Jamani kifo kitukumbushe kuacha dhambi na kumrudia Mungu maan hii dunia hakuna anayejua kesho yake hivyo tuache maringo na pia tusaidie wenzetu wasiojiweza ili tupate dhawabu mbinguni
Yaaan waandishi ndo watu wakwanza wagombanishi mtu amekuja kwenye msiba mnamuuliza mambo mengine jamani ivi kwann mpo ivi kuweni na utaalamu wenu mlifundishwa heshimuni maeneo kila eneo lina jambo lake
Nimependa sana majibu Yako kwanza unaheshima sana kwa kheshim kilichowaleta, na kingine mkubalie tu kaka yet kind anateseka sana kwa ajili Yako huon had hajafunga ramadhani kwa ajila Yako 😭😭😭😭😭😭😭
Ni aibu kwa waandishi wetu wa habari, nimependa sana majibu ya Kajala mnaacha kuuliza namna gani watamuenzi Maunda nyie mnauliza habari za range ni ujinga huo
Sasa ingelikuwa ni uzuri tu wasingelikuwa wazuri wanadanga wengi waloolewa ni wale mnaosema wabaya lakini siyo wazuri unawopenda ww wazuri wengi ni vivutio vya watalii 🤣😂
Utani hauna nafasi msibani tena ni haramu na ujinga ulio pindukia, kwa nini usitafakari yale anayo kwenda kukutana nayo mwenzako huko kaburini nawe ukaanza maandalizi?. Anapo kufa mmoja wetu ni wajibu wetu kutafakari, leo ni mwenzetu kesho ni mimi au wewe, zidisha mema, acha mabaya ili ukutane na Mola wako ukiwa salama.
Jamani mmekuja msibani sio mapenzi msibani badala muwaze kusari mnawaza mapenzi mwenzenu katoka kumzika mwenzake na yeye kamfata mnawaza mapenzi Achane kujifanya ni malaika mnamuhudu mtu kama mungu
ww siunawatoto wa kike au hauna maneno yanaish chunga kauli yko....ukute unashida hadi miguuni....unadhambi mpaka lkini unaangalia y mwenzio yko huyaoni....koma kabisa....kuwasema watu vibaya😏😏
Pumzika kwa amani Hellen Maunda Zoro nilichogundua baadhi ya waandishi wanaishi kwa mikumbo na kufanya wenye weredi mzuri katika kazi nao thamani ya wenzao ishuke zaidi akili sahihi za mawazo katika kuhoji hakuna wanataka kuonekana wameongea bila kufikiri aina ya swali na geography ilivyo kujua kwanini yupo alipo na nini kimempeleka ili ajuze wasiokuwepo lenye umuhimu
Sasa mbona huyo demu mwenyewe sio mzuri ni mbaya hivyo, ana sura utafikiri ya baba yake sura ya kiume yaani kwa sura akiongozana na harmonize utafikiri wanaume wawili wameongozana , na demu ana chogo la kibantu na mdomo mkubwa haswa na ana kipara kwa mbali , kweli harmonize ameishiwa kama huko Tanzania mademu wenyewe ndio hao
😲😲Tu n'es pas gentil avec les femmes, mec !? 🙄🙄 Acha tabia hii ya kishamba, Guys kuwabeza na kuwadhalilisha Warembo! Kuwa Mstaarabu, Kaka ! Jifunze kwa Wazungu huko uliko, behave like a gentleman! Stop being frustrated! Tafuta girlfriend!
@@j.c.maxima816 ushamba unaujua wewe kilaza au unapayuka tu sasa niseme demu mzuri wakati ni mbaya tembea duniani uone mademu wazuri, choko wewe huna point yeyote ya kucomment unaona Wazungu ndio watu Mungu au unahadithiwa tu kuhusu ulaya, demu huyo mbaya kama ndio mademu wenyewe huko viroja🤮
@@hangimakina1263 hamna kitu hapo demu mbovu na sura la kiume anakata vibes, sijui wakati wa kulitomba inabidi ulifunike sura lake la kiume maana ni kama uko kitandani na mwanaume mwenzako, mmakonde ni mshamba hajui mademu wazuri
I don't think it's ok kwenda msibani kwa watu thn u starting interviewing people n asking them about their private stupid life .mko msibani jameni nkt mna udhi aki
Majibu mazuri sana Ma Paula... 👍 Pole Kajala
Jamani kifo kitukumbushe kuacha dhambi na kumrudia Mungu maan hii dunia hakuna anayejua kesho yake hivyo tuache maringo na pia tusaidie wenzetu wasiojiweza ili tupate dhawabu mbinguni
Ufanyedhambi usifanyedhambi kufarazima
Kabisa bro kifo ni ukumbusho hai
Yaaan waandishi ndo watu wakwanza wagombanishi mtu amekuja kwenye msiba mnamuuliza mambo mengine jamani ivi kwann mpo ivi kuweni na utaalamu wenu mlifundishwa heshimuni maeneo kila eneo lina jambo lake
Ndo kazi yao hiyo... waelewe...!!
