwa ni kulipa deni kama inavyofanyika na mnavyothibitisha na kukopa si msaada labda tafsiri imekuchanganya tu alafa Tanzania ya leo si mchezo inavutia hasa ,amani,vituo vya afya ,rami kila kona umeme sasa mpaka vijijin,stendi za kuvutia kila kona na mengine mengi sana ,sijui unahoji ukiwa wapi weye?YAWEZEKANA HAUPO KWETU TANZANIA.
Sasa kama ndiyo hivyo kulikuwa na mantiki yoyote kutamka hivyo? Kwani nchi nyingine hufanyaje? Andaa utetezi mpya, maana yeye alisema nchi nyingine zimajenga kwa "mikopo," maana yake yeye alitaka kusema sisi hatujengi kwa mikopo. Simple
Acha mbwembwe zako njoo toa hoja ukiwa hapa nchini, acha ukibaraka. Uzuri ni kwamba mh alikuwa anatoa speech hadharani kuwa tunajenga kwa fedha za ndani, na vyombo vya kimataifa vilikuwa vinamsikia kwa nini basi nchi donors wasikanushe? Acha ushamba bro, wanyonge bado wanaishi na kauli hio
@jumannealmas7945 Ndugu yangu, sasa wewe "uliye ndani ya nchi" haya yote yalikupita ukiwa wapi? Hata hujamsikiliza waziri wa fedha na mipango na hao mabeberu wake walitoa mikopo? Halafu unakurupuka kujibu kabla hujaelewa!!
Ama kweli, wajinga ndio waliwao. Amka!!!
@@AnsbertNgurumo achana nae kaka, huenda ni kiongozi wa Selikali huyo
@@AnsbertNgurumo kuna siku watu watanzania wote watafahamu kuwa tunaibiwa na serkari ya ccm ndipo ccm mtadhidwa kutowa maelezo majukwani.
Watu mpaka Leo hawaamini Kama JPM alikopa
Na kwa nini tusiamini wakati alionesha njia? Siyo kusingizia nchi imezidiwa COVID ndipo mpatiepo pesa, siyo ya kutibu Covid bali kujengea madarasa ya shule na zahanati, na wanaotoa hela wanakubaliana na udanganyifu huu, hamwoni kama jamaa hao wanaitaka nchi yetu?
Nitamtetea marehemu hadi nami niingie kaburini.
Tafuta clip miradi ilipokuwa inazinduliwa kama bwana wa nyerere alisema tutatumia pesa zetu na tutakopa. Na kuna sehemu nyingine pia alisema tutakopa. Miradi ilipotaka kutekelezwa wahisani walifanya sabotage ya kuchelewesha fedha. Akaanza kwa pesa za ndani. Walipoona anamaanisha wakajileta wenyewe. NDIO MAANA WAPINZANI WALIKUJA NA HOJA KWAMBA HAKOPESHEKI.
Sema JPM hakuwa kiongozi wa KUITISHA PRESS CONFERENCE NA KUANDIKA MAGAZETI YOTE YA NCHINI KUHUSU KUKOPA KWAKE. HEADLINE YA KUKOPA GAZETINi ZIMEKUWA KAMA FASHION.