Kwenye macho bado umnapenda kondeboy
All in all rest in peace 😭😭😭 and big up harmonize bakhalesa konde boy with kajala❤️❤️❤️❤️
Pole sana kwa familia
Na ndugu marafiki wote
Mimi simfahamu marehemu
Lakini kifo hakina mwenyewe
Wote tunaomboleza. .Mungu
Ampumzishe kwa amani
Amin.
Yan mamake hakuna tabia inaniudhi kama hii ya waandishi watu wapo msiban mnaacha kuuliza maswala ya msingi mnauliza usenge
we mpumbavu unae ulizia range msibani hovyo kabsa!
Nimependa sana majibu Yako kwanza unaheshima sana kwa kheshim kilichowaleta, na kingine mkubalie tu kaka yet kind anateseka sana kwa ajili Yako huon had hajafunga ramadhani kwa ajila Yako 😭😭😭😭😭😭😭
Hajafunga Ramadhan kwa upumbavu wake msenge huyo… ushindwe kufunga kisa malaya?
Wapuuzi sana hawa watangazaji maswali gan hayo unamuiliza kajana
Nimrkupenda bure kajala kwa majibu yako mazuri, tupo kwaajiri ya maunda hapa na si mengineyo,
Kajala nakushukulu kwakumkubalia hamonaizi bigapu Sana mdogowangu maisha yenyewe haya nimafupi tupendane Sana kajala huijuikesho .
Aaah! Wajina vidoo unajua kaka duuh unampig mtu swali adi anachk mwenyw
Ni aibu kwa waandishi wetu wa habari, nimependa sana majibu ya Kajala mnaacha kuuliza namna gani watamuenzi Maunda nyie mnauliza habari za range ni ujinga huo
Yani wandishii wengi hawajielew
Umesema kabisaa
Waandish wa bongo hamnazo kbs,msiban ulizien yanayohusu msiban,mnachefua na kuboa sana waandish wengine
Msiba uheshimiwe achen habar za mapenz msiban,!
Mwijaku umefungua😞
😂
Hafungi yule anapenda sifa za kijinga
Kajala unasauti yakiume umemloga super star
Vichekesho
Mwijaku unatia aibu km in uchawa mwenzetu umezd kaaaaa baba huptwi!?
Daaa honger xna uulizajii wa swaliii Millard ayoo mnajua😃😃🔥🔥
Wanajua sana malilard hajawahi kukwama
Hivi waandishi mtaacha lini huu upuuzi mnaacha mambo ya msiba mko buzy na huyo bibi
Yaani mwenyewe kashazeeka mpaka anatisha!!!
Duh Kajala mwenyewe ndo huyo? Duh kabayaa ndo harmonize analilia
😂😂
Ww kwani yy anataka sura
Sasa ingelikuwa ni uzuri tu wasingelikuwa wazuri wanadanga wengi waloolewa ni wale mnaosema wabaya lakini siyo wazuri unawopenda ww wazuri wengi ni vivutio vya watalii 🤣😂
Baazi ya waandishi ni wapumbavu Sana Tena Sana Kama ni mtu mwingine unamuuliza maswali Kama hayo anakupiga kibao
Kajala nakupenda sana
Kwanini wasiwe wasitaarabu waheshimu misiba uyo dada hakwenda kwenye furaha ameenda kwenye msiba liangalieni hilo huyo kajala mukimuhitaji munampata sio munvizie kwenye misiba tubadilikeni jamaa
Vidox yupo serious balaaa... Umekuja na range yako 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Utani hauna nafasi msibani tena ni haramu na ujinga ulio pindukia, kwa nini usitafakari yale anayo kwenda kukutana nayo mwenzako huko kaburini nawe ukaanza maandalizi?. Anapo kufa mmoja wetu ni wajibu wetu kutafakari, leo ni mwenzetu kesho ni mimi au wewe, zidisha mema, acha mabaya ili ukutane na Mola wako ukiwa salama.
Waandishi wa bongo ni kichefuchefu tupu
Mwajaku ana kiherere Sasa kumwekea kajala mkono ni mke wake
Kumbe msiba mzima yupo kakata tu
Kajala una kwama sasa mbona wewe humjibu harmonize
Sasa uyumama mzee amakonde daaa nomaa uyu asingekua mtu marufu ata bule simtaki
Jamani mmekuja msibani sio mapenzi msibani badala muwaze kusari mnawaza mapenzi mwenzenu katoka kumzika mwenzake na yeye kamfata mnawaza mapenzi Achane kujifanya ni malaika mnamuhudu mtu kama mungu
Uyu vidox ni mpumbavuuu..
du hatari sn
sanaaa
Kajala pole san❤
Huyo jamaa alievaa kapelo alivyo Kuja.. ameangalia MZIGO kwanza
🤣🤣
Mbn kajala wakawaida xn🤣🤣🤣au macho yang yananidangany hv huyu hyu mnauhakika ndo analiliw na konde🤣🤣
Kajala jamani Dada yangu naomba umkubalie harmonize msanii wangu jamani kajala.
Po
A
Emmanuel
Acha Hizo Huyu Kajala nimeshapeleka
Posa kwao Huyo Msaniii wako
Mwambie Akaoe Wamakonde Wenzake
au Watani zao Wandengereko hukoooo
Msanii wako kivp unamlipa au yeye anakulipa wewe kumpa huduma?
Waandishi wa habar Tanzania inabid waingie darasan ten kweny misib ya watu wanamuhoj MTU mahusian ten serekal embu wafatilie mamb kam haya
Huku TZ ukiwa mzembe wakiroho tayari wachukuliwa misukule
Maisha yetu ni mafupi poleni wafiwa Mungu amlaze pema peponi
Apumzkie kwa amani🙏🙏🙏
Wewe unasema kuhusu mwanao kwani ni uongo hana mambo ya ajabu ache mambo ya mitandao haya Levan amemuoa kamchezea kamuacha
Ila Vido😆😆😆eti umekuja na range yako😂😂😂😂
Waandishi wa habari hakili hamna hivi mnaona hapo nipakuongelea ujinga!!
Hawewe huna akili
@@sylvestersylvester8613 we nawe ndio wale wale
Harmonize, sasa ya mitandao ishiye apo apo muhusika uyu pale mbele yako kajala na Mwijaku karibu yenu ,tumesikilizana????
DADA KAJALA UMEONGEA VZL
AITAKIW KUUCHUNA KWA MTU
MWENZAKO UNAEMFAAM
KUMCHUNIA SMS
Hili jidada lina sura mbovu sana astakhfirullah
Jamani Muogope Mungu na malaika zake! Hee! Hata huogopi na upo kwenyewezi wa Toba??
Sura mbaya
Linatisha haswaaaaa
ww siunawatoto wa kike au hauna maneno yanaish chunga kauli yko....ukute unashida hadi miguuni....unadhambi mpaka lkini unaangalia y mwenzio yko huyaoni....koma kabisa....kuwasema watu vibaya😏😏
Ndo linapendwa sasa hilo sura huhuuuuuu
Hizi snap zitakuja kuuwa wa kaka wawatu Na presha Bure, dada yangu hafanani Na picha zake hata kidogo
Umeona na ww kumbe eee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Bado mzuri sana
Ama kweli akili ya binadamu ni kitendawili ! Kwahyo waandishi wa habari wa sikuhiz Wana mawazo mgando???? Aroo
Walimfata ili wamuulize kuhusu harmo tu si kingine
Naona huyu dada Mara nyingi harmonize ndo anampaisha Sana mjini
Kweli kabisa make kasha kua mzee
Tuko msibani hapa
Kwan Vido Umetumwa
Mimi nakupenda kwajili ya hamo
REST IN PEACE
Mapenzi kwakweli ni dunia nyingine
Kamaumegundua dada anajaribu kuruka e
huyo mtangazaji wa ayo tv anazingua
Wandishi mwache ushaa?
Kwer maisha mafu p tupenane
Vidox unaharibu career yako onaga na maswali ya kuuliza acha upumbavu
Uyu kibibi nae anajikuta Nan kwan msewww
Waandish wa habari wa mchongo ...
Munatupotezea mb zetu pumba fu
Dah bibi leo kaonekana kazi kwa sasa njomba nchumali aka Konde boy
mna mdada mwenyewe usungi mweusi kazuri
Sasa Paula imekujaje hapo, unajitahidi kumtafutia umaarufu
Miandishi udakuni
Pumzika kwa amani Hellen Maunda Zoro nilichogundua baadhi ya waandishi wanaishi kwa mikumbo na kufanya wenye weredi mzuri katika kazi nao thamani ya wenzao ishuke zaidi akili sahihi za mawazo katika kuhoji hakuna wanataka kuonekana wameongea bila kufikiri aina ya swali na geography ilivyo kujua kwanini yupo alipo na nini kimempeleka ili ajuze wasiokuwepo lenye umuhimu
Kajala huyu na yule wa make up tofauti kumbe kilo mita zimesoma
Haswaa huyu ni mzee sana
Kajala nakupa hongera umeenda msibani wanakuuliza maswali mengine kwa kweli dada umeongea kishujaa
Sasa mbona huyo demu mwenyewe sio mzuri ni mbaya hivyo, ana sura utafikiri ya baba yake sura ya kiume yaani kwa sura akiongozana na harmonize utafikiri wanaume wawili wameongozana , na demu ana chogo la kibantu na mdomo mkubwa haswa na ana kipara kwa mbali , kweli harmonize ameishiwa kama huko Tanzania mademu wenyewe ndio hao
😲😲Tu n'es pas gentil avec les femmes, mec !? 🙄🙄 Acha tabia hii ya kishamba, Guys kuwabeza na kuwadhalilisha Warembo! Kuwa Mstaarabu, Kaka ! Jifunze kwa Wazungu huko uliko, behave like a gentleman! Stop being frustrated! Tafuta girlfriend!
Tatizo kalio lile
@@j.c.maxima816 ushamba unaujua wewe kilaza au unapayuka tu sasa niseme demu mzuri wakati ni mbaya tembea duniani uone mademu wazuri, choko wewe huna point yeyote ya kucomment unaona Wazungu ndio watu Mungu au unahadithiwa tu kuhusu ulaya, demu huyo mbaya kama ndio mademu wenyewe huko viroja🤮
@@hangimakina1263 hamna kitu hapo demu mbovu na sura la kiume anakata vibes, sijui wakati wa kulitomba inabidi ulifunike sura lake la kiume maana ni kama uko kitandani na mwanaume mwenzako, mmakonde ni mshamba hajui mademu wazuri
BEAUTY IS RELATIVE! Kisichokufaa wewe, kinamfaa mwingine! Tuheshimiane! Mi naona lugha yako kali sana towards Women! Wamekufanyia nini?!!!
Pumzika kwaamani dd
Lakini filter za saidia
Mh ama kwel moyo ukipenda umependa sasa hapo harmonic amependa nini mbona anafanana na mwanamziki wa nyimbo za kisukuma huku RUNZEWE
Hapo sàsa
Moyo wa mtu kichaka
😂😂😂😂
Aya konde kulia kulia kajala huyo mmekutana msiban🤣🙏
Hana UTI huyo Kajala jamanii??
I don't think it's ok kwenda msibani kwa watu thn u starting interviewing people n asking them about their private stupid life .mko msibani jameni nkt mna udhi aki
Chatting za inbox Nay wa Mitego, Roma Mkatoliki na Maunda hadharani waitana "Babe"
ua-cam.com/video/WXe_KK2CqTM/v-deo.html
HabibaaIly
Ety ndo konde hasemi hafungi
Kajala amegundua kuwa asilimia kubwa ya waandishi walipata four ya d mbili ndio mana wanauliza utumbo
Hata wewe umejibu utumbo
Sasa ilo lijamaa linatafuta nini hapo nyuma? Hahahahaha
haka kanamtesa Hamo
Kumbe ni filters hurembesha huyu mwanamke
Glen lantan
Mbona bibi kizee?🙄
Vido kigaganizi 😂😂😂
Vidox umekuja na range yako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vidox 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
*#*...*#*
ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
*#*#......
ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html
Picha za Instagram za uongo
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
*#*...*#*
ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
*#*#......
ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
*#*#......
ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
*#*#......
ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html